Zaburi 131:1-3
-
Kutulia kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya
-
Kukosa kutafuta mambo makubwa sana (1)
-
Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Daudi.
131 Ee Yehova, moyo wangu hauna majivuno,Wala macho yangu hayana kiburi;+Wala sijitafutie mambo makubwa sana,+Wala mambo yenye kupita uwezo wangu.
2 Hapana, lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu*+Kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya akiwa katika mikono ya mama yake;Nimetosheka* kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya.
3 Israeli amungojee Yehova+Kuanzia sasa na milele.
Maelezo ya Chini
^ Ao “nimejituliza na kujinyamazisha mwenyewe.” Angalia Maana ya Maneno.
^ Ao “Nafsi yangu imetosheka.”

