BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018)

Je, Biblia Inasema Kweli Juu ya Mambo ya Sayansi?

Kiswahili (Congo)
Je, Biblia Inasema Kweli Juu ya Mambo ya Sayansi?
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1001061100/univ/wpub/1001061100_univ_sqr_xl.jpg
nwt uku. 11

ULIZO LA 4

Je, Biblia Inasema Kweli Juu ya Mambo ya Sayansi?

“Anatandika anga la kaskazini mahali kwenye hakuna kitu, ananinginiza dunia mahali kwenye hakuna kitu.”

Yobu 26:7

“Mito yote ya kidogo inatiririka kuingia katika bahari, lakini bahari haijae. Mahali mito ya kidogo inatoka, ni kule inarudia ili kutiririka tena.”

Muhubiri 1:7

“Kuko Ule mwenye kukaa juu ya muvi­ringo wa dunia.”

Isaya 40:22