A7-G
Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi wa Mwisho wa Yesu Katika Yerusalemu (Sehemu ya 1)
WAKATI |
MAHALI |
TUKIO |
MATAYO |
MARKO |
LUKA |
YOHANA |
---|---|---|---|---|---|---|
33, Nisani 8 |
Betania |
Yesu anafika siku sita mbele ya Pasaka |
||||
Nisani 9 |
Betania |
Maria anamwanga mafuta kwenye kichwa na miguu ya Yesu |
||||
Betania-Betfage- Yerusalemu |
Anaingia Yerusalemu kwa ushindi, akiwa juu ya punda |
|||||
Nisani 10 |
Betania-Yerusalemu |
Analaani muti wa tini; anasafisha tena hekalu |
||||
Yerusalemu |
Wakubwa wa makuhani na waandishi wanafanya mupango wa kumuua Yesu |
|||||
Yehova anasema; Yesu anatabiri kifo chake; kukosa imani kwa Wayahudi kunatimiza unabii wa Isaya |
||||||
Nisani 11 |
Betania-Yerusalemu |
Somo kutokana na muti wa tini wenye ulikauka |
||||
Yerusalemu, hekalu |
Mamlaka ya Yesu yanapingwa; mufano wa wana wawili |
|||||
Mifano: walimaji wauaji, karamu ya ndoa |
||||||
Anajibu maulizo juu ya Mungu na Kaisari, ufufuo, amri kubwa zaidi |
||||||
Anauliza watu ikiwa Kristo ni mwana wa Daudi |
||||||
Ole wao waandishi na Wafarisayo |
||||||
Anaangalia muchango wa mujane |
||||||
Mulima wa Mizeituni |
Anatoa alama ya kuwapo kwake wakati wenye kuja |
|||||
Mifano: mabikira kumi, talanta, kondoo na mbuzi |
||||||
Nisani 12 |
Yerusalemu |
Viongozi wa Wayahudi wanafanya mupango wa kumuua |
||||
Yuda anapanga namna atamusaliti |
||||||
Nisani 13 (Siku ya Ine kisha muchana-kati) |
Karibu na ndani ya Yerusalemu |
Anatayarisha Pasaka ya mwisho |
||||
Nisani 14 |
Yerusalemu |
Anakula Pasaka pamoja na mitume |
||||
Ananawisha miguu ya mitume |