Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana juu ya Mashahidi wa Yehova

Naweza Kufanya Nini juu Nikuwe Shahidi wa Yehova?

Matayo 28:19, 20 inaonyesha mambo tatu ya kufanya.

Naweza Kufanya Nini juu Nikuwe Shahidi wa Yehova?

Matayo 28:19, 20 inaonyesha mambo tatu ya kufanya.

Baraza Yenye Kuongoza ya Mashahidi wa Yehova Ni Nini?

Ndugu wa Baraza Yenye Kuongoza njo viongozi wa tengenezo yetu?

Mashahidi wa Yehova ni Sekte?

Ona mambo mbili ya uongo yenye watu wanasemaka juu ya maana ya neno sekte na ona pia ukweli kuhusu Mashahidi wa Yehova.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanamuamini Yesu?

Ona sababu gani Wakristo wa kweli wanapaswa kumuamini Yesu.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Kama Dini Yao Tu Ndio ya Kweli?

Je, Yesu alisema kama kuna barabara nyingi zinazoongoza kwenye uzima wa milele?

Je, Mashahidi wa Yehova Wanafikiri Kama wao tu Ndio Wataokolewa?

Biblia inazungumuzia wale watakaopewa nafasi ya kuokolewa.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanavumilia Dini Zingine?

Ona namna kuvumilia wengine kunavyowatambulisha Wakristo wa kweli.

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawaitikake Kutiwa Damu mu Mishipa?

Watu wengi wako na mawazo yenye haifae juu ya Mashahidi wa Yehova na juu ya kutiwa damu mu mishipa. Ona mambo ya kweli kuhusu imani yetu juu ya ile jambo.

Mashahidi wa Yehova Wanaamini Kama Mungu Aliumba Mbingu na Dunia kwa Siku Sita Zenye Urefu wa Saa 24?

Unajua kama mawazo ya watu fulani inapingana na mambo yenye Biblia inasema?

Na siye Mashahidi wa Yehova tuko Wakristo, lakini hatutumiake musalaba mu ibada. Juu ya nini?

Na siye Mashahidi wa Yehova tuko Wakristo, lakini hatutumiake musalaba mu ibada. Juu ya nini?

Mashahidi wa Yehova Wanatumia Namna Gani Michango?

Mashahidi wa Yehova wanatumia michango juu ya kufanya mutu akuwe tajiri?

Jina Mashahidi wa Yehova Ilitoka Wapi?

Ona mahali ambapo tulitosha jina hilo.

Kuko Mashahidi wa Yehova Ngapi mu Dunia Yote?

Ona namna tunahesabiaka Mashahidi.

Ni Nani Aliyeanzisha Dini ya Mashahidi wa Yehova?

Soma ili uone kwamba Charles Taze Russell hakuanzisha dini mupya.

Mashahidi wa Yehova Wanatosha Feza Wapi?

Hatutumiake njia zenye kutumiwa na dini nyingi.

Mashahidi wa Yehova Wanatoaka Sehemu ya Kumi?

Kuko hesabu fulani ya makuta yenye Mashahidi wa Yehova wanaombwa kutoa?

Je, Mashahidi wa Yehova Wanalipa Wale Wanaowasimamia?

Je, kuna wakubwa na watu wa kawaida kati yenu? Ni nani walio wafanyakazi waliowekwa na Mungu?

Mashahidi wa Yehova Wanamuke Wanahubiriaka?

Wanamuke wanafanyaka kazi ya kuhubiri yenye Mashahidi wa Yehova wako nafanya mu dunia yote?

Makutaniko ya Mashahidi wa Yehova Yanapangwa Namna Gani?

Soma ili ujue namna tunavyopata muongozo na maagizo katika makutaniko yetu.

Baraza Yenye Kuongoza ya Mashahidi wa Yehova Ni Nini?

Ndugu wa Baraza Yenye Kuongoza njo viongozi wa tengenezo yetu?

Sababu Gani Mashahidi wa Yehova Wanahubiri Nyumba kwa Nyumba?

Soma hapa ili ujue mambo ambayo Yesu aliwaambia wafuasi wake wa kwanza-kwanza wafanye.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanastahili Kuokolewa kwa Sababu Wanahubiri Nyumba kwa Nyumba?

Soma ili ujue mambo tunayoamini kuhusu kuokolewa na namna mutu anavyoweza kuokolewa.

Sababu Gani Mashahidi wa Yehova Wanatembelea Watu Walio na Dini Zao?

Ni sababu gani zinazotuchochea kutembelea watu walio na dini zao?

Funzo la Biblia Ni Nini?

Pata majibu ya maulizo juu ya programu yetu ya funzo la Biblia la bila malipo.

Mashahidi wa Yehova Wanafanyaka Kazi ya Umisionere?

Ni nani anafanyaka kazi ya umisionere, na juu ya nini? Kunakuwaka mazoezi fulani ya pekee juu ya kufanya hii kazi?

