Zaburi 117:1, 2
-
Mataifa yote yahimizwa yamsifu Yehova
-
Upendo mshikamanifu wa Mungu ni mkubwa (2)
-
117 Msifuni Yehova, enyi mataifa yote;+Mtukuzeni, enyi mataifa yote.*+
2 Kwa maana upendo wake mshikamanifu kutuelekea ni mkubwa;+Uaminifu+ wa Yehova unadumu milele.+
Msifuni Yah!*+