Zaburi 75:1-10
-
Mungu anahukumu kwa haki
-
Waovu watakunywa kikombe cha Yehova (8)
-
Kwa kiongozi. Imepatanishwana muziki wa “Usiharibu.” Ya Asafu.+ Wimbo.
75 Tunakushukuru, Ee Mungu, tunakushukuru;Jina lako liko karibu,+Na watu wanatangaza kazi zako za ajabu.
2 Unasema: “Wakati ninaweka muda,Ninahukumu kwa haki.
3 Wakati dunia na wakaaji wake wote waliyeyushwa,Mimi ndiye nilifanya nguzo zake zikuwe imara.” (Sela)
4 Ninaambia wenye kujisifu, “Musijisifu,”Na waovu, “Musiinue nguvu zenu.*
5 Musiinue nguvu zenu* juuAo kuongea kwa kiburi.
6 Kwa maana kuinuliwa hakutokeMashariki wala mangaribi wala kusini.
7 Kwa maana Mungu ni Muamuzi.+
Anashusha mutu mumoja na kuinua mwingine.+
8 Kwa maana kuko kikombe katika mukono wa Yehova;+Divai inatoa pofu na imechanganywa kwa ukamili.
Hakika ataimwanga,Na waovu wote wa dunia wataikunywa, mupaka kwenye machicha* yake.”+
9 Lakini mimi, nitatangaza hilo milele;Nitamuimbia Mungu wa Yakobo sifa.*
10 Kwa maana anasema: “Nitakata nguvu* zote za waovu.”
Lakini nguvu* za wenye haki zitainuliwa.

