Fahirisi ya Maneno ya Biblia
A
ABBA
, Ro 8:15 tunapaza sauti: Abba, Baba!
ABELI
, Mwa 4:8 Kaini akamshambulia Abeli
Mt 23:35 kuanzia damu ya Abeli mwadilifu
ABIGAILI
, 1Sa 25:3 Abigaili mwenye busara na mrembo
ABRAHAMU
, Mwa 21:12 Abrahamu, msikilize Sara
2Nya 20:7 rafiki yako Abrahamu
Mt 22:32 Mungu wa Abrahamu na Isaka
Ro 4:3 Abrahamu mwenye imani, ahesabiwa
ABUDU
, Kut 34:14 watu waniabudu mimi peke yangu
ACHA
, Isa 1:28 wanaomwacha Yehova watafikia mwisho
Mt 19:29 ambaye ameacha nyumba au
ACHILIWA
, Met 29:15 mtoto aliyeachiliwa humwaibisha
ADABU
, Ro 13:13 tujiendeshe kwa adabu
1Ko 14:40 yote yatendeke kwa adabu
ADAMU
, Mwa 5:5 Adamu aliishi miaka 930, kisha akafa
1Ko 15:22 katika Adamu wote wanakufa
1Ko 15:45 Adamu wa mwisho akawa
1Ti 2:14 Adamu hakudanganywa, bali mwanamke
ADUI
, Mt 5:44 Endeleeni kuwapenda adui zenu
Mt 10:36 adui za mtu watakuwa watu wa
Ro 12:20 ikiwa adui yako ana njaa, mlishe
AGANO
, Mwa 15:18 Yehova alifanya agano na Abramu
Yer 31:31 nitafanya agano jipya
Lu 22:20 agano jipya kwa msingi wa damu yangu
Lu 22:29 ninafanya agano pamoja nanyi
AHADI
, 1Fa 8:56 Hakuna ahadi yoyote iliyokosa kutimia
Zb 15:4 Havunji ahadi yake, hata ikimletea hasara
2Ko 1:20 ahadi za Mungu “ndiyo” kupitia yeye
AHIDI
, Ebr 10:23 yule aliyeahidi ni mwaminifu
AHIRISHA
, Met 13:12 Matarajio yaliyoahirishwa hufanya
AIBU
, Ezr 9:6 ninaona aibu kuuinua uso wangu
Zb 25:3 yeyote anayekutumaini hataaibishwa
Mk 8:38 atakayenionea aibu mimi na
Ro 1:16 siionei aibu habari njema
1Ko 4:14 si ili niwaaibishe, bali niwaonye
Efe 5:4 mwenendo wa aibu wala maneno ya
2Ti 1:8 usione aibu kuhusu ushahidi
2Ti 2:15 mfanyakazi asiye na la kuonea aibu
Ebr 11:16 Mungu haoni aibu kuwahusu
1Pe 4:16 akiteseka akiwa Mkristo, asione aibu
AINA
, 2Pe 3:11 mnapaswa kuwa watu wa aina gani
AKANI
, Yos 7:1 Akani alichukua baadhi ya
AKILA
, Mdo 18:2 akamkuta Myahudi aliyeitwa Akila
AKILI
, Zb 8:4 Mwanadamu ni nini, unamweka akilini?
Isa 65:17 mambo ya zamani hayataingia tena akilini
Mt 22:37 umpende Yehova kwa akili yako yote
Mdo 9:22 akithibitisha kupatana na akili
Ro 7:25 kwa akili mimi ni mtumwa wa sheria
Ro 8:6 kukaza akili kwenye mwili, kifo
1Ko 2:16 tunayo akili ya Kristo
Efe 4:23 upya katika nguvu zinazoongoza akili
Flp 3:19 akili zao zinafikiria vitu vya duniani
Kol 3:2 kukaza akili kwenye mambo yaliyo juu
ALAMA
, Eze 9:4 uyatie alama mapaji ya nyuso za watu
2Th 3:14 mtieni alama, msishirikiane naye
Ufu 13:17 isipokuwa mtu aliye na ile alama
ALFA
, Ufu 1:8 Alfa na Omega
ALIKWA
, Mt 22:14 wengi waalikwa, wachache wachaguliwa
ALIYE JUU ZAIDI
, Zb 83:18 Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi
Da 4:17 wajue Aliye Juu Zaidi ni Mtawala
AMANI
, Zb 29:11 atawabariki watu wake kwa amani
Zb 37:11 watafurahia kwelikweli wingi wa amani
Zb 72:7 amani itakuwa nyingi mpaka mwezi haupo
Zb 119:165 wanaoipenda sheria wana amani
Met 17:1 afadhali kipande cha mkate penye amani
Isa 9:7 Kwa wingi wa amani, hakuna mwisho
Isa 32:18 makao ya kudumu yenye amani
Isa 48:18 amani yako ingekuwa kama mto
Isa 54:13 amani ya wana wako itakuwa nyingi
Isa 57:21 Hakuna amani kwa waovu
Isa 60:17 Nitaweka amani kuwa waangalizi wako
Yer 6:14 Kuna amani! Wakati hakuna amani
Mt 5:9 Wenye furaha ni wanaofanya amani
Mt 5:24 Kwanza fanya amani na ndugu yako
Mk 9:50 mdumishe amani kati yenu
Yoh 14:27 Ninawaachia amani; ninawapa amani
Mdo 9:31 kutaniko likaingia kipindi cha amani
Ro 5:1 tufurahie amani pamoja na Mungu
Ro 8:6 kukaza akili kwenye roho, amani
Ro 12:18 fanyeni amani na watu wote
Flp 4:7 amani ya Mungu itailinda mioyo yenu
1Th 5:3 Amani na usalama! uharibifu wa ghafla
1Pe 3:11 atafute amani na kuifuatilia
Ufu 6:4 akapewa ruhusa kuondoa amani duniani
AMINA
, Kum 27:15 wote watasema, Amina!
1Ko 14:16 Amina unapotoa shukrani
2Ko 1:20 kupitia yeye Amina husemwa
AMINI
, Yoh 20:29 Wenye furaha wanaamini bila kuona
2Th 2:12 hawakuiamini kweli, bali
AMRI
, Mt 22:40 na Manabii hutegemea amri hizo mbili
Mk 12:28 Ni amri gani iliyo ya kwanza?
Mk 12:31 Hakuna amri nyingine iliyo kubwa kuliko hizi
Yoh 13:34 amri mpya, kwamba mpendane
AMRI KUMI
, Kut 34:28 aliandika zile Amri Kumi
AMRIWA
, Ayu 23:12 nimeyathamini kuliko nilivyoamriwa
AMSHA
, Yoh 11:11 ninasafiri kwenda kumwamsha
ANA
, Lu 2:36, 37 nabii wa kike Ana, miaka 84
ANANIA
, Mdo 5:1 Anania, na Safira mke wake
ANASA
, Ufu 18:7 kuishi katika anasa isiyo na aibu
ANAWAJALI
, 1Pe 5:7 anawajali ninyi
ANDAA
, 1Ti 5:8 ikiwa yeyote hawaandalii watu wake
ANDIKO
, 2Ti 3:16 Kila Andiko limeongozwa na roho
ANGALIA
, Efe 5:15 kuangalia sana jinsi mnavyotembea
ANGAMIZA
, 2Pe 3:7 kuangamizwa, wasiomwogopa Mungu
ANGUKA
, Met 24:16 mwadilifu, kuanguka mara saba
Mhu 4:10 mmoja wao akianguka, mwenzake anaweza
1Ko 10:12 ajihadhari asije akaanguka
APA
, Mwa 22:16 Naapa kwa nafsi yangu, asema Yehova
Mt 5:34 Msiape kamwe kwa mbingu
APOLO
, Mdo 18:24 Apolo mwanamume mwenye ufasaha
ARARATI
, Mwa 8:4 safina ikatua kwenye mlima Ararati
AREOPAGO
, Mdo 17:22 Paulo akasimama Areopago
ARTEMI
, Mdo 19:34 wakisema: Artemi ni mkuu!
ASALI
, Kut 3:8 nchi inayotiririka maziwa na asali
Met 25:27 Si vizuri kula asali nyingi mno
ASILI
, Law 18:23 kunakiuka sheria ya asili
Ro 1:26 wanawake walibadili matumizi yao ya asili
Ro 1:27 wanaume waliacha matumizi ya asili ya
ASIYEAMINI
, 1Ko 7:12 mke asiyeamini na anakubali
ASIYEONEKANA
, Ebr 11:27 ona Yule asiyeonekana
ASIYE SAFI
, Ayu 14:4 mtu safi kutokana na asiye safi
AYUBU
, Ayu 1:9 Je, Ayubu anamwogopa Mungu bure?
Yak 5:11 Mmesikia uvumilivu wa Ayubu
AZAZELI
, Law 16:8 Haruni atapiga kura kwa Azazeli
B
BAALI
, Yer 19:5 kuwateketeza wana kwa Baali
BABA
, Mwa 2:24 atamwacha baba yake na mama yake
Zb 2:7 Leo nimekuwa baba yako
Zb 89:26 Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu
Zb 103:13 baba anavyoonyesha wana rehema
Isa 9:6 Jina lake litakuwa, Baba wa Milele
Mt 6:9 Baba yetu uliye mbinguni
Mt 23:9 msimwite mtu yeyote baba yenu duniani
Lu 2:49 ninapaswa kuwa katika nyumba ya Baba
Lu 15:20 baba yake akakimbia, akamkumbatia
Yoh 5:20 Baba humwonyesha Mwana yote
Yoh 10:30 Mimi na Baba ni kitu kimoja
Yoh 14:6 Hakuna mtu anayekuja kwa Baba bila
Yoh 14:9 ameniona, amemwona Baba pia
Yoh 14:28 Baba ni mkuu kuliko mimi
Yoh 14:28 mngeshangilia ninaenda kwa Baba
BABELI
, Mwa 11:9 liliitwa Babeli, kwa sababu
BABILONI
, Yer 51:6 Kimbieni kutoka Babiloni
Yer 51:30 Mashujaa wa Babiloni hawapigani
Yer 51:37 Babiloni litakuwa marundo ya
Ufu 17:5 Babiloni Mkubwa, mama wa
Ufu 18:2 Babiloni Mkubwa ameanguka
BADILIKA
, Mal 3:6 mimi ni Yehova; sibadiliki
BADILISHANA
, Mt 16:26 abadilishane uhai na nini?
BAHARI
, Kut 14:21 kukawa na nchi kavu katika bahari
Isa 57:20 waovu ni kama bahari
BAHATI
, Isa 65:11 mungu wa Bahati Njema
BAKI
, Mt 14:20 wakakusanya vipande vilivyobaki
BALAAMU
, Hes 22:28 punda akamuuliza Balaamu
BAMBA LA KIFUANI
, Efe 6:14 bamba la kifuani
BARABARA
, Mt 7:14 barabara ya uzima, ndogo
Mt 13:4 mbegu zikaanguka kando ya barabara
BARAKA
, Kum 30:19 nimeweka baraka na laana
Met 10:22 Baraka ya Yehova hutajirisha
Mal 3:10 kuwamwagia baraka msikose chochote
Ro 12:14 kuwabariki wanaowatesa
BARIKI
, Mwa 1:28 Mungu akawabariki
Mwa 32:26 Sitakuacha mpaka unibariki
Hes 6:24 Yehova na awabariki
Amu 5:24 Amebarikiwa sana Yaeli
Lu 6:28 kuwabariki wale wanaowalaani
Yoh 12:13 Amebarikiwa anayekuja katika jina
BARNABA
, Mdo 9:27 Barnaba akamsaidia
BARUKU
, Yer 45:2 Yehova asema kukuhusu, Baruku
BATH-SHEBA
, 2Sa 11:3 Bath-sheba, mke wa Uria
BATIZA
, Mt 3:13 Yesu akaja abatizwe na Yohana
Mt 28:19 mkafanye wanafunzi, mkiwabatiza
Lu 3:3 wabatizwe kuonyesha wametubu
Mdo 2:41 wakabatizwa, karibu watu 3,000
Mdo 8:36 ni nini kinachonizuia kubatizwa?
BAYA
, Tit 2:8 hawana jambo lolote baya la kusema
BEBA
, Ro 15:1 tunapaswa kubeba udhaifu
BEGA
, Sef 3:9 Wamtumikie bega kwa bega
BEI
, 1Ko 7:23 Mlinunuliwa kwa bei
BELSHAZA
, Da 5:1 Belshaza alifanya karamu kubwa
BEMBELEZA
, Met 29:21 Mtumishi akibembelezwa
BETHELI
, Mwa 28:19 akapaita mahali hapo Betheli
BETHLEHEMU
, Mik 5:2 Bethlehemu Efratha
BEZALELI
, Kut 31:2 nimemchagua Bezaleli
BIASHARA
, Mt 22:5 wakaenda kwenye biashara zao
Yak 4:13 tutafanya biashara na kupata faida
BIBI HARUSI
, Ufu 21:9 Nitakuonyesha bibi harusi
BIDII
, Zb 69:9 Bidii ya nyumba yako imenila
Met 10:4 mikono yenye bidii huleta utajiri
Met 12:27 bidii ni hazina ya mtu yenye thamani
Met 21:5 Mipango ya wenye bidii hufanikiwa
Isa 37:32 Bidii ya Yehova wa majeshi itatenda
Ro 10:2 wana bidii kwa ajili ya Mungu
Ro 12:11 Iweni wenye bidii, msiwe wavivu
Tit 2:14 wenye bidii katika matendo mema
Ebr 6:11 kila mmoja wenu awe na bidii ileile
BINTI
, Lu 8:49 Binti yako amekufa
BORA
, Flp 2:3 mwaone wengine kuwa bora
BORA ZAIDI
, 1Ko 12:31 njia iliyo bora zaidi
BUBU
, Isa 35:6 ulimi wa bubu utapiga vigelegele
BURE
, Isa 65:23 Hawatafanya kazi ya bure
Mt 10:8 Mlipokea bure, toeni bure
Mt 15:9 Wao huniabudu bure
1Ko 15:58 kazi yenu si ya bure kwa Bwana
Ufu 22:17 yeyote achukue maji ya uzima bure
BURUDISHA
, Mt 11:28 Njooni nitawaburudisha
Mdo 3:19 majira yenye kuburudisha yaje
BUSARA
, Mt 24:45 mtumwa mwaminifu, busara
BUSTANI
, Mwa 2:15 akamweka katika bustani ya Edeni
BUSU
, Lu 22:48 unamsaliti kwa busu?
