Oroza ya Maneno ya Biblia
A
ABBA,
Ro 8:15 tunaita: Abba, Baba!
ABELI,
Mwa 4:8 akashambulia Abeli
Mt 23:35 damu ya Abeli mwenye haki
ABIGAILI,
1Sa 25:3 Abigaili mwenye utambuzi
ABISO,
Ufu 11:7 munyama kutoka katika abiso
Ufu 17:8 munyama kutoka katika abiso
Ufu 20:3 akamutupa ndani ya abiso
ABRAHAMU,
Mwa 21:12 akamuambia Abrahamu
2Ny 20:7 Abrahamu rafiki yako
Mt 22:32 Mungu wa Abrahamu
Ro 4:3 Abrahamu alikuwa na imani
ABUDU,
Mt 4:10 Yehova ndiye unapaswa kuabudu
Yoh 4:24 kumuabudu kwa roho na kweli
ACHA,
Kum 31:8 Hatakutupa wala kukuacha
1Sa 12:22 Yehova hataacha watu wake
Zb 27:10 kama baba na mama wananiacha
Zb 37:28 hataacha washikamanifu
Isa 1:28 wenye kumuacha Yehova
Mt 19:29 mwenye ameacha nyumba
Yoh 8:29 hakuniacha, kwa sababu
Mdo 5:42 bila kuacha kufundisha
2Ko 4:1 tuko na utumishi, hatuache
2Ko 4:16 Kwa hiyo, hatuache
Gal 6:9 tusiache kufanya mema
Ebr 13:5 sitakuacha hata kidogo
ACHILIWA,
Mez 29:15 mutoto mwenye kuachiliwa
ADABU,
Ro 13:13 Tutembee kwa adabu
1Ko 14:40 mambo yatendeke kwa adabu
ADAMU,
Mwa 5:5 siku za maisha ya Adamu
1Ko 15:22 katika Adamu wote wanakufa
1Ko 15:45 Adamu wa mwisho akakuwa
1Ti 2:14 Adamu hakudanganywa
ADUI,
Ro 12:20 kama adui yako iko na njaa
AGANO,
Mwa 15:18 agano na Abramu
Yer 31:31 nitafanya agano jipya
Lu 22:20 agano jipya kwa musingi wa damu
Lu 22:29 ninafanya agano na ninyi
AHADI,
1Fa 8:56 limekosa kutimia kati ya ahadi
Zb 15:4 Havunje ahadi yake, hata wakati
2Ko 1:20 ahadi za Mungu ndiyo kupitia yeye
AHIDI,
Ebr 10:23 mwenye aliahidi ni muaminifu
AJABU,
Mwa 18:14 ajabu sana kwa Yehova?
Zb 139:14 nimeumbwa kwa njia ya ajabu
AKANI,
Yos 7:1 Akani alikamata sehemu
AKILA,
Mdo 18:2 Muyahudi Akila
AKILI,
Zb 8:4 umuweke katika akili?
Mt 22:37 kumupenda Yehova kwa akili
Yoh 10:20 amepoteza akili
Ro 7:25 kwa akili yangu mimi ni
Ro 8:6 kukaza akili juu ya mwili
1Ko 2:16 tuko na akili ya Kristo
Flp 3:19 akili zao zinafikiria vitu
Kol 3:2 kukaza akili juu ya
ALAMA,
Hes 23:23 alama za mambo ya
Kum 18:10 mwenye kutafuta alama
Eze 9:4 alama kwenye mapaji
Mt 24:3 alama ya kuwapo kwako?
Mt 24:30 alama ya Mwana wa binadamu
Lu 21:25 kutakuwa alama katika jua na mwezi
2Ko 1:22 alama yenye kuhakikisha kile kitakuja
Efe 1:14 alama yenye kuhakikisha uriti wetu
2Te 2:9 alama za uongo, na maajabu
2Te 3:14 mumutie mutu huyo alama
Ufu 13:17 isipokuwa mwenye ile alama
ALFA,
Ufu 1:8 Alfa na Omega
ALIKWA,
Mt 22:14 wenye kualikwa
AMANI,
Zb 29:11 atabariki watu kwa amani
Zb 37:11 katika wingi wa amani
Zb 72:7 amani itakuwa nyingi
Zb 119:165 wako na amani nyingi
Mez 17:1 mahali kwenye kuko amani
Isa 9:7 Kuongezeka kwa amani
Isa 32:18 makao yenye amani
Isa 48:18 amani yako ingekuwa
Isa 54:13 amani ya wana wako
Isa 57:21 Hakuna amani kwa waovu
Isa 60:17 amani kuwa waangalizi
Yer 6:14 Kuko amani! Wakati hakuna
Mt 5:24 Fanya kwanza amani
Mk 9:50 amani mumoja na mwingine
Yoh 14:27 Ninawaachia amani
Mdo 9:31 katika kipindi cha amani
Ro 5:1 tufurahie amani pamoja na
Ro 8:6 kunamaanisha amani
Ro 12:18 wenye kufanya amani
Flp 4:7 amani ya Mungu italinda
1Te 5:3 Amani na usalama!
1Pe 3:11 atafute amani na kuifuatilia
Ufu 6:4 kutosha amani katika dunia
AMINA,
Kum 27:15 watajibu na kusema, Amina!
1Ko 14:16 Amina kwa shukrani yenye unatoa
2Ko 1:20 kupitia yeye Amina inasemwa
AMINI,
Yoh 3:16 mwenye anamuamini
Yoh 20:29 hawajaona lakini wanaamini
1Ko 7:12 bibi mwenye haamini
2Te 2:12 hawakuamini ile kweli, lakini
AMINIFU,
Tit 2:10 wakuwe waaminifu kabisa
AMRI,
Mt 22:40 Sheria inategemea amri
Mk 12:28 Ni amri gani ndiyo ya kwanza?
Mk 12:31 Hakuna amri ingine yenye kuwa kubwa
Yoh 13:34 amri mupya, mupendane
AMRI KUMI,
Kut 34:28 aliandika Amri Kumi
AMURU,
Mdo 5:28 Tuliwaamuru kwa mukazo
AMUSHA,
Yoh 11:11 kuenda kule ili kumuamusha
ANA,
Lu 2:36, 37 nabii mwanamuke, Ana
ANANIA,
Mdo 5:1 Anania na Safira
ANDIKO,
2Ti 3:16 Kila Andiko limeongozwa
ANDIKWA,
Ro 15:4 yenye yaliandikwa zamani
1Ko 4:6 Musipite mambo yenye yaliandikwa
ANGALIA,
Kol 3:22 haiko tu wakati wanaangalia
ANGALIFU,
Mez 14:16 Mwenye hekima ni muangalifu
Mt 10:16 waangalifu kama nyoka
Efe 5:15 waangalifu namna munatembea
ANGUKA,
Mez 24:16 kuanguka mara 7
Muh 4:10 kama mumoja anaanguka
1Ko 10:12 angalisho asianguke
APA,
Mwa 22:16 Ninaapa, Yehova anasema
Mt 5:34 Musiape hata kidogo
APOLO,
Mdo 18:24 Apolo, mwenye kujua kusema
ARARATI,
Mwa 8:4 ikasimama juu ya Ararati
AREOPAGO,
Mdo 17:22 akasimama Areopago
ARMAGEDONI,
Ufu 16:16 katika Kiebrania Armagedoni
ARTEMI,
Mdo 19:34 Artemi ni mukubwa!
ASALI,
Kut 3:8 inchi yenye asali
Mez 25:27 kula asali nyingi
ASILI,
Law 18:23 kuvunja sheria ya asili
Ro 1:26 walibadilisha matumizi ya asili
Ro 1:27 waliacha matumizi ya asili
Yud 7 tamaa zenye hazikukuwa za asili
ASKARI,
2Ti 2:4 askari mwenye anajiingiza
AZABU,
Muh 8:11 azabu haikutolewa haraka
AZAZELI,
Law 16:8 kura kwa ajili ya Azazeli
B
BAALI,
Yer 19:5 matoleo kwa Baali
BABA,
Mwa 2:24 atamuacha baba na mama
Zb 2:7 nimekuwa baba yako
Zb 89:26 Wewe ni Baba yangu
Zb 103:13 baba anaonyesha rehema
Isa 9:6 Baba wa Milele
Mt 6:9 Baba yetu mwenye kuwa
Mt 23:9 musimuite mutu baba
Lu 2:49 nyumba ya Baba yangu
Lu 15:20 baba yake akamukumbatia
Yoh 5:20 Baba anamuonyesha Mwana
Yoh 10:30 Mimi na Baba ni kimoja
Yoh 14:6 anakuja kwa Baba isipokuwa
Yoh 14:9 ameniona amemuona Baba
Yoh 14:28 Baba ni mukubwa kuliko
Yoh 14:28 ninaenda kwa Baba
BABELI,
Mwa 11:9 uliitwa Babeli, kwa sababu
BABILONI,
Yer 51:6 Mukimbie kutoka Babiloni
Yer 51:30 Wapiganaji-vita wa Babiloni
Yer 51:37 Babiloni atakuwa marundo ya
Ufu 17:5 Babiloni Mukubwa, mama ya
Ufu 18:2 Babiloni Mukubwa ameanguka
BADILIKA,
Mal 3:6 mimi ni Yehova; sibadilike
BAHARI,
Kut 14:21 akageuza bahari kuwa
Isa 57:20 waovu ni kama bahari
BAHATI,
Isa 65:11 mungu wa Bahati
BAKIA,
Mt 14:20 vipande vyenye vilibakia
BALAAMU,
Hes 22:28 punda akamuambia Balaamu
BAMBA LA KIFUA,
Efe 6:14 bamba la kifua la haki
BARABARA, Mt 7:14 barabara yenye kuongoza kwenye
Mt 13:4 mbegu zilianguka pembeni ya barabara
BARAKA,
Kum 30:19 baraka na laana
Mez 10:22 Baraka ya Yehova inamufanya mutu
Mal 3:10 kuwamwangia baraka kusikuwe
BARIKI,
Mwa 1:28 Mungu akawabariki
Mwa 32:26 Sitakuacha uende mupaka unibariki
Hes 6:24 Yehova akubariki
Amu 5:24 amebarikiwa zaidi ya wanamuke wote
Lu 6:28 kubariki wale wenye kuwalaani ninyi
Yoh 12:13 Amebarikiwa mwenye anakuja
Ro 12:14 kubariki wenye wanawatesa
BARNABA,
Mdo 9:27 Barnaba akakuja
BARUKU,
Yer 45:2 juu yako wewe, Baruku
BATIZA,
Mt 3:13 Yesu akakuja kwa Yohana amubatize
Mt 28:19 mufanye wanafunzi, muwabatize
Mdo 2:41 wakabatizwa, karibu 3 000
Mdo 8:36 kitu gani kinanizuia nisibatizwe?
BAT-SHEBA,
2Sa 11:3 Bat-sheba bibi ya Uria
BEBA,
Ro 15:1 wenye nguvu wabebe uzaifu
BEGA,
Sef 3:9 Wamutumikie bega kwa bega
BEI,
1Ko 7:23 Mulinunuliwa kwa bei
BEI YA UKOMBOZI,
Zb 49:7 kumupatia bei ya ukombozi
Mt 20:28 uzima wake kuwa bei ya ukombozi
Ro 8:23 kuachiliwa kupitia bei ya ukombozi
BELSHAZA,
Da 5:1 Belshaza alifanya karamu
BEMBELEZA,
Mez 29:21 kama mutumishi anabembelezwa
BETELI,
Mwa 28:19 akaita mahali pale Beteli
BETLEHEMU,
Mik 5:2 Betlehemu Efrata
BEZALELI,
Kut 31:2 nimemuchagua Bezaleli
BIASHARA,
Mt 22:5 kwenye biashara yake
Yak 4:13 tutafanya biashara na kupata faida
BIBI,
Mwa 2:24 atashikamana na bibi yake
Mwa 27:46 Kama Yakobo anachukua bibi kati ya
1Fa 11:3 alikuwa na bibi 700 na masuria 300
Mez 5:18 ufurahi pamoja na bibi wa ujana wako
Mez 12:4 Bibi mwenye uwezo ni taji
Mez 18:22 anapata bibi muzuri, anapata wema
Mez 21:19 kuliko kuishi na bibi mugomvi
Mez 31:10 kupata bibi mwenye uwezo?
Muh 9:9 Furahia maisha na bibi yako
Mal 2:15 bibi wa ujana kwa udanganyifu
1Ko 7:2 kila mwanaume akuwe na bibi
1Ko 9:5 kusindikizwa na bibi muamini
Efe 5:22 Bibi wajitiishe kwa bwana
Efe 5:28 kupenda bibi zao kama miili
BIBI-ARUSI,
Ufu 21:9 nitakuonyesha bibi-arusi
BIDII,
Zb 69:9 Bidii ya nyumba imenikula
Mez 10:4 mikono yenye bidii inaleta
Mez 12:27 bidii ni hazina yenye samani
Mez 21:5 Mipango ya wenye bidii inaleta
Isa 37:32 Bidii ya Yehova itatenda hayo
Ro 10:2 bidii kwa ajili ya Mungu
Ro 12:11 wenye bidii hapana wavivu
2Ti 4:2 fanya vile kwa bidii nyakati
Tit 2:14 wenye bidii kwa ajili ya matendo
Ebr 6:11 aonyeshe bidii ileile
BILA KUACHA,
Da 6:16 unatumikia bila kuacha
BILA KUFIKIRI,
Mez 12:18 kusemwa bila kufikiri
Mez 19:2 mwenye kutenda bila kufikiri
BILA KUJUA,
1Ti 1:13 nilitenda bila kujua
BILA KUSUDI,
1Ko 9:26 ninakimbia haiko bila kusudi
BILA SABABU,
Isa 45:19 Munitafute bila sababu
BILA UTARATIBU,
1Te 5:14 wanajiendesha bila utaratibu
2Te 3:6 mwenye anajiendesha bila utaratibu
BILA WOGA,
Mdo 4:31 wanasema neno bila woga
Efe 6:20 [Musali] niweze kusema bila woga
BINTI,
Lu 8:49 Binti yako amekufa
BOMOA,
Ro 14:20 kubomoa kazi ya Mungu
BUBU,
Isa 35:6 ulimi wa bubu utapiga vigelegele
BURE,
Muh 1:2 Yote ni bure kabisa!
Isa 65:23 kazi ya jasho ya bure
Mt 10:8 Mulipokea bure, mutoe bure
Mt 15:9 Wanaendelea kuniabudu bure
1Ko 9:18 nitoe habari njema kwa bure
1Ko 15:58 kazi yenu haiko ya bure
Ufu 22:17 maji ya uzima bure
BUSARA,
Mt 24:45 mutumwa mwenye busara
BUSU,
Lu 22:48 unamusaliti kwa busu?
BWANA,
Kum 10:17 Yehova ni Bwana wa
Mt 7:22 Bwana, Bwana, je, hatukutoa?
Mt 9:38 mumuombe Bwana wa mavuno
Mt 22:44 alimuambia Bwana wangu:
Ro 6:14 zambi haipaswe kuwa bwana
Ro 14:4 Kwa bwana wake anasimama
1Ko 7:2 mwanamuke akuwe na bwana
1Ko 7:14 bwana mwenye haamini
1Ko 7:39 kuolewa katika Bwana tu
Efe 5:25 bwana muendelee kupenda
Kol 3:18 bibi, mujitiishe kwa bwana zenu
Kol 4:1 muko na Bwana mbinguni
BWANA MWENYE MAMLAKA MAKUBWA ZAIDI,
Zb 73:28 Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi kimbilio langu
Mdo 4:24 Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, ulifanya
C
CHACHU,
Mt 13:33 Ufalme ni kama chachu
1Ko 5:6 chachu kidogo inachachisha
CHAFULIWA,
Eze 39:7 jina langu lichafuliwe
CHAGUA,
Kum 30:19 kuchagua uzima
Yos 24:15 muchague nani mutatumikia
Ro 9:11 kuchagua litegemee Ule mwenye
Flp 1:23 Sijue nichague nini kati ya mambo
CHAKULA,
Zb 145:15 chakula kwa wakati
Mt 24:45 chakula kwa wakati wenye kufaa?
Yoh 4:34 Chakula changu ni kufanya
Yoh 6:27 kazi kwa ajili ya chakula
Mdo 14:17 aliwapatia mvua, na chakula
1Ko 8:13 kama chakula kinamukwaza
CHAKULA CHA MANGARIBI,
1Ko 11:20 Chakula cha Mangaribi cha Bwana
CHEKA,
Mwa 18:13 Sara amecheka?
Zb 2:4 mufalme mbinguni atacheka
CHEKELEA,
Lu 22:63 wakaanza kumuchekelea
CHEKELEWA,
Lu 18:32 atachekelewa, atatendewa
Gal 6:7 Mungu haiko wa kuchekelewa
CHELEWA,
Isa 46:13 wokovu wangu hautachelewa
Hab 2:3 Kwa maana hayatachelewa!
CHELEWESHWA,
Mez 13:12 lenye kucheleweshwa
CHEMCHEMI,
Zb 36:9 Kwako kuko chemchemi ya
Yer 2:13 Wameniacha, chemchemi ya maji
CHEO,
Mdo 1:20 cheo chake cha uangalizi
1Ko 1:26 kizazi chenye cheo
CHETI,
Kum 24:1 cheti cha kuvunja ndoa
Mt 19:7 Musa aliagiza kupatia bibi cheti?
CHINJWA,
Zb 44:22 kondoo ya kuchinjwa
Isa 53:7 kondoo mwenye anaenda kuchinjwa
CHIPUKIZI,
Yer 23:5 Daudi chipukizi la haki
CHOCHEA,
Flp 2:13 anawachochea, na kuwapatia
Ebr 10:24 kuchocheana katika upendo
CHOKA,
Mez 25:25 nafsi yenye kuchoka
Isa 40:28 hachokake wala kuishiwa nguvu
Isa 40:29 Anapatia nguvu mwenye kuchoka
Isa 40:31 Watatembea na hawatachoka
Isa 50:4 kumujibu mwenye kuchoka kupitia
Gal 6:9 tutavuna kama hatuchoke kabisa
Ebr 12:3 ili musichoke na kuacha
CHOKESHA,
Mal 1:13 Mambo haya yanachokesha
CHOKOZA,
1Sa 17:26 achokoze kikundi cha wapiganaji
Mez 27:11 kumujibu mwenye ananichokoza
CHOMBO,
Mdo 9:15 mutu huyu ni chombo
Ro 9:21 chombo kimoja kwa ajili ya matumizi
CHOMBO CHA KULISHIA WANYAMA,
Lu 2:7 katika chombo cha kulishia wanyama
CHONGEA,
Law 19:16 kuzunguka-zunguka ili kuchongea
CHOZI,
Ufu 21:4 atapanguza kila chozi
CHUI,
Isa 11:6 chui atalala na mwana-mbuzi
Da 7:6 munyama mwingine, kama chui
CHUKIA,
Law 19:17 Haupaswe kumuchukia ndugu
Zb 45:7 Ulipenda haki na kuchukia uovu
Zb 97:10 wenye kumupenda Yehova, muchukie
Mez 6:16 vitu 6 vyenye Yehova anachukia
Mez 8:13 kunamaanisha kuchukia ubaya
Amo 5:15 Muchukie mambo ya mubaya
Mt 24:9 mutachukiwa kwa sababu ya
Lu 6:27 kutendea mema wenye kuwachukia
Yoh 7:7 Ulimwengu unanichukia
Yoh 15:25 Walinichukia bila sababu
Ro 12:9 muchukie sana maovu
1Yo 3:15 mwenye anamuchukia ndugu
CHUKIZA,
Yoh 6:60 Maneno ni yenye kuchukiza
CHUKIZO,
Mt 24:15 chukizo lenye linaleta
CHUMA,
Mez 27:17 chuma kinanoa chuma
Isa 60:17 pa nafasi ya chuma nitaleta
Da 2:43 chuma hakiwezi kuchangana
CHUMVI,
Mwa 19:26 nguzo ya chumvi
Mt 5:13 Ninyi ni chumvi ya dunia
Kol 4:6 Maneno yenye kukolezwa chumvi
CHUNGA,
Mdo 20:28 ili kuchunga kutaniko
1Pe 5:2 Muchunge kundi lenye liko
CHUNGULIA,
1Pe 1:12 wanatamani kuchungulia
CHUNGUZA,
Zb 26:2 Unichunguze, Ee Yehova
Mez 21:2 Yehova anachuguza mioyo
Mez 25:2 utukufu wa wafalme ni kuchunguza
Mdo 17:11 walikuwa wanachunga Maandiko
1Ko 11:28 mutu ajichunguze mwenyewe
Gal 6:4 achunguze matendo yake
1Te 5:21 Muchunguze mambo yote
D
DADA,
Kum 27:22 analala na dada yake
DAMU,
Mwa 9:4 damu yake—hamupaswe kula
Law 7:26 Hamupaswe kula damu yoyote
Law 17:11 uzima wa mwili uko katika damu
Law 17:13 kumwanga damu yake chini
Zb 72:14 damu yao itakuwa na samani
Eze 3:18 damu yake nitaiomba kwako
Mt 9:20 ugonjwa wa kutokwa na damu
Mt 26:28 inamaanisha damu yangu ya agano
Mt 27:25 Damu yake ikuwe juu yetu
Mdo 15:29 kuendelea kujiepusha damu
Mdo 20:26 safi kutokana na damu ya watu
Mdo 20:28 alinunua kwa damu ya Mwana
Efe 1:7 tunaachiliwa huru kupitia damu ya
1Pe 1:19 damu yenye samani ya Kristo
1Yo 1:7 damu ya Yesu inatusafisha
Ufu 18:24 damu ya watakatifu
DANGANYA,
Gal 6:7 Musidanganywe: Mungu haiko
DANSI,
Amu 11:34 akaenda inje, kucheza dansi!
DAUDI,
1Sa 16:13 akamutia mafuta Daudi
Lu 1:32 kiti cha ufalme cha Daudi
Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni
DAWA,
Mez 17:22 Moyo wenye furaha ni dawa
DAWA YA MACHO,
Ufu 3:18 dawa ya macho ya kupakaa
DENI,
Ro 1:14 deni kwa wenye hekima
Ro 13:8 Musikuwe na deni isipokuwa
DESTURI,
Mt 15:3 munavunja amri sababu ya desturi
Mk 7:13 munafanya neno kuwa bure kwa desturi
Gal 1:14 bidii kwa ajili ya desturi za baba zangu
DINA,
Mwa 34:1 Dina alikuwa anazoea
DINARI,
Lu 7:41 alikuwa na deni la dinari 500
DIRISHA,
Mdo 20:9 Eutiko alikuwa kwenye dirisha
DIVAI,
Law 10:9 Usikunywe divai wakati
Zb 104:15 divai inafurahisha moyo
Mez 20:1 Divai ni muzihaki, pombe
Mez 23:31 Usiangalie divai
Muh 10:19 divai inafanya maisha yafurahishe
Isa 25:6 divai yenye kuchujwa
Ho 4:11 divai mupya inaondoa nia
Yoh 2:9 maji yaligeuzwa kuwa divai
1Ti 5:23 ukunywe divai kidogo
DOGO,
Zek 4:10 siku ya mianzo midogo?
DORKASI,
Mdo 9:36 aliitwa Tabita, Dorkasi
DRAKMA,
Lu 15:8 vichele vya drakma
DUBU,
1Sa 17:37 makucha ya dubu
Isa 11:7 Ngombe na dubu watakula
DUMU,
1Yo 2:17 mapenzi ya Mungu anadumu
DUNIA,
Mwa 1:28 mujaze dunia
Kut 9:29 dunia ni ya Yehova
Yob 38:4 wakati niliweka misingi ya dunia?
Zb 37:11 wapole watariti dunia
Zb 37:29 Wenye haki watariti dunia
Zb 104:5 dunia haitahamishwa
Zb 115:16 dunia ameipatia wana wa
Mez 2:21 watakaa katika dunia
Isa 45:18 alifanya dunia ili ikaliwe
Mt 5:5 wenye upole watariti dunia
E
EDENI,
Mwa 2:8 bustani katika Edeni
Mwa 2:15 bustani ya Edeni
EFESO,
1Ko 15:32 wanyama katika Efeso
ELEWA,
Ne 8:8 wakasaidia watu kuelewa
Yob 6:24 munisaidie nielewe kosa langu
Zb 119:27 Unifanye nielewe maana ya
ELEWEKA,
1Ko 14:8 mwito wenye haueleweke
ELEZA,
Yoh 1:18 ameeleza juu Yake
ELFU,
Zb 91:7 Elfu moja wataanguka
Isa 60:22 Mudogo atakuwa elfu
2Pe 3:8 siku moja ni kama miaka elfu
ELI,
1Sa 1:3 wana wa Eli walitumikia
ELIMU,
Lu 10:21 umeficha wenye elimu
Mdo 4:13 watu wenye hawana elimu
ELIYA,
Yak 5:17 Eliya mwenye hisia
ENDA HUKU NA HUKU,
2Ny 16:9 macho yanaenda huku na huku
Da 12:4 Wengi wataenda huku na huku
ENEO,
Ro 15:23 sina tena eneo lenye
ENOKO,
Mwa 5:24 Enoko akatembea na
EPUKA,
Isa 53:3 Alizarauliwa na kuepukwa
ESAU,
Mwa 25:34 Esau akazarau haki
Ebr 12:16 haheshimie, kama Esau
EUODIA,
Flp 4:2 Ninamutia moyo Euodia
EZRA,
Ezr 7:11 Ezra kuhani na mwandikaji
F
FAA,
Ebr 11:38 ulimwengu haukuwafaa
FAHAMU,
1Fa 8:47 wanarudiwa na fahamu
Lu 15:17 Wakati alirudiwa na fahamu
FAIDA,
Kum 8:16 kusudi upate faida
Kum 10:13 kushika amri kwa faida yako
Mez 14:23 Kila kazi ya nguvu iko na faida
Mez 15:27 faida yenye haiko ya haki
Isa 48:17 anakufundisha ili ujipatie faida
Mdo 20:20 kuwaambia jambo lenye faida
1Ko 6:12 yanaruhusiwa, haiko yenye faida
1Ko 7:35 kwa faida yenu wenyewe
1Ko 10:24 kutafuta, hapana faida yake
1Ko 13:5 [upendo] hautafute faida zake
2Ko 7:2 hatukumudanganya ili tupate faida
Flp 2:4 hapana faida zenu wenyewe
Flp 2:21 wanatafuta faida zao
2Ti 1:13 mufano wa maneno yenye faida
2Ti 3:16 na liko na faida
Tit 2:1 fundisho lenye faida
FALME,
Mt 4:8 Ibilisi akamuonyesha falme
FAMILIA,
Efe 3:15 familia mbinguni na duniani
FANIKIWA,
Zb 1:3 kila jambo litafanikiwa
Isa 55:11 neno langu hakika litafanikiwa
FANYA,
Ro 7:15 sizoee kufanya kile ninataka
1Yo 3:6 haendelee kufanya zambi
FANYA MAENDELEO,
Yoh 8:37 neno halifanye maendeleo
Flp 3:16 kwa kadiri tumefanya maendeleo
FANYA ZAMBI,
1Fa 8:46 hakuna mwenye hafanyake zambi
Ro 3:23 wamefanya zambi na kupungukiwa
FARAJA,
Ro 15:4 faraja kutoka katika Maandiko
2Ko 1:3 Mungu wa faraja yote
FARASI,
Ufu 6:2 farasi mweupe
Ufu 19:11 na angalia! farasi mweupe
FARIJI,
Yob 2:11 kumufariji Yobu
Zb 94:19 mahangaiko yalinilemea, Ulinifariji
Isa 49:13 Yehova amefariji watu wake
Isa 61:2 kufariji wenye kuomboleza
Yer 31:15 Raheli amekataa kufarijiwa
Mt 5:4 wenye kuomboleza, watafarijiwa
2Ko 1:4 tuweze kufariji wengine
1Te 2:11 kutia moyo, kufariji
FASIRIA,
Ne 8:8 wakaifasiria Sheria
Mdo 17:3 anafasiria na kuhakikisha
FAZILI,
Mez 11:17 mwenye fazili anajiletea
Mez 31:26 Sheria ya fazili iko
Mt 16:22 Jitendee kwa fazili
Mdo 28:2 walitutendea kwa fazili
FAZILI ZENYE HAZISTAHILIWE,
Yoh 1:17 fazili zenye hazistahiliwe kupitia Yesu
1Ko 15:10 fazili zenye hazistahiliwe hazikukuwa
2Ko 6:1 fazili zenye hazistahiliwe kisha
2Ko 12:9 Fazili zenye hazistahiliwe zinakutosha
FEZA,
Mez 2:4 kuutafuta kama feza
Muh 7:12 feza ni ulinzi
Muh 10:19 feza zinatimiza mahitaji
Eze 7:19 Watatupa feza katika barabara
Sef 1:18 Feza wala zahabu havitawaokoa
1Ti 6:10 kupenda feza ni chanzo cha
Ebr 13:5 bila upendo wa feza
FEZEHEKA,
Ezr 9:6 ninafezeheka kukuinulia uso
FICHWA,
Lu 8:17 hakuna jambo lenye kufichwa
FIKIRI,
Mdo 17:2 akafikiri kwa kutumia Maandiko
Ro 12:3 asijifikirie yeye mwenyewe sana
FIKIRIA,
1Te 5:13 muwafikirie kwa sababu ya
FIKIRI SANA,
Mwa 24:63 kutembea ili kufikiri sana
Zb 77:12 nitafikiri sana juu ya
Mez 15:28 mwenye haki anafikiri sana
FILIPO,
Mdo 8:26 akamuambia Filipo
Mdo 21:8 Filipo mweneza-injili
FILOZOFIA,
Kol 2:8 mateka kupitia filozofia
FIMBO,
Mez 13:24 mwenye anazuia fimbo yake
Ufu 12:5 atachunga mataifa yote kwa fimbo
FIMBO YA UFALME,
Mwa 49:10 Fimbo ya ufalme haitatoka Yuda
Zb 2:9 Utawavunja kwa fimbo ya ufalme
FINEHASI,
Hes 25:7 Wakati Finehasi aliona
FINYA,
Mk 4:19 kufinya lile neno, na halizae
FINYANGWA,
Ro 12:2 kufinyangwa na mupangilio
1Pe 1:14 kufinyangwa na tamaa
FUATA,
Mt 4:20 wakaacha nyavu na kumufuata
Yoh 10:27 Kondoo wangu wananifuata
Ufu 14:4 kumufuata Mwana-Kondoo
FUATANA MUZURI,
Lu 1:3 kwa njia yenye kufuatana muzuri
FUATILIA,
Ro 14:19 tufuatilie mambo ya amani
FUFUA,
Yoh 6:39 niwafufue katika siku ya mwisho
Mdo 2:24 Lakini Mungu alimufufua
FUNDISHA,
Amu 13:8 akasema: utufundishe
Ezr 7:10 Ezra alitayarisha moyo ili kufundisha
Zb 32:8 Nitakufundisha katika njia
Zb 143:10 Unifundishe kufanya mapenzi
Mez 9:9 Fundisha mwenye haki, na
Isa 48:17 anakufundisha ili ujipatie faida
Yer 31:34 hawatafundishana tena
Mt 7:28 namna yake ya kufundisha
Mt 7:29 anawafundisha kama mwenye mamlaka
Mt 15:9 wanafundisha amri za wanadamu
Mt 28:20 muwafundishe kushika yote
Yoh 7:16 yenye ninafundisha haiko yangu
Ro 2:21 unamufundisha, haujifundishe?
