Hamia kwenye habari

Amani na Furaha

Tunapokabili matatizo makubwa, huenda tukahisi kwamba hatuna furaha na amani ya moyoni. Lakini Biblia imewasaidia watu wengi wakabiliane na mikazo ya kila siku, kupunguza mkazo wa kimwili na kihisia, na kupata maana na kusudi maishani. Biblia inaweza kukusaidia wewe pia.

MNARA WA MLINZI

Usikate Tamaa, Maisha Yana Kusudi

Je, umewahi kukabili jambo lililokutamausha hivi kwamba ulikata tamaa?

MNARA WA MLINZI

Usikate Tamaa, Maisha Yana Kusudi

Je, umewahi kukabili jambo lililokutamausha hivi kwamba ulikata tamaa?

Afya ya Kimwili na Kiakili

Biblia Inabadili Maisha

Watu kutoka hali na malezi mbalimbali wanaeleza jinsi walivyopata kusudi maishani na sasa wanafurahia uhusiano mzuri na Mungu.

Mtu Fulani Umpendaye Anapokufa

Je, umefiwa na mtu unayempenda? Je, unahitaji msaada wa kukabiliana na huzuni uliyo nayo?

Unaweza Kuwa na Familia Yenye Furaha

Unaweza kuwa na ndoa au familia yenye furaha unapotumia kanuni za Biblia.

Jifunze Biblia

Kwa Nini Ujifunze Biblia?

Biblia inawapa mamilioni ya watu ulimwenguni pote majibu ya maswali muhimu maishani. Je, ungependa kuwa mmoja wao?

Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia?

Ulimwenguni pote, Mashahidi wa Yehova wanajulikana kwa kuwa na programu ya kuwafundisha watu Biblia bila malipo. Jionee jinsi funzo hilo linavyoongozwa.

Omba Utembelewe

Zungumzia swali la Biblia, au ujifunze mengi zaidi kuhusu Mashahidi wa Yehova.