MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Julai 2024

Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 9–​Oktoba 6, 2024.

MAKALA YA 27

Uwe Jasiri Kama Sadoki

Tutajifunza makala hili katika juma la Septemba 9-15, 2024.

MAKALA YA 28

Je, Unaweza Kuitambua Kweli?

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 16-22, 2024.

MAKALA YA 29

Endelea Kujilinda Dhidi ya Majaribu

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 23-29, 2024.

MAKALA YA 30

Mambo Muhimu Tunayojifunza Kutokana na Wafalme wa Israeli

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 30–​Oktoba 6, 2024.

Kukabiliana na Changamoto ya Kuhamia Kutaniko Jipya

Wakristo wengi wamefanikiwa kuwa na furaha katika kutaniko jipya walilohamia. Ni jambo gani litakalokusaidia ufanikiwe unapohama? Fikiria kanuni nne zitakazokusaidia kuzoea kutaniko jipya.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

“Mwanamke” anayetajwa kwenye Isaya 60:1 ni nani, naye ‘anainukaje’ na ‘kuangaza nuru’?