Kiswahili
News
/assets/ct/e5be1b2cc6/images/syn_placeholder_sqr.png

Habari

 

2026-05-01

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2026

Katika ripoti hii, tutazungumzia uvumilivu wa ndugu na dada zetu nchini Urusi tangu kazi yetu ilipopigwa marufuku miaka tisa iliyopita. Pia, tunatangaza kutolewa kwa Drama ya 4, 5, na 6 ya Habari Njema Kulingana na Yesu.

Mashahidi wa Yehova Waliofungwa Gerezani kwa Sababu ya Imani Yao—Kulingana na Eneo

Nchi na maeneo ambayo Mashahidi wa Yehova wamefungwa gerezani, nyakati nyingine chini ya hali ngumu, kwa sababu ya kutenda kupatana na imani yao na kutumia haki za msingi za kibinadamu.