BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018)

Unaweza Kufanya Nini Ili Usomaji Wako wa Biblia Ukuletee Faida?

Kiswahili (Congo)
Unaweza Kufanya Nini Ili Usomaji Wako wa Biblia Ukuletee Faida?
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1001061100/univ/wpub/1001061100_univ_sqr_xl.jpg
nwt uku. 36

ULIZO LA 20

Unaweza Kufanya Nini Ili Usomaji Wako wa Biblia Ukuletee Faida?

WAKATI UNASOMA BIBLIA, UJIULIZE MAULIZO HAYA:

Andiko hili linanifundisha nini juu ya Yehova Mungu?

Namna gani sehemu hii ya Maandiko inapatana na ujumbe wa Biblia?

Namna gani ninaweza kutumikisha jambo hili katika maisha yangu?

Namna gani ninaweza kutumia maandiko haya ili kusaidia wengine?

“Neno lako ni taa ya muguu wangu, na mwangaza wa njia yangu.”

Zaburi 119:105