Zaburi 114:1-8
114 Wakati Israeli alitoka Misri,+Wakati nyumba ya Yakobo ilitoka kati ya watu wenye kuzungumuza luga ya kigeni,
2 Yuda ikakuwa patakatifu* pake,Israeli, eneo la utawala wake.+
3 Bahari iliona hilo na kukimbia;+Muto Yordani ulirudia nyuma.+
4 Milima iliruka-ruka kama kondoo-dume,+Vilima, kama wana-kondoo.
5 Ni nini ilikufanya ukimbie, Ee bahari?+
Sababu gani ulirudia nyuma, Ee Yordani?+
6 Sababu gani muliruka-ruka kama kondoo-dume, Enyi milima,Kama wana-kondoo, enyi vilima?
7 Tetemeka, Ee dunia, kwa sababu ya Bwana,Kwa sababu ya Mungu wa Yakobo,+
8 Mwenye anageuza mwamba kuwa kiziwa cha maji chenye matete,Jiwe ngumu kuwa chemchemi za maji.+
Maelezo ya Chini
^ Ao “mahali patakatifu.”

