Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SWALI LA 3

Ni Nani Aliyeandika Biblia?

“Musa akaandika maneno yote ya Yehova.”

Kutoka 24:4

“Danieli aliota ndoto na kuona maono akiwa amelala kitandani mwake. Kisha akaandika ndoto hiyo; akaandika masimulizi kamili ya mambo hayo.”

Danieli 7:1

“Mlipolipokea neno la Mungu, ambalo mlilisikia kutoka kwetu, mlilikubali si kama neno la wanadamu, bali kama lilivyo kwa kweli, kama neno la Mungu.”

1 Wathesalonike 2:​13

“Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida kwa kufundisha.”

2 Timotheo 3:​16

“Unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu, bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa na roho takatifu.”

2 Petro 1:​21