Hamia kwenye habari

Habari

 

TAARIFA ZA HABARI

Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi Baba yetu mwenye upendo, Yehova, anavyoonyesha kwamba ‘anataka wote wafikie toba.” (2 Pet. 3:9) Pia tutajifunza kuhusu marekebisho kuhusu mavazi yetu kwenye matukio ya kitheokrasi.

TAARIFA ZA HABARI

Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii, tutachunguza jinsi Baba yetu mwenye upendo, Yehova, anavyoonyesha kwamba ‘anataka wote wafikie toba.” (2 Pet. 3:9) Pia tutajifunza kuhusu marekebisho kuhusu mavazi yetu kwenye matukio ya kitheokrasi.

Mashahidi wa Yehova Walio Gerezani kwa Sababu ya Imani Yao​—Kulingana na Eneo

Nchi ambazo Mashahidi wa Yehova wamefungwa gerezani, na nyakati nyingine katika mazingira magumu, kwa sababu ya imani yao na kutumia uhuru wao wa msingi wa kibinadamu.