Zaburi 117:1, 2

  • Mataifa yote yanaombwa kumusifu Yehova

    • Upendo mushikamanifu wa Mungu ni mwingi (2)

117  Mumusifu Yehova, ninyi mataifa yote;+Mumutukuze, ninyi vikundi vyote vya watu.*+  2  Kwa maana upendo wake mushikamanifu kutuelekea ni mwingi;+Uaminifu+ wa Yehova unadumu milele.+ Mumusifu Yah!*+

Maelezo ya Chini

Ao “ukoo wote mbalimbali.”
Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.