ULIZO LA 13
Biblia Inasema Nini Juu ya Kazi?
“Je, umemuona mutu mwenye ufundi katika kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.”
“Ule mwenye kuiba asiibe tena; lakini afanye kazi kwa bidii, akifanya kazi ya muzuri kwa mikono yake, ili akuwe na kitu cha kumupatia mutu mwenye kuwa katika uhitaji.”
“Kila mutu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yake yote ya nguvu. Ni zawadi ya Mungu.”