Zaburi 125:1-5
Wimbo wa Safari za Kupanda.
125 Wale wenye kumutegemea Yehova+Wako kama Mulima Sayuni, wenye hauwezi kutikiswaLakini unadumu milele.+
2 Kama vile milima inazunguka Yerusalemu,+Ni vile Yehova anazunguka watu wake+Kuanzia sasa na milele.
3 Fimbo ya ufalme ya uovu haitadumu katika inchi yenye iligawiwa wenye haki,+Ili wenye haki wasianze kufanya* makosa.+
4 Ee Yehova, tendea mema wale wenye kuwa wema,+Wenye kuwa wanyoofu katika moyo.+
5 Lakini wale wenye kugeuka pembeni na kufuata njia zao zenye kupotoka,Yehova atawaondoa pamoja na wakosaji.+
Amani ikuwe juu ya Israeli.
Maelezo ya Chini
^ Ao “wasielekeze mikono yao kwenye.”

