BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018)

Serikali Kubwa za Ulimwengu Zenye Zilitabiriwa na Danieli

Kiswahili (Congo)
Serikali Kubwa za Ulimwengu Zenye Zilitabiriwa na Danieli
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1001061100/univ/wpub/1001061100_univ_sqr_xl.jpg
nwt uku. 2036-2037

B9

Serikali Kubwa za Ulimwengu Zenye Zilitabiriwa na Danieli

Babiloni

Danieli 2:32, 36-​38; 7:4

607 M.K.Y. Mufalme Nebukadneza anaharibu Yerusalemu

Umedi na Uajemi

Danieli 2:32, 39; 7:5

539 M.K.Y. Unashinda Babiloni

537 M.K.Y. Koreshi anatoa amri ya kuruhusu Wayahudi warudie Yerusalemu

Ugiriki

Danieli 2:32, 39; 7:6

331 M.K.Y. Aleksanda Mukubwa anashinda Uajemi

Roma

Danieli 2:33, 40; 7:7

63 M.K.Y. Inaanza kutawala Israeli

70 K.K.Y. Inaharibu Yerusalemu

Uingereza na Amerika

Daniel 2:33, 41-43

1914-1918 K.K.Y. Wakati wa Vita ya Kwanza ya Ulimwengu, Serikali Kubwa ya Ulimwengu ya Uingereza na Amerika inaanza