Zaburi 1:1-6
1 Mwenye furaha ni mutu mwenye hatembee kulingana na shauri la waovuNa hasimame katika njia ya watenda-zambi+Naye hakae katika kiti cha wenye kuzihaki.+
2 Lakini anapendezwa na sheria ya Yehova,+Na anasoma sheria Yake kwa sauti ya chini* muchana na usiku.+
3 Atakuwa kama muti wenye kupandwa pembeni ya mito midogo ya maji,Muti wenye unazaa matunda katika wakati wake,Na majani yake hayakauke.
Na kila jambo lenye anafanya litafanikiwa.+
4 Waovu hawako vile;Wako kama maganda ya mbegu yenye kupeperushwa mbali na upepo.
5 Ndiyo sababu waovu hawataendelea kusimama katika hukumu;+Wala watenda-zambi hawataendelea kusimama katika mukusanyiko wa wenye haki.+
6 Kwa maana Yehova anajua njia ya wenye haki,+Lakini njia ya waovu itaangamia.+
Maelezo ya Chini
^ Ao “anatafakari juu ya sheria Yake; anafikiri sana juu ya sheria Yake.”

