BIBLIA TAKATIFU—TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA (TOLEO LA 2017)

Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)

Kiswahili
Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)
/assets/ct/7e6416ec85/images/syn_placeholder_sqr.png

B12-B

Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)

Nisani 12

MACHWEO (Kwa Wayahudi siku huanza na kwisha jua linapotua)

MAPAMBAZUKO

  • Yesu ashinda na wanafunzi wake

  • Yuda apanga kumsaliti Yesu

MACHWEO

Nisani 13

MACHWEO

MAPAMBAZUKO

  • Petro na Yohana watayarisha Pasaka

  • Yesu na mitume wengine wawasili jioni inapokaribia

MACHWEO

Nisani 14

MACHWEO

  • Yesu ala Pasaka na mitume wake

  • Awaosha miguu mitume

  • Amfukuza Yuda

  • Aanzisha Mlo wa Jioni wa Bwana

  • Asalitiwa na kukamatwa katika bustani ya Gethsemane

  • Mitume wakimbia

  • Aulizwa maswali na Sanhedrini katika nyumba ya Kayafa

  • Petro amkana Yesu

MAPAMBAZUKO

  • Asimama tena mbele ya Sanhedrini

  • Apelekwa kwa Pilato, kisha kwa Herode, arudishwa tena kwa Pilato

  • Ahukumiwa kifo na kutundikwa Golgotha

  • Afa karibu saa tisa mchana

  • Mwili waondolewa na kuzikwa

MACHWEO

Nisani 15 (Sabato)

MACHWEO

MAPAMBAZUKO

  • Pilato akubali walinzi wawekwe ili kulinda kaburi la Yesu

MACHWEO

Nisani 16

MACHWEO

  • Manukato zaidi yanunuliwa kwa ajili ya mwili wa Yesu

MAPAMBAZUKO

  • Afufuliwa

  • Awatokea wanafunzi wake

MACHWEO