Ro 15:4 yaliandikwa ili kutufundisha
1Ti 2:12 Siruhusu mwanamuke afundishe
FUNDISHWA,
Isa 54:13 wana wako watafundishwa
FUNGA,
Mwa 22:9 Akamufunga Isaka
Isa 58:6 kufunga kwenye ninachagua
Isa 61:1 nifunge vidonda vya wenye
Eze 34:16 mwenye kuumia nitafunga vidonda
Mt 16:19 litakuwa limefungwa mbinguni
Lu 18:12 Ninafunga mara mbili
FUNGA KINYWA,
Kum 25:4 kufunga kinywa cha ngombe-dume
FUNGIA MUKONO,
Kum 15:7 usimufungie mukono ndugu yako
FUNGU,
Omb 3:24 Yehova ni fungu langu
Da 12:13 kwa ajili ya fungu lako
FUNGUA,
Mt 18:18 mambo yenye mutafungua
FUNGUO,
Mt 16:19 funguo za Ufalme
Lu 11:52 mulitosha funguo ya ujuzi
Ufu 1:18 funguo za kifo na za Kaburi
FUNIKA,
Mez 28:13 Mwenye anafunika makosa
1Ko 11:6 kama mwanamuke hajifunike
FUNUA,
Mt 11:25 umeyafunua kwa watoto
1Ko 2:10 Mungu ameyafunua kupitia roho
FUNULIWA,
Efe 3:5 siri imefunuliwa kwa mitume
FURAHA,
1Ny 28:9 umutumikie kwa furaha
Zb 32:1 furaha ni mwenye amesamehewa
Zb 37:4 Pata furaha nyingi katika Yehova
Zb 94:12 furaha ni mwenye unarekebisha
Zb 100:2 Mumutumikie Yehova kwa furaha
Zb 144:15 Wenye furaha Mungu wao ni Yehova!
Mt 5:3 Wenye furaha wanatambua uhitaji
Lu 8:13 wanalipokea neno kwa furaha
Lu 15:7 furaha mbinguni kwa sababu
Yoh 16:22 hakuna atawanyanganya furaha
Mdo 5:41 mbele ya Sanhedrini, na furaha
Mdo 20:35 furaha zaidi katika kutoa
Ro 15:13 Mungu awajaze furaha
2Ko 9:7 mwenye anatoa kwa furaha
1Te 1:6 furaha ya roho takatifu
1Ti 1:11 Mungu mwenye furaha
Ebr 12:2 furaha yenye iliwekwa mbele yake
3Yo 4 furaha: watoto wanaendelea
FURAHI,
1Ny 29:9 walifurahi kwa sababu ya kutoa
Mez 8:30 Nilifurahi mbele yake wakati wote
Ro 5:3 tufurahi hata kama tuko katika taabu
Ro 12:12 Mufurahi katika tumaini
Ro 12:15 Mufurahi na wenye kufurahi
Flp 3:1 muendelee kufurahi katika Bwana
Flp 4:4 Mufurahi katika Bwana. Mufurahi!
FURAHIA,
Zb 40:8 ninafurahia mapenzi yako
Zb 149:4 Yehova anafurahia watu wake
Muh 2:24 kufurahia kazi yake
Eze 18:32 Sifurahie kifo cha
FURAHISHA,
Mez 27:11 na ufurahishe moyo
FURAHISHWA,
2Ti 4:3 ili masikio yao yafurahishwe
FUTA,
Mdo 3:19 zambi zenu zipate kufutwa
G
GABRIELI,
Lu 1:19 Gabrieli, mwenye kusimama
GAMALIELI,
Mdo 22:3 kwenye miguu ya Gamalieli
GANZI,
Zb 143:4 Moyo wangu umekufa ganzi
GARAMA,
Lu 14:28 kwanza kuhesabia garama
GARIKA,
Mwa 9:11 itaharibiwa tena na garika
Mt 24:38 mbele ya Garika, walikuwa
2Pe 2:5 garika juu ya ulimwengu
GEHAZI,
2Fa 5:20 Gehazi akasema: nitakimbia
GEHENA,
Mt 10:28 nafsi na mwili katika Gehena
GEREZA,
Mt 25:36 katika gereza mukanitembelea
Mdo 5:18 kuwatia katika gereza
Mdo 5:19 akafungua milango ya gereza
Mdo 12:5 Petro katika gereza
Mdo 16:26 misingi ya gereza ikatikiswa
Ebr 13:3 Mukumbuke wenye kuwa katika gereza
Ufu 2:10 Ibilisi atatupa wamoja katika gereza
GEUZWA,
Ro 12:2 mugeuzwe kwa kufanya upya
GEUZWA SURA,
Mt 17:2 aligeuzwa sura
GIBEONI,
Yos 9:3 Wakaaji wa Gibeoni
GIDEONI,
Amu 7:20 Upanga wa Gideoni!
GIZA,
Isa 60:2 giza litafunika dunia
Yoe 2:31 Jua litageuzwa kuwa giza
Mt 4:16 wenye kukaa katika giza waliona
Yoh 3:19 watu wamependa giza
Efe 4:18 Wako katika giza kiakili
1Pe 2:9 aliwaita kutoka katika giza
GOLGOTA,
Yoh 19:17 kunaitwa Golgota
GOLIATI,
1Sa 17:4 jina lake Goliati
GOMORA,
Mwa 19:24 moto juu ya Gomora
GUMU,
Mt 13:15 moyo umekuwa mugumu
Ebr 5:14 chakula kigumu ni cha wakomavu
GURUDUMU,
Eze 1:16 gurudumu ndani ya lingine
GUSA,
Mez 6:29 Hakuna mwenye kugusa bibi
Isa 52:11 musiguse kitu kichafu!
Mt 8:3 akamugusa, na kusema: Ninataka!
2Ko 6:17 muache kugusa kitu kichafu
H
HABARI,
Kut 23:1 kueneza habari za uongo
Hes 14:36 walileta habari ya mubaya
Zb 112:7 Hataogopa habari ya mubaya
Mez 25:25 habari ya muzuri yenye inatoka
Da 11:44 habari zitamusumbua
2Ko 6:8 habari ya mubaya na habari ya muzuri
HABARI NJEMA,
Isa 52:7 mwenye kuleta habari njema
Mt 24:14 habari njema ya Ufalme itahubiriwa
Lu 4:43 nitangaze habari njema ya Ufalme
Ro 1:16 sisikilie haya habari njema
1Ko 9:16 ole kama sitangaze habari njema!
1Ko 9:23 yote kwa ajili ya habari njema
HADESI
. Angalia KABURI.
HAIWEZEKANE,
Mt 19:26 Kwa wanadamu haliwezekane
HAKI,
Mwa 15:6 akamuhesabia hilo kuwa haki
Yob 34:12 hawezi kupotosha haki
Yob 40:8 utatilia mashaka haki yangu?
Zb 37:28 Yehova anapenda haki
Zb 45:7 Ulipenda haki na kuchukia uovu
Mez 15:27 faida yenye haiko ya haki
Mez 29:4 Kwa haki mufalme anafanya
Muh 5:8 Kama unaona haki inavunjwa
Isa 26:9 Wakaaji wa inchi wanajifunza haki
Isa 32:1 watatawala kwa ajili ya haki
Isa 60:17 haki kuwa watu wako wa kugawa kazi
Eze 21:27 mwenye kuwa na haki ya kisheria
Mik 6:8 utende haki, upende ushikamanifu
Sef 2:3 Mutafute haki, mutafute upole
Lu 18:7 hatahakikisha kuwa haki imefanywa?
Mdo 28:4 Haki haikumuruhusu aendelee kuishi
1Ko 7:3 amupatie bibi haki yake
1Pe 2:19 kuteseka kwa njia yenye haiko ya haki
2Pe 3:13 mule haki itakaa
HAKIKA,
Muh 7:14 hakika kile kitawapata
HAKIKISHA,
Mdo 17:3 kuhakikisha kwa kutumia
Flp 1:10 muhakikishe mambo ya maana
HALELUYA
. Angalia SIFU YAH.
HALI YA CHINI,
1Sa 2:8 mutu wa hali ya chini
Zb 41:1 anamuhangaikia wa hali ya chini
Zb 119:141 mutu wa hali ya chini
Isa 57:15 roho ya watu wa hali ya chini
HALI YA JUU,
Ro 12:16 mambo ya hali ya juu
HAMU,
Ro 16:18 watumwa wa hamu zao
Flp 2:13 kuwapatia hamu na
HANGAIKA,
Mez 14:16 mujinga hahangaike
Isa 41:10 Usihangaike, niko Mungu wako
Mt 6:34 musihangaike hata kidogo juu ya
Mt 10:19 musihangaike juu ya mambo
Lu 12:25 kwa kuhangaika anaweza
1Ko 7:32 ninataka musihangaike
1Ko 7:32 mwenye hajaoa anahangaikia
Flp 4:6 Musihangaike juu ya jambo lolote
HANGAIKIA,
Zb 41:1 anamuhangaikia mutu
1Pe 5:7 kwa sababu yeye anawahangaikia
HANGAIKIANA,
1Ko 12:25 viungo vihangaikiane
HARADALI,
Lu 13:19 mbegu ya haradali
HARAKA,
Mez 29:20 kuwa haraka kusema?
HARAKISHA,
Isa 60:22 Mimi Yehova, nitaharakisha hilo
HARIBIKA,
Kut 23:26 Mimba haitaharibika
2Ko 4:16 mwenye tuko kwa inje anaharibika
1Ti 1:19 likafanya imani yao iharibike
HARIBIWA,
Mt 25:46 wataharibiwa milele
HARIBU,
Eze 21:27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu
Ufu 11:18 kuharibu wenye wanaharibu dunia
HASIRA,
Kol 3:8 kuondoa hasira, matukano
HATARI,
Mez 22:3 mwerevu anaona hatari
2Ko 11:26 hatari za ndani ya muji, hatari za
HATUA,
Yer 10:23 uwezo wa kuongoza hatua yake
Gal 6:1 mutu anafanya hatua ya mubaya
1Pe 2:21 mufuate hatua zake
HAWANA MAFAA YOYOTE,
Lu 17:10 watumwa hawana mafaa yoyote
HAYA,
Zb 25:3 mwenye atapatishwa haya
Mk 8:38 kila mwenye ananisikilia haya
Ro 1:16 sisikilie haya habari njema
1Ko 4:14 kuwapatisha haya, lakini ili kuwaonya
Efe 5:4 mwenendo wa haya wala maneno ya
2Ti 1:8 Basi usisikilie haya ushahidi
2Ti 2:15 hana jambo la kusikilia haya
Ebr 11:16 Mungu hasikie haya juu yao
1Pe 4:16 sababu yeye ni Mukristo, asisikie haya
HAZINA,
Mez 2:4 kuutafuta kama hazina
Mt 6:21 kwenye kuko hazina, ni pale
Mt 13:44 Ufalme wa mbinguni ni kama hazina
Lu 6:45 katika hazina ya muzuri ya moyo
Lu 12:33 hazina yenye haiwezi kuisha
2Ko 4:7 hazina hii katika vyombo vya udongo
HEKALU
. Angalia pia NYUMBA,
Zb 11:4 Yehova iko katika hekalu
Zb 27:4 kuangalia kwa usamini hekalu lake
Yer 7:4 hekalu la Yehova, hekalu la Yehova
Eze 41:13 Akapima hekalu, urefu wa
Mal 3:1 Bwana atakuja kwenye hekalu
Mt 21:12 akaingia katika hekalu na kufukuza
Yoh 2:19 Mubomoe hekalu hili, na kwa siku 3
1Ko 3:16 ninyi ni hekalu la Mungu
HEKIMA,
Zb 111:10 ni mwanzo wa hekima
Zb 119:98 inanifanya kuwa na hekima
Mez 2:6 Yehova anatoa hekima
Mez 3:7 mwenye hekima mbele ya macho
Mez 4:7 Hekima ndilo jambo la maana zaidi
Mez 8:11 hekima ni muzuri kuliko marijani
Mez 9:9 Patia mwenye hekima, atakuwa
Mez 13:20 anatembea na wenye hekima
Mez 24:3 Nyumba inajengwa kwa hekima
Mez 27:11 Ukuwe na hekima, mwana
Muh 7:12 Hekima inalinda uzima wa
Muh 10:10 hekima inasaidia kupata mafanikio
Isa 5:21 hekima mbele ya macho yao
Mt 11:19 hekima inaonekana yenye haki
Mt 11:25 umeficha wenye hekima
Lu 16:8 hekima zaidi kuliko wana wa
Lu 21:15 hekima yenye hawataweza kupinga
Ro 11:33 hekima ya Mungu ni kubwa
1Ko 1:26 wenye hekima katika njia ya kimwili
1Ko 2:5 hapana katika hekima ya wanadamu
1Ko 2:6 hekima ya watawala wa
1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu
Efe 5:15 mutembee kama wenye hekima
Kol 2:3 Hazina za hekima zimefichwa
Yak 1:5 kama mutu anakosa hekima
Yak 3:17 hekima yenye inatoka juu
HEKIMA YENYE KUTENDA,
Mez 2:7 kama hazina hekima yenye kutenda
Mez 3:21 Linda hekima yenye kutenda
Lu 16:8 alitumia hekima yenye kutenda
HEMA,
Yos 18:1 wakasimamisha hema
Zb 15:1 mugeni katika hema yako?
Isa 54:2 refusha kamba za hema
2Ko 12:9 nguvu za Kristo kama hema
Ufu 21:3 Hema ya Mungu iko na wanadamu
HESABIA,
Zb 90:12 Utufundishe kuhesabia siku
Lu 14:28 hakae kwanza na kuhesabia garama
HESABIWA,
Lu 22:37 Alihesabiwa na wenye kuvunja sheria
HESABU,
Ro 14:12 kila mumoja atatoa hesabu
1Ko 13:5 Hauweke hesabu ya ubaya
HESHIMA,
Mez 5:9 musipatie wengine heshima
Ro 12:10 kuonyeshana heshima
1Ti 5:17 Wazee wanastahili heshima
1Pe 3:2 mwenendo safi na heshima
1Pe 3:15 kujitetea kwa heshima
HESHIMIA,
Kut 20:12 Heshimia baba na mama
Mez 3:9 Umuheshimie Yehova kupitia
1Ko 16:18 muheshimie watu wa namna ile
Efe 5:33 bibi anapaswa kumuheshimia
Flp 2:29 kuheshimia watu wa namna hiyo
1Te 5:12 muwaheshimie wenye kuwasimamia
HESHIMIKA,
2Ti 2:20 matumizi yenye kuheshimika
HEWA,
1Ko 9:26 nisikuwe ninapiga hewa
1Ko 14:9 mutakuwa munasema katika hewa
Efe 2:2 mutawala wa mamlaka ya hewa
HEZEKIA,
2Fa 19:15 Hezekia akaanza kusali
HISIA,
Yak 5:17 mwenye hisia kama zetu
HODARI,
Yos 1:7 ukuwe hodari na
Mez 28:1 wenye haki wako hodari kama simba
HOFU,
Mwa 9:2 watawahofu na kuwaogopa
HOTUBA,
Mdo 15:32 wakatia moyo kwa hotuba
HUBIRI,
Mt 9:35 Yesu alihubiri habari njema
Lu 8:1 akasafiri akihubiri na kutangaza
Ro 10:14 bila mutu wa kuhubiri?
2Ti 4:2 Hubiri neno; kwa bidii
HUBIRIWA,
Mt 24:14 habari njema itahubiriwa
HUKUMU,
Isa 26:9 wakati kunakuwa hukumu
Mt 7:2 mutahukumiwa kwa hukumu
Lu 6:37 muache kuhukumu
Lu 22:30 mukae ili kuhukumu
Yoh 5:22 amepatia mwana kazi ya kuhukumu
Mdo 17:31 ameweka siku ya kuhukumu
Ro 14:4 Wewe ni nani ili umuhukumu
1Ko 6:2 watakatifu watahukumu ulimwengu?
1Ko 11:29 kunywa hukumu juu yake
2Ko 1:9 tumepokea hukumu ya kifo
Yak 4:12 ili ukuwe unamuhukumu?
1Pe 4:17 hukumu kuanza na nyumba ya
HURU,
Yoh 8:32 kweli itawaweka huru
Ro 6:18 huru kutoka katika zambi
HURUMA,
Kut 34:6 Yehova, mwenye huruma
Mez 11:17 mwenye hana huruma
Mt 9:36 akawasikilia huruma
Mt 20:34 akawasikilia huruma, akagusa
1Ko 15:19 kusikiliwa huruma zaidi
Kol 3:12 upendo wenye upole wa huruma
Ebr 4:15 kusikilia uzaifu wetu huruma
1Yo 3:17 anakataa kumuonyesha huruma
HUZUNI,
Zb 31:10 Maisha yamejaa huzuni
Zb 38:6 muchana wote nikiwa na huzuni
Zb 90:10 miaka imejaa huzuni
Muh 7:3 huzuni ya uso inafanya moyo
Isa 51:11 huzuni na kilio cha maumivu
2Ko 2:7 asilemewe na huzuni
1Te 4:13 musikuwe na huzuni kama
HUZUNISHA,
Zb 78:40 walimuhuzunisha katika
Zb 78:41 wakamuhuzunisha Mutakatifu
2Ko 7:9 mulihuzunishwa kwa namna
Efe 4:30 munahuzunisha roho takatifu
I
IBA,
Kut 20:15 Haupaswe kuiba
Mez 30:9 niibe na kuletea haya jina la
Efe 4:28 mwenye kuiba asiibe tena
IBADA YA SANAMU,
1Ko 10:14 mukimbie ibada ya sanamu
IBILISI,
Mt 25:41 moto kwa ajili ya Ibilisi
Lu 4:6 Ibilisi akamuambia: nimeipewa
Lu 8:12 Ibilisi anaondoa lile neno
Yoh 8:44 mumetoka kwa baba yenu Ibilisi
Efe 4:27 musimupatie Ibilisi nafasi
Efe 6:11 kusimama imara na kupinga Ibilisi
Yak 4:7 mumupinge Ibilisi, atawakimbia
1Pe 5:8 Ibilisi, anatembea kama simba
1Yo 3:8 avunje kazi za Ibilisi
Ufu 12:12 Ole kwa sababu Ibilisi ameshuka
Ufu 20:10 Ibilisi alitupwa ndani ya ziwa la moto
IGA,
Ebr 13:7 muige imani yao
IMA,
Zb 84:11 Yehova hatawaima jambo
Mez 3:27 Usiime mema wale wenye
1Ko 7:5 Musikuwe munaimana
IMANI,
Zb 27:13 singekuwa na imani
Lu 17:6 imani yenye ukubwa wa mbegu
Lu 18:8 je, atapata imani
Ro 1:17 ataishi kwa imani
Ro 4:20 nguvu kwa imani yake
2Ko 4:13 imani kwa hiyo tunasema
2Ko 5:7 tunatembea kwa imani
Gal 6:10 jamaa yetu katika imani
Efe 4:5 imani moja, ubatizo moja
2Te 3:2 imani haiko mali ya wote
2Ti 1:5 imani yenye haina unafiki
Ebr 11:1 Imani ni tazamio
Ebr 11:6 bila imani haiwezekane
Yak 2:26 imani bila matendo
1Pe 1:7 sifa yenye imejaribiwa ya imani
IMARA,
1Ko 1:8 atawafanya kuwa imara
1Ko 15:58 mukuwe imara, bila kutikisika
Kol 2:7 kufanywa imara katika imani
IMBA,
Zb 96:1 Mumuimbie Yehova wimbo
Mt 26:30 kisha kuimba sifa, wakatoka
Efe 5:19 mukiimba na kupiga muziki
IMBWA,
Mez 26:17 masikio ya imbwa
Muh 9:4 imbwa muzima anashindia
2Pe 2:22 Imbwa amerudilia matapiko
IMBWA WA PORI,
Isa 11:6 Imbwa wa pori atakaa na
Mt 7:15 ndani wao ni imbwa wa pori
Lu 10:3 wana-kondoo katikati ya imbwa wa pori
Mdo 20:29 imbwa wa pori wenye kukandamiza
IMVI,
Mez 16:31 Imvi ni taji la uzuri
INCHI,
Isa 66:8 inchi itazaliwa siku moja?
INGIA,
Yud 4 wameingia kwa siri kati yenu
INJE,
1Ko 5:13 anahukumu wenye kuwa inje?
Kol 4:5 kuelekea wenye kuwa inje
ISAKA,
Mwa 22:9 Akamufunga Isaka
ISHI,
Yob 14:14 anaweza kuishi tena?
Da 6:26 Mungu mwenye kuishi
2Ko 5:15 wasiishi kwa ajili yao
ISHIWA NGUVU,
Isa 40:28 Yehova haishiwe nguvu
Isa 44:8 musiishiwe nguvu kwa sababu
ISRAELI,
Mwa 35:10 jina lako litakuwa Israeli
Zb 135:4 Israeli mali yake ya pekee
Gal 6:16 juu ya Israeli wa Mungu
ITIA,
Ro 10:13 mwenye anaitia jina la Yehova
J
JAMBO LA MUBAYA,
Ro 7:19 ninazoea kufanya jambo la mubaya
JAMBO LENYE KUOGOPESHA,
Mez 3:25 Hautaogopa jambo lenye kuogopesha
JANGWA,
Isa 35:1 Jangwa litashangilia
Isa 35:6 mito midogo katika jangwa
Isa 35:6 maji yatabubujika katika jangwa
Isa 41:18 Nitageuza jangwa kuwa kiziwa
JARIBIWA,
1Ti 3:10 kujaribiwa kwanza
Yak 1:3 sifa yenye imejaribwa ya imani yenu
JARIBU,
Kum 13:3 Yehova anawajaribu
Mal 3:10 tafazali, munijaribu kwa njia hii
Mt 6:13 usituingize katika jaribu
Mt 26:41 kusali musiingie katika jaribu
Lu 8:13 wakati wa jaribu, wanaanguka
Mdo 5:9 kujaribu roho ya Yehova?
1Ko 10:9 tusimujaribu Yehova
1Ko 10:13 Hakuna jaribu isipokuwa
2Ko 13:5 Muendelee kujijaribu
Yak 1:12 mwenye kuvumilia jaribu
1Yo 4:1 lakini mujaribu maneno
JAZA,
Mwa 1:28 mujaze dunia
JEMBE LA KUKOKOTWA,
Lu 9:62 mukono kwenye jembe la kukokotwa
JENGA,
Zb 127:1 Kama Yehova hajenge
Isa 65:21 Watajenga nyumba
Lu 17:28 walikuwa wanajenga
Ro 14:19 tufuatilie mambo ya kujengana
1Ko 3:10 kila mumoja aangalie namna anajenga
1Ko 8:1 upendo unajenga
1Ko 10:23 haiko mambo yote ndiyo yanajenga
1Ko 14:26 yote yatendeke kwa ajili ya kujenga
Yud 20 mujijenge juu ya imani
JESHI,
Zb 68:11 Wanamuke ni jeshi kubwa
Zek 4:6 kwa nguvu za jeshi
JEURI,
Mwa 6:11 dunia ilijaa jeuri
Zb 5:6 Yehova anachukia wenye jeuri
Zb 11:5 Anachukia mwenye kupenda jeuri
Zb 72:14 Atawaokoa katika jeuri
JIAMINIA,
Mez 14:16 mujinga anajiaminia
JIANGALIE,
Mdo 20:28 Mujiangalie wenyewe
JIBU,
Mez 15:1 Jibu la upole linatuliza
Mez 15:23 anafurahi wakati anatoa jibu
Mez 15:28 unafikiri mbele ya kujibu
Mez 18:13 anajibu mbele ya kusikia
Isa 65:24 mbele waite, nitajibu
Kol 4:6 mujue kumujibu kila mutu
JICHO,
Mt 5:38 Jicho kwa jicho
Mt 6:22 kama jicho linakazia
1Ko 2:9 Jicho halikuona na
1Ko 12:21 Jicho haliwezi kuambia
1Ko 15:52 kufunga na kufungua jicho
JIFUNZA,
Kum 4:10 kusanya watu wajifunze
Flp 4:9 Mambo yenye mulijifunza
2Ti 3:7 kujifunza sikuzote lakini
JIINGIZA,
Mdo 5:38 musijiingize katika
1Ti 5:13 wanajiingiza katika mambo
JIKAZA,
Lu 13:24 Mujikaze sana ili
2Pe 1:5 mujikaze kabisa
JIKWAA,
Zb 119:165 cha kuwafanya wajikwae
Mt 5:29 jicho linafanya ujikwae
Yak 3:2 sisi wote tunajikwaa
JINA,
Mwa 11:4 tujifanyie jina
Kut 3:13 wakiniambia, Jina lake ni nani?
Kut 3:15 Yehova. Hilo ndilo jina langu
Kut 9:16 jina langu litangazwe
Kut 20:7 kutumia jina la Yehova
1Sa 17:45 nakuja katika jina la Yehova
1Ny 29:13 kusifu jina lako la muzuri
Zb 9:10 kujua jina lako watakutegemea
Zb 79:9 Kwa ajili ya jina lako
Mez 18:10 Jina la Yehova ni munara
Mez 22:1 kuchagua jina la muzuri
Muh 7:1 Jina la muzuri linashindia
Yer 23:27 wasahau jina langu
Eze 39:25 nitatetea jina langu
Mal 1:11 jina langu litakuwa kubwa
Mal 3:16 kufikiri juu ya jina lake
Mt 6:9 jina lako litakaswe
Yoh 12:28 tukuza jina lako
Yoh 14:14 Mukiomba katika jina
Yoh 17:26 Nimewajulisha jina lako
Mdo 4:12 hakuna jina lingine
Mdo 15:14 watu kwa ajili ya jina
Ro 10:13 anaitia jina la Yehova
Flp 2:9 jina lenye kuwa juu zaidi
JIPENDEA,
1Ny 29:17 nimetoa kwa kujipendea
JIPENDEKEZA,
2Ko 4:2 tunajipendekeza kwa
2Ko 6:4 katika kila njia tunajipendekeza
JIRANI,
Lu 10:27 umupende jirani
Lu 10:36 nani alijifanya kuwa jirani?
JITIISHA,
Lu 2:51 akaendelea kujitiisha
Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka kubwa
1Pe 2:13 mujitiishe kwa mufalme
JITOLEA,
Kut 36:2 moyo ulimusukuma ajitolee
JIVUNIA,
2Te 1:4 tunajivunia ninyi
JIWE,
Da 2:34 jiwe likakatwa
Mt 21:42 Jiwe lenye wajenzi walikataa
JIWE LA PEMBE,
Zb 118:22 limekuwa jiwe la pembe
Efe 2:20 Yesu ndiye jiwe la pembe
JIZUIA,
2Ti 2:24 anajizuia wakati
JOGOO,
Mt 26:34 mbele jogoo awike
JUA,
Yos 10:12 Jua, simama juu ya Gibeoni
Yer 31:34 Mumujue Yehova! watanijua
Mt 24:29 Kisha tu taabu, jua litatiwa giza
Mdo 2:20 Jua litageuzwa kuwa giza
Gal 4:9 Mungu amewajua ninyi
JUA MIMI NI YEHOVA,
Kut 7:5 watajua kwamba mimi ni Yehova
Eze 39:7 kujua kwamba mimi ni Yehova
JUMA,
1Ko 16:2 kila juma, aweke pembeni
K
KAA,
Zb 110:1 Kaa kwenye mukono wangu
KABURI,
Yob 14:13 ungenificha katika Kaburi
Muh 9:10 hakuna kazi katika Kaburi
Ho 13:14 Nitawakomboa kutoka katika Kaburi
Mdo 2:31 hakuachwa katika Kaburi
Ufu 1:18 funguo za Kaburi
Ufu 20:13 kifo na Kaburi vikatoa wafu
KAHABA,
Mez 7:10 amevaa kama kahaba
1Ko 6:16 ameungana na kahaba ni mwili
Ufu 17:1 kahaba mwenye anakaa juu ya maji
Ufu 17:16 watamuchukia ule kahaba na
KAINI,
1Yo 3:12 Kaini, alimuua ndugu yake
KAISARI,
Mt 22:17 kumulipa Kaisari kodi
Mk 12:17 Mumulipe Kaisari vitu vya Kaisari
Yoh 19:12 ukimufungua, hauko rafiki ya Kaisari
Yoh 19:15 hatuna mufalme isipokuwa Kaisari
Mdo 25:11 Ninapeleka kesi kwa Kaisari!
