Kuko Mambo Gani ya Sasa?
MAFUNDISHO YA BIBLIA
Jaribu Programu Yetu ya Kujifunza Biblia
Jifunze Biblia na mwalimu. Ujifunze kwa njia ya mazungumuzo, na bila kulipa.
NAMNA MICHANGO YAKO INATUMIWA
Maktaba mu Mukono Wako
Watu wamesema kama application JW Library ni chombo “ya maana sana.” Ona mambo yenye inafanywa juu ya kuirekebisha na kuisaidia iendelee kutumika muzuri.
NDOA NA FAMILIA
Mutumie Wakati Mingi Pamoya
Kama hawako waangalifu, bibi na bwana wanaweza kuwa na magumu ya kuzungumuza pamoya ijapokuwa wanaishi fasi moya. Wanaweza kufanya nini ili wakuwe wanatumia wakati wao mingi pamoya?
NDOA NA FAMILIA
Mambo Yenye Wazazi Wanapaswa Kujua Kuhusu Kupeleka Mutoto Wao Fasi ya Kuchungia Watoto
Maulizo ine ya kukusaidia kumua kama inafaa kutuma mutoto wako fasi ya kuchungia watoto.
NDOA NA FAMILIA
Watoto na Telefone—Sehemu ya 1: Mutoto Wangu Anastahili Kuwa na Telefone?
Ujiulize hii maulizo ili kujua kama weye na mutoto wako muko tayari kutimiza madaraka yenu.
NDOA NA FAMILIA
Namna ya Kuacha Mambo ya Teknolojia pa Nafasi Yake
Kutumia mambo ya teknolojia inaweza kufanya ndoa ikuwe nguvu ao iharibike. Hali iko namna gani mu ndoa yenu?
TUIGE IMANI YAO
Maria Magdalene—“Nimemuona Bwana!”
Ule mwanamuke muaminifu alipewa kazi ya maana ya kuambia wengine habari fulani ya muzuri.
MUENDELEE KUKESHA!
Bei ya Vitu Imepanda mu Dunia Yote—Biblia Inasema Nini?
Juu ya nini bei ya vitu imepanda sana? Biblia inaweza kukusaidia namna gani?
USHUHUDA
Mapadri Wenye Kasirani Wanatendewa Kwa Upole
Biblia inatutia moyo kuwa wapole, hata wakati wanatukasirisha. Ile shauri ni yenye kufaa kabisa?
VITABU NA BROSHUA
Biblia—Ina Ujumbe Gani?
MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO
Mwezi wa 9, 2022
Hii gazeti iko na habari za kujifunza tarehe 7/11–4/12/2022.
KUKO MAMBO GANI YA SASA
Wimbo wa Pekee wa Mukusanyiko wa Eneo wa 2022 Unapatikana Sasa
UKUWE RAFIKI YA YEHOVA (UTENDAJI)
Picha: Yehova Anasameheaka
Chukua na uchapishe hii picha yenye inatukumbusha namna Yehova anasameheaka watumishi wake waaminifu wakati wanafanya makosa.
NAMNA MICHANGO YAKO INATUMIWA
Kutetea Uhuru wa Dini wa Wenyeji
Wakati wapinzani walijaribu kunyanganya Mashahidi wa Yehova haki yao ya kumuabudu Mungu, ndugu zetu walitenda haraka ili kuwasaidia.
NAMNA MICHANGO YAKO INATUMIWA
Kutolea Ndugu na Dada Misaada Wakati ya Coronavirus
Mipango yenye tulikamata juu ya kutolea ndugu na dada misaada wakati ya Coronavirus imeshangaza Mashahidi na wale wenye hawako Mashahidi.
HABARI ZA SASA
Ripoti ya Ugonjwa wa Coronavirus na Namna Tunaweza Kujilinda
Ona mambo yenye inaweza kukusaidia kama mu eneo yenu muko ugonjwa wa kuambukiza
MAULIZO YENYE WATU WANAULIZAKA SANA
Mashahidi wa Yehova Wanatumia Namna Gani Michango?
Mashahidi wa Yehova wanatumia michango juu ya kufanya mutu akuwe tajiri?
MAULIZO YENYE WATU WANAULIZAKA SANA
Ndoa ya Mashahidi wa Yehova Inakuwaka Namna Gani?
Hali za kila mutu zinaweza kutofautiana, lakini kuko jambo moya yenye haikuwake tofauti.
MUENDELEE KUKESHA!
Kupigwa Masasi ku Masomo—Biblia Inasema Nini?
Juu ya nini ile mambo ya mubaya inatokeaka? Kuko siku jeuri itaishaka?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Makuta Njo Chanzo ya Mambo Yote ya Mubaya?
Watu fulani wanasemaka kama Biblia inasema “feza [makuta] ni chanzo cha mambo ya mubaya.” Lakini Biblia haiseme vile.
