BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018)

Inakuwa Namna Gani Wakati Mutu Anakufa?

Kiswahili (Congo)
Inakuwa Namna Gani Wakati Mutu Anakufa?
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1001061100/univ/wpub/1001061100_univ_sqr_xl.jpg
nwt uku. 22

ULIZO LA 11

Inakuwa Namna Gani Wakati Mutu Anakufa?

“Roho yake inatoka, anarudia kwenye udongo; siku ileile mawazo yake yanapotea.”

Zaburi 146:4

“Wazima wanajua kwamba watakufa, lakini wafu hawajue kitu chochote . . . Kila jambo lenye mukono wako unapata kufanya, ulifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala hekima katika Kaburi, mahali unaenda.”

Muhubiri 9:5, 10

“[Yesu] akaongezea: ‘Rafiki yetu Lazaro amelala usingizi, lakini ninasafiri kuenda kule ili kumuamusha.’ Hata hivyo, Yesu alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro. Lakini walifikiri alikuwa anasema juu ya kupumuzika katika usingizi. Halafu Yesu akawaambia waziwazi: ‘Lazaro amekufa.’”

Yohana 11:11, 13, 14