BWANA
, Kum 10:17 Yehova ni Bwana wa mabwana
Mt 7:22 Bwana, Bwana, je, hatukutoa unabii
Mt 9:38 mwombeni Bwana awatume wafanyakazi
Mt 22:44 Yehova alimwambia Bwana wangu
Ro 6:14 dhambi haipaswi kuwa bwana
Ro 14:4 Kwa bwana wake husimama au kuanguka
1Ko 7:39 huru kuolewa katika Bwana tu
Kol 4:1 ninyi pia mna Bwana mbinguni
C
CHACHU
, Mt 13:33 Ufalme wa mbinguni kama chachu
1Ko 5:6 chachu kidogo huchachisha donge lote
CHAFU
, Ro 1:27 wanaume wakitenda machafu
Efe 5:4 wala mizaha michafu
Kol 3:8 ondoeni maneno machafu
CHAFUA
, Eze 39:7 jina langu takatifu lichafuliwe tena
CHAGUA
, Kum 30:19 lazima mchague uzima
Yos 24:15 chagueni mtakayemtumikia
Ro 9:11 kuchagua hutegemea Yule ambaye
CHAKAA
, 2Ko 4:16 mtu tuliye kwa nje anachakaa
CHAKULA
, Zb 145:15 Unawapa chakula katika majira
Mt 24:7 upungufu wa chakula
Mt 24:45 chakula wakati unaofaa
Yoh 4:34 Chakula changu ni kufanya mapenzi ya
Yoh 6:27 Msifanye kazi chakula kinachoharibika
Mdo 14:17 akiwapa mvua, akiwashibisha chakula
1Ko 8:13 ikiwa chakula kinamkwaza ndugu
CHAKULA KIGUMU
, Ebr 5:14 chakula kigumu
CHALE
, Law 19:28 msijichanje chale
CHANZO
, Zb 36:9 Wewe ndiye chanzo cha uhai
CHEKA
, Mwa 18:13 Kwa nini Sara amecheka?
Zb 2:4 anayeketi mbinguni atacheka
CHEKWA
, Yer 20:7 Nimekuwa kitu cha kuchekwa
CHELEWA
, Hab 2:3 Hayatachelewa!
CHEMA
, Mwa 1:31 kila kitu alichoumba kilikuwa chema
CHEMCHEMI
, Yer 2:13 Wameniacha, chemchemi ya maji
CHEO
, Mdo 1:20 achukue cheo chake cha uangalizi
CHETI
, Kum 24:1 amwandikie cheti cha talaka
Mt 19:7 kwa nini Musa aliagiza kutoa cheti
CHIPUKIZI
, Yer 23:5 nitakapomwinulia Daudi chipukizi
CHOCHEA
, Flp 2:13 Mungu anawachochea
CHOKA
, Met 25:25 maji baridi kwa nafsi iliyochoka
Isa 40:28 hachoki kamwe, haishiwi na nguvu
Isa 40:29 humpa nguvu mtu aliyechoka
Isa 40:31 Watatembea na hawatachoka
Isa 50:4 kumjibu aliyechoka neno linalofaa
Gal 6:9 tutavuna ikiwa hatutachoka kabisa
Ebr 12:3 msichoke na kukata tamaa
CHOKOZEKA
, 1Ko 13:5 [upendo] hauchokozeki
CHOMA
, Zek 12:10 watamtazama yule waliyemchoma
CHOMBO
, Mdo 9:15 mtu huyu ni chombo
Ro 9:21 chombo cha matumizi ya kuheshimika
CHONGEA
, 1Ko 4:13 tunapochongewa tunajibu kwa
CHOSHA
, Mal 1:13 Tazama! Inachosha kwelikweli!
CHOZI
, Ufu 21:4 atafuta kila chozi kutoka katika
CHUI
, Isa 11:6 chui atalala pamoja na mwanambuzi
Da 7:6 mnyama mwingine, kama chui
CHUKIA
, Law 19:17 Usimchukie ndugu yako moyoni
Zb 45:7 Ulipenda uadilifu na kuchukia uovu
Zb 97:10 mnaompenda Yehova, chukieni maovu
Met 6:16 vitu sita ambavyo Yehova anachukia
Met 8:13 Kumwogopa Yehova ni kuchukia uovu
Amo 5:15 Chukieni maovu, pendeni mema
Mt 24:9 mtachukiwa kwa sababu ya
Lu 6:27 kuwatendea mema wale wanaowachukia
Yoh 7:7 Ulimwengu unanichukia kwa kutoa
Yoh 15:25 Walinichukia bila sababu
Ro 12:9 Chukieni maovu; shikamaneni na mema
1Yo 3:15 anayemchukia ndugu yake ni muuaji
CHUMA
, Met 27:17 Kama chuma kinavyonoa chuma
Isa 60:17 badala ya chuma nitaleta fedha
Da 2:43 chuma kisivyochanganyika na udongo
CHUMVI
, Mwa 19:26 akawa nguzo ya chumvi
Mt 5:13 Ninyi ndio chumvi ya dunia
Kol 4:6 Maneno yaliyokolezwa chumvi
CHUNGA
, Mdo 20:28 mlichunge kutaniko la Mungu
1Pe 5:2 Lichungeni kundi la Mungu
CHUNGU
, Met 6:6 Mwendee chungu, ewe mvivu
Met 30:25 Chungu wanatayarisha chakula
CHUNGULIA
, 1Pe 1:12 Malaika, kuchungulia
CHUNGUZA
, Met 21:2 Yehova huichunguza mioyo
Met 25:2 utukufu wa wafalme, kuchunguza jambo
Mdo 17:11 wakiyachunguza Maandiko
1Ko 11:28 acheni mtu ajichunguze mwenyewe
D
DADA
, Kum 27:22 anayefanya ngono na dada yake
DAIMA
, Da 6:16 Mungu wako unayemtumikia daima
DAIWA
, Lu 12:48 alipewa mengi atadaiwa mengi
DAKTARI
, Lu 5:31 wenye afya hawahitaji daktari
DAMU
, Mwa 9:4 damu—hampaswi kula
Law 7:26 Hampaswi kula damu yoyote
Law 17:11 uhai umo katika damu
Law 17:13 imwage damu na kuifunika kwa udongo
Zb 72:14 damu yao ina thamani machoni pake
Eze 3:18 damu yake nitaidai kutoka kwako
Mt 9:20 mtiririko wa damu kwa miaka 12
Mt 26:28 inamaanisha damu yangu ya agano
Mt 27:25 Damu yake na iwe juu yetu na watoto wetu
Mdo 15:29 kuendelea kujiepusha na damu
Mdo 20:26 sina hatia ya damu ya mtu yeyote
Mdo 20:28 alilinunua kwa damu ya Mwana wake
Efe 1:7 tunaachiliwa huru kupitia damu ya huyo
1Pe 1:19 ilikuwa kwa damu yenye thamani ya Kristo
1Yo 1:7 damu ya Yesu hutusafisha dhambi
Ufu 18:24 ilipatikana damu ya watakatifu
DANSI
, Amu 11:34 binti akatoka akicheza dansi
DAUDI
, 1Sa 16:13 Samweli akamtia mafuta Daudi
Lu 1:32 kiti cha ufalme cha Daudi baba yake
Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni
DAWA
, Met 17:22 Moyo wenye shangwe ni dawa
DAWA YA MACHO
, Ufu 3:18 dawa ya macho ili uone
DENI
, Ro 1:14 nina deni kwa Wagiriki
Ro 13:8 Msiwe na deni, isipokuwa kupendana
DHABIHU
, 1Sa 15:22 Kutii ni bora kuliko dhabihu
2Sa 24:24 dhabihu ambazo hazinigharimu
Zb 40:6 Hukutamani dhabihu na toleo
Zb 51:17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho
Met 15:8 Dhabihu ya waovu huchukiza Yehova
Isa 1:11 Nimetosheka na dhabihu zenu za kuteketezwa
Ho 6:6 sipendezwi na dhabihu nzima
Ro 12:1 miili yenu, dhabihu iliyo hai
Ebr 13:15 tumtolee Mungu dhabihu ya sifa
DHABIHU YA DAIMA
, Da 11:31 dhabihu inayotolewa daima
Da 12:11 kuondolewa dhabihu inayotolewa daima
DHAHABU
, Eze 7:19 dhahabu yao haitawaokoa
Da 3:1 Nebukadneza atengeneza sanamu ya dhahabu
DHAIFU
, 1Ko 1:27 Mungu alivichagua vitu dhaifu
2Ko 12:10 ninapokuwa dhaifu, nina nguvu
1Th 5:14 wasaidieni dhaifu, iweni na subira
1Pe 3:7 chombo dhaifu zaidi, mwanamke
DHAMBI
, Mwa 4:7 dhambi inakunyemelea mlangoni
Mwa 39:9 uovu huu nimtendee Mungu dhambi?
2Sa 12:13 Daudi: Nimemtendea Yehova dhambi
1Fa 8:46 hakuna asiyetenda dhambi
Zb 32:1 ana furaha, ambaye dhambi imefunikwa
Zb 38:18 Nilihangaishwa na dhambi yangu
Isa 1:18 Ingawa dhambi zenu ni nyekundu
Isa 38:17 Umetupa dhambi nyuma yako
Isa 53:12 Aliibeba dhambi ya watu wengi
Yer 31:34 sitaikumbuka tena dhambi yao
Eze 33:14 mwovu akiacha dhambi
Mt 18:15 ndugu akitenda dhambi, nenda
Mk 3:29 kufuru roho, dhambi ya milele
Yoh 1:29 Mwanakondoo anayeondoa dhambi
Mdo 3:19 tubuni, mgeuke, dhambi zifutwe
Ro 3:23 wamefanya dhambi na kupungukiwa
Ro 3:25 akisamehe dhambi za zamani
Ro 5:12 kupitia mtu mmoja dhambi iliingia
Ro 6:14 dhambi haipaswi kuwa bwana juu yenu
Ro 6:23 mshahara wa dhambi ni kifo
1Ti 5:24 Dhambi za wengine hujulikana baadaye
Yak 4:17 kutofanya yaliyo sawa ni dhambi
Yak 5:15 ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa
1Yo 1:7 damu ya Yesu hutusafisha dhambi
1Yo 2:1 akitenda dhambi, tuna msaidizi
1Yo 5:17 Ukosefu wa uadilifu ni dhambi
DHAMIRI
, Ro 2:15 dhamiri yao ikiwatolea ushahidi
Ro 13:5 pia kwa sababu ya dhamiri yenu
1Ko 8:12 kuiumiza dhamiri yao dhaifu
1Ti 4:2 dhamiri zao zimetiwa alama
1Pe 3:16 Iweni na dhamiri njema
1Pe 3:21 ombi la kupata dhamiri njema
DHARAU
, Isa 53:3 Alidharauliwa na kuepukwa
DHIBITI
, Met 10:19 anayedhibiti midomo yake
Met 16:32 anayedhibiti hasira yake ni bora kuliko
1Th 4:4 kujua jinsi ya kuudhibiti mwili wake
DHIDI
, Ro 8:31 nani atakuwa dhidi yetu?
DHIHAKI
, Met 27:11 niweze kumjibu yule anayenidhihaki
Lu 18:32 atadhihakiwa, na kutemewa mate
Lu 22:63 wakaanza kumdhihaki na kumpiga
Gal 6:7 Mungu si wa kudhihakiwa
DHIKI
, Mt 24:21 dhiki kuu ambayo haijawahi kutokea
Mdo 14:22 tuingie katika Ufalme kupitia dhiki
Ro 5:3 tushangilie, dhiki hutokeza uvumilivu
Ro 12:12 Vumilieni chini ya dhiki
1Ko 7:28 wanaooa wana dhiki katika mwili
2Ko 4:17 ingawa dhiki ni ya muda mfupi
Ufu 7:14 wale wanaotoka katika ile dhiki kuu
DINA
, Mwa 34:1 Dina alizoea kwenda kuwatembelea
DINARI
, Lu 7:41 mmoja alikuwa na deni la dinari 500
DIRISHA
, Mdo 20:9 Eutiko alikuwa ameketi dirishani
DIVAI
, Law 10:9 msinywe divai mnapoingia
Zb 104:15 divai inafanya moyo ushangilie
Met 20:1 Divai ni mdhihaki, kileo ni vurugu
Met 23:31 Usiitazame rangi nyekundu ya divai
Mhu 10:19 divai hufanya maisha yafurahishe
Isa 25:6 Karamu ya divai bora, iliyochujwa
Ho 4:11 divai huondoa kichocheo cha
Yoh 2:9 maji yaliyogeuzwa kuwa divai
1Ti 5:23 divai kidogo kwa ajili ya tumbo
DOGO
, Lu 16:10 mwaminifu katika dogo ni
DORKASI
, Mdo 9:36 aliyeitwa Tabitha, Dorkasi
DRAKMA
, Lu 15:8 mwanamke aliye na drakma
DUA
, 1Ti 2:1 dua, sala zitolewe kwa wote
Ebr 5:7 Kristo alitoa dua na maombi
Yak 5:16 Dua ya mtu mwadilifu
DUARA
, Isa 40:22 anayekaa juu ya duara ya dunia
DUBU
, 1Sa 17:37 aliyeniokoa kutoka kwa dubu
Isa 11:7 Ng’ombe na dubu watakula pamoja
DUMU
, 1Yo 2:17 mapenzi ya Mungu, anadumu milele
DUNI
, Zb 119:141 Mimi ni duni na mwenye kudharauliwa
DUNIA
, Mwa 1:28 muijaze dunia na kuitiisha
Kut 9:29 dunia ni ya Yehova
Ayu 38:4 nilipoweka misingi ya dunia?
