Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SWALI LA 13

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kufanya Kazi?

“Je, umemwona mtu aliye stadi katika kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.”

Methali 22:⁠29

“Mwizi asiibe tena; badala yake afanye kazi kwa bidii, akifanya kazi njema kwa mikono yake, ili awe na kitu cha kumgawia mtu mwenye uhitaji.”

Waefeso 4:​28

“Kila mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yake yote ngumu. Ni zawadi kutoka kwa Mungu.”

Mhubiri 3:​13