Masimulizi ya Mashahidi wa Yehova
Mashahidi wa Yehova wanajitahidi kadiri wawezavyo kuruhusu Neno la Mungu, Biblia, liongoze fikira zao, maneno yao, na matendo yao. Chunguza jinsi lilivyogusa maisha yao na ya wale wanaoshirikiana nao.
MASIMULIZI YA MASHAHIDI WA YEHOVA
Kasisi Apata Majibu
Kasisi mmoja na mke wake walilia kwa uchungu baada ya mwana wao kufa. Lakini walipata majibu yenye kuridhisha kwa maswali yao kuhusu kifo.
MASIMULIZI YA MASHAHIDI WA YEHOVA
Kasisi Apata Majibu
Kasisi mmoja na mke wake walilia kwa uchungu baada ya mwana wao kufa. Lakini walipata majibu yenye kuridhisha kwa maswali yao kuhusu kifo.