Historia na Biblia
Biblia ina rekodi ya pekee kuhusu jinsi ilivyohifadhiwa, kutafsiriwa, na kusambazwa. Uvumbuzi unaendelea kuthibitisha usahihi wake wa kihistoria. Haidhuru unashiriki dini gani, utagundua kwamba Biblia si kama kitabu kingine chochote.
MNARA WA MLINZI
Jina la Mungu Lajulishwa Katika Kiswahili
Pata kujua jinsi jina la Mungu, Yehova, lilivyoingia katika Biblia ya Kiswahili.
MNARA WA MLINZI
Jina la Mungu Lajulishwa Katika Kiswahili
Pata kujua jinsi jina la Mungu, Yehova, lilivyoingia katika Biblia ya Kiswahili.
Tafsiri za Biblia
Usahihi wa Kihistoria wa Biblia
Machapisho
Biblia—Ina Ujumbe Gani?
Kuna ujumbe gani wa msingi wa Biblia?