KALEBU,
Hes 13:30 Kalebu akajaribu kutuliza
Hes 14:24 Kalebu alikuwa na roho tofauti
KALIWA,
Isa 45:18 aliifanya dunia ikaliwe
KAMATA MATEKA,
2Ko 10:5 tunakamata mateka kila wazo
KAMA WANAUME,
1Ko 16:13 kuwa kama wanaume
KAMBA,
Muh 4:12 kamba ya nyuzi 3 haikatike
Isa 54:2 refusha kamba za hema
KAMILI,
1Ny 28:9 umutumikie kwa moyo kamili
2Ny 16:9 wenye moyo kamili
KAMILIFU,
Kum 32:4 kazi zake ni kamilifu
Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamilifu
KANA,
Mez 30:9 nisishibe na kukukana
Mt 16:24 ajikane mwenyewe, achukue
Mk 14:30 utanikana mara 3
Yoh 2:1 karamu ya ndoa katika Kana
Tit 1:16 wanamukana kupitia matendo
KANA IMANI,
Mdo 26:11 kuwalazimisha wakane imani
KANDAMIZA,
Muh 7:7 kukandamizwa kunaweza
KANYANGA,
Ebr 10:29 amemukanyangia chini Mwana wa
KARAMU,
Isa 25:6 Karamu ya vyakula
Ro 13:13 karamu za kupitisha mipaka
Gal 5:21 karamu za kupitisha mipaka, na
KARATASI YA MAPATANO YA KUNUNUA,
Yer 32:12 nikapana karatasi ya mapatano ya kununua
KARIBIA,
Zb 73:28 kumukaribia Mungu
Yak 4:8 Mumukaribie Mungu
KARIBISHA,
Ro 14:1 Mukaribishe mwenye uzaifu
Ro 15:7 mukaribishane, kama vile Kristo
1Pe 4:9 Mukaribishane bila kunungunika
3Yo 8 tunalazimika kukaribisha watu
KARIBU,
Zb 145:18 Yehova iko karibu na
KARIPIA,
Zb 141:5 ananikaripia, itakuwa kama
1Ti 5:1 Usimukaripie mwenye kuzeeka
KARIPIO,
Mez 3:11 usichukie karipio
Mez 27:5 Karipio ni muzuri
Muh 7:5 karipio la mwenye hekima
KARIPIWA,
Mez 29:1 shingo nguvu kisha kukaripiwa
KASIRANI,
Zb 37:8 Acha kasirani na gazabu
Mez 16:32 mwenye kuzuia kasirani yake
Efe 4:26 wakati mungali katika kasirani
KASIRIKA,
Zb 37:8 Usikasirike na kutenda uovu
Zb 103:8 Yehova hakasirike haraka
Mez 14:17 mwenye kukasirika haraka
Mdo 15:39 mulipuko wa kasirani
1Ko 13:5 haukasirike haraka
KASIRIKA-KASIRIKA,
Mez 19:19 Mutu mwenye kukasirika-kasirika
Mez 21:19 bibi mwenye kukasirika-kasirika
KASIRISHA,
Efe 6:4 musikuwe munakasirisha watoto
Kol 3:21 musikuwe munakasirisha
KASORO,
Law 22:21 Kasoro haipaswe kuwa
KATAA,
Yer 8:9 Wamekataa neno la Yehova
KATA-KATA,
Law 21:5 Hawapaswe kujikata-kata
KATALIWA,
1Ko 9:27 mimi nisikataliwe
KATA TAMAA,
Ro 9:33 mwenye anamuamini hatakata tamaa
KATISHA TAMAA,
Ro 5:5 tumaini halikatishe tamaa
KAWAIDA,
Mdo 4:13 hawana elimu na wa kawaida
KAWIA,
Hab 2:3 Hata yakikawia, endelea
Lu 12:45 Bwana wangu anakawia
2Pe 3:9 Yehova hakawie
KAZA,
Kol 3:2 kukaza akili juu ya
KAZI,
Ne 4:6 kazi kwa moyo wao wote
Zb 104:24 Kazi zako ni nyingi
Mez 8:30 nikiwa fundi wa kazi
Muh 2:24 kufurahia kazi yake
Yoh 5:17 Baba anafanya kazi
Yoh 6:27 kazi kwa ajili ya chakula
Yoh 14:12 atafanya pia kazi kubwa
Ro 12:4 viungo, havifanye kazi ileile
Efe 4:16 kila kiungo kinafanya kazi
Efe 4:28 asiibe tena; afanye kazi
2Te 3:10 hataki kufanya kazi, asikule
KAZIA,
Kum 6:7 kuyakazia katika wana
KEFA,
1Ko 15:5 alimutokea Kefa,
Gal 2:11 Kefa alikuja Antiokia
KENGEUSHWA,
Lu 10:40 Marta alikengeushwa
KENGEUSHWA FIKIRA,
1Ko 7:35 bila kukengeushwa fikira
KERUBI,
Eze 28:14 kerubi mwenye kutiwa mafuta
KESHA,
Mt 26:41 kukesha na kusali
Lu 21:36 muendelee kukesha
1Pe 4:7 mukeshe kuhusiana na sala
KESHO,
Mez 27:1 Usijisifu juu ya kesho
1Ko 15:32 kesho tutakufa
KIASI,
Mez 11:2 wenye kiasi wako na
Yer 30:11 nizamu kwa kiasi
Mik 6:8 utembee kwa kiasi
1Ti 2:9 wajipambe kwa kiasi
KIBURI,
Mez 8:13 Ninachukia kiburi
Mez 16:5 mwenye kiburi ni chukizo
Mez 16:18 Kiburi kinatangulia kuanguka
KICHEKO,
Mez 14:13 katika kicheko moyo
KICHWA,
Mwa 3:15 Ataponda kichwa chako
Da 2:32 Kichwa cha sanamu kilikuwa
1Ko 11:3 kichwa cha mwanamuke ni
Efe 5:23 Kristo kichwa cha kutaniko
Efe 5:23 bwana ni kichwa cha bibi
KICHWA-NGUVU,
Mdo 19:9 walikataa kwa kichwa-nguvu kuamini
KIDOGO,
Lu 16:10 mambo ya kidogo
KIDOLE,
Kut 8:19 kidole cha Mungu
Kut 31:18 yaliandikwa na kidole cha Mungu
KIFAA,
Muh 10:10 kifaa kinapoteza makali
KIFAFA,
Mt 4:24 wenye kifafa
KIFO,
Rut 1:17 isipokuwa kifo
Isa 25:8 Atameza kifo milele
Eze 18:32 Sifurahie kifo cha mutu
Ho 13:14 Ee Kifo, uko wapi uwezo wako
Yoh 8:51 anashika neno, hataona kifo
Ro 5:12 kifo kilienea kwa wote
Ro 6:23 mushahara wa zambi ni kifo
1Ko 15:26 adui wa mwisho ni kifo
1Te 4:13 usingizi katika kifo
Ebr 2:9 Yesu aonje kifo kwa ajili ya
Ebr 2:15 kwa sababu ya kuogopa kifo
Ufu 21:4 kifo hakitakuwa tena
KIFO CHA PILI,
Ufu 2:11 hataumizwa na kifo cha pili
Ufu 20:6 kifo cha pili hakina mamlaka
Ufu 20:14 kifo cha pili, ziwa la moto
KIFUA,
Isa 40:11 atawabeba kwenye kifua
KIFUNGO,
Efe 4:3 kifungo chenye kuunganisha
Kol 3:14 upendo ni kifungo kikamilifu
KIINI-TETE,
Zb 139:16 nilikuwa kiini-tete
KIJANA,
Isa 11:6 kijana atawaongoza
Yer 1:7 Niko kijana mudogo tu
KIKOMBE,
Mt 20:22 munaweza kunywa kikombe
Lu 22:20 Kikombe kinamaanisha agano jipya
Lu 22:42 uniondolee kikombe
1Ko 11:25 Akafanya vilevile na kikombe
KIKUNDI,
Mdo 17:5 wakafanyiza kikundi
KIKWAZO,
Ro 14:13 musiweke kikwazo
KILEMA,
Isa 35:6 kilema ataruka-ruka
Mal 1:8 munatoa munyama kilema
KILEMBA,
Eze 21:26 Ondoa kilemba
KILIO,
Zb 6:6 Kiti changu kijae kilio
KILIO CHA MAUMIVU,
Kut 2:24 akasikia kilio chao cha maumivu
Isa 35:10 na kilio cha maumivu vitaisha
KIMAKUSUDI,
Ebr 10:26 zambi kimakusudi
KIMBELEMBELE,
Kum 17:12 mwenye anatenda kwa kimbelembele
1Sa 15:23 kuenda kwa kimbelembele
Zb 19:13 matendo ya kimbelembele
Mez 11:2 kimbelembele kinakuja
KIMBIA,
1Ko 6:18 Mukimbie uasherati!
1Ko 9:24 Mukimbie kwa namna ya kuipata
Gal 5:7 Mulikuwa munakimbia muzuri
KIMBILIO,
Zb 9:9 Yehova kimbilio salama
Sef 3:12 kimbilio katika jina la Yehova
KIMWILI,
1Ko 2:14 mutu wa kimwili
1Ko 3:3 mungali wa kimwili
Kol 2:18 akili yake ya kimwili
KIMYA,
Isa 53:7 kondoo-dike mwenye kuwa kimya
KINYONGO,
Law 19:18 kuwekea kinyongo
KINYUME,
Mdo 17:7 kinyume na maagizo
KINYWA,
Zb 8:2 kinywa cha watoto
Ro 10:10 kwa kinywa anafanya tangazo
Yak 3:10 katika kinywa kilekile
KIONGOZI,
Mez 28:16 Kiongozi anatumia mubaya
Mt 23:10 Kiongozi wenu ni mumoja
KIONGOZI MUKUBWA,
Mdo 3:15 Kiongozi Mukubwa wa uzima
Ebr 12:2 Kiongozi Mukubwa na Mukamilishaji
KIOO,
1Ko 13:12 kioo cha metali
Yak 1:23 anaangalia uso katika kioo
KIPIMO,
Lu 6:38 kipimo chenye munapimia
KIPINDI CHA JOTO,
Mt 24:32 kipindi cha joto kinakaribia
KIPOFU,
Law 19:14 kizuizi mbele ya kipofu
KIROHO,
Mt 5:3 uhitaji wao wa kiroho
Ro 1:11 niwapatie zawadi ya kiroho
1Ko 2:15 mutu wa kiroho anachunguza
KISASI,
Kum 32:35 Kisasi ni changu
2Te 1:8 wakati ataleta kisasi
KISIKI,
Isa 11:1 tawi kutoka kisiki cha Yese
Da 4:15 muache kisiki na mizizi
KISINGIZIO,
Yud 4 kisingizio cha mwenendo
KITABU,
Kut 32:33 nitamufuta katika kitabu
Yos 1:8 Kitabu cha Sheria kisitoke
Mal 3:16 kitabu cha kumbukumbu
Ufu 20:15 hakupatikana katika kitabu
KITAMBAA,
2Ko 3:15 kitambaa kinakaa juu ya mioyo
KITANDA,
Ebr 13:4 kitanda cha ndoa kikuwe bila uchafu
KITANDA CHA UGONJWA,
Zb 41:3 kwenye kitanda cha ugonjwa
KITIA-MOYO,
Ro 1:12 ubadilishanaji wa kitia-moyo
KITI CHA HUKUMU,
Yoh 19:13 akakaa juu ya kiti cha hukumu
Ro 14:10 tutasimama mbele ya kiti cha hukumu
KITI CHA UFALME,
Zb 45:6 Mungu ni kiti chako cha ufalme
Isa 6:1 Yehova kwenye kiti cha ufalme
Mt 25:31 Mwana, kwenye kiti cha ufalme
Lu 1:32 atamupatia kiti cha Ufalme cha Daudi
KITOTO-DUME CHA NGOMBE,
Kut 32:4 sanamu ya kitoto-dume cha ngombe
Isa 11:6 kitoto-dume cha ngombe na simba
KITU,
Gal 6:3 wakati yeye haiko kitu
KITU CHA KUCHEKWA,
Yer 20:7 Nimekuwa kitu cha kuchekwa
KITU CHA KUWAZIA-WAZIA,
Isa 41:29 Sanamu ni kitu cha kuwazia-wazia
KITU CHENYE KILICHUKULIWA KATIKA VITA,
Yer 39:18 kama kitu chenye kilichukuliwa katika vita
KITULIZO,
2Te 1:7 mutapewa kitulizo
KIU,
Isa 49:10 wala kuwa na kiu
Isa 55:1 Mukuje, ninyi wenye kiu
Yoh 7:37 mutu iko na kiu, akuje
KIUMBE,
2Ko 5:17 yeye ni kiumbe kipya
KIUNABII,
2Pe 1:19 neno la kiunabii lenye
KIUNGO,
1Ko 12:18 amepanga kila kiungo
KIVULI,
1Ny 29:15 siku zetu ni kama kivuli
Zb 91:1 katika kivuli cha Mweza-Yote
Kol 2:17 kivuli cha yenye yatakuja
Yak 1:17 habadilike kama kivuli
KIZAZI,
Mt 24:34 kizazi hiki hakitapita
KIZIWI,
Law 19:14 kumulaani kiziwi
KIZUIZI,
2Te 2:6 kutenda kama kizuizi
KIZURI,
Mwa 1:31 kila kitu kilikuwa kizuri
KODI,
Mt 17:25 kodi kutoka kwa nani?
Lu 20:22 tunaruhusiwa kulipa Kaisari kodi?
Lu 23:2 kukataza kulipa Kaisari kodi
Ro 13:6 Ndiyo sababu munalipa kodi
Ro 13:7 mwenye anataka kodi, kodi
KOFIA YA CHUMA,
Efe 6:17 mupokee kofia ya chuma ya
KOMAA KABISA,
Efe 4:13 mutu mwenye kukomaa kabisa
KOMBOA,
Zb 49:7 kumukomboa ndugu
Ho 13:14 Nitawakomboa kutoka katika Kaburi
2Pe 2:9 Yehova anajua kukomboa
KONDOO,
Zb 100:3 watu wake na kondoo wa
Isa 53:7 Alipelekwa kama kondoo
Eze 34:12 Nitatunza kondoo wangu
Mt 25:33 kondoo kwenye mukono wa kuume
Yoh 21:16 Chunga kondoo wangu
KONDOO WENGINE,
Yoh 10:16 niko na kondoo wengine
KOPA,
Zb 37:21 anakopa lakini halipe
KOPESHA,
Mez 19:17 anamukopesha Yehova
Lu 6:35 kukopesha bila kutumaini
KOPI,
Kum 17:18 kujiandikia kopi ya Sheria
KORA,
Hes 26:11 wana wa Kora
Yud 11 maneno ya uasi ya Kora
KORESHI,
Ezr 6:3 Koreshi: Nyumba ijengwe
Isa 45:1 mutiwa-mafuta, Koreshi
KORNELIO,
Mdo 10:24 Kornelio alikusanya jamaa
KOSA,
Yob 6:24 nielewe kosa langu
Yak 2:15 wanakosa nguo
KOSA HESHIMA,
2Sa 12:14 umemukosea Yehova heshima
KOSA KUJUA,
2Ko 2:11 hatukose kujua mipango
KOSA USINGIZI,
2Ko 6:5 kwa kukosa usingizi, kukosa
2Ko 11:27 kukosa usingizi usiku
KOSEA,
1Ko 6:7 mukubali wawakosee
KRISTO,
Mt 16:16 Wewe ndiye Kristo
Lu 24:26 lazima Kristo apatwe na?
Yoh 17:3 mwenye ulituma, Yesu Kristo
Mdo 18:28 Yesu ndiye Kristo
1Ko 11:3 kichwa cha Kristo ni Mungu
KUBALI,
Yob 2:10 Tukubali tu mambo ya
Lu 3:22 Mwana wangu, nimekukubali
2Ti 2:15 mwenye kukubaliwa na Mungu
KUBALIKA,
2Ko 6:2 wakati wenye kukubalika
Efe 5:10 yenye kukubaliwa kwa Bwana
KUBWA,
Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka kubwa
KUBWA SANA,
Ro 11:33 hekima ya Mungu ni kubwa
KUCHANGANYA NA KITU KINGINE,
2Ko 4:2 kuchanganya neno na kitu kingine
KUFA,
Mwa 3:4 Hakika hamutakufa
Yob 14:14 Kama mutu anakufa, je
Zb 89:48 asikufe hata siku moja?
Lu 15:24 mwana wangu alikuwa amekufa
Yoh 11:25 hata akikufa, ataishi tena
Yoh 11:26 ananiamini hatakufa
Ro 14:8 kama tunakufa, sisi ni wa
2Ko 5:15 wanaishi kwa ajili ya mwenye alikufa
1Te 4:16 walikufa katika umoja na Kristo
KUFAA,
Lu 4:13 mupaka wakati wenye kufaa
KUFANYWA KUWA WANA,
Ro 8:15 roho ya kufanywa kuwa wana
KUFIKIRI SANA,
Zb 19:14 kufikiri sana kwa moyo
KUFOKA,
Efe 4:31 kasirani kali, kufoka
KUFUNIKA ZAMBI,
Law 16:34 kufunika zambi mara moja
Ro 3:25 toleo la kufunika zambi
1Yo 2:2 zabihu ya kufunika zambi
KUFUNULIWA,
Ro 8:19 kufunuliwa kwa wana wa
KUFURAHI,
Muh 8:15 kula, kunywa, na kufurahi
KUHANI,
Zb 110:4 kuhani milele
Ho 4:6 usinitumikie kama kuhani
Mal 2:7 midomo ya kuhani inachunga ujuzi
Ebr 2:17 kuhani mukubwa mwenye rehema
KUJA,
Isa 55:1 Mukuje, wenye kiu
Ufu 22:17 mwenye anasikia aseme, Kuja!
KUJIZUIA,
1Ko 7:5 sababu munakosa kujizuia
Gal 5:22, 23 tunda la roho ni kujizuia
KUKOSA KUJALI,
Mez 1:32 kukosa kujali kwa wapumbavu
KUKU,
Mt 23:37 kuku anakusanya vitoto
KULA,
1Ko 5:11 musikule na mutu wa
2Te 3:10 hataki kufanya kazi, asikule
KUMBUKA,
Yob 14:13 na kunikumbuka!
Muh 12:1 kumbuka Muumbaji wako
Isa 65:17 ya zamani hayatakumbukwa
Lu 22:19 kufanya hivi kwa kunikumbuka
Ebr 10:32 kukumbuka siku za zamani
KUMBUSHA,
2Pe 1:12 kuwakumbusha mambo haya
KUMI,
Mwa 18:32 sababu ya wale kumi
KUNDI,
Lu 12:32 Musiogope, kundi ndogo
KUNDI KUBWA,
Ufu 7:9 kundi kubwa, hakuna
KUNDI NDOGO,
Lu 12:32 Musiogope, kundi ndogo
KUNGUKU,
Yak 4:14 ninyi ni kunguku
KUNI,
Mez 26:20 hakuna kuni, moto unazimika
KUNJAMA,
Muh 1:15 chenye kukunjama hakiwezi
KUPASHANA HABARI NA PEPO WACHAFU,
Gal 5:20 kupashana habari na pepo wachafu
KUPIGWA,
2Ko 6:5 kupigwa, kufungwa
KUPOTOSHA,
Mt 24:24 kupotosha wenye kuchaguliwa
KURA,
Zb 22:18 wanapigia nguo kura
Lu 23:51 hakupiga kura ili kuunga
KUSANYA,
Efe 1:10 kukusanya vitu katika Kristo
KUSUDI,
Mez 16:4 kila kitu kitimize kusudi
Ro 8:28 wameitwa kulingana na kusudi
Ro 9:11 kusudi la Mungu litegemee
Efe 3:11 kulingana na kusudi la milele
KUTA,
Eze 38:11 makao hayalindwe na kuta
KUTAHIRIWA,
Ro 2:29 kutahiriwa kwa moyo
1Ko 7:19 Kutahiriwa hakumaanishe kitu
KUTANA,
Ebr 10:25 bila kuacha kukutana
KUTANIKO,
Zb 22:25 Nitakusifu katika kutaniko
Zb 40:9 Ninatangaza katika kutaniko
Mt 16:18 nitajenga kutaniko
Mdo 20:28 kuchunga kutaniko
Ro 16:5 musalimie kutaniko
KUTETEA KISHERIA,
Flp 1:7 kutetea habari njema kisheria
KUTOA,
Mdo 20:35 furaha zaidi katika kutoa
KUTOKUFA,
1Ko 15:53 kuvaa kutokufa
KUTOKUHARIBIKA,
1Ko 15:42 unafunuliwa katika kutokuharibika
KUTUMIA MUBAYA,
1Ko 9:18 nisitumie mubaya mamlaka
KUTUNZA KWA UPENDO,
Efe 5:29 anaukulisha na kuutunza kwa upendo
KUUMANA,
Gal 5:15 munaendelea kuumana
KUVUNJIKA MOYO,
Zb 34:18 karibu na wenye kuvunjika moyo
Zb 147:3 Anaponyesha wenye kuvunjika moyo
KUWA,
Kut 3:14 Nitakuwa Kile Ninachagua
1Ko 9:22 Nimekuwa mambo yote
2Ti 3:17 akiwa na vifaa kamili
KUWAPO,
Mt 24:3 alama ya kuwapo
Mt 24:37 siku za Noa, ni vile kuwapo
2Pe 3:4 Kuwapo kwake kuko wapi?
KWANZA,
Mt 19:30 wa kwanza watakuwa
Mk 9:35 wa kwanza, anapaswa kuwa
KWAZA,
Lu 17:2 amukwaze mumoja wa
1Ko 8:13 chakula kinamukwaza ndugu
Flp 1:10 musikuwe munakwaza wengine
KWAZIKA,
Mt 13:41 vinafanya watu wakwazike
KWELI,
Zb 15:2 kusema kweli katika moyo
Zb 119:160 Chanzo cha neno ni kweli
Mez 23:23 Ununue kweli na usiiuzishe
Yoh 4:24 kumuabudu kwa roho na kweli
Yoh 7:28 mwenye alinituma ni wa kweli
Yoh 8:32 na mutajua kweli, na kweli
Yoh 14:6 Mimi ndiye njia na kweli na
Yoh 16:13 roho ya ile kweli, atawaongoza
Yoh 17:3 kukujua wewe Mungu wa kweli
Yoh 17:17 Uwatakase kwa njia ya ile kweli
Yoh 18:38 Pilato akamuambia: Kweli ni nini?
2Ko 13:8 hatuwezi kupinga ile kweli
Efe 4:25 museme kweli
2Pe 1:12 muko imara katika kweli
3Yo 4 wanatembea katika kweli
KWELIKWELI,
1Ti 6:19 uzima wa kwelikweli
L
LAANI,
Hes 23:8 ninaweza kulaani watu
Yob 2:5 atakulaani mbele ya uso wako
Yob 2:9 Laani Mungu na ukufe!
Ro 12:14 mubariki lakini musilaani
LAANIWA,
Yoh 7:49 hawajue Sheria ni wenye kulaaniwa
LAINI,
Mez 25:15 ulimi laini unaweza kuvunja
LALA,
Mez 6:10 Kulala kidogo kusinzia
LALAMIKA,
Kol 3:13 kulalamika juu ya
LALA USINGIZI,
1Te 5:6 tusilale usingizi kama
LAUMU,
Mt 5:11 wakati watu wanawalaumu
LAWI,
Mal 3:3 atatakasa wana wa Lawi
LAZARO,
Lu 16:20 wa kuomba-omba, Lazaro
Yoh 11:11 Lazaro amelala usingizi
Yoh 11:43 Lazaro, kuja huku inje!
LAZIMA,
Mt 6:32 anajua muko na lazima
Ro 12:13 yenye wako nayo lazima
LAZIMIKA,
1Yo 3:16 tunalazimika kutoa
LEMEA,
Zb 40:12 Makosa yamenilemea
LEMEWA,
Lu 21:34 mioyo yenu isilemewe
LEWA,
Efe 5:18 musilewe divai
LIA,
Isa 65:19 Sauti ya kulia haitasikika
Ho 12:4 Alilia na kuomba amuonyeshe
Mt 26:75 akaenda inje na kulia
Lu 6:21 Wenye furaha ni wenye kulia
Ro 12:15 mulie na wenye kulia
LIA KWA MAUMIVU,
Eze 9:4 utie alama wenye kulia kwa maumivu
Ro 8:22 uumbaji unaendelea kulia kwa maumivu
LIDIA,
Mdo 16:14 Lidia, muuzishaji wa nguo
LINDA,
Mez 4:23 Linda moyo wako
Yoh 17:12 nilikuwa ninawalinda
LINGANISHA,
Isa 46:5 kunilinganisha na
Gal 6:4 hapana kwa kujilinganisha
LIPA,
Kut 21:36 anapaswa kulipa
Zb 37:21 anakopa lakini halipe
Zb 116:12 Nitamulipa Yehova nini?
Mt 22:21 mumulipe Kaisari
Ro 12:19 Kisasi ni changu; nitalipa
2Te 1:6 kulipa taabu wale wenye
LIPIZA,
Mez 20:22 Nitalipiza uovu!
LIPIZA KISASI,
Ro 12:19 Wapendwa, musijilipizie kisasi
LISHA,
Yoh 21:17 Lisha kondoo wangu
LOT
I, Lu 17:32 bibi ya Loti
2Pe 2:7 alimukomboa Loti
LUGA,
Mwa 11:7 tuvuruge luga yao
Sef 3:9 nitabadilisha luga ya vikundi
Zek 8:23 watu 10 kutoka katika luga
Mdo 2:4 kusema katika luga
1Ko 13:8 kuko luga, zitaisha
1Ko 14:22 luga ni alama kwa wenye
Ufu 7:9 kutoka mataifa yote na luga
LUKA,
Kol 4:14 Luka, munganga
LULU,
Mt 7:6 musitupe lulu
Mt 13:45 mwenye kutafuta lulu
M
MAADUI,
Zb 110:2 utawale katikati ya maadui
Mt 5:44 kupenda maadui
Mt 10:36 maadui wa mutu
MAANA,
Mt 6:26 hamuko wa maana kuliko wao?
Flp 1:10 muhakikishe mambo ya maana
MAANDIKO,
Mt 22:29 hamujue Maandiko
Lu 24:32 wakati alitufasiria Maandiko
Mdo 17:2 akafikiri nao kwa kutumia Maandiko
Mdo 17:11 walikuwa wanachunguza Maandiko
Ro 15:4 faraja kutoka katika Maandiko
MABALOZI,
2Ko 5:20 mabalozi pa nafasi ya
MABAMBA,
Kut 31:18 akamupatia Musa mabamba
MABAWA,
Rut 2:12 ulinzi chini ya mabawa
MABAYA,
Mwa 3:5 mukijua mema na mabaya
MABIKIRA,
Mt 25:1 Ufalme unafananishwa na mabikira
1Ko 7:25 kuhusu mabikira, sina amri
MABINTI,
Mdo 21:9 mabinti 4 walitoa unabii
2Ko 6:18 wana na mabinti kwangu
MABWANA,
Mt 6:24 mabwana wawili
1Ko 8:5 kuko mabwana wengi
MACHAFU,
Ro 1:27 mambo machafu
Kol 3:8 muondoe maneno machafu
MACHANJO,
Law 19:28 kujitia machanjo
MACHO,
Zb 115:5 [sanamu] ziko na macho
Mez 15:3 Macho ya Yehova
1Ko 16:13 Mukae macho
Ufu 16:15 mwenye anakaa macho
MACHOZI,
2Fa 20:5 Nimeona machozi
Zb 6:6 ninalowanisha kitanda kwa machozi
Zb 126:5 kupanda mbegu kwa machozi
Muh 4:1 machozi ya wenye kukandamizwa
Mdo 20:19 nilimutumikia Bwana kwa machozi
Mdo 20:31 kumuonya kila mumoja kwa machozi
Ebr 5:7 Kristo alitoa maombi, kwa machozi
MADENI,
Mt 6:12 utusamehe madeni
MAENDELEO,
1Ti 4:15 maendeleo yaonekane
MAFAA YOYOTE,
Zb 101:3 kitu chenye hakina mafaa yoyote
MAFUTA,
1Fa 17:16 mutungi wa mafuta
Mt 25:4 wenye busara walibeba mafuta
Mk 14:4 mafuta yamepotezwa bure?
MAGANDA YA MBEGU,
Sef 2:2 haijapeperuka kama maganda ya mbegu
MAGARI,
Amu 4:13 magari 900 yenye miundu
2Fa 6:17 magari ya vita ya moto
MAGOGU,
Eze 38:2 Gogu wa inchi ya Magogu
MAGONJWA,
Isa 53:4 alibeba magonjwa yetu
MAGONJWA YA KUAMBUKIZA,
Lu 21:11 na magonjwa ya kuambukiza
MAGUMU,
Zb 34:19 Magumu ya mwenye haki
MAHALI JUA LINATOKEA,
Isa 41:2 mutu kutoka mahali jua linatokea
MAHANGAIKO,
1Sa 1:15 mwenye mahangaiko
Zb 94:19 mahangaiko yalinilemea
Mez 12:25 Mahangaiko katika moyo
Mk 4:19 mahangaiko ya mupangilio
Lu 8:14 wanabebwa na mahangaiko
Lu 21:34 isilemewe na mahangaiko ya
2Ko 11:28 mahangaiko juu ya makutaniko
MAHEKALU,
Mdo 17:24 hakae katika mahekalu
MAHEMA,
Mdo 18:3 kutengeneza mahema
MAJANI,
Isa 65:25 Simba atakula majani
Eze 47:12 majani ya kuponyesha
Mt 24:32 matawi yanatoa majani
MAJARIBU,
Lu 22:28 na mimi katika majaribu
Yak 1:2 furaha, wakati munapata majaribu
MAJESHI,
Ufu 19:14 majeshi katika mbingu
MAJI,
Hes 20:10 maji katika mwamba huu?
Mez 20:5 Mawazo ya moyo ni kama maji
Mez 25:25 Kama maji ya baridi juu ya nafsi
Isa 55:1 wenye kiu, mukuje kwenye maji!
Yer 2:13 chemchemi ya maji ya uzima
Yer 50:38 maji yake yatakaushwa
Zek 14:8 maji ya uzima yatatiririka
Yoh 4:10 angekupatia maji ya uzima
1Ko 3:6 Apolo akatia maji
Ufu 7:17 kwenye chemchemi za maji ya uzima
Ufu 17:1 kahaba anakaa juu ya maji mengi
MAJIVUNO,
Yak 4:6 anapinga wenye majivuno
MAJIWE,
Lu 19:40 wangebakia kimya, majiwe
MAJUMA,
Da 9:24 majuma 70 yameamuliwa
MAKAA,
Ro 12:20 makaa yenye moto
MAKABILA,
Mwa 49:28 makabila 12 ya Israeli
MAKABURI YA UKUMBUSHO,
Yoh 5:28 katika makaburi ya ukumbusho
MAKAHABA,
Lu 15:30 alitumia mali na makahaba
MAKEDONIA,
Mdo 16:9 uingie Makedonia
MAKERUBI,
Mwa 3:24 makerubi na upanga
MAKOSA,
Zb 40:12 Makosa mengi kuliko
Zb 130:3 ungekuwa unaangalia makosa
Isa 53:5 anapondwa kwa ajili ya makosa
MAKRISTO, WA UONGO,
Mt 24:24 Makristo wa uongo watatokea
MAKUHANI,
Mik 3:11 Makuhani wanafundisha ili
Mdo 6:7 makuhani wakaanza kutii
Ufu 20:6 makuhani wa Mungu na
MAKUMI YA MAELFU,
Ufu 5:11 ilikuwa makumi ya maelfu ya
MALAIKA,
Mwa 28:12 malaika wanapanda
2Fa 19:35 malaika akaua watu 185 000
Yob 4:18 makosa ndani ya malaika
Zb 34:7 Malaika anapiga kambi
Da 3:28 alituma malaika wake
Ho 12:4 [Yakobo] anashindana na malaika
Mt 13:41 atatuma malaika wake
Mt 22:30 wao ni kama malaika
Mt 24:31 malaika watakusanya
Mdo 5:19 malaika akafungua gereza
Mdo 12:11 alimutuma malaika wake
1Ko 4:9 tamasha kwa malaika
1Ko 6:3 tutahukumu malaika?
Ebr 13:2 walikaribisha malaika
1Pe 1:12 malaika wanachungulia
Yud 6 malaika hawakulinda mahali pao
MALAIKA MUKUBWA,
1Te 4:16 sauti ya malaika mukubwa
Yud 9 Mikaeli malaika mukubwa
MALI,
Kut 19:5 mutakuwa mali yangu
Zb 62:10 mali zinaongezeka, musiweke
Mez 10:2 Mali zenye zilipatikana kwa uovu
Mez 11:4 Mali haitakuwa na faida siku ya
Mez 18:11 Mali ni kama ukuta wa ulinzi
Muh 5:10 mwenye anapenda mali
Isa 60:5 Mali za mataifa zitakuja
Isa 61:6 Mutakula mali za mataifa
Lu 16:9 marafiki kupitia mali
MALIPO,
Yer 22:13 anakataa kumulipa malipo
Ebr 10:34 malipo ya muzuri
MALISHO,
Isa 30:23 mifugo katika malisho
MALIZA,
Mdo 20:24 kumaliza mwendo
MALKIA,
1Fa 10:1 malkia wa Sheba akakuja
MALTA,
Mdo 28:1 kisiwa kiliitwa Malta
MAMA,
Kut 20:12 Heshimia mama yako
Zb 27:10 baba na mama wananiacha
Mez 23:22 usizarau mama yako
Lu 8:21 Mama yangu ni
Yoh 19:27 Ona! Mama yako!
