Ni Nini Kipya?
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Msemo wa Biblia—“Ikiwezekana, . . . Fanyeni Amani na Watu Wote”
Wakristo wa kweli hujitahidi kudumisha amani na kila mtu, lakini huenda isiwe rahisi sikuzote. Kwa nini?
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Mambo Matatu Yatakayokusaidia Utumie Muda wa Kutosha Unaposali
Ni mambo gani yatakayokusaidia usali kwa muda wa kutosha ili umweleze Mungu kikamili mawazo na hisia zako?
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Faida za Kutenga Wakati wa Kuwa Peke Yako
Jifunze jinsi Yesu alivyotenga muda wa kuwa peke yake na kwa nini tunapaswa kufanya hivyo.
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Je, Unakumbuka?—Desemba 2026
Je, umefurahia kusoma matoleo ya hivi karibuni ya Mnara wa Mlinzi? Ona mambo unayokumbuka.
TAARIFA ZA HABARI
“Fursa Nzuri ya Kutoa Ushahidi”
TAARIFA ZA HABARI
Ndugu Watatu na Dada Mmoja Waachiliwa Kutoka Gerezani Urusi na Crimea
MASWALI YANAYOULIZWA MARA NYINGI
Je, Mashahidi wa Yehova Hulipwa kwa Kushiriki Katika Utendaji Wao wa Kidini?
Hatulipwi kwa kushiriki katika utendaji wetu wa Kikristo. Jifunze kuhusu utendaji wetu mbalimbali na jinsi unavyotegemezwa.
TAARIFA ZA HABARI
Tetemeko Kubwa la Ardhi Lapiga Kolombia
TAARIFA ZA HABARI
“Wasiwasi Wangu Uligeuka Kuwa Furaha”
TAARIFA ZA HABARI
NDUGU AFUNGWA | ‘Tunachopata Tunapovumilia Kitadumu Milele’
JIFUNZE KUTOKA KWA YESU
Yesu Alisema Nini Kuhusu “Matetemeko Makubwa ya Ardhi”?
Miaka 2,000 hivi iliyopita, Yesu alitabiri kwamba kutakuwa na matetemeko makubwa ya ardhi. Kwa nini maneno ya Yesu ni muhimu sana leo?
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Dokezo la Kujifunza—Nufaika Kikamili na Video Zetu
Fikiria mapendekezo machache yatakayokusaidia kunufaika na video zinazopatikana katika tovuti ya jw.org.
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Thamini Sifa Tofauti-tofauti za Watu Katika Kutaniko Lenu
Tunawezaje kuona mambo kwa njia pana na kuthamini zaidi sifa tofauti-tofauti za ndugu na dada zetu?
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Walinzi wa Mfalme katika milki ya Roma walivaa mavazi gani?
Jifunze kuhusu mavazi ambayo kikundi hiki cha pekee cha wanajeshi kilivaa na jinsi ambavyo wangeweza kutambuliwa.
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Jinsi ya Kuridhika Wakati wa Hali Ngumu za Kiuchumi
Fikiria kanuni nne za Biblia zinazoweza kukusaidia kuridhika licha ya hali unazokabili.

