B12-B
Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)
Yerusalemu na Eneo la Pembeni-pembeni
-
Hekalu
-
Bustani ya Getsemane (?)
-
Nyumba ya Gavana
-
Nyumba ya Kayafa (?)
-
Nyumba Kwenye Herode Antipa Alikuwa Anafikia (?)
-
Kiziwa cha Maji cha Betzata
-
Kiziwa cha Maji cha Siloamu
-
Jumba la Sanhedrini (?)
-
Golgota (?)
-
Akeldama (?)
Uende ku siku ya: Nisani 12 | Nisani 13 | Nisani | Nisani 15 | Nisani 16
Nisani 12
KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)
KUTOKEA KWA JUA
-
Anapitisha siku yenye utulivu pamoja na wanafunzi wake
-
Yuda anafanya mupango wa kumusaliti
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 13
KUSHUKA KWA JUA
KUTOKEA KWA JUA
-
Petro na Yohana wanatayarisha Pasaka
-
Yesu na mitume wengine wanafika mangaribi
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 14
KUSHUKA KWA JUA
-
Anakula Pasaka pamoja na mitume
-
Ananawisha miguu ya mitume
-
Anamufukuza Yuda
-
Anaanzisha Chakula cha Mangaribi cha Bwana
Nisani 15 (Sabato)
KUSHUKA KWA JUA
KUTOKEA KWA JUA
-
Pilato anakubali walinzi wawekwe kwenye kaburi la Yesu
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 16
KUTOKEA KWA JUA
-
Anafufuka
-
Anatokea wanafunzi