Zaburi 129:1-8

  • Alishambuliwa lakini hakushindwa

    • Wenye kuchukia Sayuni wanapatishwa haya (5)

Wimbo wa Safari za Kupanda. 129  “Wamenishambulia kila wakati tangu ujana wangu”+​—⁠Israeli aseme sasa⁠—  2  “Wamenishambulia kila wakati tangu ujana wangu;+Lakini hawajanishinda.+  3  Walimaji wamelima kwenye mugongo wangu;+Wamerefusha mifereji yao.”  4  Lakini Yehova ni mwenye haki;+Amekata-kata kamba za waovu.+  5  Watapatishwa haya na kukimbia kwa sababu ya aibu,Wale wote wenye kuchukia Sayuni.+  6  Watakuwa kama majani kwenye sehemu za juu za nyumbaYenye yanakauka mbele yangolewe,  7  Yenye hayawezi kujaa katika mukono wa muvunajiWala katika mikono ya ule mwenye kukusanya mafungu ya mbegu.  8  Wale wenye kupita karibu hawatasema: “Baraka ya Yehova ikuwe juu yenu;Tunawabariki katika jina la Yehova.”

Maelezo ya Chini