B9
Serikali Kubwa za Ulimwengu Zenye Zilitabiriwa na Danieli
|
Babiloni 607 M.K.Y. Mufalme Nebukadneza anaharibu Yerusalemu |
|
Umedi na Uajemi 539 M.K.Y. Unashinda Babiloni 537 M.K.Y. Koreshi anatoa amri ya kuruhusu Wayahudi warudie Yerusalemu |
|
Ugiriki 331 M.K.Y. Aleksanda Mukubwa anashinda Uajemi |
|
Roma 63 M.K.Y. Inaanza kutawala Israeli 70 K.K.Y. Inaharibu Yerusalemu |
|
Uingereza na Amerika Daniel 2:33, 41-43 1914-1918 K.K.Y. Wakati wa Vita ya Kwanza ya Ulimwengu, Serikali Kubwa ya Ulimwengu ya Uingereza na Amerika inaanza |

