Ni Nini Kipya?

2026-04-16

JIFUNZE KUTOKA KWA YESU

“Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu”

Yesu alifundisha kwamba serikali ya Mungu ndiyo itakayosuluhisha matatizo ya wanadamu, na wala si serikali za wanadamu. Jifunze jinsi mfano wake unavyowahusu Wakristo leo.

2026-04-14

MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO

Dokezo la Kujifunza​​—⁠Tayarisha Maelezo Yenye Kujenga

Fikiria mapendekezo manne yanayoweza kukusaidia kutayarisha maelezo yenye kutia moyo kwa ajili ya mikutano.

2026-04-14

MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO

Rekebisha Haraka Uhusiano Ulioharibika!

Tunapochukua hatua haraka ili kutatua hali za kutoelewana, tunaweza kurudisha amani na kulinda umoja kutanikoni.

2026-04-14

MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO

Ken Kiuchi: Nimemruhusu Yehova Aboreshe Sifa Zangu

Ken Kiuchi anaeleza jinsi Yehova alivyoboresha sifa zake alipokuwa painia, alipotumikia Betheli, na alipopewa mgawo wa kurudi shambani.

2026-04-14

MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO

Julai 2026

Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 7–​Oktoba 4, 2026.

2026-04-13

JINSI MICHANGO YAKO INAVYOTUMIWA

Machapisho Yetu Katika Enzi ya Kidijitali

Kwa nini bado tunatokeza machapisho yaliyochapishwa?

2026-04-09

MASIMULIZI YA MAISHA

Karl Rietz: Nimejionea Kwamba Mkono wa Yehova Si Mfupi

Karl amejionea mkono wa Yehova mara nyingi wakati ambapo kiwanda cha uchapishaji cha Brazili kilikuwa kinapanuliwa ili kutosheleza uhitaji uliokuwa ukiongezeka wa machapisho.

2026-04-08

NYIMBO ZILIZOTUNGWA

Jinsi ’Unavyofumbua Mkono Wako’

Jinsi ukarimu wa Yehova ulivyomchochea dada aonyeshe ukarimu akiwa na shangwe

2026-04-08

NYIMBO ZILIZOTUNGWA

Macho Yenye Furaha (Wimbo wa Kusanyiko la 2026)

Ona jinsi maneno ya Yesu yanavyotupatia shangwe ya kushinda mahangaiko yetu na kujaza mioyo yetu tumaini.

2026-04-06

TRAKTI & MIALIKO

2026 Convention Invitation

2026-03-30

NYIMBO ZILIZOTUNGWA

Msikiaji wa Sala

Tunapomimina moyo wetu kwa Yehova, anatupatia amani kubwa sana.

2026-03-30

NYIMBO ZILIZOTUNGWA

Nitamngojea Yehova

Mngojee Yehova kwa kutokazia fikira hali za gerezani, badala yake kwa kujiimarisha kupitia vitu vinavyojenga imani yako.

2026-03-23

MASIMULIZI YA MASHAHIDI WA YEHOVA

Biblia Ilibadili Maisha yao

Lanh alipataje furaha ya kweli baada ya kuacha kufuatilia utajiri? Thắng alipataje kusudi maishani baada ya kuacha uhalifu?

2026-03-19

MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO

Jambo Katika Biblia​​—⁠Nyavu za Kuvua Samaki Katika Nyakati za Biblia

Jifunze mengi zaidi kuhusu nyavu za kuvua samaki zilizotumiwa katika nyakati za Biblia.

2026-03-19

MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO

Gustavo Joseph: Kumtumikia Yehova kwa Miaka 70 Hivi Nchini Kuba

Gustavo Joseph anaeleza jinsi maisha yalivyokuwa kwake na kwa mke wake walipotumikia katika kazi ya kuzungukia makutaniko, walipowalea watoto wao, na baadaye walipotumikia Betheli.

2026-03-19

MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO

Maswali Kutoka kwa Wasomaji​​—⁠Juni 2026

Kama inavyotajwa katika Wagalatia 4:​24, Paulo anarejelea maagano gani mawili?