Zb 37:11 wapole wataimiliki dunia
Zb 37:29 Waadilifu wataimiliki dunia
Zb 104:5 dunia haitasogezwa kutoka mahali pake
Zb 115:16 dunia amewapa wanadamu
Met 2:21 ni wanyoofu tu watakaokaa duniani
Isa 45:18 dunia iliumbwa ili ikaliwe
Mt 5:5 wapole watairithi dunia
E
EDENI
, Mwa 2:8 Mungu akapanda bustani kule Edeni
EFESO
, 1Ko 15:32 wanyama huko Efeso
ELEWA
, Ne 8:8 wakawasaidia kuelewa yaliyosomwa
Ayu 6:24 Nisaidieni kuelewa kosa langu
Zb 119:27 Nifanye nielewe maagizo yako
ELEZA
, Yoh 1:18 mungu mzaliwa pekee ameeleza
ELFU
, Zb 91:7 Elfu moja wataanguka kando yako
Isa 60:22 Mdogo atakuwa elfu
2Pe 3:8 siku moja ni kama miaka elfu
ELI
, 1Sa 1:3 Wana wa Eli walikuwa makuhani
ELIMU
, Mdo 4:13 watu wasio na elimu na wa kawaida
ELIYA
, Yak 5:17 Eliya, mtu mwenye hisia kama zetu
ENEO
, Ro 15:23 sina eneo ambalo halijaguswa
ENOKO
, Mwa 5:24 Enoko aliendelea kutembea na Mungu
EPUKA
, Isa 53:3 Alidharauliwa na kuepukwa
ESAU
, Mwa 25:34 Esau akaidharau haki yake ya kuzaliwa
Ebr 12:16 asiyethamini, kama Esau
EUODIA
, Flp 4:2 Ninawahimiza Euodia na Sintike
EZRA
, Ezr 7:11 Ezra aliyekuwa kuhani na mwandishi
F
FADHILI
, Met 11:17 mwenye fadhili hujinufaisha
Met 31:26 Sheria ya fadhili kwenye ulimi wake
Yoh 1:17 fadhili zisizostahiliwa kupitia
Mdo 28:2 walitutendea kwa fadhili nyingi
1Ko 15:10 fadhili zisizostahiliwa hazikuwa za bure
2Ko 6:1 fadhili zisizostahiliwa na kukosa kusudi
2Ko 12:9 Fadhili zangu zisizostahiliwa zinakutosha
FAFANUA
, Ne 8:8 wakiifafanua waziwazi na kueleza
FAHAMU
, Lu 15:17 Aliporudiwa na fahamu akasema
FAHARI
, Met 19:11 ni fahari kuachilia kosa
FAIDA
, Kum 10:13 kushika amri kwa faida yenu
Met 14:23 kazi ngumu ina faida
Met 15:27 faida isiyo ya haki huleta taabu
Isa 48:17 Ninayekufundisha ili ujifaidi
Mdo 20:20 kuwaambia jambo lenye faida
1Ko 7:35 kwa faida yenu wenyewe
1Ko 10:24 kutafuta, si faida yake mwenyewe
1Ko 13:5 [upendo] hautafuti faida zake wenyewe
2Ko 7:2 hatujamdanganya yeyote ili tupate faida
Flp 2:4 si faida zenu wenyewe, bali pia faida
Flp 2:21 wengine wanatafuta faida zao wenyewe
2Ti 3:16 limeongozwa na roho ni lenye faida
FALME
, Mt 4:8 Ibilisi akamwonyesha falme zote
FALSAFA
, Kol 2:8 mateka kupitia falsafa
FAMILIA
, Efe 3:15 kila familia mbinguni na duniani
FANIKISHA
, Yos 1:8 utakapofanikisha njia yako
FANIKIWA
, 1Fa 2:3 utafanikiwa katika kila jambo
2Nya 20:20 imani katika manabii, mtafanikiwa
Zb 1:3 kila jambo analofanya litafanikiwa
Isa 55:11 neno langu litafanikiwa hakika
FANYA
, Ro 7:15 sifanyi kile ninachotaka, bali
FANYA KAZI
, Ro 12:4 viungo havifanyi kazi ileile
Efe 4:16 kila kiungo kinapofanya kazi vizuri
FARAJA
, Zb 94:19 Ulinifariji na kunibembeleza
Isa 49:13 Yehova amewafariji watu wake
Yer 31:15 Raheli amekataa kufarijiwa
Mt 5:4 wanaoomboleza, watafarijiwa
2Ko 1:3 Mungu wa faraja yote
2Ko 1:4 ili tuweze kuwafariji wengine
FARASI
, Ufu 6:2 farasi mweupe, yule aliyeketi
Ufu 19:11 tazama! farasi mweupe
FARIJI
, Ayu 2:11 waenda kumpa pole na kumfariji Ayubu
Isa 61:2 Kuwafariji wote wanaoomboleza
Ro 15:4 kupitia faraja kutoka kwa Maandiko
1Th 2:11 endelea kumhimiza, kumfariji
FEDHA
, Met 2:4 kuutafuta kama fedha
Eze 7:19 Watatupa fedha yao barabarani
Sef 1:18 Fedha wala dhahabu haitawaokoa
FICHA
, Lu 8:17 lolote lililofichwa litafunuliwa
FIDIA
, Zb 49:7 hakuna anayeweza kumpa Mungu fidia
Mt 20:28 Mwana alikuja kutoa uhai uwe fidia
Ro 8:23 kuachiliwa kwenye miili kupitia fidia
FIKIRA
, Nah 1:7 Anawakazia fikira wanaotafuta kimbilio
2Ko 10:5 kila fikira imtii Kristo
FIKIRI
, Ro 12:3 asijifikirie kuliko ilivyo lazima
FILIPO
, Mdo 8:26 malaika akamwambia Filipo
Mdo 21:8 Filipo, mmoja wa wale saba
FIMBO
, Mwa 49:10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda
Zb 2:9 Utawavunja kwa fimbo ya chuma
Met 13:24 anayezuia fimbo anamchukia mwana
Ufu 12:5 atakayechunga mataifa yote kwa fimbo
FINEHASI
, Hes 25:7 Finehasi alipoona jambo hilo
FINYANGA
, Ro 12:2 kufinyangwa, mfumo huu
1Pe 1:14 acheni kufinyangwa na tamaa
FUATA
, Mt 4:20 wakaziacha nyavu zao na kumfuata
Yoh 10:27 Kondoo wangu husikiliza na kunifuata
Ufu 14:4 kumfuata Mwanakondoo popote
FUATILIA
, Ro 14:19 tufuatilie yanayoleta amani
FUMBA
, Kum 15:7 kumfumbia mkono ndugu yenu
FUNDISHA
, Amu 13:8 Manoa, tufundishe kumlea
Ezr 7:10 Ezra alitayarisha moyo kufundisha
Zb 32:8 kukufundisha njia unayopaswa kufuata
Zb 143:10 Nifundishe kufanya mapenzi yako
Met 9:9 Mfundishe mwenye hekima, atazidi
Isa 48:17 Ninayekufundisha ili ujifaidi
Yer 31:34 hawatafundishana mtu na ndugu yake
Mt 7:28 njia yake ya kufundisha
Mt 7:29 akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka
Mt 15:9 wanafundisha amri za wanadamu
Mt 28:20 kuwafundisha kushika mambo yote
Yoh 7:16 Mambo ninayofundisha si yangu
Ro 2:21 wewe unayemfundisha mtu mwingine
Ro 15:4 yaliandikwa ili kutufundisha
1Ti 2:12 Simruhusu mwanamke afundishe
FUNDISHWA
, Isa 54:13 watafundishwa na Yehova
Yoh 7:15 ingawa hajafundishwa shuleni
FUNGA
, Mwa 22:9 Akamfunga Isaka mwanawe
Isa 61:1 kuyafunga majeraha ya waliovunjika moyo
Eze 34:16 aliyejeruhiwa nitamfunga
Mt 16:19 utakalofunga duniani limefungwa
FUNGU
, Omb 3:24 Yehova ni fungu langu
Da 12:13 utasimama kwa ajili ya fungu lako
FUNGUA
, Mt 18:18 mambo mtakayofungua duniani
FUNGUO
, Mt 16:19 Nitakupa funguo za Ufalme
Ufu 1:18 nina funguo za kifo na za Kaburi
FUNIKA
, Met 28:13 Anayefunika makosa yake
1Ko 11:6 ikiwa mwanamke hajifuniki
FUNIKA DHAMBI
, Law 16:34 kufunika dhambi kila mwaka
FUNUA
, Mt 11:25 umeyafunua kwa watoto wadogo
1Ko 2:10 Mungu ameyafunua kwetu kupitia roho
FUNULIWA
, Ro 8:19 kufunuliwa kwa wana
Efe 3:5 siri imefunuliwa kwa mitume na manabii
FURAHA
, Zb 32:1 Mwenye furaha, dhambi imefunikwa
Zb 37:4 Pata furaha tele katika Yehova
Zb 94:12 Mwenye furaha ni mtu unayemrekebisha
Zb 144:15 Wenye furaha, Mungu wao ni Yehova!
Mt 5:3 Wenye furaha hutambua uhitaji
Mdo 20:35 furaha katika kutoa kuliko kupokea
1Ti 1:11 habari njema ya Mungu mwenye furaha
FURAHI
, Zb 149:4 Yehova anawafurahia watu wake
Eze 18:32 Mimi sifurahii kifo cha mtu yeyote
FURAHIA
, Zb 40:8 ninafurahia kufanya mapenzi yako
Mhu 2:24 kuliko kufurahia kazi yake ngumu
FUTA
, Mdo 3:19 ili dhambi zenu zifutwe
G
GABRIELI
, Lu 1:19 Gabrieli, ninayesimama karibu
GAMALIELI
, Mdo 22:3 nilielimishwa na Gamalieli
GEHAZI
, 2Fa 5:20 Gehazi, nitakimbia na kumfuata
GEHENA
, Mt 10:28 nafsi na mwili katika Gehena
GEREZA
, Mt 25:36 Nilikuwa gerezani mkanitembelea
Mdo 5:19 malaika akaifungua milango ya gereza
Mdo 12:5 Petro alikuwa gerezani lakini kutaniko
Ebr 13:3 Wakumbukeni wale walio gerezani
Ufu 2:10 Ibilisi ataendelea kuwatupa gerezani
GHAFLA
, Lu 21:34 siku ile iwakute ghafla
GHARAMA
, Lu 14:28 kuhesabu gharama
Lu 14:28 keti na kuhesabu gharama
1Ko 9:18 niitoe habari njema bila gharama
GHARIKA
, Mwa 9:11 hawataangamizwa kwa gharika
Mt 24:38 kabla ya Gharika, wakila na
2Pe 2:5 alipoleta gharika juu ya ulimwengu
GHASIA
, Mdo 17:5 kikundi chenye ghasia
GIBEONI
, Yos 9:3 Wakaaji wa Gibeoni walisikia pia
GIDEONI
, Amu 7:20 Upanga wa Yehova na wa Gideoni!
GIZA
, Isa 60:2 giza litaifunika dunia
Yoe 2:31 Jua litatiwa giza
Mt 4:16 wanaokaa katika giza waliona nuru
Yoh 3:19 watu wamependa giza
Efe 4:18 Wako gizani kiakili
1Pe 2:9 aliyewaita kutoka katika giza
GOLGOTHA
, Yoh 19:17 Fuvu la Kichwa, au Golgotha
GOLIATHI
, 1Sa 17:4 shujaa, aliitwa Goliathi
GOMORA
, Mwa 19:24 kiberiti na moto juu ya Gomora
GURUDUMU
, Eze 1:16 gurudumu ndani ya gurudumu
GUSA
, Met 6:29 anayemgusa mwanamke ataadhibiwa
Isa 52:11 msiguse kitu chochote kichafu!
Mt 8:3 akamgusa na kusema: Ninataka!
2Ko 6:17 mwache kugusa kitu kichafu
H
HABARI
, Kut 23:1 Usieneze habari za uwongo
Law 5:1 shahidi amekataa kutoa habari
Hes 14:36 wakaleta habari mbaya kuhusu nchi
Zb 112:7 Hataogopa habari mbaya
Met 25:25 habari njema kutoka nchi ya mbali
Da 11:44 habari zitamhangaisha
2Ko 6:8 kupitia habari mbaya, habari nzuri
HABARI NJEMA
, Isa 52:7 miguu ya anayeleta habari njema
Mt 24:14 habari njema itahubiriwa
Lu 4:43 lazima pia nitangaze habari njema
Ro 1:16 siionei aibu habari njema
1Ko 9:16 ole wangu nisipotangaza habari njema!
1Ko 9:23 ninafanya yote kwa ajili ya habari njema
HADESI.
Angalia KABURI.
HAI
, Da 6:26 yeye ndiye Mungu aliye hai
Lu 20:38 Mungu wa walio hai, wote wako hai
1Th 4:15 sisi tulio hai ambao tutabaki
Ebr 4:12 neno la Mungu liko hai nalo ni lenye nguvu
1Pe 3:18 akafanywa kuwa hai katika roho
HAKI
, Kum 32:4 Mungu asiye na ukosefu wa haki
Ayu 34:12 Mweza-Yote hapotoshi haki
Ayu 40:8 Je, utatilia shaka haki yangu?
Zb 37:28 Yehova anapenda haki
Met 15:27 Mtu anayepata faida isiyo ya haki
Met 29:4 Kwa haki mfalme huleta uthabiti nchini
Mhu 5:8 usishangazwe ukiona haki ikikiukwa
Isa 32:1 wakuu watatawala kwa haki
Eze 21:27 yule aliye na haki ya kisheria atakapokuja
Mik 6:8 utekeleze haki, uthamini sana ushikamanifu
Lu 18:7 hatawatendea haki watu wake?
Mdo 28:4 Haki haikumruhusu aendelee kuishi
Ro 9:14 Mungu ana ukosefu wa haki? La hasha!
1Ko 7:3 Mume na ampe mke wake haki yake
1Pe 2:19 inakubalika akiteseka isivyo haki
HAKIKISHA
, Flp 1:10 mhakikishe mambo muhimu
1Th 5:21 Hakikisheni mambo yote
HALALI
, 1Ko 6:12 Mambo yote ni halali kwangu, lakini
HALELUYA.
Angalia MSIFUNI YAH.
