Imani katika Mungu
Imani iko na nguvu yenye inaweza kukuchochea ufanye mambo ya muzuri. Inaweza kukusaidia pia ukuwe na maisha yenye furaha tangu sasa na kukupatia tumaini la kweli juu ya wakati wenye kuja. Ikuwe bado haujaamini Mungu, umepoteza imani yako, ao ikuwe unapenda kutia nguvu imani yako, Biblia inaweza kukusaidia sana.
MUNARA WA MULINZI
Noa Alilindwa “Akiwa Salama Pamoja na Wengine Saba”
Noa na familia yake waliokoka namna gani kipindi kigumu zaidi ambacho wanadamu walikuwa hawajapitia?
MUNARA WA MULINZI
Noa Alilindwa “Akiwa Salama Pamoja na Wengine Saba”
Noa na familia yake waliokoka namna gani kipindi kigumu zaidi ambacho wanadamu walikuwa hawajapitia?