Gal 4:26 Yerusalemu la juu ni mama
MAMBO YA MUSINGI,
Gal 4:9 munarudilia mambo ya musingi
MAMBO YENU WENYEWE,
1Te 4:11 kuhangaikia mambo yenu wenyewe
MAMBO YENYE KUOGOPESHA,
Zb 91:5 mambo yenye kuogopesha ya usiku
MAMBO YENYE KUPANGWA MBELE YA WAKATI,
Isa 65:11 mungu wa Mambo Yenye Kupangwa Mbele ya Wakati
MAMBO YOYOTE,
Flp 4:8 mambo yoyote yenye kuwa ya kweli
MAMLAKA,
Mez 28:16 anatumia mubaya mamlaka
Mt 28:18 Nimepewa mamlaka
Lu 4:6 mamlaka hii na
Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka
1Ko 9:18 nisitumie mubaya mamlaka
Tit 3:1 kutii mamlaka, tayari kwa
2Pe 2:10 wenye kuzarau mamlaka
MANA,
Kut 16:31 ikaita mukate huo mana
Yos 5:12 Na mana ikaacha kuanguka
MANABII,
1Fa 18:4 Obadia alificha manabii
Amo 3:7 hajafunulia manabii
Mdo 10:43 Manabii wanatoa ushahidi juu yake
MANABII WA UONGO,
Mt 7:15 manabii wa uongo katika ngozi
Mt 24:11 Manabii wa uongo watatokea
Mk 13:22 manabii wa uongo watafanya maajabu
MANASE,
2Ny 33:13 Manase akajua kwamba
MANYOYA,
Amu 6:37 umande juu ya manyoya
MAOMBI,
Zb 20:5 Yehova atimize maombi yako
MAOMBOLEZO,
Muh 7:2 katika nyumba ya maombolezo
MAONGEZI,
Mez 14:23 maongezi yanaleta umaskini
MAONO,
Da 10:14 ni maono kwa ajili ya siku
MAPAJI YA NYUSO,
Eze 9:4 alama kwenye mapaji ya nyuso
MAPATANO,
1Ko 7:5 Musiimane isipokuwa kwa mapatano
MAPATO,
Muh 5:10 hatashiba mapato
MAPENZI,
Zb 40:8 ninafurahia mapenzi yako
Zb 143:10 Unifundishe mapenzi yako
Mt 6:10 Mapenzi yako yafanyike duniani
Mt 7:21 mwenye kufanya mapenzi ya Baba
Lu 22:42 mapenzi yako yatendeke
Yoh 6:38 sikushuka kufanya mapenzi yangu
Mdo 21:14 Mapenzi ya Yehova yatendeke
Ro 12:2 mapenzi ya Mungu yenye kukubalika
1Te 4:3 mapenzi ya Mungu, kujiepusha na
1Yo 2:17 mwenye anafanya mapenzi ya Mungu
1Yo 5:14 tunaomba kulingana na mapenzi yake
MAPIGO,
Ufu 18:4 sehemu ya mapigo yake
MARAFIKI,
Mez 14:20 tajiri iko na marafiki wengi
Mez 16:28 muchongezi anatenganisha marafiki
Lu 16:9 marafiki kupitia mali
Yoh 15:13 atoe uzima kwa ajili ya marafiki
Yoh 15:14 marafiki wangu kama munafanya
MARA MOJA,
Lu 21:34 ikuje juu yenu mara moja
MARIA 1.,
Mk 6:3 seremala, mwana wa Maria
MARIA 2.,
Lu 10:39 Maria aliendelea kusikiliza
Lu 10:42 Maria alichagua fungu
Yoh 12:3 Maria akakamata mafuta
MARIA 3.,
Mt 27:56 Maria Magdalene na
MARIA 4.,
Mt 27:56 Maria mama ya Yakobo
Lu 8:2 Maria Magdalene, mwenye
MARIA 5.,
Mdo 12:12 Maria mama ya Yohana
MARKO,
Kol 4:10 Marko, binamu ya Barnaba
MARTA,
Lu 10:41 Marta unahangaika
MASHAHIDI,
Kum 19:15 kwa ushuhuda wa mashahidi wawili
Isa 43:10 Muko mashahidi wangu
Mt 18:16 ushuhuda wa mashahidi wawili
Mdo 1:8 mutakuwa mashahidi wangu
Ufu 11:3 mashahidi wawili watoe unabii
MASHAKA,
Mt 21:21 na hamuna mashaka
Yak 1:6 kuomba bila kuwa na mashaka
Yud 22 rehema kwa wenye mashaka
MASHAMBA,
Yoh 4:35 mashamba ni meupe
MASHAMBA YA MIZABIBU,
Isa 65:21 watapanda mashamba ya mizabibu
MASHINDANO,
Gal 5:26 tusichochee mashindano
MASHIRIKA,
1Ko 15:33 Mashirika ya mubaya yanaharibu
MASHITAKA YA KISHERIA,
1Ko 6:7 mashitaka ya kisheria mumoja na
MASIYA,
Da 9:25 mupaka Masiya
Da 9:26 Masiya atakatiliwa mbali
Yoh 1:41 Tumemupata Masiya
Yoh 4:25 Ninajua Masiya anakuja
MASKINI,
1Sa 2:8 Anainua maskini
Zb 9:18 maskini hawatasahauliwa
Zb 69:33 Yehova anasikiliza maskini
Mez 30:9 Wala nikuwe maskini, niibe
Lu 4:18 nitangazie maskini
Yoh 12:8 maskini muko nao sikuzote
Ro 7:24 Maskini mimi!
2Ko 6:10 kama maskini lakini
2Ko 8:9 Kristo, maskini kwa ajili yenu
Gal 2:10 tukumbuke maskini
MASOMO,
Yoh 7:15 hakusoma kwenye masomo?
MASURIA,
1Fa 11:3 bibi 700 na masuria 300
MATAIFA,
Mwa 22:18 mataifa yatajipatia baraka
Mt 25:32 Mataifa yote yatakusanywa
Lu 21:24 nyakati za mataifa
MATAJIRI,
Law 19:15 upendeleo kwa matajiri
Lu 14:12 unatayarisha chakula, usiite matajiri
2Ko 6:10 wenye kufanya wengi kuwa matajiri
1Ti 6:9 wameazimia kuwa matajiri wanaanguka
1Ti 6:17 matajiri wasikuwe na majivuno
MATENDO,
Yob 31:34 kuogopa matendo ya wengi?
Ebr 9:14 haitasafisha zamiri kutoka matendo
MATESO,
Yob 36:15 anaokoa katika mateso
Zb 119:50 faraja yangu katika mateso
Mt 13:21 mateso, anakwazika
Mk 4:17 wakati mateso yanatokea
Mk 10:30 watoto, pamoja na mateso
Ro 8:18 mateso haiko kitu
Ebr 2:10 mukamilifu kupitia mateso
1Pe 5:9 mukijua kwamba mateso yaleyale
MATETEMEKO YA INCHI,
Lu 21:11 Kutakuwa matetemeko ya inchi
MATOKEO,
Isa 46:10 Ninatabiri matokeo tangu
Isa 55:11 neno langu halitarudia bila matokeo
MATOKEO YA MUBAYA,
Mez 27:12 na kupata matokeo ya mubaya
MATOKEO YA MUZURI,
Yos 1:8 itakuwa na matokeo ya muzuri
1Fa 2:3 utapata matokeo ya muzuri
2Ny 20:20 mutakuwa na matokeo ya muzuri
MATOLEO,
1Ny 29:9 kutoa matoleo
Isa 1:11 matoleo yenu ya kuteketezwa
MATONE YA UMANDE,
Zb 110:3 vijana kama matone ya umande
MATOWASHI,
Isa 56:4 matowashi wenye kuchagua
Mt 19:12 matowashi wenye walizaliwa
MATUKANO,
Efe 4:31 kufoka, matukano
1Pe 2:23 hakujibu kwa matukano
MATUNDA,
Mwa 3:3 matunda, hamupaswe
Mt 7:20 mutawatambua kwa matunda
Mt 21:43 taifa lenye kuzaa matunda
Lu 8:15 kuzaa matunda kwa uvumilivu
Yoh 15:2 ili lizae matunda zaidi
Yoh 15:8 muendelee kuzaa matunda
MATUNDA YA KWANZA,
Ro 8:23 na matunda ya kwanza
MATUNDA YA MUTOFAA,
Mez 25:11 matunda ya mutofaa ya zahabu
MAUA YA MAYUNGIYUNGI,
Lu 12:27 Muangalie maua ya mayungiyungi
MAUMIVU,
Lu 21:25 yatakuwa na maumivu makali
Ro 8:22 kulia kwa maumivu mupaka sasa
Ro 9:2 maumivu yenye hayaishe
MAUMIVU YA MOYO,
Mez 17:25 analetea maumivu ya moyo
MAVI,
Kum 23:13 ufunike mavi yako
MAVUMBI,
Mwa 2:7 kutoka katika mavumbi
Mwa 3:19 utarudia katika mavumbi
Zb 103:14 Anakumbuka tuko mavumbi
Isa 40:15 Mataifa ni mavumbi
MAVUNO,
Mt 9:37 mavuno ni mengi
MAWAZO,
1Fa 18:21 kati ya mawazo mbili
Zb 26:2 Usafishe mawazo yangu
Zb 139:17 mawazo yako ni yenye samani
Zb 146:4 Siku ileile mawazo yake yanapotea
Mez 20:5 Mawazo ya moyo ni kama maji
Isa 55:8 mawazo yangu hayako mawazo yenu
Ro 14:1 mawazo yenye kuwa tofauti
MAWINGU,
Muh 11:4 anaangalia mawingu hatavuna
Mt 24:30 Mwana akikuja juu ya mawingu
MAYATIMA,
Yak 1:27 kuhangaikia mayatima
MAZABAHU,
Mwa 8:20 akamujengea mazabahu
Kut 27:1 Utatengeneza mazabahu kwa
Mt 5:24 acha zawadi yako mbele ya mazabahu
Mdo 17:23 mazabahu Kwa Mungu Mwenye
MAZEHEBU,
2Pe 2:1 wataingiza mazehebu
MAZITO,
Mt 23:23 mambo mazito zaidi ya Sheria
1Ko 2:10 roho inachunguza mambo mazito
MAZIWA,
Kut 3:8 yenye kutiririka maziwa
Mez 5:19 Maziwa yake yakushibishe
Isa 60:16 maziwa ya mataifa
Ebr 5:12 lazima ya maziwa
1Pe 2:2 maziwa yenye hayachanganywe
MAZOEZI,
1Pe 5:10 Mungu atamaliza mazoezi
MAZUNGUMUZO,
Mez 15:22 wakati hakuna mazungumuzo
MBALI,
Mdo 17:27 haiko mbali sana
MBEGU,
Lu 8:11 Mbegu ni neno
MBINGU,
Zb 8:3 ninaona mbingu zako
Zb 19:1 Mbingu zinatangaza utukufu
2Ko 12:2 mupaka kwenye mbingu ya 3
2Pe 3:13 tunangojea mbingu mupya
MBINGUNI,
Yoh 3:13 amepanda mbinguni
MBIO,
Muh 9:11 ndio wanashinda katika mbio
2Ti 4:7 nimekimbia mbio mupaka mwisho
MBONI,
Zb 17:8 Unilinde kama mboni ya
Zek 2:8 anawagusa anagusa mboni ya jicho
MBUZI,
Mt 25:32 kondoo na mbuzi
MBWEHA,
Mt 8:20 Mbweha wako na mashimo
MELKISEDEKI,
Mwa 14:18 Melkisedeki wa Salemu
Zb 110:4 Kwa mufano wa Melkisedeki
MEMA,
Mwa 3:5 mukijua mema na mabaya
MENGI,
1Ko 15:58 mengi ya kufanya
MEZA,
Da 11:27 kwenye meza moja wakiambiana
1Ko 10:21 munashiriki meza ya Yehova
MIANZO,
Zek 4:10 siku ya mianzo midogo?
MICHAFU,
Efe 5:4 mizaha michafu
MICHANGO,
2Ny 31:10 kuleta michango
MIDOMO,
Mez 10:19 anazuia midomo
Isa 29:13 wananiheshimia kwa midomo
Ho 14:2 tutatoa sifa ya midomo
Ebr 13:15 zabihu, tunda la midomo
MIFANO,
Mt 13:34 Yesu alitumia mifano
Mk 4:2 kuwafundisha kwa kutumia mifano
1Ko 10:6 yalikuwa mifano kwetu
1Pe 5:3 mifano kwa kundi
MIFUPA,
2Fa 13:21 aligusa mifupa ya Elisha
Zb 34:20 Analinda mifupa yake
Yer 20:9 kuwaka katika mifupa yangu
MIGAWANYIKO,
Ro 16:17 wanaleta migawanyiko
1Ko 1:10 migawanyiko kati yenu
MIGUMU,
Mk 3:5 walikuwa na mioyo migumu
MIGUU,
Isa 52:7 yenye kupendeza miguu
Yoh 13:5 kunawisha wanafunzi miguu
Ro 16:20 atamuponda chini ya miguu
MIIBA,
Mk 15:17 wakasuka taji la miiba na
MIILI,
Ro 6:13 mutoe miili yenu kwa Mungu
Ro 12:1 mutoe miili yenu ikuwe zabihu
MIJI,
Lu 4:43 nitangaze katika miji
MIJI YA MAKIMBILIO,
Hes 35:11 miji ya makimbilio yenye kuwafaa
Yos 20:2 Mujichagulie miji ya makimbilio
MIKAELI,
Da 10:13 Mikaeli mumoja kati ya
Da 12:1 Mikaeli atasimama
Ufu 12:7 Mikaeli na malaika wake
MIKONO,
Isa 35:3 Mutie nguvu mikono zaifu
MIKONO WAZI,
Kum 16:16 asionekane mikono wazi
MIKUSANYIKO,
Law 23:4 mikusanyiko mitakatifu
MILANGO,
Yoh 20:19 milango imefungwa
MILELE,
Mwa 3:22 kula na kuishi milele
Zb 37:29 Wenye haki wataishi milele
Muh 3:14 kila kitu kitadumu milele
1Pe 1:25 neno la Yehova linadumu milele
MILIMA,
Mwa 7:20 yakapanda juu ya milima
MIMBA,
Kut 21:22 mwanamuke mwenye mimba
1Te 5:3 maumivu ya mwenye mimba
MINA,
Lu 19:16 mina yako imeleta faida
MIOYO,
Mez 17:3 Yehova anachunguza mioyo
Lu 12:34 kwenye kuwa hazina, ni pale mioyo
Lu 21:34 mioyo yenu isilemewe
Lu 24:32 mioyo iliwaka wakati alikuwa
1Yo 3:20 ni mukubwa kuliko mioyo
MIPAKA,
Law 23:22 mavuno ya mipaka ya
1Te 4:6 hapaswe kuvuka mipaka
MIPANGO,
Mez 15:22 Mipango inashindikana
Mez 19:21 Moyo uko na mipango
MIRIAMU,
Hes 12:1 Miriamu na Haruni
MISHALE,
Zb 127:4 mishale katika mukono
MISRI,
Mt 2:15 Kutoka Misri nilimuita
MITI,
Isa 61:3 wataitwa miti ya haki
Eze 47:12 Aina zote za miti zitakuwa
Ufu 22:14 kuenda kwenye miti ya uzima
MITUME,
Mt 10:2 majina ya mitume 12
Mdo 15:6 mitume na wazee wakakusanyika
1Ko 15:9 mudogo zaidi kati ya mitume
2Ko 11:5 mitume wenu wenye kujiona
MIZANI,
Law 19:36 mizani sawa
Mez 11:1 Mizani za uongo ni chukizo
MIZEITUNI, MULIMA WA,
Lu 22:39 kwenye Mulima wa mizeituni
Mdo 1:12 Mulima wa Mizeituni, karibu na
MIZIGO,
Lu 11:46 munabebesha mizigo
Gal 6:2 kubebeana mizigo mizito
MIZIZI,
Lu 8:13 lakini hawana mizizi
MOTO,
Yer 20:9 moto katika mifupa
Mt 25:41 moto wa milele
1Ko 3:13 moto utaonyesha ni kazi
1Te 5:19 Musizimishe moto wa roho
2Ti 1:6 uchochee kama moto zawadi
2Pe 3:7 vimewekwa kwa ajili ya moto
MOYO,
Mwa 6:5 muelekeo wa moyo
Kum 6:6 yanapaswa kuwa kwenye moyo
1Fa 8:38 anajua pigo la moyo wake
2Ny 16:9 moyo wao ni kamili
Ezr 7:10 Ezra ametayarisha moyo
Zb 51:10 Umba moyo safi
Zb 51:17 Moyo wenye kuvunjika
Mez 4:23 Linda moyo wako
Mez 17:22 Moyo wenye furaha ni dawa
Mez 28:26 anategemea moyo, ni mujinga
Yer 17:9 Moyo ni mudanganyifu
Yer 17:10 Mimi, ninachunguza moyo
Yer 31:33 nitaiandika katika moyo wao
Mt 15:19 mawazo ya wizi yanatoka katika moyo
Mt 22:37 kumupenda Yehova kwa moyo wote
Mdo 16:14 akafungua wazi moyo wake
Ro 6:17 watiifu kutoka katika moyo
Ebr 3:12 moyo muovu, kwa kujitosha
MUAMINIFU,
Lu 16:10 muaminifu katika mambo ya kidogo
1Ko 10:13 Mungu ni muaminifu
Ufu 2:10 muaminifu kufikia kifo
MUAMUZI,
Isa 33:22 Yehova ni Muamuzi wetu
Lu 18:2 muamuzi hamuogope Mungu
MUANGALIFU,
1Ti 4:16 muangalifu kuhusu
MUASI-IMANI,
Mez 11:9 muasi-imani anamuharibu
MUBAYA,
Tit 2:8 la mubaya la kusema
MUCHANGA,
Mwa 22:17 uzao kama muchanga
Ufu 20:8 Hesabu yao kama muchanga
MUCHEZO,
Mez 10:23 mwenendo wa haya ni muchezo
MUCHONGEZI,
Mez 16:28 muchongezi anatenganisha marafiki
MUCHOYO,
Mez 23:6 chakula cha muchoyo
MUCHUNGAJI,
Zb 23:1 Yehova ni Muchungaji
Isa 40:11 Atatunza kundi kama muchungaji
Eze 37:24 na muchungaji mumoja Daudi
Zek 13:7 Piga muchungaji, na kundi
Mt 9:36 kondoo wenye hawana muchungaji
Yoh 10:11 muchungaji mwema; anatoa uzima
Yoh 10:14 Mimi ndiye muchungaji mwema
Yoh 10:16 kundi moja, muchungaji mumoja
MUDA,
Ebr 11:13 wakaaji wa muda
Ebr 11:25 kuliko kufurahia zambi kwa muda
MUDANGANYIFU,
Mez 3:32 Yehova anachukia mudanganyifu
Yer 17:9 Moyo ni mudanganyifu
MUDOGO,
Isa 60:22 Mudogo atakuwa 1 000
MUDOGO ZAIDI,
Lu 9:48 kama mudogo zaidi
MUELEKEO,
Mwa 8:21 muelekeo wa moyo
1Ny 28:9 Mungu anatambua kila muelekeo
Flp 2:20 mwenye muelekeo kama wake
MUFALME,
Amu 21:25 mufalme katika Israeli
1Sa 23:17 mufalme juu ya Israeli
Zb 2:6 mufalme Juu ya Sayuni
Mez 21:1 Moyo wa mufalme ni kama
Isa 32:1 Mufalme atatawala
Zek 14:9 Yehova atakuwa Mufalme
Mt 21:5 Mufalme anakuja juu ya punda
Mt 27:29 Jambo, Mufalme wa Wayahudi!
Yoh 19:15 hatuna mufalme isipokuwa
1Ko 15:25 kutawala akiwa mufalme
MUFALME WA KASKAZINI,
Da 11:7 ngome ya mufalme wa kaskazini
Da 11:40 mufalme wa kaskazini atamushambulia
MUFALME WA KUSINI,
Da 11:11 mufalme wa kusini atakuwa
Da 11:40 mufalme wa kusini atasukumana
MUFANO,
Mwa 1:26 mutu kwa mufano wetu
Yoh 13:15 niliwawekea mufano
1Ti 4:12 mufano kwa waaminifu
2Ti 1:13 mufano wa maneno yenye faida
Ebr 8:5 vitu kulingana na mufano
Yak 5:10 mufuate mufano wa manabii
1Pe 2:21 Kristo aliwaachia mufano
MUFANYABIASHARA,
Mt 13:45 Ufalme ni kama mufanyabiashara
MUFANYAKAZI,
Lu 10:7 mufanyakazi anastahili
MUFINYANZI,
Isa 64:8 uko Mufinyanzi wetu
Ro 9:21 mufinyanzi iko na mamlaka
MUFUASI,
Mt 19:21 ukuwe mufuasi wangu
MUFUPA,
Mwa 2:23 mufupa wa mifupa yangu
Mez 25:15 ulimi laini unavunja mufupa
Yoh 19:36 Hakuna mufupa wenye utavunjwa
MUGAWANYIKO,
Mt 10:35 kuleta mugawanyiko
MUGENI,
Zb 15:1 mugeni katika hema yako?
MUGONJWA,
Isa 33:24 atasema: Niko mugonjwa
Yak 5:14 Je, kuko mugonjwa kati yenu?
MUGUMU,
Ebr 3:13 mugumu kwa nguvu za
MUHESHIMIWA,
Mdo 24:3 Muheshimiwa Feliksi
MUHUBIRI,
2Pe 2:5 Noa, muhubiri wa haki
MUHURI,
Wim 8:6 kama muhuri juu ya moyo
2Ko 1:22 ametia muhuri wake juu yetu
MUJANE,
Zb 146:9 anamutegemeza mujane
Mk 12:43 mujane huyu ametoa zaidi
Lu 18:3 mujane alikuwa anamuendea na kusema
MUJI,
Ebr 11:10 muji wenye misingi ya kweli
MUJINGA,
Mez 14:15 Mujinga anaamini kila neno
MUJUMBE,
Mal 3:1 Ninamutuma mujumbe wangu
MUKAAJI MUGENI,
Kut 22:21 kumutendea mukaaji mugeni
Hes 9:14 kwa ajili ya mukaaji mugeni
Kum 10:19 kumupenda mukaaji mugeni
MUKABA,
Isa 11:5 Haki itakuwa mukaba
MUKAMILIFU,
Ebr 2:10 Kiongozi Mukubwa mukamilifu
MUKARIBISHAJI-WAGENI,
Tit 1:7, 8 anapaswa kuwa mukaribishaji-wageni
MUKARIMU,
Mez 11:25 mukarimu atafanikiwa
MUKATE,
Ne 9:15 mukate kutoka mbinguni
Zb 37:25 watoto wake wakitafuta mukate
Isa 55:2 chenye hakiko mukate? Mt 4:4 hapaswe kuishi kwa mukate tu
Mt 6:11 Utupatie mukate wetu
Mt 26:26 Yesu akakamata mukate
Yoh 6:35 Mimi ndio mukate wa uzima
1Ko 10:17 mukate mumoja, tunakula mukate
MUKAZO,
2Ko 1:8 chini ya mukazo mukubwa
MUKONO,
Zb 145:16 Unafungua mukono
Isa 41:10 Nitakushika kwa mukono
Zek 14:13 mukono wa mwenzake
Mt 6:3 usiache mukono wa kushoto ujue
Mt 6:27 kuongeza mukono kwenye
Yoh 12:38 mukono wa Yehova
MUKOPAJI,
Mez 22:7 mukopaji ni mutumwa
MUKOPO,
Mez 11:15 anaahidi kulipia mukopo
MUKUBWA,
Isa 9:6 Mukubwa wa Amani
Da 10:13 mukubwa wa Uajemi alisimama
Yoh 14:28 Baba ni mukubwa kuliko mimi
1Yo 3:20 Mungu ni mukubwa kuliko mioyo
MUKUKI,
1Sa 18:11 akatupa mukuki huo
MUKUSANYA-KODI,
Mt 18:17 akuwe kwako kama mukusanya-kodi
Lu 18:11 siko kama mukusanya-kodi
MULANGO,
Mt 7:13 mulango mwembamba
1Ko 16:9 nimefunguliwa mulango mukubwa
Ufu 3:20 kwenye mulango ninapiga hodi
MULEVI,
Mez 23:21 mulevi atakuwa maskini
1Ko 5:11 muache kushirikiana na mulevi
MULIMA,
Zb 24:3 mulima wa Yehova?
Isa 2:3 tupande kwenye mulima wa
Isa 11:9 mulima wangu mutakatifu
Da 2:35 likakuwa mulima mukubwa
MULOZI,
Mdo 13:6 Bar-Yesu, mulozi
MUMOJA,
Mdo 15:25 uamuzi mumoja
1Ko 8:6 Mungu mumoja, Bwana mumoja
MUNARA,
Mwa 11:4 Tujijengee munara
Mez 18:10 Jina la Yehova ni munara
Lu 13:4 18 munara uliangukia kule Siloamu
MUNARA WA MULINZI,
Isa 21:8 ninasimama juu ya munara wa mulinzi
MUNGANGA,
Lu 5:31 lazima ya munganga
MUNGU,
Kum 10:17 Yehova ni Mungu wa miungu
Mt 27:46 Mungu, sababu gani umeniacha?
Yoh 1:18 Hakuna mwenye amemuona Mungu
Yoh 17:3 kukujua wewe Mungu wa pekee
Yoh 20:17 Mungu wangu na Mungu wenu
1Ko 8:4 hakuna Mungu isipokuwa
2Ko 4:4 mungu wa mupangilio huu
Efe 4:6 Mungu mumoja na Baba
1Yo 4:8 Mungu ni upendo
MUNYAMA,
Law 18:23 ngono na munyama
MUNYENYEKEVU,
Zek 9:9 munyenyekevu na amepanda
MUONGO,
Zb 101:7 hakuna muongo mwenye
Mez 19:22 maskini kuliko kuwa muongo
Yoh 8:44 Ibilisi, muongo na baba ya
MUONGOZO WA ROHO,
1Ny 28:12 alijulishwa kupitia muongozo wa roho
MUOVU,
Mez 29:2 muovu anatawala, watu wanalia
Isa 26:10 muovu anaonyeshwa wema
1Yo 5:19 ulimwengu katika nguvu za muovu
MUPAKA,
Zb 119:96 amri yako haina mupaka
MUPATANISHI,
1Ti 2:5 mupatanisha kati ya Mungu
MUPENDWA,
Mt 3:17 Mwana wangu, mupendwa
MUPIGANAJI-VITA,
Yer 20:11 Yehova kama mupiganaji-vita
MUPOLE,
2Ti 2:24 mupole kwa wote
MUPUMBAVU,
Zb 14:1 Mupumbavu anasema
MUPYA,
Isa 42:9 mambo ya mupya
Yoh 13:34 Ninawapatia amri mupya
Mdo 17:21 kusikiliza jambo la mupya
Ufu 21:1 mbingu mupya na
MUSA,
Hes 12:3 Musa alikuwa mupole
Zb 106:32 yakamuendea Musa mubaya
Mdo 7:22 Musa alikuwa na nguvu
2Ko 3:7 kuangalia uso wa Musa
MUSAADA,
Zb 46:1 Musaada wenye kupatikana
MUSAIDIZI,
Yoh 14:16 atawapatia musaidizi
Yoh 14:26 musaidizi, roho takatifu
MUSAMAHA,
Mt 26:28 musamaha wa zambi
MUSAMARIA,
Lu 10:33 Musamaria akamusikilia huruma
MUSHAHARA,
Mwa 31:7 kubadilisha mushahara wangu
Ro 6:23 mushahara wenye zambi inalipa
MUSHAURI,
Isa 9:6 Mushauri wa Ajabu
MUSHITAKI,
Ufu 12:10 mushitaki wa ndugu
MUSIMAMIZI-NYUMBA,
Lu 12:42 musimamizi-nyumba muaminifu
MUSINGI,
Lu 6:48 musingi juu ya mwamba
Ro 15:20 musingi wa mutu mwingine
1Ko 3:11 hakuna musingi mwingine
MUTAKATIFU,
Law 19:2 mimi ni mutakatifu
1Pe 1:15 watakatifu katika mwenendo
Ufu 4:8 mutakatifu ni Yehova Mungu
MUTANGO,
Yon 4:10 Ulisikilia huruma mutango
MUTAWALA,
Da 4:17 Mwenye Kuwa Juu Zaidi ni Mutawala
Yoh 12:31 mutawala wa ulimwengu atatupwa
Yoh 14:30 mutawala wa ulimwengu hana uwezo
MUTAZAMO,
Efe 4:23 mutazamo wenye unatawala
Efe 6:7 kuwa na mutazamo muzuri
Flp 2:5 mutazamo wa akili wenye ulikuwa
MUTEGO,
Zb 91:3 mutego wa muwindaji
Mez 29:25 Kutetemeka ni mutego
Lu 21:34, 35 siku ikuje kama mutego
MUTENDA-ZAMBI,
Lu 15:7 furaha sababu ya mutenda-zambi
Lu 18:13 unihurumie, mimi mutenda-zambi
MUTI,
Mwa 2:9 muti wa ujuzi wa mema na
Mwa 2:9 muti wa uzima katikati
Zb 1:3 muti pembeni ya maji
Da 4:14 Mukate muti huu, mukate
Mk 15:25 wakamupigilia kwenye muti
Lu 23:21 Auawe kwenye muti!
Gal 3:13 ametundikwa kwenye muti
Ufu 2:7 ruhusa ya kula matunda ya muti
MUTIIFU,
1Fa 3:9 moyo mutiifu
Flp 2:8 mutiifu mupaka kifo
MUTI MUDOGO WA MIIBA,
Mdo 7:30 muti mudogo wa miiba wenye kuwaka
MUTIWA-MAFUTA,
Zb 2:2 kumupinga mutiwa-mafuta
MUTI WA MATESO,
Mt 10:38 hakubali muti wake wa mateso
Lu 9:23 achukue muti wake wa mateso kila siku
MUTI WA TINI,
1Fa 4:25 chini ya muti wake wa tini
Mik 4:4 na muti wake wa tini
Mt 21:19 muti wa tini ukakauka
Mk 13:28 mufano kuhusu muti wa tini
MUTO,
Ufu 12:16 dunia ikameza ule muto
Ufu 22:1 muto wa maji ya uzima
MUTOAJI-SHERIA,
Yak 4:12 mwenye kuwa Mutoaji-sheria
MUTOTO,
Amu 13:8 namna tunapaswa kumutendea mutoto
Lu 9:47 akamuchukua mutoto mudogo
1Ko 13:11 ninawaza kama mutoto
MUTOTO MWANAMUKE,
2Fa 5:2 mutoto mudogo mwanamuke
Mk 5:42 mutoto mwanamuke akasimama
MUTOTO MWANAUME,
Mez 22:6 Zoeza mutoto mwanaume; hata
MUTOTO MWENYE HANA BABA,
Kut 22:22 kumutesa mutoto mwenye hana baba
MUTUMISHI,
1Sa 2:11 akakuwa mutumishi
Isa 42:1 Mutumishi, mwenye ninategemeza!