HALISI
, Yoh 7:28 aliyenituma ni halisi
HALI YA CHINI
, 1Sa 2:8 Humwinua mtu wa hali ya chini
Zb 41:1 anayemjali mtu wa hali ya chini
Isa 57:15 kuihuisha roho ya watu wa hali ya chini
HAMU
, Ro 1:26 hamu isiyodhibitiwa ya ngono
Ro 16:18 watumwa wa hamu yao
Flp 2:13 kuwapa hamu na nguvu za kutenda
Kol 3:5 hamu isiyodhibitiwa ya ngono
1Th 4:5 hamu yenye pupa ya ngono
1Pe 2:2 kuzeni hamu ya maziwa ya neno
HANGAIKA
, Isa 41:10 Usihangaike, mimi ni Mungu wako
Mt 6:34 msihangaike kamwe kuhusu kesho
Mt 10:19 msihangaike kuhusu mtakalosema
Lu 12:25 kwa kuhangaika anaweza kurefusha uhai?
1Ko 7:32 ninataka msihangaike
1Ko 7:32 Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia
2Ko 11:28 kuhangaikia makutaniko yote
Flp 4:6 Msihangaike kuhusiana na lolote
HARADALI
, Lu 13:19 kama mbegu ya haradali
HARAKISHA
, Isa 60:22 Mimi, Yehova, nitaliharakisha
HARIBU
, Eze 21:27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu
Ufu 11:18 kuwaharibu wale wanaoiharibu dunia
HAR-MAGEDONI
, Ufu 16:16 panaitwa Har-Magedoni
HASARA
, Flp 3:7 nimeviona kuwa hasara
HASIRA
, Zb 37:8 Acha hasira na ghadhabu
Zb 103:8 Yehova si mwepesi wa hasira
Met 14:17 anayekasirika upesi hutenda kipumbavu
Met 16:32 mtu anayedhibiti hasira yake
Kol 3:8 ondoeni hasira, matukano
HASIRA KALI
, Met 19:19 mwenye hasira kali atalipia
HATARI
, Met 22:3 Mtu mwerevu huona hatari na kujificha
2Ko 11:26 hatari jijini, hatari nyikani
2Ti 3:1 nyakati za hatari zilizo ngumu
HATARISHA
, Ro 16:4 ambao wamehatarisha shingo zao
HATI
, Yer 32:12 nikampa hati ya ununuzi Baruku
HATIA
, Ro 6:7 aliyekufa ameondolewa hatia
HATIA YA DAMU
, Mdo 20:26 sina hatia ya damu ya mtu
HATUA
, Yer 10:23 mwanadamu hawezi kuongoza hatua
Gal 6:1 mtu akichukua hatua isiyofaa
1Pe 2:21 mfuate hatua zake kwa ukaribu
HAYA
, Ezr 9:6 ninaona haya kuuinua uso wangu kwako
HAZINA
, Met 2:4 kutafuta kama hazina zilizofichika
Met 10:2 Hazina zilizopatikana kwa uovu
Mt 6:21 moyo utakuwa mahali ilipo hazina
Mt 13:44 Ufalme kama hazina iliyofichwa
Lu 6:45 mema kwenye hazina ya moyo wake
Lu 12:33 hazina isiyopungua huko mbinguni
2Ko 4:7 tuna hazina, vyombo vya udongo
HEDHI
, Law 15:19 hedhi, hatakuwa safi kwa siku saba
Law 18:19 ngono wakati wa hedhi
HEKALU.
Pia angalia NYUMBA
Zb 11:4 Yehova yumo katika hekalu lake
Zb 27:4 kutazama kwa uthamini hekalu lake
Yer 7:4 hekalu la Yehova, hekalu la Yehova
Eze 41:13 Akapima hekalu, urefu wa mikono 100
Mal 3:1 ghafla Bwana atakuja katika hekalu lake
Mt 21:12 akaingia hekaluni na kuwafukuza
Yoh 2:19 Libomoeni hekalu hili, na kwa siku tatu
1Ko 3:16 ninyi ni hekalu la Mungu
HEKIMA
, Zb 111:10 Kumwogopa Yehova ni hekima
Zb 119:98 hufanya niwe na hekima kuliko maadui
Met 2:6 Yehova mwenyewe hutoa hekima
Met 3:7 Usiwe mwenye hekima machoni pako
Met 4:7 Hekima jambo muhimu zaidi
Met 8:11 hekima ni bora kuliko marijani
Met 9:9 Mfundishe mwenye hekima, atazidi
Met 13:20 Anayetembea na wenye hekima
Met 24:3 Nyumba hujengwa kwa hekima
Met 27:11 Uwe na hekima, mwanangu
Mhu 7:12 Hekima humhifadhi hai yule aliye nayo
Mhu 10:10 hekima husaidia kuleta mafanikio
Isa 5:21 Ole walio na hekima machoni pao
Mt 11:19 hekima huthibitishwa kupitia kazi zake
Mt 11:25 umewaficha mambo haya wenye hekima
Lu 16:8 wana hekima zaidi katika kizazi chao
Lu 16:8 wana hekima zaidi kuliko wana wa nuru
Lu 21:15 hekima ambayo wapinzani hawataishinda
Ro 11:33 kina cha utajiri wa Mungu na hekima
1Ko 1:26 si wengi wenye hekima kimwili
1Ko 2:5 imani si katika hekima ya wanadamu
1Ko 2:6 si hekima ya watawala wa mfumo huu
1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu
Efe 5:15 mtembee kama watu wenye hekima
Kol 2:3 Hazina za hekima zimefichwa ndani yake
Yak 1:5 ikiwa yeyote anakosa hekima
Yak 3:17 hekima inayotoka juu
HEKIMA INAYOTUMIKA
Met 2:7 Huwahifadhia hekima inayotumika
Met 3:21 Linda hekima inayotumika na uwezo
Lu 16:8 alitenda kwa hekima inayotumika
HEMA
, Yos 18:1 kupiga hema la mkutano, Shilo
Zb 15:1 kuwa mgeni katika hema lako
Isa 54:2 refusha kamba za hema lako
2Ko 12:9 nguvu za Kristo kama hema
Ufu 21:3 Hema la Mungu liko na wanadamu
HEMA LA IBADA
, Zb 78:60 akaliacha hema la ibada, Shilo
Zb 84:1 linavyovutia hema lako tukufu la ibada
HESABIWA
, Lu 22:37 alihesabiwa na waasi sheria
HESABU
, Zb 90:12 Tufundishe kuhesabu siku zetu
HESHIMA
, Met 5:9 msiwape wengine heshima yenu
Ro 12:10 kuonyeshana heshima, iweni wa kwanza
1Ti 5:17 wanastahili heshima mara mbili
1Pe 3:2 mwenendo safi na heshima kubwa
1Pe 3:15 kujitetea kwa upole na heshima kubwa
HESHIMU
, Kut 20:12 Mheshimu baba yako na mama yako
2Sa 12:14 hukumheshimu Yehova kamwe
Met 3:9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyenye thamani
Efe 5:33 mke kumheshimu mume wake
Flp 2:29 mwendelee kuwaheshimu sana
1Th 5:12 waheshimuni wale wanaowasimamia
HEWA
, 1Ko 9:26 nisiwe nikipiga hewa
1Ko 14:9 mtakuwa mkizungumza hewani
Efe 2:2 mtawala wa mamlaka ya hewa
HEZEKIA
, 2Fa 19:15 Hezekia akaanza kusali kwa Yehova
HIARI
, Kut 19:8 tuko tayari kufanya
Kut 35:5 aliye na moyo wa kutoa kwa hiari
1Nya 29:17 nimetoa kwa hiari vitu hivi vyote
Zb 110:3 Watu wako watajitoa kwa hiari
1Pe 5:2 Lichungeni kundi kwa hiari
HILA
, Met 3:32 Yehova humchukia mtu mwenye hila
Yer 17:9 Moyo ni wenye hila kuliko
Mal 2:15 usimtendee kwa hila mke
HISIA
, Yak 5:17 Eliya, mtu mwenye hisia kama zetu
HITAJI
, Mt 6:32 Baba anajua mnahitaji vitu hivi vyote
HODI
, Mt 7:7 endeleeni kupiga hodi, mtafunguliwa
HORI
, Lu 2:7 na kumlaza katika hori
HOTUBA
, Mdo 15:32 wakawatia moyo kwa hotuba nyingi
HUBIRI
, Mt 24:14 habari njema ya Ufalme itahubiriwa
Ro 10:14 watasikiaje bila mtu wa kuhubiri?
2Ti 4:2 Lihubiri neno; fanya hivyo kwa uharaka
HUDUMA
, Mdo 20:24 nimalize mwendo na huduma
Ro 11:13 ninaitukuza huduma yangu
2Ko 4:1 tuna huduma hii kupitia rehema
2Ko 6:3 kosa lisipatikane katika huduma yetu
1Ti 1:12 aliniona mwaminifu kwa kunipa huduma
2Ti 4:5 timiza kikamili huduma yako
HUDUMU
, Da 7:10 maelfu waliendelea kumhudumia
Mt 20:28 Mwana wa binadamu alikuja kuhudumu
1Pe 4:10 itumieni zawadi kuhudumiana
HUISHA
, Isa 57:15 kuihuisha watu wa hali ya chini
HUKOPA
, Zb 37:21 Mwovu hukopa lakini halipi
HUKUMU
, Mhu 8:11 sababu hukumu haijatekelezwa
Isa 26:9 hukumu zinapotoka kwako kwa dunia
Mt 7:2 kwa hukumu mnayohukumu, mtahukumiwa
Lu 6:37 acheni kuhukumu, nanyi hamtahukumiwa
Lu 22:30 kuketi kwenye viti kuyahukumu makabila 12
Yoh 5:22 amemkabidhi Mwana kazi ya kuhukumu
Mdo 17:31 ameweka siku anayokusudia kuhukumu
Ro 14:4 Wewe ni nani umhukumu mtumishi wa
1Ko 6:2 hamjui watakatifu watauhukumu ulimwengu?
1Ko 11:29 kunywa hukumu dhidi yake mwenyewe
2Ko 1:9 tulihisi tumepokea hukumu ya kifo
Yak 4:12 wewe ni nani umhukumu jirani yako?
1Pe 4:17 hukumu kuanza na nyumba ya Mungu
HURU
, Yoh 8:32 kweli itawaweka ninyi huru
Ro 6:18 mliwekwa huru kutoka katika dhambi
HURUMA
, Kut 34:6 Yehova ana rehema na huruma
Mt 16:22 Bwana jihurumie
Kol 3:12 upendo mwororo wenye huruma
1Yo 3:17 naye akatae kumhurumia
HUZUNI
, Zb 31:10 Maisha yangu yamejaa huzuni
Zb 38:6 mchana kutwa kwa huzuni
Zb 90:10 miaka imejaa huzuni
Mhu 7:3 uso wenye huzuni huboresha moyo
Isa 51:11 Huzuni na kilio vitakimbia
2Ko 2:7 asilemewe na huzuni inayopita kiasi
HUZUNIKA
, Flp 2:26 [Epafrodito] amehuzunika
1Th 4:13 msihuzunike kama wanavyofanya watu
HUZUNISHA
, Zb 78:41 wakamhuzunisha Mtakatifu
Efe 4:30 msiwe mkiihuzunisha roho takatifu
HUZUNISHWA
, 2Ko 7:9 mlihuzunishwa kwa njia ya
I
IBA
, Kut 20:15 Usiibe
Met 30:9 niibe na kuliaibisha jina la Mungu
Efe 4:28 Mwizi asiibe tena
IBADA
, Mt 4:10 unapaswa kumwabudu Yehova
Yoh 4:24 wamwabudu kwa roho na kweli
IBILISI
, Mt 25:41 moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi
Lu 4:6 Ibilisi akamwambia, nitakupa mamlaka yote
Lu 8:12 Ibilisi huliondoa neno mioyoni mwao
Yoh 8:44 mmetoka kwa baba yenu Ibilisi
Efe 4:27 msimpe Ibilisi nafasi
Efe 6:11 matendo yenye hila ya Ibilisi
Yak 4:7 mpingeni Ibilisi, naye atawakimbia
1Pe 5:8 Ibilisi, anatembea huku na huku
1Yo 3:8 ili avunje kazi za Ibilisi
Ufu 12:12 Ole kwa sababu Ibilisi ameshuka kwenu
Ufu 20:10 Ibilisi atupwa ndani ya ziwa la moto
IGA
, Ebr 13:7 igeni imani yao
IKALIWE
, Isa 45:18 aliiumba dunia ili ikaliwe
IMANI
, Zb 27:13 Ningekuwa wapi [bila] imani
Lu 17:6 imani inayolingana na mbegu ya haradali
Lu 18:8 atakapofika, kweli ataipata imani
Yoh 3:16 kila mtu anayemwamini asiangamizwe
Ro 1:17 mwadilifu ataishi kupitia imani
Ro 4:20 alikuwa mwenye nguvu kwa imani yake
2Ko 4:13 tunaonyesha imani na kwa hiyo tunasema
2Ko 5:7 tunatembea kwa imani, si kwa kuona
Gal 6:10 wale ambao ni ndugu zetu katika imani
Efe 4:5 Bwana mmoja, imani moja
2Th 3:2 imani si mali ya watu wote
2Ti 1:5 ninaikumbuka imani yako isiyo na unafiki
Ebr 11:1 Imani ni tarajio lililohakikishwa
Ebr 11:6 bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu
Yak 2:26 imani bila matendo imekufa
1Pe 1:7 sifa iliyojaribiwa ya imani yenu
IMARA
, Yos 1:7 uwe jasiri na imara kabisa
1Ko 1:8 atawafanya ninyi muwe imara
1Ko 15:58 iweni imara, thabiti
IMARISHWA
, Kol 2:7 kuimarishwa katika imani
INGILIA
, Mdo 5:38 msiingilie mambo ya watu hawa
ISAKA
, Mwa 22:9 Akamfunga Isaka mwanawe
ISHARA
, Mt 24:3 ishara ya kuwapo kwako
Mt 24:30 ishara ya Mwana wa binadamu
Lu 21:25 kutakuwa na ishara katika jua na mwezi
2Th 2:9 ishara za uwongo na mambo ya ajabu
ISHI
, Ayu 14:14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?
