Zaburi 131:1-3

  • Kutulia kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya

    • Kukosa kutafuta mambo makubwa sana (1)

Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Daudi. 131  Ee Yehova, moyo wangu hauna majivuno,Wala macho yangu hayana kiburi;+Wala sijitafutie mambo makubwa sana,+Wala mambo yenye kupita uwezo wangu.  2  Hapana, lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu*+Kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya akiwa katika mikono ya mama yake;Nimetosheka* kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya.  3  Israeli amungojee Yehova+Kuanzia sasa na milele.

Maelezo ya Chini

Ao “nimejituliza na kujinyamazisha mwenyewe.” Angalia Maana ya Maneno.
Ao “Nafsi yangu imetosheka.”