Zaburi 128:1-6

  • Furaha kwa sababu ya kumuogopa Yehova

    • Bibi mwenye kuwa kama muzabibu wenye kuzaa matunda mengi (3)

    • “Na uone Yerusalemu ikisitawi” (5)

Wimbo wa Safari za Kupanda. 128  Mwenye furaha ni kila mutu mwenye anamuogopa Yehova,+ Mwenye anatembea katika njia Zake.+   Utakula vitu vyenye mukono wako ulifanya kazi ya nguvu ili kuvipata. Utakuwa na furaha na kufurahia mafanikio.+   Bibi yako atakuwa kama muzabibu wenye kuzaa matunda mengi ndani ya nyumba yako;+ Wana wako watakuwa kama machipukizi ya muzeituni kuzunguka meza yako.   Angalia! Ni vile mwanaume mwenye kumuogopa Yehova Atabarikiwa.+   Yehova atakubariki kutoka Sayuni. Na uone Yerusalemu ikisitawi sikuzote za maisha yako+   Na uone wana wa wana wako. Amani ikuwe juu ya Israeli.

Maelezo ya Chini