Ro 14:8 tukiishi na tukifa, sisi ni wa Yehova
2Ko 5:15 wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe
ISRAELI
, Mwa 35:10 jina lako litakuwa Israeli
Zb 135:4 amemchagua Israeli awe mali ya pekee
Gal 6:16 amani na rehema, juu ya Israeli wa Mungu
ITIA
, Ro 10:13 kila mtu anayeliitia jina la Yehova
J
JADILI
, Mdo 17:2 akajadiliana nao akitumia Maandiko
JALI
, Zb 41:1 anayemjali mtu wa hali ya chini
Met 14:16 mpumbavu hajali, naye anajiamini
JANGWA
, Isa 35:1 jangwa litashangilia na kuchanua
Isa 35:6 vijito katika jangwa tambarare
JARIBU
, Kum 13:3 Yehova anawajaribu ili ajue
Mal 3:10 nijaribuni kwa njia hii
Lu 8:13 wanapojaribiwa wanaanguka
Mdo 5:9 mlikubaliana kuijaribu roho ya Yehova
1Ko 10:9 Wala tusimjaribu Yehova
1Ti 3:10 kujaribiwa kama wanafaa
Yak 1:3 sifa iliyojaribiwa ya imani
Yak 1:12 Mwenye furaha anayevumilia jaribu
1Yo 4:1 yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho
JASIRI
, Yos 1:7 uwe jasiri na imara kabisa
JAZA
, Mwa 1:28 muijaze dunia na kuitiisha
JELA
, Mdo 5:18 wakawafunga mitume katika jela
Mdo 16:26 misingi ya jela ikatikiswa
JEMA
, Ro 7:19 sifanyi jambo jema ninalotaka
JEMBAMBA
, Mt 7:13 Ingieni kupitia lango jembamba
JEMBE
, Lu 9:62 anayeshika jembe na kutazama nyuma
JENGA
, Zb 127:1 Yehova asipoijenga nyumba
Isa 65:21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake
Lu 17:28 walikuwa wakipanda, na walikuwa wakijenga
Ro 14:19 tufuatilie mambo yanayojenga
1Ko 3:10 kila mmoja aangalie jinsi anavyojenga
1Ko 8:1 Ujuzi huleta majivuno, upendo hujenga
1Ko 10:23 halali, lakini si yote yanayojenga
1Ko 14:26 yote na yatendeke kwa ajili ya kujenga
Yud 20 jijengeni juu ya imani yenu takatifu zaidi
JERUHIWA
, Ufu 13:3 kichwa chake kimejeruhiwa
JESHI
, Zb 68:11 Wanawake wanaotangaza ni jeshi kubwa
Zek 4:6 Si kwa jeshi, bali kwa roho yangu,
JIANGALIE
, Mdo 20:28 Jiangalieni wenyewe na kundi
1Ti 4:16 Jiangalie daima na kufundisha kwako
JIBU
, Met 15:1 Jibu la upole hutuliza hasira
Met 15:23 Mtu hushangilia kutoa jibu linalofaa
Met 15:28 mwadilifu hutafakari kabla ya kujibu
Met 18:13 anayejibu kabla ya kusikia
Isa 65:24 kabla hawajaita, nitajibu
Kol 4:6 mjue kumjibu kila mtu
JICHO
, Mt 5:38 Jicho kwa jicho na jino kwa jino
Mt 6:22 Taa ya mwili ni jicho
1Ko 2:9 Jicho halijaona na sikio halijasikia
1Ko 12:21 Jicho haliwezi kuuambia mkono, sikuhitaji
1Ko 15:52 kufumba na kufumbua jicho
JIHADHARI
, Met 14:16 Mwenye hekima hujihadhari
JIJI
, Ebr 11:10 jiji lililo na misingi ya kweli
JIKWAA
, Mt 5:29 jicho lako la kulia linafanya ujikwae
JINA
, Mwa 11:4 tujijengee jina maarufu
Kut 3:13 nao waniulize, Jina lake ni nani?
Kut 3:15 Yehova, ndilo jina langu milele
Kut 9:16 ili jina langu litangazwe duniani
Kut 20:7 Usilitumie jina langu kwa njia isiyofaa
1Sa 17:45 naja kwa jina la Yehova wa majeshi
1Nya 29:13 kulisifu jina lako linalovutia
Zb 9:10 wanaolijua jina lako watakutumaini
Zb 79:9 Kwa ajili ya jina lako tukufu
Met 18:10 Jina la Yehova mnara wenye nguvu
Met 22:1 afadhali kuchagua jina jema kuliko mali
Mhu 7:1 Jina zuri ni bora kuliko mafuta
Yer 23:27 kufanya watu wangu wasahau jina langu
Eze 39:25 nitalitetea jina langu takatifu kwa bidii
Mal 1:11 jina langu litakuwa kuu kwa mataifa
Mal 3:16 wale wanaolitafakari jina lake
Mt 6:9 jina lako na litakaswe
Yoh 12:28 Baba, litukuze jina lako
Yoh 14:14 Mkiomba lolote katika jina langu
Yoh 17:26 Nimewajulisha jina lako
Mdo 4:12 hakuna jina lingine tunaloweza kuokolewa
Mdo 15:14 mataifa watu kwa ajili ya jina lake
Ro 10:13 anayeliitia jina la Yehova ataokolewa
Flp 2:9 jina lililo juu kuliko kila jina lingine
JINYENYEKEZENI
, Yak 4:10 Jinyenyekezeni machoni pa
1Pe 5:6 jinyenyekezeni chini ya mkono wa Mungu
JIPYA
, Mdo 17:21 kuambiana au kusikiliza jambo jipya
JIRANI
, Lu 10:27 mpende jirani unavyojipenda
Lu 10:36 ni nani aliyekuwa jirani ya mtu huyo?
JITAHIDINI
, Lu 13:24 Jitahidini sana ili mwingie kupitia
JITIHADA
, 2Pe 1:5 jitahidini kuongeza kwenye imani
JITIISHENI
, 1Pe 2:13 jitiisheni wenyewe kwa mfalme
JIVUNA
, 2Th 1:4 tunajivunia ninyi kati ya makutaniko
JIWE
, Da 2:34 jiwe likakatwa, si kwa mikono
Mt 21:42 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa
JIWE LA PEMBENI
, Zb 118:22 jiwe kuu la pembeni
Efe 2:20 Yesu ndiye jiwe la msingi la pembeni
JOGOO
, Mt 26:34 kabla jogoo hajawika, utanikana
JOKA
, Ufu 12:9 joka mkubwa akatupwa chini
JUA
, Yos 10:12 Jua, simama tuli juu ya Gibeoni
Mt 24:29 baada ya dhiki hiyo jua litatiwa giza
Mdo 2:20 Jua litatiwa giza
JUMA
, 1Ko 16:2 Siku ya kwanza ya juma, weka kando
K
KAA MACHO
, 1Ko 16:13 Kaeni macho, simameni imara
Ufu 16:15 Mwenye furaha ni yule anayekaa macho
KABIDHI
, Lu 16:11 nani atawakabidhi kilicho cha kweli?
1Pe 2:23 alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu
1Pe 4:19 kujikabidhi wenyewe kwa Muumba mwaminifu
KABILI
, Flp 1:23 Ninakabiliwa na mambo haya mawili
KABURI
, Ayu 14:13 Laiti ungenificha Kaburini
Mhu 9:10 hakuna kazi wala hekima Kaburini
Ho 13:14 Nitawakomboa kutoka katika Kaburi
Yoh 5:28 wote walio katika makaburi wataisikia sauti
Mdo 2:31 Kristo hakuachwa katika Kaburi
Ufu 1:18 nina funguo za kifo na za Kaburi
Ufu 20:13 kifo na Kaburi vikawatoa wafu
KAHABA
, Met 7:10 amevaa kama kahaba
1Ko 6:16 ameungana na kahaba ni mwili mmoja
Ufu 17:1 kahaba anayekaa juu ya maji mengi
Ufu 17:16 watamchukia yule kahaba na kumfanya
KAINI
, 1Yo 3:12 si kama Kaini aliyemuua ndugu yake
KAISARI
, Mt 22:17 kumlipa Kaisari kodi
Mk 12:17 Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari
Yoh 19:12 Ukimfungua, wewe si rafiki ya Kaisari
Yoh 19:15 Sisi hatuna mfalme ila Kaisari
Mdo 25:11 Ninakata rufaa kwa Kaisari!
KALEBU
, Hes 13:30 Kalebu akajaribu kuwatuliza watu
Hes 14:24 Kalebu alikuwa na roho tofauti
KALI
, Met 15:1 neno kali huchochea hasira
KAMBA
, Mhu 4:12 kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi
Isa 54:2 refusha kamba za hema lako
KAMILI
, 1Nya 28:9 kumtumikia kwa moyo kamili
2Nya 16:9 wale ambao moyo wao ni kamili
1Ko 13:9 tuna ujuzi usio kamili
KAMILIFU
, Kum 32:4 Mwamba, kazi zake ni kamilifu
Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamilifu
KANA
, Met 30:9 nisishibe na kukukana
Mt 16:24 lazima ajikane mwenyewe
Mk 14:30 utanikana mara tatu
Yoh 2:1 karamu ya ndoa katika Kana
Mdo 26:11 nikijaribu kuwalazimisha wakane imani
Tit 1:16 wanamkana kwa matendo yao
KANDAMIZA
, Mhu 4:1 waliowakandamiza wana nguvu
KANYAGA
, Ebr 10:29 amemkanyagia chini Mwana wa
KARAMU
, Isa 25:6 Karamu ya vyakula vinono
Ro 13:13 si katika karamu zenye vurugu
Gal 5:21 ulevi, karamu zenye vurugu
KARIBIA
, Zb 73:28 kumkaribia Mungu ni jambo jema
Yak 4:8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia
KARIBISHA
, Ro 12:13 Iweni wakaribishaji wageni
Tit 1:7, 8 Mwangalizi awe mkaribishaji wageni
Ebr 13:2 Msisahau kuwakaribisha wageni
1Pe 4:9 Mkaribishane bila kunung’unika
3Yo 8 wajibu wa kuwakaribisha watu hao
KARIBISHANA
, Ro 14:1 Mkaribisheni mwenye udhaifu
Ro 15:7 mkaribishane, kama vile Kristo
KARIBU
, Zb 145:18 Yehova, karibu na wanaomwitia
KARIPIA
, Zb 141:5 Akinikaripia, litakuwa kama mafuta
KARIPIO
, Met 3:11 usichukie karipio lake
Met 27:5 Karipio la wazi ni afadhali kuliko
Mhu 7:5 afadhali kusikiliza karipio
KARIPIWA
, Met 29:1 shingo ngumu baada ya kukaripiwa
KASIRIKA
, Zb 37:8 Usikasirike na kuanza kutenda uovu
Met 21:19 mke mgomvi anayekasirika haraka
Efe 4:26 jua lisitue mkiwa mmekasirika
KASIRISHA
, Efe 6:4 msiwe mkiwakasirisha watoto wenu
Kol 3:21 akina baba, msiwe mkiwakasirisha
KASORO
, Law 22:21 hapaswi kuwa na kasoro yoyote
KATAA
, Yer 8:9 Wamelikataa neno la Yehova
KATALIWA
, 1Ko 9:27 mimi mwenyewe nisikataliwe
KATA TAMAA
, Ro 5:5 tumaini halikatishi tamaa
Ro 9:33 yeye anayemwamini hatakata tamaa
KATAZA
, Mdo 5:28 Tuliwakataza msifundishe
KATILIWA MBALI
, Mt 25:46 watakatiliwa mbali milele
KAULI MOJA
, Mdo 15:25 tumefikia kauli moja
KAWAIDA
, Mdo 4:13 wasio na elimu na wa kawaida tu
KAWIA
, Isa 46:13 wokovu wangu hautakawia
Hab 2:3 Hata yakikawia, endelea kuyatarajia!
Lu 12:45 Bwana wangu anakawia kuja
2Pe 3:9 Yehova hakawii kuhusu ahadi yake
KAZA
, Kol 3:2 Endeleeni kukaza akili zenu kwenye
KAZI
, Ne 4:6 wakafanya kazi kwa moyo wote
Zb 104:24 Jinsi kazi zako zilivyo nyingi
Mhu 2:24 kufurahia kazi yake ngumu
Yoh 5:17 Baba anaendelea kufanya kazi
Yoh 6:27 Msifanyie kazi chakula kinachoharibika
Yoh 14:12 atafanya kazi kubwa kuliko hizi
Efe 4:28 asiibe tena; afanye kazi kwa bidii
1Th 2:9 Tulifanya kazi usiku na mchana
2Th 3:10 asiyetaka kufanya kazi, asile chakula
KEFA
, 1Ko 15:5 alimtokea Kefa, kisha wale 12
Gal 2:11 Kefa alipokuja Antiokia, nilimpinga
KENGEUSHWA
, Lu 10:40 Martha alikengeushwa na kazi
1Ko 7:35 kumtumikia Bwana bila kukengeushwa
KERUBI
, Eze 28:14 Nilikuweka kuwa kerubi anayefunika
KESHA
, Mt 26:41 Endeleeni kukesha na kusali
Lu 21:36 endeleeni kukesha mkiomba dua
KESHO
, Met 27:1 Usijigambe kuhusu kesho
1Ko 15:32 tule na tunywe, kesho tutakufa
KETI
, Zb 110:1 Keti kwenye mkono wangu wa kuume
KIANGAZI
, Mt 24:32 mnajua kiangazi kinakaribia
KIASI
, Met 11:2 wenye kiasi wana hekima
Mik 6:8 utembee kwa kiasi na Mungu wako!
1Ti 2:9 wanawake kujipamba kwa kiasi
KIBALI
, Isa 26:10 Hata mwovu akionyeshwa kibali
1Ko 7:33 kupata kibali cha mke
KIBURI
, Met 8:13 Ninachukia kujikweza na kiburi
Met 16:5 mwenye kiburi moyoni humchukiza Yehova
Met 16:18 Kiburi hutangulia kuanguka
KICHAKA
, Mdo 7:30 akamtokea katika kichaka
KICHEKO
, Met 14:13 katika kicheko moyo una maumivu
KICHWA
, Mwa 3:15 atakuponda kichwa
Da 2:32 Kichwa cha sanamu kilikuwa dhahabu
1Ko 11:3 kichwa cha mwanamke ni mwanamume
Efe 5:23 Kristo kichwa cha kutaniko
Efe 5:23 mume ni kichwa cha mke wake
KIDOLE
, Kut 8:19 Ni kidole cha Mungu!