Mk 10:43 anapaswa kuwa mutumishi
MUTUMWA,
Mez 22:7 mukopaji ni mutumwa
Mt 24:45 Ni nani mutumwa muaminifu?
Mt 25:21 mutumwa mwema na muaminifu!
Yoh 8:34 mwenye anazoea zambi ni mutumwa
MUTU MWENYE KUPASHANA HABARI NA PEPO WACHAFU,
Kum 18:11 shauri kwa mutu mwenye kupashana habari na pepo wachafu
MUTU MWENYE KUSAFISHA,
Mal 3:3 atakaa kama mutu mwenye kusafisha
MUTU WA UVUNJAJI WA SHERIA,
2Te 2:3 mutu wa uvunjaji wa sheria afunuliwe
MUUAJI,
Hes 35:6 ili muuaji akimbilie
Yoh 8:44 alikuwa muuaji wakati alianza
MUUMBAJI,
Muh 12:1 kumbuka Muumbaji
MUVIRINGO,
Isa 40:22 muviringo wa dunia
MUVIVU,
Mez 6:6 Uende kwa siafu, muvivu
Mez 10:26 moshi katika macho, Ni vile muvivu
Mez 19:24 Muvivu anazika mukono
Mez 20:4 Muvivu halime
Ro 12:11 wenye bidii, hapana wavivu
MUVURUGO,
1Ko 14:33 haiko Mungu wa muvurugo
MUWINDAJI WA NDEGE,
Zb 91:3 mutego wa muwindaji wa ndege
MUYAHUDI,
Zek 8:23 watashika kanzu ya Muyahudi
1Ko 9:20 Kwa Wayahudi kama Muyahudi
MUZABIBU,
Mik 4:4 chini ya muzabibu
Yoh 15:1 Mimi ndiye muzabibu wa kweli
MUZAHA,
Mwa 19:14 anafanya muzaha
Mez 26:19 ninafanya muzaha tu!
MUZALIWA-PEKEE,
Yoh 1:18 mungu muzaliwa-pekee
Yoh 3:16 Mwana wake muzaliwa-pekee
MUZALIWA WA KWANZA,
Kut 11:5 kila muzaliwa wa kwanza atakufa
Kol 1:15 muzaliwa wa kwanza wa viumbe
MUZEE WA SIKU,
Da 7:9 Muzee wa Siku akakaa
MUZEITUNI,
Zb 52:8 muzeituni katika nyumba
Ro 11:17 muzeituni wa pori
MUZIGO,
Zb 38:4 makosa kama muzigo
Zb 55:22 Umutupie Yehova muzigo wako
Zb 68:19 Yehova anatubebea muzigo
Mdo 15:28 tusiwaongezee muzigo zaidi
Gal 6:5 muzigo wake mwenyewe
1Te 2:6 muzigo muzito wa kututunza
Ufu 2:24 siwaongezee ninyi muzigo
MUZIGO MUZITO,
1Yo 5:3 amri zake haziko muzigo muzito
MUZIMA,
1Pe 3:18 akafanywa kuwa muzima
MUZURI,
Kut 4:10 siko musemaji muzuri
Mt 25:21 Umefanya muzuri, mutumwa
Ro 5:7 kufa kwa ajili ya mutu muzuri
Ro 7:19 jambo la muzuri lenye ninataka
Gal 6:10 tutendee wote mambo ya muzuri
MUZURI ZAIDI,
1Ko 12:31 njia ya muzuri zaidi
MVUA,
Mwa 7:12 Mvua ikanyesha siku 40
Kum 11:14 nitawapatia mvua ya kipindi
Kum 32:2 Mafundisho yataanguka kama mvua
Isa 55:10 kama vile mvua na teluji hairudie
Mt 5:45 mvua juu ya wenye haki na wenye
MWAKA,
Hes 14:34 siku 40, siku moja mwaka mumoja
MWAKILISHI,
Yoh 7:29 mwakilishi kutoka kwake
MWAMBA,
Kum 32:4 Mwamba, kazi zake ni
Mt 7:24 alijenga nyumba juu ya mwamba
MWANA,
Zb 2:12 Mumuheshimie mwana
Mez 13:24 anazuia fimbo anachukia mwana
Mez 15:20 Mwana mwenye hekima
Mt 3:17 Huyu ni Mwana wangu, mupendwa
Lu 15:13 mwana mudogo akatumia mubaya mali
MWANADAMU MWENYE ANAWEZA KUFA,
Zb 8:4 Mwanadamu mwenye anaweza kufa ni
MWANA-KONDOO,
2Sa 12:3 isipokuwa mwana-kondoo
Yoh 1:29 Mwana-kondoo wa Mungu
MWANAMUKE,
Mwa 3:15 uadui kati yako na mwanamuke
Muh 7:26 Mwanamuke muchungu kuliko kifo
Ufu 12:1 Mwanamuke amepambwa jua
MWANAUME,
Law 20:13 mwanaume analala na
MWANA WA BINADAMU,
Da 7:13 mwana wa binadamu anakuja na
Mt 10:23 mupaka Mwana wa binadamu afike
Lu 21:27 watamuona Mwana wa binadamu
MWANGA,
Zb 62:8 Mumwange mioyo yenu
MWANGALIZI,
1Ti 3:1 ili akuwe mwangalizi
1Pe 2:25 mwangalizi wa nafsi zenu
MWANGAZA,
Zb 36:9 Kupitia mwangaza
Zb 119:105 Neno lako ni mwangaza
Mez 4:18 iko kama mwangaza
Isa 42:6 mwangaza wa mataifa
Mt 5:14 ninyi ni mwangaza wa ulimwengu
Mt 5:16 mwangaza wenu uangaze
Yoh 8:12 mimi ni mwangaza wa ulimwengu
2Ko 4:6 Mwangaza uangaze katika giza
MWANZO,
Isa 46:10 matokeo tangu mwanzo
Mt 24:8 yote ni mwanzo wa maumivu
MWANZO WA KIPINDI,
1Ko 7:36 amepita mwanzo wa kipindi cha ujana
MWEKUNDU,
Mwa 25:30 muchuzi mwekundu
MWEMBAMBA,
Mt 7:13 mulango mwembamba
MWENDO,
Mwa 33:14 mwendo wa mifugo
Mdo 20:24 mwendo wangu na utumishi
MWENENDO,
Gal 6:16 kanuni hii ya mwenendo
1Pe 2:12 mwenendo muzuri kati ya mataifa
1Pe 3:1 wavutwe kupitia mwenendo
1Pe 3:16 wapate haya sababu ya mwenendo
MWENENDO MUPOTOVU WA BILA HAYA,
Gal 5:19 uchafu, mwenendo mupotovu wa bila haya
2Pe 2:7 na mwenendo mupotovu wa bila haya
MWENEZA-INJILI,
Mdo 21:8 Filipo mweneza-injili
2Ti 4:5 kazi ya mweneza-injili
MWENYE HAKI,
Zb 34:19 Magumu ya mwenye haki ni mengi
Zb 37:25 sijamuona mwenye haki ameachwa
Zb 72:7 mwenye haki atasitawi
Zb 141:5 Kama mwenye haki ananipiga
Mez 24:16 mwenye haki anaweza kuanguka
MWENYE KUNGAA,
Isa 14:12 Ee mwenye kungaa
MWENYE KUPATIA ZAWABU,
Ebr 11:6 mwenye kuwapatia zawabu wale
MWENYE KUWA JUU ZAIDI,
Zb 83:18 Yehova, Mwenye Kuwa Juu Zaidi
Da 4:17 Mwenye Kuwa Juu Zaidi ni Mutawala
MWEPESI,
Yak 1:19 mwepesi wa kusema
MWEREVU,
Mez 12:23 mwerevu anaficha
Mez 14:15 mwerevu anafikiria hatua
Mez 22:3 mwerevu anaona hatari
MWEUPE,
Ufu 7:14 kanzu zao na kuzifanya mweupe
MWEZI,
Yoe 2:31 mwezi utakuwa damu
Lu 21:25 alama katika jua na mwezi
MWIBA,
2Ko 12:7 nilipewa mwiba katika mwili
MWILI,
Mwa 2:24 mwili mumoja
Yob 33:25 Mwili wake ukuwe teketeke
Mt 10:28 musiogope wenye wanaua mwili
Mt 26:26 Huu unamaanisha mwili wangu
Ro 8:5 wanaishi kulingana na mwili
1Ko 7:4 mamlaka juu ya mwili wake, lakini bibi
1Ko 12:18 amepanga kila kiungo cha mwili
1Ko 15:44 Unapandwa ukiwa mwili wa nyama
Gal 5:19 matendo ya mwili
Flp 3:21 atageuza mwili wetu wa hali ya chini
MWISHO,
Muh 12:13 ndio mwisho wa jambo
Isa 2:2 kipindi cha mwisho cha siku
Mt 24:14 kisha mwisho utakuja
Yoh 13:1 Yesu aliwapenda mupaka mwisho
2Ti 4:7 nimekimbia mupaka mwisho
MWITO,
Efe 4:1 namna yenye kustahili mwito
MWIZI,
Mez 6:30 mwizi anaiba wakati anasikia
Mez 29:24 Mwenye kushirikiana na mwizi
Mt 24:43 angejua wakati mwizi atakuja
1Te 5:2 siku inakuja sawasawa na mwizi
MWOKOZI,
2Sa 22:3 Mungu ni mwokozi wangu
Mdo 5:31 Kiongozi Mukubwa na Mwokozi
N
NABII,
Kum 18:18 Nitawainulia nabii
Eze 2:5 watajua nabii alikuwa kati yao
Amo 7:14 sikukuwa nabii wala mwana wa nabii
NAFASI,
Gal 6:10 tungali na nafasi, tutendee
NAFSI,
Hes 31:28 nafsi moja kati ya wanadamu
Eze 18:4 Nafsi yenye inatenda zambi itakufa
Mt 22:37 kumupenda Yehova kwa nafsi
NAFSI YOTE,
Efe 6:6 ya Mungu kwa nafsi yote
Kol 3:23 mulifanye kwa nafsi yote
NAINI,
Lu 7:11 muji wenye kuitwa Naini
NAMNA,
Mdo 1:11 atakuja kwa namna ileile
2Pe 3:11 munapaswa kuwa watu wa namna gani
NANGA,
Ebr 6:19 tumaini kama nanga ya nafsi
NATANI,
2Sa 12:7 Natani akamuambia: ni wewe!
NAWISHA,
Yoh 13:5 akaanza kunawisha wanafunzi
NAZIRI,
Kum 23:21 unafanya naziri kwa Yehova
Amu 11:30 Yefta akafanya naziri
NDANI,
Ro 7:22 mwenye niko kwa ndani
2Ko 4:16 mwenye tuko kwa ndani
Efe 3:16 mwenye muko kwa ndani
NDANI KABISA,
Ufu 2:23 mawazo ya ndani kabisa
NDEGE,
Mt 6:26 Muangalie ndege wa mbinguni
NDIYO,
Mt 5:37 Ndiyo imaanishe ndiyo
NDOA,
Kum 7:3 mapatano ya ndoa
Mt 22:2 alifanya karamu ya ndoa
Yoh 2:1 karamu ya ndoa katika Kana
Ebr 13:4 Ndoa iheshimiwe na wote
Ufu 19:7 ndoa ya Mwana-Kondoo
NDOTO,
Muh 5:3 ndoto inatokana na mawazo
NDUGU,
Mez 17:17 ndugu kwa ajili ya nyakati za
Mez 18:24 anashikamana sana kuliko ndugu
Mt 13:55 ndugu zake Yakobo, Yosefu, na
Mt 23:8 na ninyi wote ni ndugu
Mt 25:40 mumoja wa ndugu zangu, mulinitendea
1Ko 5:11 ndugu mwenye kuwa mwasherati
1Pe 5:9 ushirika muzima wa ndugu
NEBUKADNEZA,
Da 2:1 Nebukadneza aliota ndoto
NENO,
Mez 25:11 neno wakati wenye kufaa
Isa 55:11 neno langu litafanikiwa
Lu 8:12 Ibilisi anaondoa lile neno
Yoh 1:1 Katika mwanzo Neno alikuwa
Yoh 17:17 neno lako ni kweli
Mdo 18:5 Paulo akahangaikia neno
Flp 2:16 kushika sana neno la uzima
2Ti 2:15 ukitumia sawasawa neno la kweli
NENO LA MUNGU,
Isa 40:8 neno la Mungu linadumu
Mk 7:13 munafanya neno la Mungu kuwa bure
1Te 2:13 mulikubali neno la Mungu kama
Ebr 4:12 neno la Mungu liko na uzima
NGAMIA,
Mt 19:24 vyepesi zaidi kwa ngamia
NGANO,
Mt 13:25 magugu katikati ya ngano
NGAO,
Zb 84:11 Yehova ni jua na ngao
Efe 6:16 ngao kubwa ya imani
NGAZI,
Mwa 28:12 ngazi ilifika mbinguni
NGOJEA,
Zb 37:7 umungojee Yehova
Mik 7:7 mutazamo wa kumungojea
Hab 2:3 yakikawia, endelea kuyangojea
Lu 3:15 watu walikuwa wanangojea
Lu 21:26 watazimia sababu ya kungojea
Ro 8:25 tunaendelea kukingojea
NGOMBE-DUME,
Kut 21:28 ngombe-dume anamupiga kwa pembe
Kum 25:4 Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume
Mez 7:22 kama ngombe-dume mwenye anaenda
Ho 14:2 tungetoa ngombe-dume wadogo
1Ko 9:9 Je, ngombe-dume ndio wenye
NGOME,
Zb 18:2 Yehova ni ngome
Isa 25:4 ngome kwa mutu wa hali ya chini
Lu 19:43 ngome ya miti
NGUMU,
2Ti 3:1 nyakati ngumu
NGUO,
Mwa 3:21 nguo za murefu
NGURUWE,
Lu 8:33 wakaingia ndani ya nguruwe
Lu 15:15 ili achunge nguruwe
2Pe 2:22 nguruwe mwenye alioshwa
NGUVU,
Yos 1:7 hodari na mwenye nguvu
Zb 29:11 atapatia watu wake nguvu
Zb 31:10 Nguvu zangu zinapunguka
Zb 84:7 kutoka nguvu mupaka nguvu
Mez 17:22 inamaliza mutu nguvu
Isa 35:4 Mukuwe na nguvu. Musiogope
Isa 40:29 Anapatia nguvu mwenye kuchoka
Isa 40:31 watapata nguvu tena
Zek 4:6 Hapana kwa nguvu za jeshi
Mk 5:30 akatambua nguvu zimemutoka
Mk 12:30 kumupenda Yehova kwa nguvu
Mdo 1:8 mutapokea nguvu
Ro 15:1 uzaifu wa wenye hawana nguvu
1Ko 16:13 mukuwe na nguvu
2Ko 4:7 nguvu kupita za kawaida
2Ko 12:9 nguvu zangu zinakamilishwa
2Ko 12:10 ndio wakati ninakuwa na nguvu
Flp 4:13 niko na nguvu kupitia
2Ti 2:15 Fanya nguvu yako yote ili ujitoe
2Pe 3:14 mufanye nguvu ili awapate
Ufu 3:8 ninajua uko na nguvu kidogo
NGUZO,
Mwa 19:26 akakuwa nguzo
Kut 13:22 nguzo ya wingu, nguzo ya
Gal 2:9 walionekana kuwa nguzo
1Ti 3:15 nguzo na tegemezo la kweli
NIA,
Mez 16:2 Yehova anachunguza nia
NINAWI,
Yon 4:11 kusikilia huruma Ninawi?
NIRA,
1Fa 12:14 alifanya nira kuwa nzito
Mt 11:30 nira yangu haiko yenye kuumiza
2Ko 6:14 Musifungwe nira na
NITAKUWA,
Kut 3:14 Nitakuwa amenituma
NIZAMU,
Mez 1:7 wapumbavu wanazarau nizamu
Mez 3:11 usikatae nizamu ya Yehova
Mez 19:18 Patia mwana nizamu
Mez 23:13 Usiime mutoto nizamu
Ebr 12:11 hakuna nizamu yenye kufurahisha
Ufu 3:19 wenye ninapenda, ninawatia nizamu
NJAA,
Zb 37:19 Wakati wa njaa watakuwa
Isa 65:13 ninyi mutakuwa na njaa
Amo 8:11 Hapana njaa ya mukate
NJIA,
Mez 4:18 njia ya wenye haki
Mez 16:25 njia inaonekana sawa, lakini
Isa 30:21 Hii ndiyo njia. Mutembee ndani
Yoe 2:7 kila mumoja katika njia yake
Yoh 14:6 Mimi ndiye njia na kweli na uzima
Mdo 9:2 wenye walikuwa wa Ile Njia
1Ko 10:13 atafanya pia njia ya kutokea
Flp 1:27 mujiendeshe kwa njia yenye
NJIWA,
Mt 3:16 ikishuka kama njiwa
Mt 10:16 bila kosa kama njiwa
NOA,
Mwa 6:9 Noa alitembea na Mungu
Mt 24:37 kama vile siku za Noa
NUNGUNIKA,
Hes 14:27 Waisraeli wananungunika
1Ko 10:10 tusinungunike kama wamoja
Flp 2:14 kufanya mambo bila kunungunika
Yud 16 Watu hawa ni wenye kunungunika
NUNULIA,
Ufu 5:9 kwa damu ukanunulia Mungu
NUNULIWA,
1Ko 7:23 Mulinunuliwa kwa bei
NYAKATI ZENYE ZILIWEKWA,
Lu 21:24 nyakati zenye ziliwekwa za mataifa
NYAMA,
Mez 23:20 kula nyama nyingi
1Ko 15:50 nyama na damu haviwezi
NYAMAZA,
Zb 4:4 Museme na munyamaze
Zb 32:3 Wakati nilinyamaza, mifupa ilikuwa zaifu
Muh 3:7 Wakati wa kunyamaza na wa kusema
NYAMAZISHA,
1Pe 2:15 munyamazishe maneno
NYANGANYA,
Law 19:13 haupaswe kunyanganya
NYANGANYWA,
Ebr 10:34 mukakubali kunyanganywa
NYASI,
1Ko 3:12 anajenga juu ya musingi nyasi
NYAVU,
Lu 5:4 mushushe nyavu zenu
NYEKUNDU YENYE KUNGAA,
Isa 1:18 ziko na rangi nyekundu yenye kungaa
NYENYEKEA,
Ebr 13:17 munyenyekee wenye wanaongoza
NYENYEKEZA,
Kum 8:2 akunyenyekeze na
Mt 18:4 atajinyenyekeza kama mutoto
Yak 4:10 Mujinyenyekeze mbele ya Yehova
1Pe 5:6 mujinyenyekeze chini ya mukono wa
NYIMBO,
Ne 12:46 nyimbo za kumusifu
Kol 3:16 nyimbo za kiroho zenye
NYINGI,
Zb 72:16 kutakuwa nafaka nyingi
NYOKA,
Mwa 3:4 nyoka akamuambia mwanamuke:
Yoh 3:14 kama vile Musa aliinua nyoka katika
NYOKA-KOBRA,
Isa 11:8 shimo la nyoka-kobra
NYOKA MUKUBWA,
Ufu 12:9 nyoka mukubwa akatupwa
NYONYESHA,
1Te 2:7 mwenye kunyonyesha
NYOOFU,
Yob 1:8 Yobu munyoofu
NYOTA,
Zb 147:4 anaita nyota kwa majina
Mt 24:29 Kisha tu taabu, nyota zitaanguka
Ufu 2:1 nyota 7 katika mukono wake
NYUMA,
Lu 9:62 mambo yenye kuwa nyuma
NYUMBA,
2Sa 7:13 atajenga nyumba kwa ajili ya
Zb 27:4 nikae katika nyumba ya Yehova
Zb 101:2 nitatembea ndani ya nyumba
Zb 127:1 Kama Yehova hajenge nyumba
Isa 56:7 itaitwa nyumba ya sala
Isa 65:21 Watajenga nyumba na kuishi ndani
Lu 2:49 katika nyumba ya Baba
Yoh 2:16 kuwa nyumba ya biashara!
Yoh 14:2 Katika nyumba ya Baba
Mdo 5:42 na nyumba kwa nyumba
Mdo 7:48 hakae katika nyumba
Mdo 20:20 kuwafundisha nyumba kwa nyumba
2Ko 5:1 nyumba ya milele mbinguni
Efe 2:19 washiriki wa nyumba ya Mungu
Ebr 3:4 kila nyumba inajengwa
NYUZI-NYUZI,
Hes 15:39 upindo wa nyuzi-nyuzi
NYWELE,
Mt 10:30 nywele zimehesabiwa
Lu 21:18 hakuna hata unywele wa
1Ko 11:14 nywele za murefu ni haya
NZIGE,
Yoe 1:4 kiliachwa na nzige
O
OA,
Mt 22:30 wanaume hawaoe
Mt 24:38 mbele ya Garika, wanaoa na
1Ko 7:8 ninaambia wenye hawajaoa
1Ko 7:9 muzuri kuoa ao kuolewa
1Ko 7:32 mwenye hajaoa anahangaikia
1Ko 7:36 Aoe ao aolewe
1Ko 7:38 haoe ao haolewe atafanya muzuri
OGA,
2Fa 5:10 uoge mara 7 katika
OGOPA,
2Ny 20:15 Musiogope watu
Yob 31:34 kuogopa matendo ya watu
Zb 56:4 ninaweka tegemeo; siogope
Zb 118:6 iko upande wangu; sitaogopa
Isa 28:16 mwenye imani hataogopa
Isa 41:10 Usiogope, niko na wewe
Mik 4:4 hakuna mwenye atawaogopesha
Lu 12:4 musiogope wenye wanaua mwili
Ufu 2:10 Usiogope mateso
OGOPA YEHOVA,
Zb 19:9 Kumuogopa Yehova ni jambo safi
Zb 111:10 Kumuogopa Yehova mwanzo wa
Mez 8:13 Kumuogopa Yehova kunamaanisha
OGOPESHA,
Mdo 4:17 basi tuwaogopeshe na
Efe 6:9 kwa njia ileile, bila kuwaogopesha
Ebr 10:31 jambo lenye kuogopesha
1Pe 2:23 Wakati aliteseka, hakuogopesha
OGOPESHWA,
Flp 1:28 bila kuogopeshwa na
OKOA,
Isa 59:1 hauko mufupi usiweze kuokoa
Mt 16:25 mwenye anataka kuokoa uzima wake
Lu 19:10 Mwana wa binadamu alikuja kuokoa
1Ti 4:16 utajiokoa na wenye wanakusikiliza.
OKOLEWA,
Mt 24:22 hakuna mwili ungeokolewa
OKOTA,
Law 19:9 kuokota masalio ya mavuno
Rut 2:8 Boazi akamuambia: Usiende kuokota
OLE,
Isa 5:20 Ole wenye kusema wema ni ubaya
1Ko 9:16 Ole wangu kama sitangaze
Ufu 12:12 Ole wa dunia na wa bahari
OLEWA,
1Ko 7:39 kuolewa katika Bwana tu
OMBA,
Zb 2:8 Uniombe, nitakupatia mataifa
Mt 6:8 muko nacho lazima mbele mumuombe
Mt 7:7 Muendelee kuomba, na
Yoh 14:13 jambo munaomba katika jina langu
Ro 12:1 ninawaomba kwa huruma za
2Ko 5:20 tunaomba: Mupatanishwe
Efe 3:20 kupita mambo yenye tunaomba
Flm 9 nikuombe kwa musingi wa upendo
1Yo 5:14 tunaomba kulingana na mapenzi
OMBEA,
Ro 8:34 Kristo anatuombea
OMBOLEZA,
Mt 5:4 wenye kuomboleza
OMBWA,
Lu 12:48 ataombwa mengi
ONA,
Mt 6:1 ili tu wawaone
Yoh 1:18 Hakuna mwenye amemuona Mungu
Yoh 14:9 mwenye ameniona amemuona Baba
ONA MWEZI,
Law 15:19 siku za kuona mwezi
Law 18:19 wakati wa kuona mwezi
ONDOA,
1Ko 5:13 Muondoe muovu katikati yenu
ONDOKA,
1Ko 7:15 anaamua kuondoka
ONDOLEA,
Flp 2:7 alijiondolea hali yake
ONDOLEWA,
Ro 6:7 amekufa ameondolewa zambi
ONEKANA,
Ro 1:20 sifa zinaonekana
2Ko 4:18 macho juu ya vitu vyenye vinaonekana
Ebr 11:27 Ule mwenye haonekane
ONEKANA KWA INJE,
Mt 22:16 namna wanaonekana kwa inje
2Ko 10:7 namna yanaonekana kwa inje
Gal 2:6 namna anaonekana kwa inje
ONGEA,
Mez 17:9 kuongea juu ya jambo
ONGOZA,
Zb 48:14 atatuongoza kwa umilele
Mez 11:14 ufundi wa kuongoza,
Yer 10:23 hana uwezo wa kuongoza
Ebr 13:7, 17 wanaongoza kati yenu
ONGOZWA NA ROHO,
2Ti 3:16 Kila Andiko limeongozwa na roho
ONJA,
Zb 34:8 Muonje kwamba Yehova ni
Ebr 6:4 wameonja zawadi ya kimbingu
1Pe 2:3 mumeonja kwamba Bwana ni
ONYA,
Eze 3:17 unapaswa kuwaonya
Eze 33:9 kama unamuonya muovu ageuke
ONYESHA,
Yoh 5:20 Baba anamuonyesha Mwana
1Yo 2:16 kujionyesha mali katika maisha
ONYO,
Eze 33:4 hatii onyo, damu yake
1Ko 10:11 yaliandikwa ili kuwa onyo kwetu
OSHA,
Zb 51:2 Unioshe kutokana na kosa
OVYOOVYO,
Yob 6:3 mazungumuzo ya ovyoovyo
OZA,
Efe 4:29 Neno lenye kuoza lisitoke
P
PAJI LA USO,
Eze 3:9 paji la uso kama almasi
PAMBA,
Tit 2:10 wapambe mafundisho
1Pe 3:3 Kujipamba kusikuwe kwa inje
PAMBANA,
Efe 6:12 tunapambana, hapana na
PAMBO,
Da 11:45 mulima mutakatifu wa Pambo
PANDA,
Zb 126:5 wenye kupanda kwa machozi
Muh 11:6 Panda mbegu zako asubui
Isa 65:22 hawatapanda ili wengine
Yoh 3:13 mwenye amepanda mbinguni
1Ko 3:6 Nilipanda, Apolo akatia
Gal 6:7 chenye mutu anapanda, ni kile
PANGA,
Isa 2:4 Watafua panga kuwa majembe
Ro 13:14 munapanga mbele ya wakati
PANGO,
Mt 21:13 pango la wanyanganyi
PANZI,
Isa 40:22 wakaaji ni kama panzi
PARADISO,
Lu 23:43 na mimi katika Paradiso
2Ko 12:4 kuingia katika paradiso
PASAKA,
Kut 12:11 Ni Pasaka ya Yehova
Kut 12:27 Pasaka kwa ajili ya Yehova
1Ko 5:7 Kristo kondoo wa Pasaka
PASUA,
Yoe 2:13 Mupasue mioyo yenu
PATAKATIFU,
Kut 25:8 Watanifanyia patakatifu
Kut 26:33 Patakatifu na Patakatifu Zaidi
Zb 73:17 wakati niliingia katika patakatifu
PATANA NA AKILI,
Mdo 9:22 alihakikisha kupatana na akili
PATANISHA,
2Ko 5:19 anapatanisha ulimwengu
PATANISHWA,
Ro 5:10 tulipatanishwa na Mungu
PATIA,
Lu 16:11 atawapatia mali ya kweli?
Ebr 13:21 awapatie ili mufanye mapenzi
PATIA UZIMA,
Isa 57:15 kupatia uzima roho ya
PAULO
. Angalia pia SAULI,
1Ko 1:12 Mimi ni wa Paulo
PEKE YANGU,
Yoh 16:32 siko peke yangu
PEMBE,
Da 7:7 alikuwa na pembe 10
Da 8:8 pembe kubwa ikavunjwa
PENDA,
Kut 35:5 moyo wa kupenda
Law 19:18 kumupenda mwenzako
Kum 6:5 kumupenda Yehova kwa moyo
Zb 110:3 Watu watajitoa kwa kujipendea
Mez 8:30 alipenda sana siku kwa siku
Mt 10:37 Kila mutu mwenye anamupenda
Mt 22:37 kumupenda Yehova kwa moyo
Mk 10:21 Yesu akamupenda na kusema
Yoh 3:16 Mungu alipenda ulimwengu
Yoh 12:25 anapenda sana uzima
Yoh 13:1 amependa wenye ni wake
Yoh 13:34 kwamba mupendane
Yoh 14:15 Kama munanipenda, mutashika
Yoh 21:17 Simoni, je, unanipenda?
Ro 7:22 ninapenda sheria ya Mungu
Ro 13:8 musikuwe na deni isipokuwa kupendana
1Ko 12:18 kama vile alipenda
Gal 2:20 Mwana wa Mungu, alinipenda
Kol 3:19 kupenda bibi zenu
1Pe 5:2 Muchunge kundi kwa kupenda
1Yo 2:15 Musipende ulimwengu
1Yo 3:18 kupendana, hapana kwa ulimi
1Yo 4:10 yeye alitupenda akamutuma
1Yo 4:20 mwenye hamupendi ndugu
1Yo 5:3 kumupenda Mungu kunamaanisha
Yud 21 mubakie katika upendo wa
Ufu 3:19 wenye ninapenda, ninawakaripia
PENDA SANA,
1Ti 6:4 Anapenda sana ubishi
PENDEKEZA,
Ro 5:8 Mungu anapendekeza upendo
PENDELEO,
Flp 1:29 pendeleo ili muteseke
PENDEZA,
Zb 147:1 Inapendeza kumusifu!
Yoh 8:29 mambo yenye kumupendeza
Ro 15:1 tusikuwe tunajipendeza
Ro 15:2 amupendeze jirani yake
Ro 15:3 Kristo hakujipendeza
1Ko 7:33 kumupendeza bibi yake
1Ko 10:33 ninajaribu kupendeza wote
Gal 1:10 kupendeza wanadamu?
