A7-C
Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Utumishi Mukubwa wa Yesu Katika Galilaya (Sehemu ya 1)
WAKATI |
MAHALI |
TUKIO |
MATAYO |
MARKO |
LUKA |
YOHANA |
---|---|---|---|---|---|---|
30 |
Galilaya |
Yesu anatangaza kwa mara ya kwanza kama “Ufalme wa mbinguni umekaribia” |
||||
Kana; Nazareti; Kapernaumu |
Anamuponyesha mwana wa ofisa wa mufalme; anasoma katika kitabu cha kukunjwa cha Isaya; anaenda Kapernaumu |
|||||
Bahari ya Galilaya, karibu na Kapernaumu |
Anaita wanafunzi ine: Simoni na Andrea, Yakobo na Yohana |
|||||
Kapernaumu |
Anaponyesha mama-mukwe wa Simoni na wengine |
|||||
Galilaya |
Anatembelea Galilaya kwa mara ya kwanza, pamoja na wale ine |
|||||
Anaponyesha mutu mwenye ukoma; watu wengi wanamufuata |
||||||
Kapernaumu |
Anaponyesha mutu mwenye kupooza |
|||||
Anaita Matayo; anakula pamoja na wakusanya-kodi; ulizo juu ya kufunga |
||||||
Yudea |
Anahubiri katika masinagogi |
|||||
31, Pasaka |
Yerusalemu |
Anaponyesha mugonjwa kwenye kiziwa cha maji cha Betzata; Wayahudi wanatafuta kumuua |
||||
Kurudia kutoka Yerusalemu (?) |
Wanafunzi wanakata nafaka siku ya Sabato; Yesu “Bwana wa Sabato” |
|||||
Galilaya; Bahari ya Galilaya |
Anaponyesha mukono wa mutu siku ya Sabato; watu wengi wanamufuata; anaponyesha wengine wengi |
|||||
Ml. karibu na Kapernaumu |
Anachagua mitume 12 |
|||||
Karibu na Kapernaumu |
Anafanya Mahubiri ya Mulimani |
|||||
Kapernaumu |
Anamuponyesha mutumishi wa ofisa wa jeshi |
|||||
Naini |
Anafufua mwana wa mujane |
|||||
Tiberia; Galilaya (Naini ao karibu na pale) |
Yohana anatuma wanafunzi kumuona Yesu; kweli inafunuliwa kwa watoto wadogo; nira yake haiumize |
|||||
Galilaya (Naini ao karibu na pale) |
Mwanamuke mwenye zambi anamwanga mafuta kwenye miguu ya Yesu; mufano wa watu wenye madeni |
|||||
Galilaya |
Safari ya pili ya kuhubiri, pamoja na wale 12 |
|||||
Anafukuza pepo wachafu; zambi yenye haiwezi kusamehewa |
||||||
Hatoe alama yoyote isipokuwa alama ya Yona |
||||||
Mama yake na ndugu zake wanakuja; anasema wanafunzi wake ndio jamaa yake |