Kiswahili
Habari za Ulimwenguni Pote za Mashahidi wa Yehova
/assets/ct/28ada02fb0/images/syn_placeholder_sqr.png

Habari za Ulimwenguni Pote

 

2026-07-31

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 5 ya Baraza Linaloongoza ya 2026

Katika ripoti hii tutazungumzia kwa nini tunapaswa kujilisha kiroho kila siku. Pia, tutazungumzia mambo yenye kutia moyo katika huduma yetu.

2026-06-12

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2026

Katika ripoti hii, tutazungumzia mambo yenye kutia moyo kuhusu ziara za ofisi ya tawi na ziara za uchungaji zilizofanywa na washiriki wa Baraza Linaloongoza hivi karibuni. Pia tutazungumzia maamuzi yanayohusu uhuru wetu wa ibada ambayo yalitolewa na mahakama nchini Norway na Sweden.

2026-05-01

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2026

Katika ripoti hii, tutazungumzia uvumilivu wa ndugu na dada zetu nchini Urusi tangu kazi yetu ilipopigwa marufuku miaka tisa iliyopita. Pia, tunatangaza kutolewa kwa Drama ya 4, 5, na 6 ya Habari Njema Kulingana na Yesu.

2026-03-24

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2026

Katika ripoti hii, tutapata ufafanuzi wa kanuni za Biblia zinazoweza kumsaidia Mkristo kufanya maamuzi kuhusu matumizi ya damu yake mwenyewe wakati wa matibabu au upasuaji.