Gal 1:10 ningekuwa ninapendeza wanadamu
Efe 1:5 kulingana na vile ilimupendeza
Efe 6:6 ili tu kupendeza wanadamu
Kol 1:10 ili kumupendeza Yehova
PENDEZWA,
Zb 1:2 anapendezwa na sheria
PEPERUSHWA,
Ebr 2:1 tusipeperushwe mbali
PEPO,
Ufu 7:1 wakishika zile pepo ine za dunia
PEPO MUCHAFU,
Mdo 16:16 pepo muchafu wa uaguzi
PEPO WACHAFU,
Mt 8:28 wanaume wenye pepo wachafu
1Ko 10:20 zabihu kwa pepo wachafu
1Ko 10:21 meza ya pepo wachafu
Efe 6:12 pepo wachafu katika mahali pa
Yak 2:19 pepo wachafu wanaamini na
PETRO,
Mt 14:29 Petro akatembea juu ya maji
Lu 22:54 Petro alikuwa anafuata
Yoh 18:10 Petro, alikuwa na upanga
Mdo 12:5 Petro katika gereza
PEWA,
Lu 12:48 mwenye alipewa mengi
PICHA,
Ro 2:20 picha ya ile kweli
PIGA HODI,
Mt 7:7 muendelee kupiga hodi
PIGA KOFI,
Yoh 19:3 walikuwa wanamupiga makofi
PIGANA,
2Ny 20:17 lazima ya kupigana
Mdo 5:39 munapigana na Mungu
1Ti 6:12 Pigana pigano la muzuri
2Ti 2:24 hana lazima ya kupigana
PIGANIA,
Yud 3 mupiganie imani
PIGA-PIGA,
1Ko 9:27 ninapiga-piga mwili
PIGO,
Kut 11:1 pigo zaidi juu ya Farao
PILATO,
Yoh 19:6 Pilato: sione kosa
PIMWA,
Mez 27:21 mutu anapimwa kupitia sifa
Da 5:27 umepimwa ukaonekana umepungukiwa
PINDUA,
2Ko 10:4 kupindua mambo yenye
PITA,
1Ko 4:6 Musipite yenye yaliandikwa
PLANI,
Kut 26:30 tabenakulo kulingana na plani
1Fa 6:38 nyumba kulingana na plani
POFUSHA,
2Ko 4:4 amepofusha akili
POMBE,
Mez 20:1 pombe inamufanya mutu
PONDEKANA,
Isa 42:3 utete wenye kupondekana
PONDWA,
Zb 34:18 anaokoa wenye kupondwa
Mez 18:14 kuvumilia roho yenye kupondwa
Isa 57:15 wenye kupondwa na wenye
PONGEZA,
1Ko 11:2 Ninawapongeza kwa sababu
PONYESHA,
Zb 147:3 Anaponyesha wenye kuvunjika moyo
Mez 12:18 ulimi wa mwenye hekima unaponyesha
Lu 4:23 Munganga, ujiponyeshe
Lu 9:11 akaponyesha wenye walikuwa na lazima
Lu 10:9 muponyeshe wagonjwa na muwaambie
Ufu 22:2 majani yalikuwa ya kuponyesha
PONYESHWA,
2Ny 36:16 hawangeweza kuponyeshwa
Mdo 5:16 wote walikuwa wanaponyeshwa
POOZA,
Lu 5:24 mwenye kupooza: Simama
POROJO,
Mez 20:19 mwenye anapenda porojo
1Ti 5:13 wanapiga porojo na wanajiingiza
POTEA,
Zb 119:176 kondoo mwenye amepotea
Eze 34:4 kutafuta wenye walipotea
Lu 15:24 mwana alikuwa amepotea
PRISILA,
Mdo 18:26 Prisila na Akila
PUMBAVU,
Lu 12:20 Wewe pumbavu, usiku huu
PUMBAZA,
Yer 20:7 Umenipumbaza, Ee Yehova
PUMUA,
Zb 150:6 chenye kupumua kimusifu Yah
PUMUZI,
Mwa 2:7 matundu ya pua yake pumuzi ya uzima
PUMUZIKA,
Da 12:13 Utapumuzika, lakini
PUMUZIKO LA SABATO,
Ebr 4:9 kunabakia pumuziko la sabato
PUMUZISHA,
Mt 11:28 na nitawapumuzisha
PUNDA,
Hes 22:28 akamufanya punda aseme
Zek 9:9 amepanda juu ya punda
PUNJA,
Law 19:13 kumupunja mwenzako
1Ko 6:7 wengine wawapunje ninyi
PUPA,
Lu 12:15 mujilinde na pupa
1Ko 5:11 kushirikiana na mwenye pupa
1Ko 6:10 wenye pupa hawatariti
Kol 3:5 pupa, yenye kuwa ibada ya sanamu
R
RAFIKI,
2Ny 20:7 Abrahamu rafiki yako
Zb 55:13 Rafiki yangu ambaye ninajua
Mez 17:17 Rafiki wa kweli anapenda
Mez 18:24 rafiki mwenye anashikamana
Mez 27:6 vyenye kutokezwa na rafiki
Yak 2:23 Abrahamu akaitwa rafiki ya Yehova
RAFIKI,
Yak 4:4 rafiki ya ulimwengu ni
RAHA,
Lu 8:14 wanabebwa na raha
Ufu 18:7 maisha ya raha
RAHELI,
Mwa 29:18 miaka 7 kwa ajili ya Raheli
Yer 31:15 Raheli analia wana wake
REBEKA,
Mwa 26:7 Rebeka alikuwa na sura
REFUSHA,
Isa 54:2 refusha kamba za hema
REGEVU,
Mez 19:15 muregevu atakuwa na njaa
REHEMA,
Kum 4:31 Mungu mwenye rehema
1Ny 21:13 rehema yake ni nyingi
Ne 9:19 kwa rehema, haukuwaacha
Zb 78:38 alikuwa mwenye rehema
Mez 28:13 ataonyeshwa rehema
Isa 55:7 atamuonyesha rehema
Mt 5:7 Wenye furaha ni wenye rehema
Mt 9:13 rehema, hapana zabihu
Lu 6:36 kuwa wenye rehema
2Ko 1:3 Baba wa rehema
Yak 2:13 Rehema inapata hukumu
Yak 5:11 Yehova ni mwenye rehema
REKEBISHA,
Kum 8:5 alikuwa anakurekebisha
Zb 94:12 mutu mwenye unarekebisha
Gal 6:1 kumurekebisha kwa roho ya upole
Efe 4:12 kusudi la kurekebisha
REKEBISHWA,
2Ko 13:11 muendelee kufurahi, kurekebishwa
RITI,
Mt 5:5 wapole watariti
Mt 25:34 muriti Ufalme kwa ajili yenu
ROHO,
Hes 11:25 sehemu fulani ya roho
1Sa 16:13 roho ikaanza kumutia nguvu Daudi
2Sa 23:2 Roho ya Yehova ilisema kupitia mimi
Zb 51:10 utie ndani yangu roho mupya
Zb 51:17 ni roho yenye kuvunjika
Zb 104:29 unaondoa roho yao, wanakufa
Zb 146:4 Roho yake inatoka, anarudia
Muh 12:7 roho inarudia kwa Mungu
Isa 61:1 Roho ya Yehova iko juu yangu
Yoe 2:28 nitamwanga roho juu ya
Zek 4:6 lakini kwa roho yangu
Mt 3:16 roho ya Mungu ikishuka kama njiwa
Mt 12:31 mwenye anatukana roho takatifu
Mt 26:41 roho inataka lakini mwili
Lu 23:46 ninaweka roho yangu katika mikono
Yoh 4:24 Mungu ni Roho
Yoh 16:13 roho ya ile kweli, atawaongoza
Ro 8:16 Roho yenyewe inatoa ushahidi
Ro 8:26 roho inatuombea pamoja na
1Ko 15:44 unafufuliwa ukiwa mwili wa roho
2Ko 3:17 Yehova ni Roho
Gal 5:16 kutembea kwa roho
Gal 5:22 tunda la roho ni upendo
Gal 6:8 anapanda kwa roho
1Pe 3:18 kuwa muzima katika roho
ROHO TAKATIFU,
Zb 51:11 usiondoe roho takatifu
Lu 1:35 Roho takatifu itakufunika
Lu 3:22 roho takatifu katika umbo ya njiwa
Lu 11:13 Baba atawapatia roho takatifu
Yoh 14:26 roho takatifu atawafundisha
Mdo 1:8 wakati roho takatifu itakuja
Mdo 2:4 wakajazwa roho takatifu
Mdo 5:32 roho takatifu Mungu amepatia
Efe 4:30 musihuzunishe roho takatifu
RUDIA,
Yoe 2:12 murudie kwangu
Ebr 10:39 wanarudia nyuma kwenye
RUDILIA,
Mal 3:7 Munirudilie, na nitawarudilia
RUHUSIWA,
1Ko 6:12 yote yanaruhusiwa kwangu
RUSHWA,
Muh 7:7 rushwa inapotosha moyo
S
SAA,
Mt 24:36 siku ile na saa ile
SABABU,
Muh 7:25 sababu yenye kufanya mambo
Ro 13:5 sababu ya lazima kujitiisha
SABABU YA KUJITETEA,
Yoh 15:22 sababu ya kujitetea kwa ajili ya zambi
Ro 1:20 hawana sababu ya kujitetea
SABATO,
Kut 20:8 siku ya Sabato
Mt 12:8 ni Bwana wa Sabato
Mk 2:27 Sabato kwa ajili ya mwanadamu
Lu 14:5 hatamutosha siku ya Sabato?
Kol 2:16 mutu asiwahukumu juu ya sabato
SADIKI,
Ro 8:38 nimesadiki ikuwe kifo ao uzima
Ro 15:14 mimi nimesadiki juu yenu
SADIKISHWA,
Ro 4:21 amesadikishwa kwamba Yeye
2Ti 3:14 ulijifunza na ulisadikishwa
SAFI,
Law 13:45 Siko safi, siko safi!
Yob 14:4 mutu safi ndani ya mwenye haiko safi?
Hab 1:13 Macho yako ni safi sana, hayawezi
Sef 3:9 nitabadilisha luga ya watu kuwa luga safi
Mt 5:8 Wenye furaha ni wenye moyo safi
Yoh 15:3 safi kwa sababu ya neno
Mdo 20:26 safi kutokana na damu ya watu
SAFINA,
Mwa 6:14 Ujijengee safina
SAFISHA,
Zb 51:2 unisafishe na zambi
Da 11:35 ili kufanya kazi ya kusafisha
Zek 13:9 nitawasafisha kama vile feza
2Ko 7:1 tujisafishe kila uchafu
SAFISHWA,
1Ko 6:11 mumesafishwa mukakuwa
SAHAU,
Kum 4:23 waangalifu ili musisahau
Zb 119:141 Lakini, sijasahau maagizo
Isa 49:15 mwanamuke anaweza kumusahau?
Nah 1:7 Hasahau wenye wanatafuta
Flp 3:13 Ninasahau mambo ya nyuma
Ebr 6:10 hana ukosefu wa haki ili asahau
SALA,
Zb 65:2 Musikiaji wa sala
Zb 141:2 Sala ikuwe kama uvumba
Mez 15:8 sala ya watu wanyoofu
Mez 28:9 Hata sala yake inachukiza
Mk 11:24 mambo munaomba katika sala
Ro 12:12 Mudumu katika sala
Yak 5:15 sala ya imani itaponyesha
1Pe 3:7 sala zenu zisizuiwe
Ufu 8:4 uvumba na sala za watakatifu
SALA YA KUMULILIA MUNGU,
Yak 5:16 Sala ya kumulilia Mungu ya
SALA ZA KUMULILIA MUNGU,
1Ti 2:1 kwamba sala za kumulilia Mungu
Ebr 5:7 Kristo alitoa sala za kumulilia Mungu
SALI,
2Fa 19:15 Hezekia akaanza kusali
Da 6:13 anasali mara 3 kwa siku
Mt 5:44 kusali kwa ajili ya wenye kuwatesa
Mt 6:9 munapaswa kusali hivi:
Mk 1:35 akaamuka akaanza kusali
Lu 5:16 kwenye hakuna watu ili kusali
Mdo 12:5 kutaniko lilikuwa linasali
Ro 8:26 chenye tuko na lazima ya kusali
1Te 5:17 Musali bila kuacha
2Te 3:1 muendelee kusali kwa ajili yetu
SALIMIA,
2Yo 10 wala kumusalimia
SALITI,
Mt 26:21 mumoja atanisaliti
SAMAKI,
Yon 1:17 akatuma samaki amumeze
Yoh 21:11 wavu umejaa samaki
SAMANI,
Mez 3:9 vitu vyenye samani
Da 9:23 wewe ni mwenye samani
Hag 2:7 vitu vyenye samani vya mataifa
1Pe 1:19 damu yenye samani, ya Kristo
SAMARIA,
2Fa 17:6 akakamata Samaria
Yoh 4:7 Mwanamuke wa Samaria akakuja
SAMEHE,
Ne 9:17 Mungu tayari kusamehe
Zb 25:11 Unisamehe kosa langu
Zb 103:3 Anasamehe makosa yako
Mez 17:9 mwenye anasamehe kosa anatafuta
Isa 55:7 atasamehe kwa njia kubwa
Mt 6:14 kama munasamehe Baba atawasamehe
Mt 18:21 kumusamehe mara ngapi?
Kol 3:13 vile Yehova aliwasamehe
SAMSONI,
Amu 13:24 jina Samsoni
SAMWELI,
1Sa 1:20 akamuita Samweli
1Sa 2:18 Samweli alikuwa anatumikia
SANAMU,
Kut 20:4 Haupaswe kujifanyia sanamu
Zb 115:4 Sanamu zao ni feza
Da 2:31 ukaona sanamu kubwa
Da 3:18 hatutaabudu sanamu ya zahabu
1Yo 5:21 mujiepushe na sanamu
SANDUKU,
Kut 25:10 Watafanya sanduku la
2Sa 6:6 Uza akashika Sanduku
1Ny 15:2 anapaswa kubeba Sanduku
SANHEDRINI,
Mdo 5:41 wakatoka mbele ya Sanhedrini
SARA,
Mwa 17:19 Sara atakuzalia mwana
1Pe 3:6 Sara alimutii Abrahamu, akimuita bwana
SAULI,
1Sa 15:11 nimemufanya Sauli kuwa mufalme
Mdo 7:58 kwenye miguu ya kijana Sauli
Mdo 8:3 Sauli akaanza kushambulia kutaniko
Mdo 9:1 Sauli alikuwa anataka kuwaua
Mdo 9:4 Sauli, Sauli, sababu gani unanitesa?
SAUTI,
1Fa 19:12 kukakuwa sauti tulivu
Zb 19:4 sauti yao imefika katika dunia yote
Yoh 5:28 katika makaburi watasikia sauti
Yoh 10:27 Kondoo wanasikiliza sauti yangu
SAUTI YA CHINI,
Yos 1:8 soma kwa sauti ya chini
Zb 1:2 anasoma sheria kwa sauti ya chini
SAWA,
Flp 2:6 akuwe sawa na Mungu
SAYUNI,
Zb 2:6 mufalme juu ya Sayuni
Zb 48:2 Mulima Sayuni, Muji wa Mufalme
Isa 66:8 Sayuni alizaa wana
Ufu 14:1 Mwana-Kondoo juu ya Sayuni
SEDEKIA,
Yer 52:11 akapofusha Sedekia
SEHEMU,
1Ko 13:9 tunajua kwa sehemu
SEHEMU MOJA YA KUMI,
Ne 10:38 wanakusanya sehemu moja ya kumi
SENAKERIBU,
2Fa 19:16 maneno yenye Senakeribu
SEREMALA,
Mk 6:3 ule seremala, mwana wa Maria
SHAHIDI,
Ufu 1:5 Yesu Kristo, Shahidi Muaminifu
SHAMBA,
Mt 13:38 shamba ni ulimwengu
1Ko 3:9 Ninyi ni shamba la Mungu
SHAMBA LA MIZABIBU,
Mt 20:1 wafanyakazi shamba la mizabibu
Mt 21:28 uende katika shamba la mizabibu
Lu 20:9 Mutu alipanda shamba la mizabibu
SHANGAA,
1Pe 4:4 Wanashangaa kwa sababu
SHANGAZA,
1Ko 2:1 maneno ya kushangaza
SHANGILIA,
Zb 137:6 Sababu za kushangilia
Isa 65:13 Watumishi wangu watashangilia
SHANGWE,
Ne 8:10 shangwe ya Yehova ni ngome
Yob 38:7 zilipiga vigelele vya shangwe
Isa 65:14 watapiga vigelegele vya shangwe
SHAVU,
Mt 5:39 kofi kwenye shavu la kuume
SHAWISHI,
1Ko 2:4 maneno ya kushawishi
2Ko 5:11 tunaendelea kushawishi watu
SHEOLI
. Angalia KABURI.
SHERIA,
Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamilifu
Zb 40:8 sheria yako iko ndani yangu
Zb 94:20 matatizo kwa kutumia sheria?
Zb 119:97 Ninapenda sheria yako!
Yer 31:33 Nitatia sheria yangu
Hab 1:4 Sheria haitumike
Ro 7:22 ninapenda sheria ya Mungu
Ro 10:4 Kristo ndiye mwisho wa Sheria
Ro 13:8 ametimiza sheria
Gal 3:24 Sheria imekuwa mulinzi
Gal 6:2 mutatimiza sheria ya Kristo
2Ti 2:5 ameshindana kulingana na sheria
Yak 2:8 sheria ya kifalme
SHETANI,
Yob 1:6 Shetani akaingia kati yao
Zek 3:2 Shetani, Yehova akukemee!
Mt 4:10 Toka mbele yangu, Shetani!
Mt 16:23 Pita nyuma yangu, Shetani!
Mk 4:15 Shetani anakuja na kuondoa neno
Ro 16:20 Mungu atamuponda Shetani chini ya
1Ko 5:5 kumutoa mutu kwa Shetani
2Ko 2:11 ili Shetani asitushinde akili
2Ko 11:14 Shetani malaika wa mwangaza
2Te 2:9 kupitia utendaji wa Shetani
Ufu 12:9 mwenye kuitwa Ibilisi na Shetani
Ufu 20:2 Shetani, akamufunga miaka 1 000
SHIDA,
1Pe 4:18 mwenye haki anaokolewa kwa shida
SHIKA,
Mt 28:20 kushika mambo yote
Yoh 14:15 Kama munanipenda, mutashika
Flp 2:16 kushika sana neno la uzima
SHIKAMANA,
Mwa 2:24 atashikamana na bibi yake
Kum 10:20 unapaswa kushikamana naye
Yos 23:8 munapaswa kushikamana na Yehova
Lu 22:28 mumeshikama na mimi
Ro 12:9 mushikamane na mema
SHIKAMANA NA YEYE TU,
Kut 34:14 watu washikamane na yeye tu
Wim 8:6 mutu kutaka washikamane na yeye tu
SHILO,
Mwa 49:10 wakati Shilo atakuja
SHIMO,
Mez 26:27 anachimba shimo
Da 6:7 shimo la simba
Mt 15:14 wataanguka ndani ya shimo
SHINDA,
Yer 1:19 Lakini hawatakushinda
Yoh 16:33 nimeshinda ulimwengu
Ro 8:37 katika yote tumeshinda kupitia
Ro 12:21 kushinda uovu kwa wema
Ufu 2:7 mwenye atashinda nitamupatia
SHIRIKI,
Ro 12:13 Mushiriki na watakatifu
SHIRIKIANA,
1Ko 5:9 kushirikiana na waasherati
Efe 4:16 ushirikiane kupitia kila kiungo
2Te 3:14 muache kushirikiana naye
SHITAKA,
1Ti 5:19 shitaka juu ya muzee
Tit 1:7 mwenye hana mashitaka
SHITAKI,
Ro 8:33 nani mwenye atashitaki
SHOMORO,
Mt 10:29 shomoro wawili
SHUKA MOYO,
Flp 2:26 [Epafrodito] ameshuka moyo
1Te 5:14 kufariji wenye wameshuka moyo
SHUKRANI,
Zb 95:2 Tuingie tukiwa na shukrani
Mez 29:21 atakuwa mwenye hana shukrani
Efe 5:20 mutoe shukrani kwa ajili ya yote
Kol 3:15 mujionyeshe kuwa wenye shukrani
1Ti 1:12 Mimi ni mwenye shukrani
SHUKURU,
Zb 92:1 Ni muzuri kumushukuru Yehova
Yoh 11:41 Baba, ninakushukuru kwa sababu
Mdo 28:15 Paulo aliwaona, akamushukuru Mungu
1Ko 1:4 Sikuzote ninamushukuru Mungu
SIAFU,
Mez 6:6 Uende kwa siafu
Mez 30:25 Siafu wanatayarisha chakula
SIFA,
Mez 27:21 anapimwa kupitia sifa
SIFA ZA KUSTAHILI,
Gal 6:1 muko na sifa za kusatahili
SIFIWA,
1Ny 16:25 Yehova anastahili kusifiwa
SIFU,
Zb 147:1 inafaa kumusifu yeye!
Mez 27:2 Acha mwingine akusifu
1Ko 1:31 ajisifu katika Yehova
SIFU-SIFU,
Mez 26:28 kinywa cha kusifu-sifu
Mez 29:5 anasifu-sifu jirani yake
Ro 16:18 kwa maneno ya kusifu-sifu
Yud 16 wanawasifu-sifu kwa ajili ya faida
SIFU YAH,
Zb 146:1 Mumusifu Yah! nafsi
Zb 150:6 chenye kupumua—kimusifu Yah
Ufu 19:1 Walisema: Mumusifu Yah!
SIKIA,
Ro 10:14 watasikia namna gani
SIKIA HAYA,
Ezr 9:6 ninasikia haya kukuinulia
SIKIA WIVU,
Zb 37:1 usisikilie wivu wakosaji
Zb 73:3 nilisikilia wivu wenye kiburi
SIKILIZA,
Mez 1:5 mwenye hekima anasikiliza
Eze 2:7 kama watasikiliza ao hapana
Mt 17:5 Mwana wangu, Mumusikilize
Lu 10:16 mwenye anawasikiliza ninyi
Mdo 4:19 kuwasikiliza kuliko Mungu
Yak 1:19 mwepesi wa kusikiliza
SIKILIZANA,
1Ko 7:11 asikilizane na bwana
SIKU,
Zb 84:10 siku moja katika viwanja
Eze 4:6 siku moja kwa ajili ya mwaka
Mt 24:36 siku ile na saa ile
2Pe 3:8 siku moja ni kama miaka 1 000
SIKUKUU,
Law 23:4 sikukuu za vipindi
SIKUKUU YA KUZALIWA,
Mwa 40:20 sikukuu ya kuzaliwa kwa Farao
Mt 14:6 sikukuu ya kuzaliwa kwa Herode
SIKU YA YEHOVA,
Yoe 2:1 siku ya Yehova inakuja!
Amo 5:18 siku ya Yehova itakuwa na maana
Sef 1:14 siku kubwa ya Yehova iko karibu!
1Te 5:2 siku ya Yehova inakuja
2Te 2:2 siku ya Yehova iko hapa
2Pe 3:12 kuweka katika akili siku ya Yehova
SIKU ZA MWISHO,
2Ti 3:1 siku za mwisho nyakati ngumu
SILAHA,
Isa 54:17 Hakuna silaha yenye
2Ko 10:4 silaha za vita yetu haziko za kimwili
Efe 6:11 Muvae silaha zote
Efe 6:13 silaha zote
SIMAMA,
1Ko 10:12 anawaza anasimama
SIMAMA IMARA,
1Ko 16:13 musimame imara katika imani
SIMAMIA,
Ro 12:8 mwenye kusimamia afanye vile
1Te 5:12 muwaheshimie wenye kuwasimamia
SIMBA,
1Sa 17:36 alipiga na kuua simba
Zb 91:13 Utakanyanga simba
Isa 11:7 Simba atakula majani
Da 6:27 katika makucha ya simba
1Pe 5:8 anatembea kama simba
Ufu 5:5 Simba wa kabila la Yuda
SIMONI,
Mdo 8:18 Simoni akawapatia feza
SINAI,
Kut 19:20 akashuka juu ya Mulima Sinai
SINGIZIWA,
1Ko 4:13 tunasingiziwa, tunajibu
SINZIA,
Mez 23:21 kusinzia kutavalisha mutu
SIRI,
Zb 91:1 mahali pa siri pa
Mez 11:13 mwenye kutumainika anachunga siri
Mez 20:19 Muchongezi anafunua siri
Mez 25:9 usifunue yenye uliambiwa kwa siri
Amo 3:7 hajafunulia manabii jambo lake la siri
Flp 4:12 siri ya namna ya kushiba
SIRI TAKATIFU,
Ro 16:25 siri takatifu ilikuwa
Efe 3:4 namna ninaelewa siri takatifu
SITA-SITA,
Yak 1:8 mwenye kusita-sita
SODOMA,
Mwa 19:24 moto juu ya Sodoma
2Pe 2:6 alihukumu Sodoma, akiwekea mufano
Yud 7 Sodoma na Gomora, mufano wa kuonya
SOKO,
Mdo 17:17 kufikiri na watu katika soko
SOMA,
Kum 17:19 anapaswa kusoma ndani
Yoh 7:15 hakusoma kwenye masomo?
Mdo 8:30 mambo yenye unasoma?
STAHILI,
Mt 10:11 mwenye kustahili
Mt 10:37 kuliko mimi hanistahili
Lu 15:19 Sistahili kuitwa mwana wako
Mdo 5:41 furaha kwa sababu wanastahili
Mdo 13:46 hamujione munastahili uzima
1Ko 11:27 kunywa kikombe bila kustahili
2Ko 3:5 kustahili kwetu kabisa kunatoka
Efe 4:1 kwa namna yenye kustahili mwito
Kol 1:10 mutembee kwa kumustahili Yehova
2Te 1:5 muhesabiwe munastahili Ufalme
2Ti 2:2 wenye watastahili kufundisha
Ufu 4:11 Unastahili, Yehova, kwa sababu
SUKUMA,
Kut 35:21 moyo ulimusukuma
SULEMANI,
1Fa 4:29 akamupatia Sulemani hekima
Mt 6:29 hata Sulemani katika utukufu wake
SURA,
1Sa 16:7 Usiangalie sura
T
TAA,
Zb 119:105 taa ya muguu
Mt 6:22 Taa ya mwili ni jicho
Mt 25:1 mabikira 10 walikamata taa
TAABU,
2Sa 22:7 Katika taabu nilimuitia
Zb 46:1 Musaada nyakati za taabu
Isa 38:14 Yehova, niko katika taabu
Mt 24:21 taabu kubwa yenye haijatokea
Mdo 14:22 katika Ufalme kupitia taabu
Ro 5:3 tufurahi hata katika taabu
Ro 12:12 Muvumilie chini ya taabu
1Ko 7:28 wenye wanaoa watakuwa na taabu
2Ko 4:17 hata kama taabu ni ya wakati kidogo
2Te 1:4 uvumilivu na imani katika taabu
Ufu 7:14 wanatoka katika ile taabu kubwa
TABENAKULO,
Zb 78:60 tabenakulo ya Shilo
Zb 84:1 Tabenakulo yako kubwa ni
TAFAZALI,
Mwa 15:5 Tafazali, angalia mbinguni
TAFUTA,
1Ny 28:9 Kama unamutafuta
Zb 119:176 Tafuta mutumishi wako
Isa 55:6 Mumutafute Yehova wakati
Eze 34:11 nitatafuta kondoo wangu
Sef 2:3 Mumutafute Yehova, wapole
Lu 15:8 fagia nyumba na kuitafuta
Yoh 4:23 Baba anatafuta watu
Mdo 17:27 ili wamutafute Mungu
Kol 3:1 kutafuta mambo yenye kuwa juu
1Pe 1:10 kutafuta kwa uangalifu
TAFUTA SIFA,
Flp 2:3 kwa kutafuta sifa
TAI,
Isa 40:31 Wataruka kama tai
TAIFA,
Kut 19:6 ufalme na taifa
Zb 33:12 Lenye furaha ni taifa lenye
Isa 66:8 taifa litazaliwa mara moja?
Mt 21:43 Ufalme utapewa taifa
Mt 24:7 taifa litapigana na taifa
Mdo 17:26 alifanya kila taifa la watu
1Pe 2:9 taifa takatifu
TAJI,
Mez 12:4 Bibi mwenye uwezo ni taji
Mt 27:29 wakasuka taji la miiba
1Ko 9:25 wapate taji lenye linaharibika
TAJIRI,
Mez 10:22 inamufanya mutu kuwa tajiri
Yer 9:23 tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri
Ufu 3:17 unasema, Mimi ni tajiri
TAJWA,
Efe 5:3 visitajwe hata kidogo
TAKA,
Kum 10:12 Yehova anataka ufanye nini?
Mik 6:8 Yehova anataka ufanye nini?
TAKASA,
1Fa 9:3 Nimetakasa nyumba hii
Yer 1:5 mbele uzaliwe nilikutakasa
Eze 36:23 nitatakasa jina langu kubwa
Da 12:10 Wengi watajitakasa
TAKASWA,
Lu 11:2 jina lako litakaswe
TAKATAKA,
Flp 3:8 ninaviona kuwa takataka
TALANTA,
Mt 25:15 mumoja talanta 5
TAMAA,
Zb 37:4 atakutimizia tamaa za
Zb 145:16 kutimiza tamaa ya kila kitu
Ro 7:18 tamaa ya kufanya mambo ya muzuri
Gal 5:16 hamutatenda tamaa ya mwili
Efe 2:3 kupatana na tamaa za mwili
2Ti 2:22 kimbia tamaa za ujana
Yak 1:14 kushawishiwa na tamaa yake
1Pe 2:2 tamaa kwa ajili ya maziwa
1Pe 2:11 kujiepusha na tamaa za mwili
1Yo 2:16 tamaa ya mwili na tamaa ya macho
TAMAA KUBWA,
Ro 1:26 tamaa kubwa ya ngono
1Te 4:5 pupa, tamaa kubwa ya ngono
TAMAA YA NGONO,
Ro 1:27 waliwakiana tamaa ya ngono
TAMANI,
Kut 20:17 Haupaswe kutamani bibi ya
Yob 14:15 Utatamani sana kazi ya mikono yako
Zb 84:2 kutamani, Viwanja vya Yehova
Isa 26:9 ninakutamani kwa nafsi yote
Ro 1:15 ninatamani kuwatangazia
Flp 1:8 ninatamani sana kuwaona
TAMANI SANA,
Zb 84:2 inatamani sana Yehova
TAMASHA,
1Ko 4:9 tumekuwa tamasha
1Ko 7:31 tamasha ya ulimwengu inabadilika
TAMBARARE,
Zb 26:12 umesimama mahali tambarare
TAMBULIWA,
2Ko 6:9 hawajulikane lakini tunatambuliwa
TAMU,
Ro 16:18 kwa maneno matamu
TANGA-TANGA,
Zb 119:176 Nimetanga-tanga kama kondoo
Isa 53:6 tumetanga-tanga kama kondoo
TANGAZA,
1Ko 11:26 kutangaza kifo cha Bwana
TANGAZO,
Ro 10:10 tangazo kwa ajili ya wokovu
Ebr 10:23 tangazo la tumaini letu
TANGAZWA,
Kut 9:16 jina langu litangazwe
TANGI,
Mez 5:15 Kunywa maji ya tangi lako
TANURU,
Da 3:17 kutuokoa ndani ya tanuru
TARSHISHI,
Yon 1:3 Yona akaenda Tarshishi
TARTARO,
2Pe 2:4 aliwatupa ndani ya Tartaro
TASA,
Kut 23:26 wanamuke hawatakuwa tasa
Isa 54:1 Piga vigelegele, wewe tasa
TATU,
Kum 16:16 Mara tatu kwa mwaka
TAWALA,
Mwa 1:28 mutawale kila kiumbe
Mwa 3:16 bwana yako, atakutawala
Zb 119:133 Jambo lenye uovu lisinitawale
Mez 29:2 wakati muovu anatawala
Muh 8:9 mwanadamu ametawala mwanadamu
Ro 6:12 musiruhusu zambi iendelee kutawala
Ufu 11:15 atatawala akiwa mufalme milele
TAWALIWA,
1Ko 6:12 sitajiacha nitawaliwe na
TAWI,
Yoh 15:4 tawi peke yake haliwezi kuzaa
TAYARI,
Kut 19:8 tuko tayari kuyafanya
Mt 24:44 mukuwe tayari
TAYARISHA,
Yoh 14:2 kuwatayarishia nafasi
TAZAMIO,
Mez 13:12 Tazamio lenye kucheleweshwa
TAZAMIWA,
Muh 9:11 matukio yenye hayatazamiwe
TEGEMEA,
Zb 9:10 kujua jina lako watakutegemea
Zb 62:8 Mumutegemee nyakati zote
Zb 84:12 mwenye anakutegemea
Mez 3:5 usitegemee uelewaji wako
Mez 3:5 Umutegemee Yehova kwa moyo wote
Mez 28:26 anategemea moyo wake ni mujinga
Yer 17:5 mwenye anategemea wanadamu
Ro 12:18 kadiri inawategemea ninyi
1Pe 4:11 anategemea nguvu zenye Mungu
TEGEMEKA,
Zb 19:7 Kikumbusho kinategemeka
Zb 33:4 lenye Yehova anafanya linategemeka
TEGEMEO,
Zb 56:11 Katika Mungu ninaweka tegemeo
2Ko 1:9 tegemeo letu, hapana katika sisi
TELUJI,
Isa 1:18 zitafanywa nyeupe kama teluji
TEMA,
Mt 26:67 wakamutemea mate
TEMBEA,
Mik 6:8 utembee kwa kiasi na Mungu
Yoh 6:19 Yesu akitembea juu ya bahari
TEMBELEA,
Mdo 15:36 tutembelee ndugu tuone
TENDA,
Lu 16:8 hekima yenye kutenda
2Pe 1:8 musikuwe wenye hawatende
TENDA ZAMBI,
Mwa 39:9 nimutendee Mungu zambi?