Kut 31:18 mabamba yaliyoandikwa kwa kidole
KIELELEZO
, Yoh 13:15 nimewawekea kielelezo
1Ko 10:6 mambo hayo yalikuwa vielelezo kwetu
Ebr 8:5 tengeneza vitu vyote kwa kufuata kielelezo
1Pe 2:21 Kristo aliwaachia ninyi kielelezo
1Pe 5:3 kuwa vielelezo kwa kundi
KIFAA
, Mhu 10:10 kifaa cha chuma hakina makali
KIFAFA
, Mt 4:24 wenye kifafa, waliopooza, akawaponya
KIFO
, Ru 1:17 tutenganisha isipokuwa kifo
Zb 89:48 mwanadamu gani asiyeweza kuona kifo?
Isa 25:8 Atameza kifo milele
Eze 18:32 sifurahii kifo cha mtu yeyote
Ho 13:14 Kifo, yako wapi maumivu yako?
Yoh 8:51 akishika maneno yangu, hataona kifo
Ro 5:12 kifo kikaenea kwa watu wote
Ro 6:23 mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo
1Ko 15:26 adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo
1Th 4:13 wale wanaolala usingizi katika kifo
Ebr 2:9 aonje kifo kwa ajili ya kila mtu
Ebr 2:15 watumwa kwa sababu ya kuogopa kifo
Ufu 21:4 kifo hakitakuwapo tena
KIFO CHA PILI
, Ufu 2:11 kifo cha pili hakitamdhuru
Ufu 20:6 kifo cha pili hakina mamlaka juu ya hao
Ufu 20:14 kifo cha pili, lile ziwa la moto
KIFUA
, Isa 40:11 atawabeba kwenye kifua chake
KIFUNGO
, Efe 4:3 kifungo cha muungano cha amani
Kol 3:14 upendo, kifungo kikamilifu cha muungano
KIGEZO
, 2Ti 1:13 kigezo cha maneno yenye manufaa
KIINITETE
, Zb 139:16 uliniona nikiwa kiinitete
KIJANA
, Ayu 33:25 Mwili wenye afya kuliko wa ujana
Zb 71:17 umenifundisha tangu nikiwa kijana
Mk 10:20 nimeyashika tangu nilipokuwa kijana
KIJIA
, Met 4:18 kijia cha waadilifu ni kama nuru
KIKOMBE
, Mt 20:22 mnaweza kunywa kikombe
Lu 22:20 Kikombe hiki kinamaanisha agano jipya
Lu 22:42 ukipenda, niondolee kikombe hiki
1Ko 11:25 Akafanya vivyo hivyo na kile kikombe
KIKWAZO
, Ro 14:13 kutoweka kikwazo
KILEMA
, Isa 35:6 kilema ataruka kama paa
Mal 1:8 mnapomtoa mnyama kilema au mgonjwa
KILEMBA
, Eze 21:26 Kiondoe kilemba, na ulivue taji
KILEO
, Met 20:1 Divai ni mdhihaki, kileo ni vurugu
KILIO
, Isa 35:10 huzuni na kilio vitatoweka
KIMAKUSUDI
, Ebr 10:26 tukitenda dhambi kimakusudi
KIMBELEMBELE
, Kum 17:12 kimbelembele kwa kutosikiliza
1Sa 15:23 kutenda kwa kimbelembele ni sawa na
Zb 19:13 unizuie nisitende kwa kimbelembele
Met 11:2 Kimbelembele kikija, aibu itafuata
KIMBIA
, 1Ko 6:18 Ukimbieni uasherati!
1Ko 9:24 wakimbiaji hukimbia ili kushinda
Gal 5:7 Mlikuwa mnakimbia vema. Nani
KIMBILIO
, Zb 9:9 Yehova kimbilio salama
Sef 3:12 watapata kimbilio katika jina la Yehova
KIMWILI
, 1Ko 2:14 mtu wa kimwili hayakubali
1Ko 3:3 bado ninyi ni wa kimwili
Kol 2:18 kwa akili yake ya kimwili
KIMYA
, Isa 53:7 kondoo aliye kimya mbele ya
KINA
, Ro 11:33 Jinsi kilivyo kina cha utajiri wa Mungu
1Ko 2:10 roho, mambo yenye kina
Efe 3:18 kufahamu kikamili kina
KINABII
, 2Pe 1:19 neno la kinabii limefanywa hakika zaidi
KINYESI
, Kum 23:13 kuchimba shimo na kufunika kinyesi
KINYONGO
, Law 19:18 usiwe na kinyongo dhidi ya
KINYWA
, Kum 25:4 usimfunge kinywa ng’ombe
Zb 8:2 Kutoka katika vinywa vya watoto
Lu 6:45 kinywa husema yaliyojaa moyoni
Ro 10:10 kwa kinywa hufanya tangazo la hadharani
Yak 3:10 Baraka na laana kinywa kilekile
KIONGOZI
, Met 28:16 Kiongozi anayetumia mamlaka
Mt 23:10 Kiongozi wenu ni mmoja, Kristo
KIOO
, 1Ko 13:12 kupitia kioo cha chuma
Yak 1:23 anayeutazama uso wake katika kioo
KIPIMO
, Lu 6:38 kwa kipimo mnachowapimia watu
KIPOFU
, Law 19:14 usiweke kizuizi mbele ya kipofu
Isa 35:5 macho ya vipofu yatafunguliwa
Mt 15:14 Wao ni viongozi vipofu
KIROHO
, Mt 5:3 wanaotambua uhitaji wao wa kiroho
Ro 1:11 niwape zawadi ya kiroho
1Ko 2:15 mtu wa kiroho huchunguza mambo yote
KISASI
, Kum 32:35 Kisasi ni changu, na malipo
2Th 1:8 atakapoleta kisasi juu ya wale
KISIKI
, Isa 11:1 tawi kwenye kisiki cha Yese
Da 4:15 kiacheni kisiki na mizizi yake
KISINGIZIO
, Yoh 15:22 hawana kisingizio cha dhambi
Yud 4 kisingizio cha mwenendo mpotovu
KITABU
, Kut 32:33 nitamfuta katika kitabu changu
Yos 1:8 Kitabu hiki cha Sheria kisiondoke
Mal 3:16 kitabu cha kumbukumbu kikaandikwa
Ufu 20:15 kuandikwa katika kile kitabu cha uzima
KITAMBAA
, 2Ko 3:15 kitambaa hukaa juu ya mioyo yao
KITANDA
, Zb 41:3 atamtegemeza kwenye kitanda chake
Ebr 13:4 kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi
KITI CHA HUKUMU
, Yoh 19:13 Pilato, kiti cha hukumu
Ro 14:10 mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu
KITI CHA UFALME
, Zb 45:6 Mungu ni kiti cha ufalme
Isa 6:1 Yehova ameketi, kiti cha ufalme
Mt 25:31 Mwana wa binadamu ataketi, kiti cha ufalme
Lu 1:32 Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi
KITU
, Gal 6:3 akifikiri yeye ni kitu wakati yeye si kitu
KITU KISICHOFAA
, Zb 101:3 sitaweka kitu kisichofaa
KITULIZO
, 2Th 1:7 mnaopata dhiki mtapata kitulizo
KIU
, Isa 49:10 hawatakuwa na kiu
Isa 55:1 Njooni, nyote mlio na kiu
Yoh 7:37 aliye na kiu, na aje
KIUNGO
, 1Ko 12:18 Mungu amepanga kila kiungo
KIVULI
, 1Nya 29:15 siku zetu ni kama kivuli
Zb 91:1 Ataishi katika kivuli cha Mweza-Yote
Kol 2:17 Mambo hayo ni kivuli
Yak 1:17 habadiliki kama kivuli
KIWANGO
, Yer 30:11 nidhamu kwa kiwango kinachofaa
KIZAZI
, Mt 24:34 kizazi hiki hakitapitilia mbali
KIZIWI
, Law 19:14 Usimtukane kiziwi
Isa 35:5 masikio ya viziwi yatazibuliwa
Mk 7:37 anafanya viziwi wasikie
KODI
, Mt 17:25 Wafalme hupokea kodi kwa nani
Lu 20:22 ni halali kumlipa Kaisari kodi?
Lu 23:2 kukataza wasimlipe Kaisari kodi
Ro 13:6 Ndiyo maana mnalipa kodi
Ro 13:7 anayetaka kodi, kodi
KOFI
, Yoh 19:3 walikuwa wakimpiga makofi usoni
KOFIA
, Efe 6:17 pokeeni kofia ya chuma ya wokovu
KOMAA
, Efe 4:13 kuwa mtu aliyekomaa kabisa
KOMBOA
, Zb 49:7 anayeweza kumkomboa ndugu
Ho 13:14 Nitawakomboa kutoka katika Kaburi
2Pe 2:9 Yehova anajua kuwakomboa watu
KONDOO
, Zb 100:3 watu wake na kondoo wa malisho
Isa 53:7 Aliletwa kama kondoo machinjioni
Eze 34:12 Nitawatunza kondoo wangu
Mt 25:33 atawaweka kondoo kuume
Yoh 21:16 Chunga kondoo wangu wadogo
KONDOO WENGINE
, Yoh 10:16 nina kondoo wengine
KOPESHA
, Met 19:17 anamkopesha Yehova
Lu 6:35 kukopesha bila kutumaini kurudishiwa
KORA
, Hes 26:11 wana wa Kora hawakufa
Yud 11 maneno ya uasi ya Kora
KORESHI
, Ezr 6:3 Koreshi: Nyumba hiyo na ijengwe upya
Isa 45:1 mtiwa-mafuta wake, Koreshi
KORNELIO
, Mdo 10:24 Kornelio aliwakusanya watu wake
KOSA
, Ayu 6:24 Nisaidieni kuelewa kosa langu
Zb 40:12 Makosa yangu ni mengi kuliko nywele
Zb 130:3 Ikiwa ungekuwa unatazama tu makosa
Isa 53:5 alichomwa kwa sababu ya makosa yetu
KOSOA
, 1Ti 5:1 Usimkosoe mwanamume mzee
KRISTO
, Mt 16:16 Wewe ndiye Kristo, Mwana wa
Lu 24:26 haikuwa lazima Kristo kupatwa na mateso?
Yoh 17:3 na yule uliyemtuma, Yesu Kristo
Mdo 18:28 kwa Maandiko kuwa Yesu ndiye Kristo
1Ko 11:3 kichwa cha Kristo ni Mungu
KRISTO WA UWONGO
, Mt 24:24 Kristo wa uwongo
KUACHA
, Kum 31:8 Hatakutupa wala kukuacha
1Sa 12:22 Yehova hatawaacha watu wake
Zb 27:10 Hata baba na mama wakiniacha
Zb 37:28 Yehova hatawaacha washikamanifu
Yoh 8:29 hakuniacha, kwa sababu sikuzote
Mdo 5:42 kufundisha na kutangaza bila kuacha
Ebr 13:5 Sitakuacha wala kukutupa kamwe
KUBALI
, Ayu 2:10 Je, tukubali tu mema kutoka
Lu 3:22 Mwanangu, mpendwa; nimekukubali
2Ti 2:15 ujitoe kwa Mungu ukiwa mtu aliyekubaliwa
KUBALIKA
, 2Ko 6:2 Sasa ndio wakati unaokubalika
Efe 5:10 kuhakikisha linalokubalika kwa Bwana
KUBOMOA
, Ro 14:20 Acheni kuibomoa kazi ya Mungu
KUBWA
, Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka zilizo kubwa
KUCHANGANYA
, 2Ko 4:2 kulichanganya neno la Mungu
KUCHANUA
, Isa 35:1 jangwa tambarare litachanua
KUCHINJWA
, Zb 44:22 kondoo wa kuchinjwa
KUCHOCHEANA
, Ebr 10:24 kuchocheana katika upendo
KUCHUKIZA
, Mt 24:15 kitu chenye kuchukiza
KUELEZA
, Mdo 17:3 akieleza na kuthibitisha kwa marejeo
KUFA
, Mwa 3:4 Hakika hamtakufa
Ayu 14:14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?
Mhu 9:5 waliokufa hawajui lolote kamwe
Lu 15:24 mwanangu alikuwa amekufa
Lu 20:38 si Mungu wa wafu, bali walio hai
Yoh 11:25 hata akifa, ataishi tena
Yoh 11:26 anayeniamini hatakufa kamwe
Ro 14:8 tukifa, tunakufa kwa ajili ya Yehova
1Ko 15:53 huu unaoweza kufa uvae kutoweza kufa
2Ko 5:15 yule aliyekufa kwa ajili yao na kufufuliwa
Efe 2:1 hai, ingawa mlikuwa wafu
1Th 4:16 waliokufa katika muungano na Kristo
Ufu 14:13 wanaokufa katika muungano na Bwana
KUFAA
, 1Ko 11:27 kunywa kikombe isivyofaa
Ebr 11:38 ulimwengu haukuwafaa
KUFA GANZI
, Zb 143:4 Moyo wangu umekufa ganzi
KUFA MOYO
, 2Ko 4:1 tuna huduma hii hatufi moyo
2Ko 4:16 hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu
Gal 6:9 tusife moyo kufanya mema
KUFIKIRI
, Met 12:18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri
Met 19:2 anayetenda bila kufikiri anatenda dhambi
Met 29:20 umemwona mtu anayeongea bila kufikiri?
