Zaburi 117:1, 2
-
Mataifa yote yanaombwa kumusifu Yehova
-
Upendo mushikamanifu wa Mungu ni mwingi (2)
-
117 Mumusifu Yehova, ninyi mataifa yote;+
Mumutukuze, ninyi vikundi vyote vya watu.*+
2 Kwa maana upendo wake mushikamanifu kutuelekea ni mwingi;+
Uaminifu+ wa Yehova unadumu milele.+
Mumusifu Yah!*+