Zaburi 100:1-5

  • Kumushukuru Muumbaji

    • “Mumutumikie Yehova kwa furaha” (2)

    • ‘Mungu ndiye alituumba’ (3)

Muziki wa shukrani. 100  Mumupigie Yehova vigelegele vya ushindi, dunia yote.+  2  Mumutumikie Yehova kwa furaha.+ Muingie mbele yake kwa vigelegele vya shangwe.  3  Mujue* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye alituumba, na sisi tuko mali yake.*+ Tuko watu wake na kondoo wa malisho yake.+  4  Muingie katika milango yake mikubwa mukiwa na shukrani,+Katika viwanja vyake mukiwa na sifa.+ Mumushukuru yeye; musifu jina lake.+  5  Kwa maana Yehova ni mwema;+Upendo wake mushikamanifu unadumu milele,Na uaminifu wake katika vizazi vyote.+

Maelezo ya Chini

Ao “Mutambue.”
Ao pengine, “haiko sisi wenyewe.”