2Sa 12:13 Daudi: Nimemutendea Yehova zambi
TENGA,
Mez 18:1 anajitenga na wengine
TENGANA,
1Ko 7:10 bibi asitengane na bwana
TENGANISHA,
Mt 25:32 atatenganisha watu
Ro 8:39 kututenganisha na upendo wa Mungu
TEREZA,
Zb 73:18 udongo wenye kutereza
TESA,
Zb 119:86 wananitesa bila sababu
Yoh 15:20 wamenitesa, watawatesa pia
Mdo 22:4 Nilitesa mupaka kifo
Ro 12:14 Mubariki wenye wanawatesa
TESEKA,
Ro 8:17 kama tunateseka pamoja naye
1Ko 12:26 Kama kiungo kimoja kinateseka
Flp 1:29 pendeleo ili muteseke kwa ajili yake
1Pe 3:14 munateseka sababu ya haki
TESWA,
Zb 119:71 ni muzuri kwamba nimeteswa
Mt 5:10 wale wenye wameteswa
1Ko 4:12 wakati tunateswa, tunavumilia
2Ko 4:9 tunateswa, lakini hatuachwe
TETEA,
Flp 1:7 kutetea na kuifanya ikubaliwe
1Pe 3:15 sikuzote mukwe tayari kujitetea
TETEMEKA,
Mez 29:25 Kutetemeka mbele ya wanadamu
Flp 2:12 kufanyia kazi wokovu kwa kutetemeka
TIA,
1Pe 2:23 alijitia katika mikono ya
TIA KATIKA HATARI,
Ro 16:4 wametia shingo katika hatari
TIA MAFUTA,
1Sa 16:13 akamutia mafuta Daudi
Isa 61:1 alinitia mafuta nitangaze habari njema
TIA MIZIZI,
2Ko 10:4 yenye yametia mizizi
Kol 2:7 mumetia mizizi katika imani
TIA MOYO,
Mdo 13:15 neno la kutia moyo
Kol 3:16 Muendelee kutiana moyo
Tit 1:9 kutia moyo kupitia fundisho
Ebr 10:25 tutiane moyo, zaidi sana
TIA MUHURI,
Da 12:9 kutiwa muhuri mupaka
Efe 1:13 Kisha kuamini, mulitiwa muhuri
Ufu 7:3 mupaka tutie muhuri watumwa
TIA NGUVU,
1Sa 30:6 Daudi akajitia nguvu
Isa 35:3 Mutie nguvu mikono zaifu
Isa 41:10 Nitakutia nguvu, nitakusaidia
Lu 22:32 wakati utarudia, utie nguvu
Mdo 14:22 wakatia wanafunzi nguvu
TII,
Kut 24:7 tayari kuyafanya, tutatii
1Sa 15:22 Kutii ni muzuri kuliko zabihu
Zb 51:12 Uchochee utayari wa kukutii
Yoh 3:36 hamutii Mwana hataona uzima
Mdo 5:29 kumutii Mungu kuliko wanadamu
Ro 5:19 kutii kwa mutu mumoja
Efe 6:5 mutii mabwana wenu
Ebr 5:8 alijifunza kutii kutokana na
Ebr 13:17 Mutii wenye wanaongoza
TIISHA,
1Ko 15:27 alitiisha vyote chini ya miguu
TIKISA,
Hag 2:7 nitatikisa mataifa yote
TIKISIKA,
1Pe 5:10 atawafanya musitikisike
TIKISWA,
1Te 3:3 asitikiswe na taabu hizo
TIMIZA,
Mt 5:17 kuharibu Sheria, lakini kutimiza
TIMIZA MAHITAJI,
1Ti 5:8 hatimize mahitaji ya watu wake
TIMOTEO,
Mdo 16:1 mwenye kuitwa Timoteo
1Ko 4:17 ninamutuma Timoteo kwenu
1Ti 1:2 Timoteo, mutoto wangu wa kweli
TIWA MOYO,
1Ko 14:31 na watiwe moyo
TOA,
Ro 6:13 mujitoe kwa Mungu
1Pe 4:19 kujitoa kwa Muumbaji
TOA HABARI,
Law 5:1 shahidi, hatoe habari
TOA MAUA,
Isa 35:1 Jangwa litatoa maua
TOA UNABII,
Yoe 2:28 wanamuke watatoa unabii
TOBA,
Ro 2:4 anakuongoza kwenye toba
2Ko 7:10 huzuni inatokeza toba
TOBOA,
Zek 12:10 mwenye walitoboa
TOFAUTI,
Law 11:47 tofauti kati ya kitu chenye
Mal 3:18 tofauti kati ya mwenye haki
Ebr 5:14 tofauti kati ya mambo
TOKA,
Isa 52:11 mutoke kule, musiguse
Ufu 18:4 Mutoke kwake, watu wangu
TOLEO,
Law 7:37 toleo la nafaka, toleo la
TOLEO LA KINYWAJI,
Flp 2:17 kama tolea la kinywaji
TONGOZA,
Mez 7:21 Anamutongoza kwa maneno
TOSHA,
1Pe 4:3 wakati wenye ulipita uliwatosha
TOSHEKA,
Flp 4:11 nimejifunza kutosheka
1Ti 6:8 tutatosheka na vitu hivyo
TOWASHI,
Mdo 8:27 towashi Mwetiopia
TRIBINALI,
Da 7:10 Tribinali ikakaa
Mk 13:9 watawapeleka kwenye tribinali
1Ko 6:6 kwenye tribinali kumushitaki ndugu
TUBU,
Lu 15:7 mutenda-zambi anatubu
Mdo 3:19 mutubu na mugeuke
Mdo 17:30 wote wanapaswa kutubu
Mdo 26:20 yanaonyesha kwamba wametubu
Ufu 16:11 wakamutukana Mungu, hawakutubu
TUKANA,
Mk 3:29 anatukana roho takatifu
TUKUFU,
2Pe 2:10 kutukana watukufu
TULIA,
Yob 37:14 Tulia na ufikiri juu ya
Lu 12:19 tulia., kula, kunywa
TULIVU,
Mez 14:30 Moyo mutulivu unapatia mwili
Mez 17:27 mwenye utambuzi atabakia mutulivu
TULIZA,
Mdo 3:19 vipindi vya kutuliza
TUMA,
Isa 6:8 Mimi huyu! Unitume
TUMAINI,
Mez 3:26 chanzo cha tumaini
Ro 8:24 tuliokolewa katika tumaini
Ro 12:12 Mufurahi katika tumaini
Ro 15:4 kupitia uvumilivu, tukuwe na tumaini
Efe 1:18 aliwaita kwenye tumaini
Efe 2:12 hamukukuwa na tumaini
Ebr 6:19 tumaini kama nanga
TUMAINIA,
Zb 146:3 Musitumainie wakubwa
Zb 146:5 Mwenye anamutumainia Yehova
TUMAINIKA,
Kut 18:21 wanaume wenye kutumainika
TUMBO,
Flp 3:19 mungu wao ni tumbo
TUMIA,
1Ko 7:31 wanatumia ulimwengu
TUMIA MUBAYA,
Lu 15:13 akatumia mubaya mali
TUMIKA,
Da 7:10 waliendelea kumutumikia
Mt 20:28 ili atumikie wengine
1Te 2:9 Tulikuwa tunatumika usiku na
1Pe 4:10 muitumie zawadi ili kutumikiana
TUMIKA PAMOJA,
Ro 8:28 kazi zake zitumike pamoja
TUMIKIA,
Yos 24:15 muchague nani mutatumikia
1Ny 28:9 umutumikie kwa moyo kamili
Zb 100:2 Mumutumikie Yehova kwa furaha
Gal 5:13 mutumikiane kupitia upendo
TUMIWA,
2Ko 12:15 kwa furaha nitatumiwa
TUNDA,
Gal 5:22 tunda la roho ni upendo
TUNGA,
Zb 94:20 kinatunga matatizo
TUPWA,
Efe 4:14 tukitupwa huku na huku
U
UA,
Kut 20:13 Haupaswe kuua
Yoh 16:2 kila mwenye atawaua
Kol 3:5 muue viungo vya mwili wenu
UADILIFU,
Isa 32:1 atatawala kwa ajili ya uadilifu
UADUI,
Mwa 3:15 uadui kati yako na
UAGUZI,
Hes 23:23 uaguzi juu ya Israeli
Kum 18:10 mwenye kufanya uaguzi
UAMINIFU,
Hab 2:4 ataishi kwa uaminifu wake
UAMINIFU-MUSHIKAMANIFU,
1Ny 29:17 na uaminifu-mushikamanifu
Yob 27:5 sitaacha uaminifu-mushikamanifu
Zb 25:21 Uaminifu-mushikamanifu unilinde
Zb 26:11 katika uaminifu-mushikamanifu
Zb 101:2 uaminifu-mushikamanifu wa moyo
UASHERATI,
Mt 15:19 uasherati unatoka katika
Mdo 15:20 wajiepushe na uasherati, na damu
1Ko 6:18 Mukimbie uasherati!
1Ko 10:8 Na tusifanye uasherati
Gal 5:19 uasherati, uchafu
Efe 5:3 Uasherati usitajwe
1Te 4:3 kujiepusha na uasherati
UASI,
1Sa 15:23 uasi ni sawa na uaguzi
UASI-IMANI,
2Te 2:3 mupaka uasi-imani ukuje
UBADILISHANAJI,
Ro 1:12 ubadilishanaji wa kitia-moyo
UBAGUZI,
Mdo 10:34 Mungu hana ubaguzi
UBATIZO,
Lu 3:3 ubatizo wenye kuonyesha kutubu
Ro 6:4 tulizikwa kupitia ubatizo
1Pe 3:21 Ubatizo unawaokoa ninyi sasa
UBAVU,
Mwa 2:22 mwanamuke kwa kutumia ubavu
UBAYA,
Isa 5:20 wenye kusema ubaya ni wema
UCHAFU,
Ro 1:24 aliwaacha katika uchafu
1Ko 4:13 tumekuwa kama uchafu
2Ko 7:1 tujisafishe kila uchafu
Kol 3:5 kuhusiana na uasherati, uchafu
UCHAWI,
Kum 18:10 mwenye kufanya uchawi
Mdo 19:19 uchawi, wakaviteketeza vitabu
UCHUNGU,
Yob 6:2 uchungu wangu ungepimwa
Mez 14:10 unajua uchungu wake
Mt 26:75 na kulia kwa uchungu
Efe 4:31 uchungu wenye uovu, hasira
Kol 3:19 musiwakasirikie kwa uchungu
UCHUNGUZI,
Kum 13:14 kufanya uchunguzi
UDANGANYIFU,
Zb 34:13 midomo isiseme udanganyifu
Da 6:4 hakuna udanganyifu ndani ya Danieli
Mal 2:15 asimutendee bibi kwa udanganyifu
UDONGO,
Isa 45:9 udongo utamuambia mufinyanzi
Isa 64:8 Tuko udongo, uko Mufinyanzi wetu
Da 2:42 sehemu ingine udongo
Mt 13:23 ilipandwa kwenye udongo muzuri
UELEWAJI,
1Fa 3:11 uliomba uelewaji
Mez 3:5 usitegemee uelewaji wako
Mez 4:7 pamoja na vyote, pata uelewaji
Da 11:33 watapatia watu wengi uelewaji
1Ko 14:20 watu wazima katika uelewaji
UFAHAMU,
Zb 119:99 ufahamu mwingi kuliko
Mez 19:11 Ufahamu wa mutu unatuliza
Da 12:3 wenye ufahamu watangaa
UFALME,
Kut 19:6 ufalme wa makuhani
Da 2:44 atasimamisha ufalme
Da 7:14 akapewa utawala, na ufalme
Da 7:18 watakatifu watapokea ufalme
Mt 6:10 Ufalme wako ukuje
Mt 6:33 kutafuta kwanza Ufalme
Mt 21:43 Ufalme utapewa taifa
Mt 24:14 habari njema ya Ufalme
Mt 25:34 Mukuje, muriti Ufalme
Lu 12:32 kuwapatia ninyi Ufalme
Lu 22:29 agano kwa ajili ya ufalme
Yoh 18:36 Ufalme hauko sehemu
Mdo 1:6 unarudishia Israeli ufalme?
1Ko 15:24 atarudisha Ufalme kwa Mungu
Gal 5:21 hawatariti Ufalme wa Mungu
Kol 1:13 ufalme wa Mwana wake
Ufu 1:6 alitufanya tukuwe ufalme
Ufu 11:15 Ufalme wa ulimwengu umekuwa
UFUFUO,
Mt 22:23 wanasema hakuna ufufuo
Mt 22:30 wakati wa ufufuo, hawaoe
Yoh 5:29 kwenye ufufuo wa uzima
Yoh 11:24 atafufuka katika ufufuo katika
Yoh 11:25 Mimi ndiye ufufuo na uzima
Mdo 24:15 ufufuo wa wenye haki
1Ko 15:13 hakuna ufufuo, Kristo hakufufuliwa
UFUNDI,
Kut 35:35 ufundi wa kufanya kazi
Mez 22:29 mwenye ufundi katika kazi yake?
1Ko 4:17 Atawakumbusha ufundi wangu
UFUNDI WA KUFUNDISHA,
2Ti 4:2 na ufundi wa kufundisha
UGOMVI,
Mez 6:19 ugomvi kati ya ndugu
Mez 15:18 mwenye hakasirike anatuliza ugomvi
Mez 17:14 mbele ugomvi uanze, ondoka
UGONJWA,
Mt 9:35 kuponyesha kila ugonjwa
UHAKIKA,
2Ko 5:6 tuko na uhakika kabisa
2Te 3:4 tuko na uhakika katika Bwana juu yenu
UHAKIKISHO,
Mdo 17:31 uhakikisho kuwa amemufufua
UHARIBIFU,
2Te 1:9 azabu ya uharibifu
2Pe 3:7 uharibifu wa wenye hawamuogope
UHODARI,
Mdo 28:15 Paulo akajipa uhodari
Flp 1:14 uhodari wa kusema neno
UHURU,
Ro 8:21 uhuru wenye utukufu
2Ko 3:17 kwenye kuko roho, kuko uhuru
1Pe 2:16 mukitumia uhuru, hapana kama
2Pe 2:19 wanawaahidi uhuru
UJANA,
Yob 33:25 kuliko wakati wa ujana
Zb 71:17 umenifundisha tangu ujana
Mk 10:20 nimeshika yote tangu ujana
1Ti 4:12 yeyote asizarau ujana
UJUZI,
Mez 1:7 mwanzo wa ujuzi
Mez 2:10 ujuzi utapendeza nafsi
Mez 24:5 kwa ujuzi mutu anaongeza
Isa 5:13 Kwa sababu ya kukosa ujuzi
Isa 11:9 dunia itajaa ujuzi
Da 12:4 ujuzi wa kweli utakuwa mwingi
Ho 4:6 Kwa sababu umekataa ujuzi
Mal 2:7 inapaswa kuchunga ujuzi
Lu 11:52 mulitosha funguo ya ujuzi
1Ko 8:1 Ujuzi unaleta majivuno
UJUZI WENYE HAUNA MAKOSA,
Ro 10:2 na ujuzi wenye hauna makosa
Kol 3:10 kupitia ujuzi wenye hauna makosa
1Ti 2:4 wapate ujuzi wenye hauna makosa
UKALI,
Mez 12:10 rehema ya waovu ni yenye ukali
Mez 15:1 neno la ukali linachochea
UKAME,
Yer 17:8 mwaka wa ukame hatahangaika
UKAMILI,
1Te 4:1 kufanya vile kwa ukamili
1Te 4:10 kufanya vile kwa ukamili
UKANDAMIZAJI,
Zb 72:14 Atawaokoa katika ukandamizaji
UKARIBISHAJI-WAGENI,
Ro 12:13 Mufuate njia ya ukaribishaji-wageni
Ebr 13:2 Musisahau ukaribishaji-wageni
UKARIMU,
Kum 15:8 kumufungulia mukono kwa ukarimu
Mez 11:24 anatoa kwa ukarimu
Yak 1:5 anapatia wote kwa ukarimu
UKOMA,
Law 13:45 ukoma: Siko safi!
Hes 12:10 Miriamu alipigwa kwa ukoma
Lu 5:12 mwenye kujaa ukoma!
UKOMAVU,
Ebr 6:1 tusonge kuelekea ukomavu
UKOMBOZI,
Est 4:14 ukombozi kutoka chanzo kingine
Lu 21:28 ukombozi wenu unakaribia
UKOSEFU WA HAKI,
Kum 32:4 hana ukosefu wa haki
Ro 9:14 iko na ukosefu wa haki?
UKUHANI,
1Pe 2:9 ukuhani wa kifalme
UKUTA,
Yos 6:5 ukuta wa muji utaanguka
Da 5:5 kuandika kwenye ukuta wa nyumba
Yoe 2:7 Wanapanda ukuta kama wanajeshi
ULIMI,
Zb 34:13 linda ulimi na ubaya
Mez 18:21 Kifo na uzima katika nguvu za ulimi
Isa 35:6 ulimi wa bubu utapiga vigelegele
Isa 50:4 ulimi wa wenye kufundishwa
Yak 1:26 hazuie kabisa ulimi wake
Yak 3:8 hakuna kufuga ulimi
ULIMWENGU,
Lu 9:25 anapata ulimwengu wote
Yoh 15:19 hamuko sehemu ya ulimwengu
Yoh 17:16 hawako sehemu ya ulimwengu
1Yo 2:15 Musipende ulimwengu ao
1Yo 2:17 ulimwengu unapita, lakini
ULINZI,
Muh 7:12 hekima ni ulinzi
UMALIZIO,
Mt 28:20 niko na ninyi mupaka umalizio
UMANDE,
Kum 32:2 matone-matone kama umande
UMASKINI,
Mez 30:8 Usinipatie umaskini
2Ko 8:2 umaskini mukubwa
UMBA,
Mwa 1:1 Katika mwanzo Mungu aliumba
Zb 104:30 unatuma roho yako, wanaumbwa
Isa 45:18 hakuumba dunia bila sababu
Ro 1:20 tangu kuumbwa kwa ulimwengu
Kol 1:16 Vitu vimeumbwa kupitia yeye
Ufu 4:11 uliumba vyote sababu ya mapenzi
UMEME WA RADI,
Mt 24:27 vile umeme wa radi
Lu 10:18 ameanguka kama umeme wa radi
UMILELE,
Muh 3:11 ametia umilele katika
UMIZA,
Zb 23:4 jambo lenye kuumiza
Isa 11:9 Hawatatokeza jambo lenye kuumiza
UMIZWA,
Ufu 13:3 kichwa kilikuwa kimeumizwa
UMOJA,
Zb 133:1 kukaa pamoja kwa umoja!
Efe 4:3 muendeleze umoja wa roho
Efe 4:13 sisi wote tufikie umoja
UNABII,
2Pe 1:20 hakuna unabii unatokana na
2Pe 1:21 unabii haukuletwa kwa mapenzi
UNAFIKI,
Ro 12:9 Upendo bila unafiki
UNGAMA,
Zb 32:5 niliungama zambi
Mez 28:13 mwenye anayaungama
Yak 5:16 muungame kwa mutu
1Yo 1:9 Kama tunaungama, atatusamehe
UNGANISHA,
Mt 19:6 chenye Mungu ameunganisha
UNGANISHWA,
Flp 2:2 mukiwa mumeunganishwa
UNYASI,
Mt 7:3 unyasi katika jicho la ndugu
UNYENYEKEVU,
Mez 15:33 mbele ya utukufu kuko unyenyekevu
UNYOOFU,
2Ko 8:21 mambo yote kwa unyoofu
Ebr 13:18 kujiendesha kwa unyoofu
UONGO,
Mt 26:59 ushuhuda wa uongo
Gal 2:4 ndugu wa uongo waliingizwa
Efe 4:25 mumeacha uongo, museme kweli
Kol 3:9 Musiambiane uongo
2Te 2:11 wafikie kuamini uongo
Tit 1:2 hawezi kusema uongo
2Pe 2:3 maneno ya uongo
UOVU,
1Te 5:22 Mukatae kila namna ya uovu
UPANGA,
1Sa 17:47 haokoe kwa upanga
Mt 26:52 wanatumikisha upanga watakufa
Efe 6:17 upanga wa roho, neno la Mungu
Ebr 4:12 neno liko makali kuliko upanga
UPARA,
Law 13:40 mwanaume anakuwa na upara
Law 21:5 Hawapaswe kujifanyia upara
2Fa 2:23 Panda juu, wewe mwenye upara!
UPATANO,
1Ko 1:10 museme kwa upatano
Efe 4:16 unaunganishwa kwa upatano
UPENDELEO,
Kum 10:17 yeyote kwa upendeleo
Yak 2:9 kuonyesha upendeleo
UPENDO,
Wim 8:6 upendo uko na nguvu
Mt 24:12 upendo wa wengi utapoa
Yoh 15:13 upendo mukubwa kuliko huu
Ro 8:39 kututenganisha na upendo wa Mungu
Ro 13:10 upendo ndio utimizo wa sheria
1Ko 8:1 lakini upendo unajenga
1Ko 13:2 kama sina upendo,
1Ko 13:8 Upendo haushindwe
1Ko 13:13 jambo la mukubwa zaidi ni upendo
1Ko 16:14 yote yafanywe kwa upendo
2Ko 2:8 mumuhakikishie upendo wenu
Kol 3:12 muvae upendo wenye upole
Kol 3:14 upendo ni kifungo cha umoja
1Pe 4:8 upendo unafunika zambi
1Yo 4:8 Mungu ni upendo
Ufu 2:4 umeacha upendo wenye
UPENDO MUSHIKAMANIFU,
Kut 34:6 ni mwenye upendo mushikaminifu
Zb 13:5 upendo wako mushikamanifu
Zb 136:1-26 upendo wake mushikamanifu
Ho 6:6 ninapendezwa na upendo mushikamanifu
UPENDO WA KINDUGU,
Ro 12:10 Katika upendo wa kindugu mukuwe
UPEPO,
Muh 11:4 anaangalia upepo hatapanda
Mt 7:25 upepo ukavuma na kupiga
Efe 4:14 kupeperushwa na kila upepo wa
UPINDE WA MVUA,
Mwa 9:13 upinde wa mvua utakuwa
UPINZANI,
1Te 2:2 katika upinzani mwingi
UPOFU,
Mwa 19:11 wakawapiga kwa upofu
UPOLE,
1Ko 4:13 tunajibu kwa upole
1Pe 3:4 royo ya utulivu na ya upole
UPOTEVU,
Flp 3:7 nimeviona kuwa upotevu
UPOTOVU,
Mez 1:32 upotovu wa wajinga
UPUMBAVU,
Mez 19:3 Upumbavu wa mutu ndio
Mez 22:15 Upumbavu umefungwa katika moyo
1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu ni upumbavu
UPUNGUFU WA CHAKULA,
Mt 24:7 kutakuwa upungufu wa chakula
UPUUZI,
Efe 4:17 upuuzi wa akili zao
URAFIKI,
Zb 25:14 Urafiki na Yehova
Mez 3:32 anafanya urafiki wa karibu
URAIA,
Flp 3:20 uraia wetu uko mbinguni
UREFU KUENDA CHINI,
Efe 3:18 kuelewa urefu kuenda chini
URIMU NA TUMIMU,
Kut 28:30 Utaweka Urimu na Tumimu
URITI,
Hes 18:20 fungu na uriti
Zb 127:3 Wana ni uriti
Efe 1:18 anawekea watakatifu kuwa uriti
1Pe 1:4 uriti wenye hauwezi kuharibika
USADIKISHO,
Kol 4:12 usadikisho imara
1Te 1:5 kwa roho takatifu, na usadikisho
USALAMA,
1Fa 4:25 Israeli waliishi kwa usalama
Mez 3:23 utatembea kwa usalama
Mez 12:3 hakuna usalama kwa kutenda uovu
Isa 32:17 matunda ya haki yatakuwa usalama
Ho 2:18 nitawafanya walale katika usalama
Flp 3:1 mambo yaleyale, ni ya usalama
USAMINI,
Zb 27:4 kuangalia kwa usamini
USAWAZIKO,
Flp 4:5 Usawaziko ujulikane
USAWAZISHO,
2Ko 8:14 ili kukuwe usawazisho
USHAHIDI,
Mt 24:14 itahubiriwa ili kuwa ushahidi
Yoh 7:7 sababu ninatoa ushahidi
Yoh 18:37 ili nitoe ushahidi juu ya kweli
Mdo 10:42 tuhubirie watu na kutoa ushahidi
Mdo 28:23 kutoa ushahidi kamili juu ya Ufalme
USHIKAMANIFU,
Mik 6:8 upende ushikamanifu
USHIKAMANIFU KWA MUNGU,
1Ti 4:7 kusudi la ushikamanifu kwa Mungu
1Ti 4:8 ushikamanifu kwa Mungu uko na faida
1Ti 6:6 faida katika ushikamanifu kwa Mungu
2Ti 3:12 ushikamanifu kwa Mungu watateswa
USHINDI,
2Ko 2:14 maandamano ya ushindi
Ufu 6:2 akishinda na kukamilisha ushindi
USHIRIKA,
1Pe 2:17 mupende ushirika muzima
USIKU,
Zb 19:2 usiku kwa usiku
Ro 13:12 Usiku umeendelea sana
USIMAMIZI,
Efe 1:10 kwa ajili ya usimamizi
USINGIZI,
Ro 13:11 kuamuka kutoka usingizi
UTAJIRI,
Mez 11:28 kutegemea utajiri
Mez 30:8 Usinipatie umaskini wala utajiri
Eze 28:5 majivuno sababu ya utajiri
Mt 6:24 watumwa wa Mungu na wa Utajiri
Mt 13:22 nguvu za udanganyifu wa utajiri
UTAKASO,
Ebr 12:14 Mufuatie utakaso
UTAMBI,
Isa 42:3 hatazima utambi
UTAMBUZI,
Mt 24:15 musomaji atumie utambuzi
UTARATIBU,
1Ny 15:13 hatukutafuta utaratibu
1Ko 14:40 kwa adabu na kwa utaratibu
Gal 5:25 kutembea kwa utaratibu
1Ti 3:2 mwenye utaratibu
UTAWALA,
Isa 9:7 Kuongezeka kwa utawala
Da 4:34 utawala wake ni wa milele
UTAYARI,
Zb 51:12 utayari wa kukutii
2Ko 8:12 kama utayari uko kwanza
Efe 6:15 utayari wa kutangaza habari njema
UTENDAJI,
1Pe 1:13 akili kwa ajili ya utendaji
UTII,
Ro 16:26 kuendeleza utii kupitia imani
UTOTO,
2Ti 3:15 tangu utoto umejua
UTU,
Efe 4:24 kuvaa utu mupya
Kol 3:9 Muvue utu wa zamani
UTUKUFU,
Yoh 12:43 walipenda utukufu
Ro 3:23 kupungukiwa na utukufu
Ro 8:18 kuyalinganisha na utukufu
1Ko 10:31 yote kwa utukufu wa Mungu
Ufu 4:11 Unastahili, kupokea utukufu
UTULIVU,
1Te 4:11 kuishi kwa utulivu
1Pe 3:4 roho ya utulivu na ya upole
UTUMISHI,
Mdo 20:24 kumaliza utumishi
Ro 11:13 ninatukuza utumishi wangu
2Ko 4:1 utumishi kupitia rehema
2Ko 6:3 lisipatikane katika utumishi
1Ti 1:12 kwa kunipatia utumishi
2Ti 4:5 timiza kwa ukamili utumishi
UTUMISHI MUTAKATIFU,
Ro 12:1 utumishi mutakatifu pamoja na
UUMBAJI,
Ro 8:20 uumbaji ulitiishwa
Kol 1:23 ilihubiriwa katika uumbaji wote
Ufu 3:14 mwanzo wa uumbaji wa Mungu
UVUMILIVU,
Mez 14:29 hana uvumilivu
Mez 25:15 Kwa uvumilivu kamanda
Lu 8:15 kuzaa matunda kwa uvumilivu
Lu 21:19 Kupitia uvumilivu mutaokoa
Ro 5:3 taabu inatokeza uvumilivu
Ro 9:22 alivumilia kwa uvumilivu
1Ko 13:4 Upendo ni wenye uvumilivu
Yak 1:4 uvumilivu ukamilishe kazi
Yak 5:8 mukuwe na uvumilivu
Yak 5:11 uvumilivu wa Yobu
2Pe 3:15 uvumilivu wa Bwana wetu
UVUNJAJI WA SHERIA,
Mt 24:12 kuongezeka kwa uvunjaji wa sheria
2Te 2:7 fumbo la uvunjaji wa sheria
UVUTIO,
Mez 31:30 Uvutio unaweza kudanganya
UWEZO,
Kut 18:21 wanaume wenye uwezo
Mez 3:27 uwezo wa kusaidia
Mez 31:29 bibi wenye uwezo, umewapita wote
Mt 25:15 kila mumoja kulingana na uwezo wake
UWEZO WA KUFIKIRI,
Mez 1:4 kumupatia kijana uwezo wa kufikiri
UZAIFU,
Ro 14:1 Mukaribishe mwenye uzaifu
Ro 15:1 kubeba uzaifu wa
UZAO,
Mwa 3:15 uadui kati ya uzao wako
Mwa 22:17 uzao wako ukuwe mwingi
Isa 65:23 uzao wa wenye kubarikiwa
Gal 3:16 uzao wako, ambaye ni Kristo
Gal 3:29 uzao wa Abrahamu, wariti
UZEE,
Zb 71:9 Usinitupe wakati wa uzee
Zb 92:14 wakati wa uzee watasitawi
UZEMBE,
Yer 48:10 kazi ya Yehova kwa uzembe!
