MAFUNDISHO YA BIBLIA

Amani na Furaha

Kiswahili (Congo)
Amani na Furaha
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1011556/univ/art/1011556_univ_sqr_xl.jpg

Amani na Furaha

Wakati tunakutana na magumu makali, tunaweza kujisikia kama tunapoteza furaha na amani yetu ya ndani. Lakini, Biblia imesaidia watu wengi sana wapiganishe magumu yao ya kila siku, kupunguza mikazo ya kimwili na ya akili, na kuwa na maisha yenye furaha. Biblia inaweza kukusaidia na wewe ukuwe na furaha.

AMUKA!

Njia ya Maisha Yenye Furaha​—Afya ya Kimwili na Uwezo wa Kuvumilia

Ikiwa afya yetu ni ya mubaya, je, hilo linaonyesha kama hatutakuwa tena na furaha?

AMUKA!

Njia ya Maisha Yenye Furaha​—Afya ya Kimwili na Uwezo wa Kuvumilia

Ikiwa afya yetu ni ya mubaya, je, hilo linaonyesha kama hatutakuwa tena na furaha?

Afya ya Kimwili na ya Akili

Biblia Inabadilisha Maisha ya Watu

Watu wa kila namna ya maisha wanaeleza namna wameacha maisha yao ya mubaya ya zamani na namna wamekuwa marafiki wa Mungu.

Familia Yenu Inaweza Kuwa na Furaha

Munaweza kuwa na ndoa na familia yenye furaha mukitumia kanuni za Biblia.

Ujifunze Biblia Pamoja na Mashahidi wa Yehova

Sababu Gani Ujifunze Biblia?—Video ya Murefu

Biblia iko na majibu ya maulizo ya maana sana yenye mamilioni ya watu wanajiuliza juu ya maisha. Weye pia unapenda kupata majibu?

Tunajifunzaka Biblia na watu Namna Gani?

Mashahidi wa Yehova wanajulikana sana katika dunia yote kwa sababu ya programu yao ya kujifunza na watu Biblia bure. Ona namna tunajifunzaka Biblia na watu.

Omba Mashahidi wa Yehova Wakutembelee

Uzungumuzie ulizo moya kuhusu Biblia, ao upate habari zaidi juu ya Mashahidi wa Yehova.