Zaburi 128:1-6

  • Furaha kwa sababu ya kumuogopa Yehova

    • Bibi mwenye kuwa kama muzabibu wenye kuzaa matunda mengi (3)

    • “Na uone Yerusalemu ikisitawi” (5)

Wimbo wa Safari za Kupanda. 128  Mwenye furaha ni kila mutu mwenye anamuogopa Yehova,+Mwenye anatembea katika njia Zake.+  2  Utakula vitu vyenye mukono wako ulifanya kazi ya nguvu ili kuvipata. Utakuwa na furaha na kufurahia mafanikio.+  3  Bibi yako atakuwa kama muzabibu wenye kuzaa matunda mengi ndani ya nyumba yako;+Wana wako watakuwa kama machipukizi ya muzeituni kuzunguka meza yako.  4  Angalia! Ni vile mwanaume mwenye kumuogopa YehovaAtabarikiwa.+  5  Yehova atakubariki kutoka Sayuni. Na uone Yerusalemu ikisitawi sikuzote za maisha yako+  6  Na uone wana wa wana wako. Amani ikuwe juu ya Israeli.

Maelezo ya Chini