Mashahidi wa Yehova Wanamuke Wanahubiriaka?

Wanamuke wanafanyaka kazi ya kuhubiri yenye Mashahidi wa Yehova wako nafanya mu dunia yote?

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawaitake Fasi Yao ya Ibada Kanisa?

Ona kwenye kulitoka neno “Jumba ya Ufalme ya Mashahidi wa Yehova” na juu ya nini tunaitaka vile.

Na siye Mashahidi wa Yehova tuko Wakristo, lakini hatutumiake musalaba mu ibada. Juu ya nini?

Na siye Mashahidi wa Yehova tuko Wakristo, lakini hatutumiake musalaba mu ibada. Juu ya nini?

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Wanafanyaka Meza ya Bwana Tofauti na Dini Zingine?

Meza ya Bwana ao Ukumbusho njo mukutano wa maana sana wenye Mashahidi wa Yehova wanafanyaka. Maandiko inaonyesha namna ule mukutano unapaswa kufanywa.

Mashahidi wa Yehova Wanakuwaka na Biblia Yao?

Kutumikisha tafsiri mbalimbali za Biblia kunaweza kusaidia sana wakati mutu iko najifunza Biblia. Kuko mambo tatu yenye inapaswa kukuchochea utumikishe Tafsiri ya Ulimwengu Mupya wakati uko unajifunza.

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawapiganake vita?

Watu wengi wanajua kama Mashahidi wa Yehova hawapiganake vita. Ona sababu zenye zinafanya tukatale kupigana vita.

Mashahidi wa Yehova Wanasaidiaka Wale Wenye Wanafikiwa na Misiba?

Ona vile tunasaidiaka Mashahidi wenzetu na wale wenye hawako Mashahidi wakati musiba unatokea.

Mashahidi wa Yehova Wanakubali Matunzo?

Watu fulani wanawaza kama Mashahidi wa Yehova wanakatalaka matunzo yote. Ile ni kweli?

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawaitikake Kutiwa Damu mu Mishipa?

Watu wengi wako na mawazo yenye haifae juu ya Mashahidi wa Yehova na juu ya kutiwa damu mu mishipa. Ona mambo ya kweli kuhusu imani yetu juu ya ile jambo.

Mashahidi wa Yehova Wanavurugaka Familia za Watu ao Wanazisaidiaka Zikuwe Nguvu?

Wakati fulani Mashahidi wameshitakiwa kama wanavurugaka familia za watu. Ile ni kweli?

Mashahidi wa Yehova Wanakatazaka Filme, Vitabu, ao Nyimbo Fulani?

Mukristo anapaswa kufikiria kanuni gani wakati iko nachagua mambo ya kujifurahisha nayo?

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawafanyake Sikukuu Fulani?

Ona maulizo tatu ya maana kuhusu namna Mashahidi wanaona sikukuu mbalimbali.

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawasherehekeake Noeli?

Watu wengi wanasherehekeaka noeli hata kama wanajua mwanzo wake. Ona ni juu ya nini Mashahidi wa Yehova hawafanyake vile.

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawasherehekeake Pasaka?

Watu wengi wanawazaka kama Pasaka ni sherehe ya Kikristo. Juu ya nini Mashahidi wa Yehova hawaisherehekeake?

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawafanyake Sikukuu za Kuzaliwa?

Ona mambo ine yenye inaonyesha kama sikukuu za kuzaliwa hazimufurahishe Mungu.

Ndoa ya Mashahidi wa Yehova Inakuwaka Namna Gani?

Hali za kila mutu zinaweza kutofautiana, lakini kuko jambo moya yenye haikuwake tofauti.

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Wanafanyaka Meza ya Bwana Tofauti na Dini Zingine?

Meza ya Bwana ao Ukumbusho njo mukutano wa maana sana wenye Mashahidi wa Yehova wanafanyaka. Maandiko inaonyesha namna ule mukutano unapaswa kufanywa.

Je, Mashahidi wa Yehova Ni Wakristo?

Tafazali ona mambo yanayotutofautisha na dini zingine zinazojiita za Kikristo.

Je, Dini ya Mashahidi wa Yehova Ilitoka Amerika?

Mambo ine unayopaswa kujua juu ya tengenezo hili la duniani pote.

Mashahidi wa Yehova ni Sekte?

Ona mambo mbili ya uongo yenye watu wanasemaka juu ya maana ya neno sekte na ona pia ukweli kuhusu Mashahidi wa Yehova.

Kuko Mashahidi wa Yehova Ngapi mu Dunia Yote?

Ona namna tunahesabiaka Mashahidi.

Naweza Kufanya Nini juu Nikuwe Shahidi wa Yehova?

Matayo 28:19, 20 inaonyesha mambo tatu ya kufanya.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanakataa Wale Waliokuwa Katika Dini Yao Zamani?

Wakati fulani ni lazima mutu atengwe na kutaniko na hilo linaweza kumusaidia arudilie kutaniko.