Kiswahili (Congo)
Ukuye ku Mukusanyiko wa Eneo wa 2026​—⁠“Furaha ya Milele”
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102026198/univ/art/1102026198_univ_sqr_xl.jpg

Tunakualika

Furaha ya Milele

Mukusanyiko wa Eneo wa Mashahidi wa Yehova wa 2026

Tafuta Mukusanyiko Wenye Utafanyika Karibu na Kwenye Unaishi

Kuingia ni bure Habatakulomba sadaka

Mambo Makubwa ya Mukusanyiko

Siku ya Tano: Utaona mambo yenye Biblia inasema yenye inaonyesha kama Mungu na Mwana wake Yesu banapenda ukuwe na furaha.

Siku ya Posho: Utajua namna unaweza kuwa na furaha ya milele kwa kuchunguza Mahubiri ya Yesu ya ku Mulima yenye kujulikana sana.

Siku ya Yenga: Mu hotuba yenye kichwa “Umepata Hazina?” utaona namna mafundisho ya Biblia imesaidia batu mingi kuwa na furaha.

Drama

Habari Njema Juu ya Yesu: Epizode ya 4-6

Utaona Yesu na iko nafundisha batu mingi, iko naponyesha bagonjwa, na kufufua bafu. Kila siku ya mukusanyiko tutakuwa naangalia epizode moya ya ile video yenye kugusa moyo.

Fungula jw.org juu ya kupata programu yote ya mukusanyiko na kuangalia video zenye kufuata:

Mikusanyiko Yetu Inafanyikaka Namna Gani?

Ona vile mukusanyiko wa Mashahidi wa Yehova unafanyikaka.

Ona mambo yenye tutajifunza ku mukusanyiko wa hii mwaka.

Namna gani Yesu alitumia uwezo wa pekee wenye alikuwa nao juu ya kusaidia bengine?

Uangalie epizode zenye zilishakapita