KUFOKA
, Efe 4:31 hasira, ghadhabu, kufoka
KUFUNGA
, Isa 58:6 kufunga ambako ninachagua
Lu 18:12 Mimi hufunga mara mbili kwa juma
KUFURU
, Mk 3:29 anayekufuru roho takatifu
KUGEUKA SURA
, Mt 17:2 Sura yake ikageuka mbele yao
KUGEUZWA
, Ro 12:2 mgeuzwe kwa kufanya upya akili
KUHANI
, Zb 110:4 kuhani milele, Melkizedeki
Ho 4:6 ujuzi, nitawakataa msiwe makuhani
Mal 2:7 midomo ya kuhani inapaswa kulinda ujuzi
Ebr 2:17 kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu
KUHARIBIKA
, 1Ko 15:42 hufufuliwa katika kutoharibika
KUHUBIRI
, Mt 9:35 Yesu akahubiri habari njema
Lu 8:1 akihubiri na kutangaza habari njema
KUIMBA
, Mt 26:30 baada ya kuimba sifa, wakaenda
Efe 5:19 mkiimba na kupiga muziki
KUJA
, Mdo 1:11 atakuja kama alivyoenda angani
KUJARIBU
, 2Ko 13:5 kujijaribu kama mko katika imani
KUJIAMINI
, Met 14:16 mpumbavu anajiamini kupita
KUJIFUNZA
, Kum 4:10 Wakusanye ili wajifunze
Flp 4:9 Mambo mliyojifunza na vilevile
2Ti 3:7 wakijifunza sikuzote lakini hawawezi
KUJIINGIZA
, 1Ti 5:13 kujiingiza katika mambo ya watu
1Pe 4:15 kujiingiza katika mambo
KUJIKATA
, Law 21:5 Hawapaswi kujikatakata
KUJIKWAA
, Yak 3:2 sote hujikwaa mara nyingi
KUJIONYESHA
, 1Yo 2:16 kujionyesha mali zake maishani
KUJIPA MOYO
, Mdo 28:15 Paulo akajipa moyo
KUJISIFU
, 1Ko 1:31 anayejisifu, na ajisifu katika Yehova
Flp 2:3 Msifanye jambo lolote kwa kujisifu
KUJITENGA
, Met 18:1 anayejitenga anafuatia
KUJITETEA
, Ro 1:20 hawana sababu ya kujitetea
1Pe 3:15 mkiwa tayari kujitetea
KUJITIISHA
, Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka kubwa
KUJITOLEA
, Kut 36:2 moyo wake ulimsukuma kujitolea
KUJIZUIA
, 1Ko 7:5 kuwajaribu kwa kukosa kujizuia
Gal 5:22, 23 tunda la roho ni kujizuia
2Ti 2:24 anayejizuia anapokosewa
KUJUA
, Yer 31:34 Mjue Yehova! wote watanijua
Gal 4:9 sasa Mungu amewajua ninyi
KUJUA MIMI NI YEHOVA
, Kut 7:5 watajua mimi ni Yehova
Eze 39:7 mataifa yatajua mimi ni Yehova
KUKAZIA
, Kum 6:7 lazima uyakazie kwa wanao
KUKESHA
, 1Pe 4:7 kukesha kuhusiana na sala
KUKOSA USINGIZI
, 2Ko 6:5 kwa kukosa usingizi usiku
2Ko 11:27 mara nyingi kukosa usingizi usiku
KUKOSEWA
, 1Ko 6:7 si afadhali mkubali kukosewa
KUKU
, Mt 23:37 kuku anavyokusanya vifaranga
KUKUTANA
, Ebr 10:25 bila kuacha kukutana pamoja
KUKWAZA
, Mt 13:41 vitu vinavyosababisha kukwazika
KULA
, 1Ko 5:11 hata msile chakula pamoja naye
KULALA
, 1Th 5:6 tusiendelee kulala kama wengine
KULIA
, Isa 65:19 sauti ya kulia haitasikika tena
Ho 12:4 Alilia na kumsihi apate kibali
Mt 26:75 Petro akaenda nje akalia kwa uchungu
Lu 6:21 Wenye furaha ni ninyi mnaolia
Ro 12:15 lieni na wale wanaolia
KUMBUKA
, Ayu 14:13 ungepima wakati na kunikumbuka
Mhu 12:1 mkumbuke Muumba wako Mkuu
Lu 22:19 Endeleeni kufanya hivi kunikumbuka
Ebr 10:32 endeleeni kuzikumbuka siku za zamani
KUMBUSHA
, 2Pe 1:12 ninakusudia kuwakumbusha haya
KUMI
, Mwa 18:32 Sitaliangamiza kwa ajili ya hao kumi
KUMSTAHILI
, Kol 1:10 kumstahili Yehova
KUMWOGOPA YEHOVA
, Zb 19:9 Kumwogopa Yehova ni
Zb 111:10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima
Met 8:13 Kumwogopa Yehova, kuchukia uovu
KUNDI
, Lu 12:32 Msiogope, ninyi kundi dogo
KUNDI DOGO
, Lu 12:32 Msiogope, ninyi kundi dogo
KUNGOJEA
, Mik 7:7 mtazamo wa kumngojea
KUNI
, Met 26:20 Pasipo na kuni moto huzimika
KUNUNG’UNIKA
, Flp 2:14 mambo, bila kunung’unika
KUOGOPA
, Met 29:25 Kuwaogopa wanadamu ni mtego
KUONYA
, Eze 33:9 ukimwonya mwovu aiache njia yake
KUPAMBA
, Tit 2:10 walipambe fundisho la Mungu
KURA
, Zb 22:18 wanalipigia kura vazi langu
Lu 23:51 Mtu huyo hakupiga kura kuunga mkono
KUREKEBISHA
, 2Ko 13:11 kurekebishwa upya, kufarijiwa
Gal 6:1 kumrekebisha kwa roho ya upole
Efe 4:12 kuwarekebisha watakatifu
KURIDHIKA
, Flp 4:11 nimejifunza kuridhika
KUSANYA
, Efe 1:10 kukusanya vitu vyote katika Kristo
KUSHINDA
, Ro 8:37 tunatoka tukiwa tumeshinda kabisa
KUSTAAJABISHA
, Zb 139:14 kwa njia ya kustaajabisha
KUSTAHILI
, Mt 10:37 kuliko anavyonipenda hanistahili
Lu 15:19 Sistahili tena kuitwa mwanao
Mdo 5:41 wamestahili kuvunjiwa heshima
Mdo 13:46 kujiona hamstahili uzima wa milele
2Th 1:5 kuhesabiwa kuwa mnastahili Ufalme wa Mungu
KUSUBIRI
, Ro 8:25 kukisubiri kwa hamu na uvumilivu
KUSUDI
, Met 16:4 amefanya kila kitu kitimize kusudi lake
Ro 8:28 wameitwa kulingana na kusudi lake
Ro 9:11 kusudi la Mungu halitegemei matendo
Efe 3:11 kulingana na kusudi la milele
KUTAFUTA
, Mhu 7:25 kutafuta hekima na maana
KUTANIKO
, Zb 22:25 Nitakusifu katika kutaniko kubwa
Zb 40:9 Kutangaza habari njema katika kutaniko kubwa
Mt 16:18 juu ya mwamba huu nitajenga kutaniko langu
Mdo 20:28 mlichunge kutaniko la Mungu
Ro 16:5 salimuni kutaniko lililo katika nyumba yao
KUTEMBEA
, Mik 6:8 utembee kwa kiasi na Mungu wako
Yoh 6:19 wakamwona Yesu akitembea juu ya bahari
KUTENGANA
, 1Ko 7:10 hapaswi kutengana na mume
KUTHIBITISHA
, Mdo 17:3 akieleza na kuthibitisha kwa
KUTIA MOYO
, Mdo 13:15 neno la kuwatia moyo, lisemeni
Mdo 14:22 kuwatia moyo wabaki katika
Ro 1:12 badala yake, tutiane moyo
Tit 1:9 kutia moyo kwa fundisho na kukaripia
KUTIANA MOYO
, Ro 1:12 badala yake, tutiane moyo
Kol 3:16 Endeleeni kutiana moyo
Ebr 10:25 tutiane moyo, na kufanya hivyo zaidi
KUTIA NGUVU
, 1Sa 30:6 akajitia nguvu kwa msaada wa
Isa 35:3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu
Lu 22:32 watie nguvu ndugu zako
KUTII
, Lu 2:51 akaendelea kuwatii
KUTOA
, Mdo 20:35 furaha katika kutoa kuliko kupokea
KUTOJALI
, Met 1:32 kutojali kwa wapumbavu
KUTUMIA VIBAYA
, 1Ko 9:18 nisitumie vibaya mamlaka
KUTUMIWA
, 2Ko 12:15 kutumiwa kabisa kwa ajili yenu
KUUGUA
, Ro 8:22 uumbaji wote unaendelea kuugua
Ro 8:26 roho hutuombea kwa kuugua kusikotamkwa
KUWA
, Kut 3:14 Nitakuwa Kile Ninachochagua Kuwa
1Ko 9:22 Nimekuwa mambo yote kwa
KUWAPO
, Mt 24:3 nini ishara ya kuwapo kwako?
Mt 24:37 kama siku za Noa, ndivyo kuwapo kwa
2Pe 3:4 Kuko wapi huko kuwapo kwake
KUWASILIANA NA ROHO
, Gal 5:20 kuwasiliana na roho
KUZUIA
, 1Th 2:16 kutuzuia kuzungumza na watu
KWA KUSTAHILI
, Efe 4:1 mtembee kwa kustahili mwito
KWA NDANI
, Ro 7:22 mtu niliye kwa ndani
KWANZA
, Mt 19:30 wa kwanza watakuwa wa mwisho
Mk 9:35 anayetaka kuwa wa kwanza, lazima
KWAZA
, Zb 119:165 sheria, hakuna cha kuwakwaza
Lu 17:2 kuliko amkwaze mmoja wa hawa
1Ko 8:13 chakula kinamkwaza ndugu yangu
Flp 1:10 msiwe mkiwakwaza wengine
KWELI
, Zb 119:160 Kiini cha neno lako ni kweli
Met 23:23 Inunue kweli wala usiiuze
Yoh 4:24 wamwabudu kwa roho na kweli
Yoh 8:32 mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huru
Yoh 14:6 Mimi ndiye njia na kweli na uzima
Yoh 16:13 roho ya kweli, atawaongoza kwenye kweli
Yoh 17:3 wakujue, Mungu wa pekee wa kweli
Yoh 17:17 neno lako ni kweli
Yoh 18:38 Pilato akamuuliza: Kweli ni nini?
2Ko 13:8 kufanya lolote kinyume cha kweli
1Ti 6:19 waushike uzima ulio wa kweli
2Pe 1:12 mko imara katika kweli
3Yo 4 watoto wangu wanatembea katika kweli
L
LAANA
, Hes 23:8 Ninawezaje kuwalaani watu ambao
Yoh 7:49 umati huu ni watu waliolaaniwa
Ro 12:14 muwe mkibariki msiwe mkilaani
LAGHAI
, Law 19:13 Usimlaghai mwenzako
LAINI
, Met 25:15 ulimi laini unaweza kuvunja mfupa
Ro 16:18 hushawishi kwa maneno laini
LALA
, Met 6:10 Lala kidogo, sinzia kidogo
LANGO
, Mt 7:13 Ingieni kupitia lango jembamba
LAWI
, Mal 3:3 atawatakasa wana wa Lawi
LAZARO
, Lu 16:20 akiombaomba aliyeitwa Lazaro
Yoh 11:11 Lazaro amelala usingizi
Yoh 11:43 Lazaro, njoo huku nje!
LAZIMA
, Ro 12:3 asijifikirie kuliko ilivyo lazima kufikiri
LEMAZWA
, Isa 44:8 msilemazwe na woga
LEMEA
, Zb 40:12 Makosa yangu yananilemea
LEMEWA
, Lu 21:34 mioyo yenu isilemewe kamwe
LEWA
, Efe 5:18 msilewe divai
LIA
, Eze 9:4 watie alama wanaolia
LIDIA
, Mdo 16:14 Lidia, muuzaji wa nguo za zambarau
LINDA
, Met 4:23 Ulinde moyo wako kuliko vitu vyote
LINGANISHA
, Isa 46:5 kunilinganisha na nani
Gal 6:4 si kwa kujilinganisha na mtu mwingine
LIPA
, Kut 21:36 lazima alipe
Zb 37:21 Mwovu hukopa lakini halipi
Zb 116:12 Nitamlipa Yehova nini
Ro 12:19 Kisasi ni changu; mimi nitalipa
2Th 1:6 kuwalipa dhiki wanaowasababishia
LIPA KISASI
, Ro 12:19 Wapendwa, msijilipizie kisasi
LIPIZA
, Met 20:22 Usiseme: Nitalipiza uovu!
LISHA
, Yoh 21:17 Lisha kondoo wangu wadogo
LISILOWEZEKANA
, Mwa 18:14 lisilowezekana kwa Yehova?
LITANGAZWE
, Kut 9:16 ili jina langu litangazwe
LOTI
, Lu 17:32 Mkumbukeni mke wa Loti
2Pe 2:7 alimwokoa Loti mwadilifu,
LUGHA
, Mwa 11:7 kuvuruga lugha yao
Sef 3:9 nitabadili lugha ya mataifa iwe lugha safi
Zek 8:23 watu kumi kutoka katika lugha zote
Mdo 2:4 wakaanza kusema lugha mbalimbali
1Ko 13:8 kama kuna lugha, zitakoma
1Ko 14:22 lugha ni ishara kwa wasio waamini
Ufu 7:9 mataifa yote, makabila, na lugha
LUKA
, Kol 4:14 Luka, daktari mpendwa
LULU
, Mt 7:6 msiwatupie nguruwe lulu zenu
Mt 13:45 Ufalme, mfanyabiashara akitafuta lulu
M
MAADILI
, Efe 4:19 wamepotoka kabisa kimaadili
MAADUI
, Zb 110:2 Nenda ukitiisha kati ya maadui wako
MAANDIKO
, Mt 22:29 hamjui Maandiko wala nguvu
Lu 24:32 mioyo ikiwaka alipotufungulia Maandiko
Mdo 17:2 akajadiliana nao akitumia Maandiko
Mdo 17:11 wakiyachunguza Maandiko kwa uangalifu
Ro 15:4 faraja kutoka kwa Maandiko
MABALOZI
, 2Ko 5:20 mabalozi badala ya Kristo
MABAMBA
, Kut 31:18 alimpa Musa mabamba mawili
MABAWA
, Ru 2:12 kimbilio chini ya mabawa yake
MABAYA
, Mwa 3:5 mkijua mema na mabaya
MABIKIRA
, Mt 25:1 Ufalme ni kama mabikira kumi
1Ko 7:25 kuhusu mabikira, sina amri
MABINTI
, Yoe 2:28 mabinti wenu watatoa unabii
Mdo 21:9 mabinti wanne waliotoa unabii
2Ko 6:18 mtakuwa wana na mabinti kwangu
MABWANA
, Mt 6:24 kuwatumikia mabwana wawili
1Ko 8:5 miungu mingi na mabwana wengi
MACHAFUKO
, 1Ko 14:33 Mungu si Mungu wa machafuko
MACHINJIONI
, Isa 53:7 kama kondoo machinjioni
MACHO
, 2Nya 16:9 macho ya Yehova, huku na huku
Zb 115:5 zina macho, lakini haziwezi kuona
Met 15:3 Macho ya Yehova yako kila mahali
MACHOZI
, 2Fa 20:5 Nimeona machozi yako
Zb 6:6 ninakilowesha kitanda changu kwa machozi
Zb 6:6 Kochi langu linafurika machozi
Zb 126:5 wanaopanda mbegu kwa machozi
Mhu 4:1 machozi ya wanaokandamizwa
Mdo 20:19 nilivyomtumikia kwa machozi na
Mdo 20:31 kumwonya kila mmoja kwa machozi
Ebr 5:7 Kristo alitoa maombi kwa machozi
MADENI
, Mt 6:12 utusamehe madeni yetu, kama vile
MADHABAHU
, Mwa 8:20 Noa alijenga madhabahu
Kut 27:1 tengeneza madhabahu kwa mshita
Mt 5:24 acha zawadi mbele ya madhabahu
Mdo 17:23 madhabahu kwa Mungu Asiyejulikana
MADHARA
, Zb 23:4 Siogopi madhara yoyote
Met 27:12 wajinga hupata madhara
Isa 11:9 Hawatasababisha madhara yoyote
MADHEHEBU
, Mdo 28:22 madhehebu, yasemwa vibaya
Tit 3:10 mtu anayeendeleza madhehebu
2Pe 2:1 wataingiza kimyakimya madhehebu
MAELFU
, Ufu 5:11 makumi ya maelfu
MAENDELEO
, Yoh 8:37 neno langu halifanyi maendeleo
Flp 3:16 kadiri ambavyo tumefanya maendeleo
1Ti 4:15 maendeleo yaonekane wazi kwa wote
MAFUTA
, 1Fa 17:16 mafuta hayatakwisha
Mt 25:4 wenye busara walibeba mafuta
Mk 14:4 Kwa nini mafuta haya ya marashi yapotezwe?
