A7-F
Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi Wenye Yesu Alifanya Baadaye Mashariki mwa Yordani
WAKATI |
MAHALI |
TUKIO |
MATAYO |
MARKO |
LUKA |
YOHANA |
---|---|---|---|---|---|---|
32, kisha Sikukuu ya Kumutolea Mungu Hekalu |
Betania ngambo ingine ya Yordani |
Anaenda kwenye Yohana alikuwa anabatizia; watu wengi wanamuamini Yesu |
||||
Perea |
Anafundisha katika miji na vijiji, akiwa katika safari kuelekea Yerusalemu |
|||||
Anatia watu moyo waingie kupitia mulango mwembamba; anaomboleza juu ya Yerusalemu |
||||||
Pengine Perea |
Anafundisha unyenyekevu; mifano: nafasi ya heshima zaidi na wageni wenye kutoa visingizio |
|||||
Hesabia garama ya kuwa mwanafunzi |
||||||
Mifano: kondoo mwenye alipotea, feza ya kichele yenye ilipotea, mwana mupotevu |
||||||
Mifano: musimamizi-nyumba mwenye haiko mwenye haki, tajiri na Lazaro |
||||||
Anafundisha kuhusu kukwazika, kusamehe, na imani |
||||||
Betania |
Lazaro anakufa na anafufuliwa |
|||||
Yerusalemu; Efraimu |
Mupango wa kumuua Yesu; anaondoka |
|||||
Samaria; Galilaya |
Anaponyesha watu kumi wenye ukoma; anaeleza namna Ufalme wa Mungu utakuja |
|||||
Samaria ao Galilaya |
Mifano: mujane mwenye kuomba bila kuacha, Mufarisayo na mukusanya-kodi |
|||||
Perea |
Anafundisha kuhusu ndoa na kuvunja ndoa |
|||||
Anabariki watoto |
||||||
Ulizo la mwanaume tajiri; mufano wa wafanyakazi katika shamba la mizabibu na mushahara wa sawasawa |
||||||
Pengine Perea |
Anatabiri kifo chake mara ya tatu |
|||||
Ombi kwa ajili ya Yakobo na Yohana la kupata cheo katika Ufalme |
||||||
Yeriko |
Anapita katika Yeriko, anaponyesha wanaume wawili vipofu; anatembelea Zakayo; mufano wa mina kumi |