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Biblia Inasema Nini Juu ya Kuishi Pamoja Mbele ya Kufunga Ndoa?
Mungu anatuambia mambo ya kufanya juu tukuwe na familia yenye furaha, na sikuzote kanuni zake zinaleteaka faida wale wenye kuzifuata.
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Biblia Inasema Nini Juu ya Kutosha Mimba?
Uzima wa mwanadamu unaanzaka wakati gani? Mungu anaweza kusamehe mutu mwenye alishakatosha mimba?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Juu ya Nini Yesu Anaitwa Mwana wa Mungu?
Kama Mungu hakuzalaka Yesu sawa vile baba wanadamu wanazalaka watoto, juu ya nini anaitwa Mwana wa Mungu?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Namna gani Biblia Inaweza Kusaidia Wale Wenye Wako na Mawazo ya Kujiua?
Biblia inatoa mashauri gani kwa ajili ya mutu mwenye anapenda kufa?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Biblia Inafundisha Kama Dunia Iko Tambarare?
Hii kitabu ya zamani inasemaka kweli?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Biblia Inasema Nini Juu ya Kutoa?
Ni kutoa ya namna gani njo inafurahishaka Mungu?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Habari Kuhusu Noa na Garika Kubwa—Ni Mambo ya Kuwazia-wazia Tu?
Biblia inasema kama zamani Mungu aliletaka garika kubwa juu ya kuharibu watu wabaya. Biblia inasema mambo gani yenye kuonyesha kama Garika ilitoka kwa Mungu?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Biblia Inasema Nini Kuhusu Kasirani?
Kuko wakati mutu anaweza kuwa na sababu ya kukasirika? Unapaswa kufanya nini wakati kasirani yako inaanza kupanda?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Bibila Inasema Nini Kuhusu Bikira Maria?
Watu fulani wanasema kama Maria hakukuwa na zambi wakati alimuzala Yesu. Biblia inafundisha vile?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Biblia Inafundisha Nini Kuhusu Kusema Katika Luga?
Zawadi ya kusema katika luga njo inatambulisha Wakristo wa kweli?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Amri Kumi za Mungu Njo Nini?
Zilipewa wanani? Wakristo wanapaswa kuzishika?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Maunabii juu ya Masiya inaonyesha kabisa kama Yesu alikuwa Masiya?
Watu wengi wanaweza kuwa Masiya?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Yesu Anatuokoa Namna Gani?
Juu ya nini tuko na lazima Yesu atutetee? Kama tu unaamini Yesu ni kusema utaokolewa?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Kuvuta Tumbako Ni Zambi?
Biblia haizungumuzie kuvuta tumbako, sasa inawezekana namna gani kujibia ile ulizo?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Mikaeli, Malaika Mukubwa, Ni Nani?
Iko pia na jina ingine, yenye pengine unajua.
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Ubatizo Maana Yake Nini?
Mutu anapaswa kubatizwa namna gani na wakati gani? Ubatizo unamalizaka zambi? Biblia inasema nini juu ya kubatiza watoto?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Nani Njo Wataenda Mbinguni?
Watu wengi wanawazaka kama watu wote wazuri wataenda mbinguni. Biblia inafundisha vile?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Namna Gani Kifo ya Yesu Ni Zabihu ya Ukombozi kwa Ajili ya Watu Wengi?
Namna gani bei ya ukombozi inatukomboa kutoka mu zambi?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Dini Zote Ziko Sawa? Zote Zinapelekaka kwa Mungu?
Mambo mbili yenye Biblia inazungumuzia inatusaidia kupata jibu.
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Ni Lazima Kabisa Kuwa mu Dini Fulani?
Mutu anaweza kumuabudu Mungu bila kuwa mu dini fulani?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Armagedoni Ni Nini?
Neno Armagedoni inapatikana mara moya tu, lakini ile vita inazunguziwa mu Maandiko.
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Ufalme wa Mungu Uko mu Moyo Wako?
Biblia inamaanisha nini wakati inasema “ufalme wa Mungu umo ndani yenu”?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Nafsi Ni Nini?
Ni kitu fulani yenye kuwa ndani ya mutu? Inaendeleaka kuishi kisha mwili kufa?
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Juu ya Nini Hakuna Amani mu Dunia?
Wanadamu wamefanya yao yote juu ya kuleta amani, lakini wapi! Ona sababu fulani.
MAJIBU YA MAULIZO JUU YA BIBLIA
Mungu Njo Anatuleteaka Mateso?
Watu wote wanaweza kuteseka, hata watu wenye kumutumikia Mungu. Juu ya nini?
MUENDELEE KUKESHA!
Vita ya Ukraine Imefanya Chakula Ikosekane mu Dunia Yote—Biblia Inasema Nini?
Biblia ilisemaka kama chakula itakosekana mu wakati yetu. Lakini, inaonyesha pia namna tunaweza kupambana na ile hali.