Da 6:4 uzembe ndani ya Danieli
UZIA,
2Ny 26:21 Uzia alibakia mwenye ukoma
UZIMA,
Kum 30:19 nimeweka uzima na kifo
Zb 36:9 chemchemi ya uzima
Lu 9:24 anataka kuokoa uzima
Yoh 5:26 Baba iko na uzima
Yoh 11:25 Mimi ndiye ufufuo na uzima
Mdo 20:24 sione uzima wangu kuwa wa maana
Ebr 4:12 neno la Mungu liko na uzima
UZIMA WA MILELE,
Da 12:2 kwenye uzima wa milele
Lu 18:30 kipindi hiki, uzima wa milele
Yoh 3:16 apate uzima wa milele
Yoh 17:3 Uzima wa milele ndio huu
Mdo 13:48 kwa ajili ya uzima wa milele
Ro 6:23 zawadi ya Mungu ni uzima wa milele
1Ti 6:12 shika uzima wa milele
UZINIFU,
Kut 20:14 kufanya uzinifu
Mt 5:28 uzinifu katika moyo wake
Mt 19:9 kumuoa mwingine anafanya uzinifu
UZITO,
Ebr 12:1 tutupe pia kila uzito
UZOEFU,
Zb 19:7 mwenye hana uzoefu
Mez 22:3 hawana uzoefu wanapata matokeo
UZURI,
Mez 6:25 Usitamani uzuri wake
Mez 19:11 ni uzuri kwake kuachilia kosa
Mez 31:30 uzuri unaweza kupita haraka
Eze 28:17 majivuno sababu ya uzuri
V
VAA,
Mez 7:10 amevaa kama kahaba
VICHWA VIGUMU,
2Pe 2:10 wenye vichwa vigumu
VIDONDA,
Mez 23:29 vidonda bila sababu?
Mez 27:6 Vidonda vyenye kutokezwa na rafiki
Isa 53:5 sababu ya vidonda vyake tuliponyeshwa
VIJANA,
Zb 110:3 vijana kama matone
Mez 20:29 Utukufu wa vijana ni nguvu
VIKUMBUSHO,
Zb 119:24 Ninapenda vikumbusho
VIKWAZO,
1Ko 10:32 Muepuke kuwa vikwazo
VILEMA,
Mt 15:31 vilema wanaponyeshwa
VILIO VYA MAUMIVU,
Ro 8:26 vilio vya maumivu vyenye havitamukwe
VIOO,
2Ko 3:18 kama vioo utukufu wa Mungu
VIPINDI,
Da 2:21 anabadilisha vipindi
Mdo 1:7 Haiko kazi yenu kujua vipindi
1Te 5:1 kwa habari ya nyakati na vipindi
VIPOFU,
Isa 35:5 macho ya vipofu
Mt 15:14 Wao ni viongozi vipofu
VIPYA,
Ufu 21:5 vitu vyote kuwa vipya
VITA,
1Sa 17:47 vita ni ya Yehova
Zb 46:9 Anamaliza vita
Isa 2:4 hawatajifunza vita tena
Ho 2:18 Nitaondoa katika inchi vita
1Ko 14:8 nani atajitayarisha kwa ajili ya vita?
Ufu 12:7 vita ikatokea mbinguni: Mikaeli
Ufu 16:14 vita ya ile siku kubwa ya Mungu
VITABU,
Muh 12:12 mwisho wa kutunga vitabu
Mdo 19:19 wakateketeza vitabu vyao
VITABU VYA KUKUNJWA,
Ufu 20:12 vitabu vya kukunjwa kulingana na
VITI VYA UFALME,
Da 7:9 viti vya Ufalme vikawekwa
VITU,
Lu 14:33 haachane na vitu vyake
Ebr 10:34 mukakubali kunyanganywa vitu
VITUNGA,
Mt 14:20 wakajaza vitunga 12
VITUNGUU SAUMU,
Hes 11:5 vitunguu, na vitunguu saumu
VITU VYA KUTOA MWANGAZA,
Flp 2:15 vitu vya kutoa mwangaza katika
VIVU,
Mt 25:26 Mutumwa muovu na muvivu
VIZIWI,
Isa 35:5 masikio ya viziwi
Mk 7:37 Hata anafanya viziwi wasikie
VUA,
Lu 5:10 utakuwa unavua watu
VUGUVUGU,
Ufu 3:16 wewe ni vuguvugu
VUMILIA,
2Fa 10:16 sivumilie ushindani
Ne 9:30 Uliwavumilia kwa miaka
Hab 1:13 hauwezi kuvumilia uovu
Mt 24:13 mwenye atavumilia mupaka
Ro 9:22 alivumilia vyombo vya kasirani kali
Ro 12:12 Muvumilie chini ya taabu
1Ko 4:12 wakati tunateswa tunavumilia
1Pe 2:20 munavumilia mateso
VUMILIANA,
Efe 4:2 mukivumiliana katika upendo
VUNA,
Muh 11:4 anaangalia mawingu hatavuna
Ho 8:7 upepo wanapanda, watavuna upepo
2Ko 9:6 anapanda kwa uchoyo atavuna
Gal 6:7 chenye mutu anapanda, ni kile atavuna
Gal 6:9 tutavuna kama hatuchoke kabisa
VUNJA NDOA,
Mal 2:16 ninachukia kuvunja ndoa
Mt 19:9 anavunja ndoa, kama haiko tu
Mk 10:11 anavunja ndoa na kuoa
VUNJA SHERIA,
Mt 7:23 ya kuvunja sheria!
Lu 22:37 pamoja na wenye kuvunja sheria
VUNJIKA,
Zb 51:17 roho yenye kuvunjika
Isa 66:2 mwenye kuvunjika katika roho
VUNJIKA MASHUA,
2Ko 11:25 mara tatu nilivunjikiwa mashua
VUNJIKA MOYO,
2Ny 15:7 na musivunjike moyo
Mez 24:10 unavunjika moyo siku ya taabu
Kol 3:21 ili wasivunjike moyo
VUNJWA,
Mez 29:1 ikuwe nguvu atavunjwa
VURUGWA,
2Te 2:2 akili yenu isivurugwe
VUTA,
Yoh 6:44 isipokuwa Baba amuvute
VYAKULA VITAMU,
Da 1:5 vyakula vitamu vya
VYUMBA,
Isa 26:20 muingie katika vyumba
W
WAABUDU-SANAMU,
1Ko 6:9 waabudu-sanamu hawatariti
WAAMINIFU,
1Ko 4:2 kupatwa wakiwa waaminifu
WAANGALIZI,
Isa 60:17 amani kuwa waangalizi
Mdo 20:28 imewaweka kuwa waangalizi
1Pe 5:2 waangalizi kwa kupenda
WAASHERATI,
1Ko 5:9 kushirikiana na waasherati
1Ko 6:9 Waasherati hawatariti Ufalme
WAASI,
Hes 20:10 Musikie, ninyi waasi!
Mez 24:21 usishirikiane na waasi
WACHUNGAJI,
Eze 34:2 wachungaji wakijikulisha!
Efe 4:11 wengine wachungaji na walimu
WACHURUZI,
2Ko 2:17 hatuko wachuruzi
WAFALME,
Mez 22:29 mbele ya wafalme
Lu 21:12 Mutapelekwa mbele ya wafalme
Mdo 4:26 Wafalme wa dunia walijipanga
Ufu 5:10 watatawala wakiwa wafalme
Ufu 18:3 wafalme walifanya uasherati
WAFANYABIASHARA,
Ufu 18:3 wafanyabiashara wa dunia
WAFANYAKAZI PAMOJA,
1Ko 3:9 wafanyakazi pamoja na Mungu
WAFARIJI,
Yob 16:2 wafariji wenye kusumbua!
WAFU,
Muh 9:5 wafu hawajue kitu
Lu 20:38 haiko Mungu wa wafu, lakini
Efe 2:1 wazima, hata kama mulikuwa wafu
Ufu 14:13 Wenye furaha ni wafu wenye
WAGENI,
Yoh 10:5 sauti ya wageni
WAIGAJI,
1Ko 11:1 Mukuwe waigaji wangu
Efe 5:1 mukuwe waigaji wa Mungu
WAIMBAJI,
1Ny 15:16 akawaambia waweke waimbaji
WAJANE,
Yak 1:27 kuhangaikia wajane
WAKA,
Ro 12:11 Muwake roho
WAKAMILIFU,
Mt 5:48 mukuwe wakamilifu
WAKANDAMIZAJI,
Muh 4:1 wakandamizaji walikuwa na nguvu
WAKARIMU,
1Ti 6:18 wakuwe wakarimu
WAKATI,
Muh 3:1 kila kazi iko na wakati
Muh 9:11 wakati na matukio yenye
Da 7:25 wakati, nyakati, na nusu ya wakati
Yoh 7:8 wakati wangu haujafika kabisa
1Ko 7:29 wakati wenye unabakia umepunguka
Efe 5:16 mukitumia muzuri zaidi wakati wenu
WAKATI KIDOGO,
2Ko 4:17 taabu ni ya wakati kidogo
WAKATI MUFUPI,
Zb 30:5 kasirani kwa wakati mufupi
Isa 26:20 Mujifiche kwa wakati mufupi
WAKATI WENYE KUJA,
Zb 73:17 wakati wao wenye kuja
Mez 24:20 wakati wenye kuja kwa ajili ya
WAKATI WENYE ULIWEKWA,
Hab 2:3 ni ya wakati wenye uliwekwa
WAKOMAVU,
Ebr 5:14 wakomavu, nguvu za utambuzi
WAKRISTO,
WAKUBWA,
Zb 45:16 wakubwa katika dunia
Isa 32:1 wakubwa watatawala kwa ajili ya haki
WALAWI,
Kut 32:26 Walawi wakakusanyika
Hes 3:12 Walawi watakuwa wangu
2Ny 35:3 Walawi, wafundishaji wa Israeli
WALEVI,
1Ko 6:10 walevi hawatariti Ufalme
WALIMU,
Zb 119:99 ufahamu kuliko walimu
Efe 4:11 wengine wachungaji na walimu
WANA,
Mwa 6:2 wana wa Mungu wakachukua
1Sa 8:3 wana wake hawakutembea
Yob 38:7 wana wa Mungu walipandisha sauti
Isa 54:13 wana wako watafundishwa na Yehova
Isa 66:8 Sayuni alizaa wana
Ro 8:14 wanaongozwa na roho, wana wa Mungu
WANAFILOZOFIA,
Mdo 17:18 wanafilozofia Wastoa
WANAFUNZI,
Mt 28:19 mufanye wanafunzi
Yoh 8:31 ninyi ni wanafunzi wangu
Yoh 13:35 wanafunzi wangu—kama muko na
WANAINCHI,
1Te 2:14 katika mikono ya wanainchi
WANA-KONDOO,
Isa 40:11 Atakusanya wana-kondoo
Yoh 21:15 Lisha wana-kondoo wangu
WANAMUKE,
Kum 31:12 Kusanya watu, wanamuke
Mez 31:3 Usipatie wanamuke nguvu
WANAUME WENYE KULALA NA WANAUME,
1Ko 6:9 wanaume wenye kulala na wanaume
WANEFILI,
Mwa 6:4 Wanefili juu ya dunia
WANYAMA,
Mwa 7:2 wanyama safi saba-saba
Law 26:6 nitaondoa wanyama wakali
Mez 12:10 Mwenye haki anatunza wanyama
Muh 3:19 linapata wanadamu na wanyama
Eze 34:25 nitaondoa wanyama hatari wa pori
Da 7:3 wanyama 4 wakubwa sana
Ho 2:18 agano na wanyama wa pori
WANYENYEKEVU,
Yak 4:6 anapatia wanyenyekevu
WAOVU,
Zb 37:9 waovu wataharibiwa
Zb 37:10 waovu hawatakuwa tena
Mez 15:8 Zabihu ya waovu ni chukizo
Mez 15:29 Yehova iko mbali na waovu
Isa 57:21 Hakuna amani kwa waovu
Ro 12:17 uovu kwa uovu
WAPINGA-KRISTO,
1Yo 2:18 wapinga-Kristo wengi
WAPINZANI,
Lu 21:15 hekima yenye wapinzani
1Ko 16:9 kuko wapinzani wengi
Flp 1:28 bila kuogopeshwa na wapinzani
WAPOLE,
Zb 37:11 wapole watariti dunia
Sef 2:3 Mumutafute Yehova, wapole
1Te 2:7 tulikuwa wapole kama mama
WAREKABU,
Yer 35:5 divai mbele ya Warekabu
WARITI,
Ro 8:17 wariti wa Mungu, lakini wariti
Gal 3:29 uzao wa Abrahamu, wariti
WASHAURI,
Mez 15:22 kupitia washauri wengi
WASHIKAMANIFU,
1Sa 2:9 hatua za washikamanifu
2Sa 22:26 Kwa mushikamanifu unatenda
Zb 16:10 Hautaruhusu mushikamanifu
Zb 37:28 Yehova hataacha washikamanifu
WASIKIVU,
Mdo 17:11 walikuwa wasikivu kuliko
WASIMAMIZI-NYUMBA,
1Ko 4:2 wasimamizi-nyumba ni kupatwa wakiwa
WATAFSIRI,
1Ko 12:30 wote ni watafsiri?
WATAKATIFU,
Da 7:18 watakatifu watapokea ufalme
WATAWALA,
Yoh 12:42 wengi kati ya watawala
Mdo 4:26 watawala wakakusanyika ili kumupinga
WATENDAJI,
Yak 1:22 mukuwe watendaji
WATENDA-ZAMBI,
Zb 1:5 watenda-zambi hawataendelea
Yoh 9:31 Mungu hasikilize watenda-zambi
Ro 5:8 tulikuwa watenda-zambi, Kristo alikufa
WATIIFU,
Ro 6:17 watiifu kutoka katika moyo
WATIWA-MAFUTA,
Zb 105:15 Musiguse watiwa-mafuta
WATOTO,
Kum 31:12 Kusanya watu, watoto
Zb 8:2 Kutoka katika kinywa cha watoto
Mt 11:16 kama watoto wadogo katika masoko
Mt 18:3 kuwa kama watoto wadogo
Mt 19:14 Muache watoto wakuje kwangu
Lu 10:21 umeyafunua kwa watoto wadogo
Ro 8:21 uhuru wa watoto wa Mungu
1Ko 7:14 watoto wenu hawangekuwa safi
1Ko 14:20 watoto kuhusiana na ubaya
2Ko 12:14 watoto kuweka akiba kwa ajili ya
Efe 6:1 Watoto, mutii wazazi wenu
1Yo 3:2 sisi ni watoto wa Mungu
WATOTO WANAMUKE,
Yoe 2:28 watoto wanamuke watatoa unabii
WATOTO WENYE HAWANA BABA,
Zb 68:5 Baba ya watoto wenye hawana baba
WATUMISHI,
Isa 65:13 Watumishi wangu watakula
2Ko 3:6 tustahili kuwa watumishi
2Ko 6:4 tunajipendekeza kuwa watumishi
WATUMISHI WA HUDUMA,
1Ti 3:8 watumishi wa huduma wanapaswa
WATUMWA,
Lu 17:10 watumwa wenye hawana
1Ko 7:23 watumwa wa wanadamu
WATUNGA-MASHAIRI,
Mdo 17:28 watunga-mashairi wenu wenyewe
WATU WA JAMAA,
Mdo 10:24 alikusanya watu wa jamaa
WATU WAZIMA,
1Ko 14:20 watu wazima katika uelewaji
WATU WENGI,
Kut 23:2 kufuata watu wengi
WATU WENYE ELIMU YA NYOTA,
Mt 2:1 watu wenye elimu ya nyota kutoka
WAVU,
Mt 13:47 Ufalme ni kama wavu
WAVUMILIVU,
1Te 5:14 wavumilivu kwa wote
2Pe 3:9 Yehova ni muvumilivu
WAVUVI WA WATU,
Mt 4:19 nitawafanya kuwa wavuvi wa watu
WAWILI-WAWILI,
Lu 10:1 akawatuma wawili-wawili
WAYAHUDI,
Ro 3:29 Mungu wa Wayahudi peke yao?
WAZAZI,
Lu 18:29 ameacha wazazi
Lu 21:16 mutatolewa na wazazi
2Ko 12:14 wazazi wanaweka akiba
Efe 6:1 mutii wazazi wenu
Kol 3:20 mutii wazazi katika kila jambo
WAZAZI WA WAZAZI,
1Ti 5:4 walipe wazazi wa wazazi
WAZEE,
Tit 1:5 uweke wazee
WAZIA,
Mt 24:44 saa yenye hamuwazie
WAZIHAKI,
2Pe 3:3 wazihaki watakuja
WAZIMA,
Lu 20:38 Mungu wa wazima
1Te 4:15 sisi wazima wenye tunabakia
WAZINIFU,
1Ko 6:9 wazinifu hawatariti Ufalme
WAZITO,
Ebr 5:11 wazito katika kusikia
WAZIWA,
Mwa 18:25 jambo lenye haliwezi kuwaziwa
WAZO,
2Ko 10:5 kila wazo ili limutii Kristo
Ufu 17:17 ndani ya mioyo ili kutimiza wazo lake
WEKA,
Zb 31:5 Ninaweka roho yangu
WEKA MUSINGI,
Mt 25:34 tangu kuwekwa musingi
WEMA,
Isa 26:10 muovu anaonyeshwa wema
WENGI,
Yer 8:6 yenye inapendwa na wengi
WENYE HAKI,
1Pe 3:12 macho ya Yehova juu ya wenye haki
WENYE HAWAKO WAAMINI,
1Ko 6:6 mbele ya wenye hawako waamini!
2Ko 6:14 nira na watu wenye hawako waamini
WENYE HAWAKO WENYE HAKI,
Mdo 24:15 ufufuo wa wenye hawako wenye haki
1Ko 6:9 wenye hawako wenye haki hawatariti
WENYE KUBAKIA,
Ufu 12:17 vita na wale wenye kubakia
WENYE KUCHAGULIWA,
Mt 24:22 sababu ya wenye kuchaguliwa
Mt 24:31 watakusanya wenye kuchaguliwa
WENYE KUFANYA AMANI,
Mt 5:9 ni wenye kufanya amani
WENYE KULALAMIKA,
Yud 16 wenye kulalamika juu ya fungu lao
WENYE KUTABIRI MATUKIO,
Law 19:31 watu wenye kutabiri matukio
WEUSI,
Sef 1:15 Siku ya giza na weusi
WEZI,
Mt 6:20 kwenye wezi hawavunje
1Ko 6:10 wezi hawatariti Ufalme
WIMBO,
Zb 98:1 Mumuimbie Yehova wimbo
Mdo 16:25 Paulo na Sila walimusifu kwa wimbo
WINDA,
Law 17:13 anawinda, kumwanga damu
WINGI ZAIDI,
Efe 3:20 kufanya kwa wingi zaidi
WINGU,
Ebr 12:1 wingu kubwa la mashahidi
WIVU,
Zb 106:16 Walimusikilia Musa wivu
Mez 6:34 wivu unafanya bwana akasirike
Mez 14:30 wivu unaozesha mifupa
1Ko 13:4 Upendo hauna wivu
WOGA,
Isa 44:8 kwa sababu ya woga
Lu 21:26 watazimia kwa woga
1Te 2:2 alitufanya tusikuwe na woga
2Ti 1:7 Mungu hakutupatia roho ya woga
1Yo 4:18 Hakuna woga katika upendo
WOKOVU,
2Ny 20:17 muone wokovu wa Yehova
Zb 3:8 Wokovu ni wa Yehova
Mdo 4:12 wokovu katika mutu mwingine
Ro 13:11 sasa wokovu wetu uko karibu
Flp 2:12 kufanyia kazi wokovu wenu
Ufu 7:10 Wokovu unatoka kwa Mungu
WONYESHO,
1Ko 4:9 mitume katika wonyesho
Y
YAH,
Kut 15:2 Uwezo wangu ni Yah
Isa 12:2 Yah Yehova ni nguvu zangu
YAKOBO 1.,
Mwa 32:24 kupigana mieleka na Yakobo
YAKOBO 2.,
Lu 6:16 Yuda mwana wa Yakobo
YAKOBO 3.,
Mdo 12:2 Yakobo ndugu ya Yohana
YAKOBO 4.,
Mk 15:40 Maria mama ya Yakobo
YAKOBO 5.,
Mt 13:55 ndugu zake Yakobo na
Mdo 15:13 Yakobo akajibu
1Ko 15:7 alimutokea Yakobo
Yak 1:1 Yakobo, mutumwa wa Mungu
YEFTA,
Amu 11:30 Yefta akafanya naziri
YEHOSHAFATI,
2Ny 20:3 Yehoshafati akaogopa
YEHOVA,
Kut 3:15 Yehova ndilo jina langu
Kut 5:2 Yehova ni nani? Simujue Yehova
Kut 6:3 kuhusu jina Yehova sikujitambulisha
Kut 20:7 kutumia jina la Yehova
Kum 6:5 kumupenda Yehova kwa moyo wote
Kum 7:9 Yehova ndiye Mungu wa kweli
Zb 83:18 jina lako ni Yehova
Isa 42:8 Yehova. Ndilo jina langu
Ho 12:5 Yehova wa majeshi, Yehova
Mal 3:6 mimi ni Yehova; sibadilike
Mk 12:29 Yehova mumoja
YEREMIA,
Yer 38:6 wakamutupa Yeremia
YERUSALEMU,
Yos 18:28 Yebusi, Yerusalemu
Da 9:25 kujenga upya Yerusalemu
Mt 23:37 Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji
Lu 2:41 walizoea kuenda Yerusalemu
Lu 21:20 Yerusalemu imezungukwa
Lu 21:24 Yerusalemu itakanyangwa
Mdo 5:28 mumejaza Yerusalemu na
Mdo 15:2 mitume na wazee kule Yerusalemu
Gal 4:26 Yerusalemu la juu
Ebr 12:22 Yerusalemu la mbinguni
Ufu 3:12 Yerusalemu Mupya unashuka
Ufu 21:2 Yerusalemu Mupya, ukishuka
YESE,
1Sa 17:12 Yese alikuwa na wana 8
Isa 11:1 tawi kutoka kisiki cha Yese
YESU,
Mt 1:21 utamupatia jina Yesu
YEZEBELI,
1Fa 21:23 Imbwa watakula Yezebeli
Ufu 2:20 unavumilia Yezebeli
YOBU,
Yob 1:9 Yobu anamuogopa Mungu?
Yak 5:11 uvumilivu wa Yobu
YOHANA 1.,
Mt 21:25 Ubatizo wa Yohana
Mk 1:9 Yohana akamubatiza Yesu
YOHANA 2.,
Yoh 1:42 Simoni, mwana wa Yohana
YOHANA 3.,
Mt 4:21 wa Zebedayo na Yohana
YONA,
Yon 2:1 Yona akasali katika tumbo
YONATANI,
1Sa 18:3 Yonatani na Daudi
1Sa 23:16 Yonatani akamusaidia Daudi
YORDANI,
Yos 3:13 maji ya Yordani
2Fa 5:10 uoge mara 7 katika Yordani
YOSEFU,
Mwa 39:23 Yehova alikuwa na Yosefu
Lu 4:22 Huyu ni mwana wa Yosefu?
YOSHUA,
Kut 33:11 Yoshua mwana wa Nuni
YOSIA,
2Fa 22:1 Yosia alitawala miaka 31
YUBILE,
Law 25:10 Itakuwa Yubile kwenu
YUDA,
Mwa 49:10 Fimbo haitatoka kwa Yuda
Mt 27:3 Kisha Yuda akahuzunika
YUMBA-YUMBA,
1Fa 18:21 kuyumba-yumba kati ya?
Z
ZAA,
Mwa 1:28 Muzae na mukuwe wengi
Isa 66:7 Mbele akuwe na uchungu, alizaa
1Pe 1:3 alituzaa upya kwa ajili ya tumaini
ZABIHU,
1Sa 15:22 Kutii ni muzuri kuliko zabihu
2Sa 24:24 zabihu zenye hazinigarimu kitu
Zb 40:6 Haukutamani zabihu na toleo
Zb 51:17 Zabihu kwa Mungu ni roho
Mez 15:8 Zabihu ya waovu ni chukizo
Ho 6:6 upendo mushikamanifu, hapana zabihu
Ro 12:1 mutoe miili yenu ikuwe zabihu
Ebr 13:15 tumutolee Mungu zabihu ya sifa
ZABIHU YA KUENDELEA,
Da 11:31 kuondoa zabihu ya kuendelea
Da 12:11 zabihu ya kuendelea imeondolewa
ZAHABU,
Eze 7:19 Feza wala zahabu
Da 3:1 alitengeneza sanamu ya zahabu
ZAIFU,
1Ko 1:27 Mungu alichagua vitu zaifu
2Ko 12:10 wakati niko muzaifu
1Te 5:14 musaidie wazaifu
1Pe 3:7 chombo kizaifu, mwanamuke
ZAKA,
Mal 3:10 Mulete zaka yote
ZAKAYO,
Lu 19:2 Zakayo, mukubwa wa
ZALIWA,
Yob 14:1 mwenye kuzaliwa na
Zb 51:5 Nilizaliwa na hatia ya kosa
ZAMA,
1Ti 4:15 fikiri sana, zama
ZAMANI,
Isa 65:17 ya zamani hayatakumbukwa
ZAMBI,
Mwa 4:7 zambi inashutama
Zb 32:1 mwenye zambi yake imefunikwa
Zb 38:18 Nilisumbuliwa na zambi yangu
Isa 1:18 kama zambi zenu ziko nyekundu
Isa 38:17 umetupa zambi zangu nyuma
Isa 53:12 Alibeba zambi ya watu wengi
Yer 31:34 sitakumbuka tena zambi yao
Eze 33:14 wakati muovu anaacha zambi
Mt 18:15 kama ndugu anatenda zambi, uende
Mk 3:29 anatukana roho, zambi ya milele
Yoh 1:29 Mwana-Kondoo anatosha zambi
Mdo 3:19 mutubu ili zambi zenu zifutwe
Ro 3:25 anasamehe zambi zenye zilifanywa
Ro 5:12 kupitia mutu mumoja zambi iliingia
Ro 6:14 zambi haipaswe kuwa bwana
Ro 6:23 mushahara wenye zambi inalipa
1Ti 5:24 zambi za wengine zinakuwa wazi
Yak 4:17 lakini hayafanye, hiyo ni zambi
Yak 5:15 amefanya zambi, atasamehewa
1Yo 1:7 inatusafisha kutoka katika zambi
1Yo 2:1 kama yeyote anafanya zambi
1Yo 5:17 Kila ukosefu wa haki ni zambi
ZAMIRI,
Ro 2:15 zamiri yao inatoa ushahidi
Ro 13:5 kwa sababu ya zamiri yenu
1Ko 8:12 kuumiza zamiri yao zaifu
1Ti 4:2 zamiri zao zimekuwa kama kovu
1Pe 3:16 kuwa na zamiri ya muzuri
1Pe 3:21 ombi ili kupata zamiri ya muzuri
ZARAU,
Isa 53:3 Alizarauliwa na wanadamu
1Te 4:8 hazarau mwanadamu, lakini
1Ti 4:14 Usizarau zawadi ndani yako
ZARAULIKA,
Hes 21:5 mukate wenye kuzaraulika
ZAWABU,
Rut 2:12 Yehova akupatie zawabu
Kol 3:24 zawabu kutoka kwa Yehova
ZAWADI,
Ro 6:23 zawadi yenye Mungu anatoa
Ro 12:6 tuko na zawadi tofauti
1Ko 7:7 kila mumoja iko na zawadi
1Ko 9:24 ni mumoja tu anapokea zawadi
Efe 4:8 zawadi katika wanadamu
Kol 2:18 mutu awanyanganye zawadi
Yak 1:17 Kila zawadi ya muzuri
ZEEKA,
Zb 37:25 sasa nimezeeka
ZEHEBU,
Mdo 28:22 zehebu hili, linasemwa
Tit 3:10 mwenye anaendeleza zehebu
ZEKARIA 1.,
Lu 11:51 damu ya Zekaria
ZEKARIA 2.,
Ezr 5:1 nabii hagai na Zekaria
ZEKARIA 3.,
Lu 1:5 kuhani mwenye aliitwa Zekaria
ZEU,
Mdo 14:12 Barnaba wakamuita Zeu, Paulo
ZIWA,
Ufu 19:20 ziwa la moto
ZIZI,
Yoh 10:16 hawako wa zizi hili
ZOEZA,
Mez 22:6 Zoeza mutoto mwanaume
ZUIA,
Mez 10:19 anazuia midomo yake
Mez 16:32 mwenye kuzuia kasirani
Isa 14:27 ameamua, nani anaweza kuzuia?
1Ko 7:35 hapana ili kuwazuia, lakini
1Te 2:16 kutuzuia kuwahubiria watu
1Te 4:4 kujua namna ya kuzuia mwili
ZURI ZAIDI,
Flp 2:3 wengine kuwa wazuri zaidi
0-9
12,
Mk 3:14 12 wenye aliita mitume
24,
Ufu 4:4 viti vya ufalme 24
70,
Zb 90:10 maisha yetu ni miaka 70
Da 9:2 ukiwa wa Yerusalemu, miaka 70
Da 9:24 majuma 70 yameamuliwa
Lu 10:1 Bwana akachagua 70
77,
Mt 18:22 lakini mara 77
100,
Mt 13:8 zikazaa, mara 100
Mt 18:12 iko na kondoo 100
Mk 10:30 hatapata mara 100
300,
Amu 7:7 kupitia wanaume 300
500,
1Ko 15:6 ndugu zaidi ya 500
666,
Ufu 13:18 namba yake ni 666
1 000,
Ufu 20:2 akamufunga miaka 1 000
Ufu 20:4 wakatawala miaka 1 000
4 000,
Mk 8:20 mikate 7 kwa wanaume 4 000
5 000,
Mt 14:21 wanaume karibu 5 000
144000,
Ufu 7:4 walitiwa muhuri, 144 000
Ufu 14:3 144 000 wenye wamenunuliwa
185 000,
2Fa 19:35 akaua watu 185 000