Ni Nini Kipya?
JIFUNZE KUTOKA KWA YESU
“Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu”
Yesu alifundisha kwamba serikali ya Mungu ndiyo itakayosuluhisha matatizo ya wanadamu, na wala si serikali za wanadamu. Jifunze jinsi mfano wake unavyowahusu Wakristo leo.
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Dokezo la Kujifunza—Tayarisha Maelezo Yenye Kujenga
Fikiria mapendekezo manne yanayoweza kukusaidia kutayarisha maelezo yenye kutia moyo kwa ajili ya mikutano.
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Rekebisha Haraka Uhusiano Ulioharibika!
Tunapochukua hatua haraka ili kutatua hali za kutoelewana, tunaweza kurudisha amani na kulinda umoja kutanikoni.
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Ken Kiuchi: Nimemruhusu Yehova Aboreshe Sifa Zangu
Ken Kiuchi anaeleza jinsi Yehova alivyoboresha sifa zake alipokuwa painia, alipotumikia Betheli, na alipopewa mgawo wa kurudi shambani.
MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO
Julai 2026
Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 7–Oktoba 4, 2026.
TAARIFA ZA HABARI
HABARI ZA KARIBUNI—HUKUMU YABATILISHWA | “Ninakazia Fikira Wakati Ujao”
JINSI MICHANGO YAKO INAVYOTUMIWA
Machapisho Yetu Katika Enzi ya Kidijitali
Kwa nini bado tunatokeza machapisho yaliyochapishwa?
MASIMULIZI YA MAISHA
Karl Rietz: Nimejionea Kwamba Mkono wa Yehova Si Mfupi
Karl amejionea mkono wa Yehova mara nyingi wakati ambapo kiwanda cha uchapishaji cha Brazili kilikuwa kinapanuliwa ili kutosheleza uhitaji uliokuwa ukiongezeka wa machapisho.
NYIMBO ZILIZOTUNGWA
Jinsi ’Unavyofumbua Mkono Wako’
Jinsi ukarimu wa Yehova ulivyomchochea dada aonyeshe ukarimu akiwa na shangwe
NYIMBO ZILIZOTUNGWA
Macho Yenye Furaha (Wimbo wa Kusanyiko la 2026)
Ona jinsi maneno ya Yesu yanavyotupatia shangwe ya kushinda mahangaiko yetu na kujaza mioyo yetu tumaini.
TAARIFA ZA HABARI
Endeleeni ‘Kuwakumbuka Wale Walio Gerezani’
TAARIFA ZA HABARI
“Nina Vita Vyangu Vya Kiroho Ninavyohitaji Kushinda”
TAARIFA ZA HABARI
NDUGU WAFUNGWA GEREZANI | ‘Kumbuka Kwa Nini Umevumilia Mpaka Sasa!’
TRAKTI & MIALIKO
2026 Convention Invitation
NYIMBO ZILIZOTUNGWA
Msikiaji wa Sala
Tunapomimina moyo wetu kwa Yehova, anatupatia amani kubwa sana.
NYIMBO ZILIZOTUNGWA
Nitamngojea Yehova
Mngojee Yehova kwa kutokazia fikira hali za gerezani, badala yake kwa kujiimarisha kupitia vitu vinavyojenga imani yako.