MAGARI YA VITA
, Amu 4:13 magari 900 ya vita yenye
2Fa 6:17 magari ya vita kumzunguka Elisha
MAGOGU
, Eze 38:2 dhidi ya Gogu wa nchi ya Magogu
MAGONJWA
, Isa 53:4 aliyabeba magonjwa yetu
Lu 21:11 magonjwa katika sehemu mbalimbali
MAHAKAMA
, Da 7:10 Mahakama ikaketi
Mk 13:9 Watu watawapeleka mahakamani
1Ko 6:6 ndugu anaenda mahakamani kumshtaki ndugu
MAHANGAIKO
, Zb 94:19 Mahangaiko yaliponilemea
Met 12:25 Mahangaiko huulemea moyo
Mk 4:19 mahangaiko na nguvu za udanganyifu
Lu 8:14 wanakengeushwa na mahangaiko
Lu 21:34 mioyo isilemewe na mahangaiko
MAHEKALU
, Mdo 17:24 hakai katika mahekalu
MAHEMA
, Mdo 18:3 kazi yao, kutengeneza mahema
MAHITAJI
, Ro 12:13 Shirikini kulingana na mahitaji yao
MAJALIWA
, Isa 65:11 mungu wa Majaliwa
MAJANI
, Isa 65:25 Simba atakula majani kama ng’ombe
Eze 47:12 majani yake yatatumiwa kuponya
Mt 24:32 matawi yake yanapochipua majani
MAJANI MAKAVU
, 1Ko 3:12 akijenga kwa majani makavu
MAJARIBU
, Mt 6:13 Na usituingize katika majaribu
Mt 26:41 kusali ili msiingie katika majaribu
Lu 22:28 mmeshikamana nami katika majaribu
1Ko 10:13 majaribu ya kawaida kwa watu
Yak 1:2 shangwe, mnapopata majaribu
MAJERAHA
, Met 23:29 Ni nani aliye na majeraha?
Met 27:6 Majeraha yanayosababishwa na rafiki
Isa 53:5 kwa majeraha yake tuliponywa
MAJESHI
, Ufu 19:14 majeshi ya mbinguni yakimfuata
MAJI
, Hes 20:10 maji katika mwamba huu?
Met 20:5 Mawazo ya moyo kama maji yenye kina
Met 25:25 Kama maji baridi kwa nafsi iliyochoka
Isa 55:1 nyote mlio na kiu, njooni kwenye maji
Yer 2:13 Wameniacha, chemchemi ya maji yaliyo hai
Yer 50:38 maji yake yatakaushwa
Zek 14:8 maji yaliyo hai, kutoka Yerusalemu
Yoh 4:10 angekupa maji yaliyo hai
1Ko 3:6 nilipanda, Apolo akatia maji
Ufu 7:17 kuwaongoza kwenye chemchemi za maji
Ufu 17:1 kahaba anayekaa juu ya maji
MAJIJI
, Lu 4:43 habari njema katika majiji mengine
MAJIJI YA MAKIMBILIO
, Hes 35:11 majiji ya makimbilio
Yos 20:2 Jichagulieni majiji ya makimbilio
MAJIRA
, Da 2:21 hubadili nyakati na majira
Mdo 1:7 juu yenu kujua nyakati au majira
1Th 5:1 kuhusu nyakati na majira
MAJIVUNO
, Yak 4:6 Mungu huwapinga wenye majivuno
MAJUMA
, Da 9:24 majuma 70 yameamuliwa
MAKAA YA MAWE
, Ro 12:20 utakusanya makaa ya mawe
MAKABILA
, Mwa 49:28 Hayo ndiyo makabila 12 ya Israeli
MAKAHABA
, Lu 15:30 aliyetumia mali na makahaba
MAKAPI
, Sef 2:2 siku hiyo haijapeperuka kama makapi
MAKEDONIA
, Mdo 16:9 Vuka uingie Makedonia utusaidie
MAKERUBI
, Mwa 3:24 akaweka makerubi na upanga
MAKUBALIANO
, 1Ko 7:5 Msinyimane ila kwa makubaliano
MAKUHANI
, Mik 3:11 Makuhani hufundisha kwa malipo
Mdo 6:7 umati mkubwa wa makuhani wakaamini
Ufu 20:6 makuhani wa Mungu, miaka 1,000
MAKUSANYIKO MATAKATIFU
Law 23:4 sherehe za Yehova, makusanyiko matakatifu
MAKUU
, Ro 12:16 msikazie akili mambo makuu
MALAIKA
, Mwa 28:12 malaika wakipanda na kushuka
2Fa 19:35 malaika aliwaua 185,000
Ayu 4:18 huona malaika wana kasoro
Zb 34:7 Malaika wa Yehova hupiga kambi
Da 3:28 alimtuma malaika wake na kuwaokoa
Ho 12:4 [Yakobo] ashindana na malaika
Mt 13:41 atawatuma malaika zake, watakusanya
Mt 22:30 ni kama malaika mbinguni
Mt 24:31 malaika watawakusanya waliochaguliwa
Mdo 5:19 malaika afungua milango ya gereza
Mdo 12:11 alimtuma malaika na kunikomboa
1Ko 4:9 tamasha kwa malaika
1Ko 6:3 hamjui tutawahukumu malaika?
Ebr 13:2 waliwakaribisha malaika
1Pe 1:12 Malaika wanatamani kuchungulia
Yud 6 malaika hawakubaki mahali pao
MALAIKA MKUU
, 1Th 4:16 kwa sauti ya malaika mkuu
Yud 9 Mikaeli, malaika mkuu
MALALAMIKO
, Kol 3:13 sababu ya kulalamika juu ya
MALI
, Kut 19:5 mtakuwa mali yangu ya pekee
Zb 62:10 Mali zikiongezeka, usizikazie moyoni
Met 11:4 Mali haitakuwa na faida siku ya ghadhabu
Met 18:11 Mali ya tajiri ni ukuta, mawazoni mwake
Mhu 5:10 anayependa mali hatatosheka na mapato
Isa 60:5 Mali za mataifa zitakuja kwako
Isa 61:6 Mtakula mali za mataifa
Lu 14:33 asipoaga mali zake
Lu 16:9 marafiki kupitia mali zisizo za uadilifu
1Ko 6:19 ninyi si mali yenu wenyewe
Ebr 10:34 mkakubali kuporwa mali zenu
MALIPO
, Yer 22:13 anakataa kumlipa malipo yake
MALIZA
, Mdo 20:24 nimalize mwendo wangu na huduma
MALKIA
, 1Fa 10:1 malkia wa Sheba alisikia
MALTA
, Mdo 28:1 kisiwa hicho kiliitwa Malta
MAMA
, Kut 20:12 Mheshimu baba yako na mama yako
Zb 27:10 Hata baba na mama wakiniacha
Met 23:22 usimdharau mama yako kwa kuzeeka
Lu 8:21 Mama yangu na ndugu zangu ni hawa
Yoh 19:27 akamwambia: Ona! Mama yako!
Gal 4:26 Yerusalemu la juu ni mama yetu
MAMBO MADOGO
, Zek 4:10 siku ya mambo madogo
MAMBO MAZITO
, Mt 23:23 mambo mazito zaidi ya Sheria
MAMBO YA MSINGI
, Gal 4:9 mnarudia mambo ya msingi
MAMBO YOYOTE
, Flp 4:8 mambo yoyote ya kweli
MAMLAKA
, Met 28:16 hutumia vibaya mamlaka
Mt 28:18 Nimepewa mamlaka yote
Lu 4:6 Nitakupa mamlaka hii yote na utukufu wake
Ro 13:1 ajitiishe kwa mamlaka zilizo kubwa
1Ko 9:18 nisitumie vibaya mamlaka
Tit 3:1 kuzitii serikali na mamlaka
2Pe 2:10 wanaodharau mamlaka
MANA
, Kut 16:31 Israeli waliuita mkate huo mana
Yos 5:12 Mana ilikoma siku iliyofuata
MANABII
, 1Fa 18:4 Obadia aliwaficha manabii 100
Amo 3:7 huwafunulia manabii wake manabii siri
Mdo 10:43 Manabii wote walitoa ushahidi kumhusu
MANABII WA UWONGO
, Mt 7:15 manabii wa uwongo
Mt 24:11 Manabii wa uwongo watawapotosha wengi
Mk 13:22 manabii wa uwongo watafanya maajabu
MANASE
, 2Nya 33:13 Manase akajua kwamba Yehova
MANENO
, Met 14:23 maneno matupu huleta umaskini
MANENO MENGI
, 1Ko 2:1 sikuja na maneno mengi
MANUFAA
, Kum 8:16 ili awanufaishe baadaye
2Ti 1:13 kigezo cha maneno yenye manufaa
Tit 2:1 yanayopatana na fundisho lenye manufaa
MANUNG’UNIKO
, Hes 14:27 manung’uniko ya Waisraeli
MANYOYA
, Amu 6:37 umande juu ya manyoya pekee
MAOMBI
, Zb 20:5 Yehova na atimize maombi yako
MAOMBOLEZO
, Mhu 7:2 kwenda kwenye maombolezo
MAONI
, 1Fa 18:21 kuyumbayumba kati ya maoni mawili
Ro 14:1 msihukumu kuhusu maoni yanayotofautiana
MAONO
, Da 10:14 maono kuhusu siku zijazo
MAPAJI
, Eze 9:4 uyatie alama mapaji ya nyuso za watu
MAPAMBO
, 1Pe 3:3 Kujipamba kwenu kusiwe kwa nje
MAPATO
, Mhu 5:10 hatatosheka na mapato
MAPENZI
, Zb 40:8 nafurahia kufanya mapenzi yako
Zb 143:10 Nifundishe kufanya mapenzi yako
Mt 6:10 Mapenzi yako yatendeke duniani
Mt 7:21 bali anayefanya mapenzi ya Baba yangu
Lu 22:42 mapenzi yako na yatendeke
Yoh 6:38 sikuja kufanya mapenzi yangu
Mdo 21:14 Mapenzi ya Yehova na yatendeke
Ro 12:2 mapenzi ya Mungu yanayokubalika
Efe 1:5 kulingana na mapenzi yake mema
1Th 4:3 mapenzi ya Mungu, mjiepushe na uasherati
1Yo 2:17 anayefanya mapenzi ya Mungu anadumu
1Yo 5:14 tukiomba kulingana na mapenzi yake
MAPIGO
, Ufu 18:4 ikiwa hamtaki kupokea mapigo yake
MAPOKEO
, Mt 15:3 huvunja amri kwa mapokeo
Mk 7:13 batilisha neno la Mungu kwa mapokeo
Gal 1:14 bidii ya mapokeo ya baba zangu
MAPYA
, Isa 42:9 ninatangaza mambo mapya
MARAFIKI
, Met 14:20 Lakini tajiri ana marafiki wengi
Met 16:28 mchongezi hutenganisha marafiki
Lu 16:9 Jifanyieni marafiki kupitia mali
MARIA 1.
, Mk 6:3 seremala mwana wa Maria
MARIA 2.
, Lu 10:39 Maria alikuwa akisikiliza Bwana
Lu 10:42 Maria alichagua fungu zuri
Yoh 12:3 Maria akachukua mafuta yenye marashi
MARIA 3.
, Mt 27:56 kulikuwa na Maria Magdalene
Lu 8:2 Maria Magdalene, aliyetolewa roho waovu
MARIA 4.
, Mt 27:56 na Maria mama ya Yakobo na Yose
MARIA 5.
, Mdo 12:12 Maria mama ya Yohana Marko
MARKO
, Kol 4:10 Marko, binamu ya Barnaba
MARTHA
, Lu 10:41 Martha, unahangaikia mambo mengi
MASALIO
, Law 19:9 msiokote masalio ya mavuno yenu
Ru 2:8 Boazi, usiokote masalio pengine
MASHAHIDI
, Kum 19:15 ushahidi wa mashahidi wawili
Isa 43:10 Ninyi ni mashahidi wangu
Mt 18:16 ushahidi wa mashahidi wawili au watatu
Mdo 1:8 mtakuwa mashahidi wangu katika
Ufu 11:3 mashahidi wawili watoe unabii siku 1,260
MASHAMBA
, Isa 65:21 mashamba ya mizabibu
Yoh 4:35 mtazame mashamba, ni meupe
MASHARIKI
, Isa 41:2 amemwinua mtu kutoka mashariki
MASHINDANO
, Gal 5:26 tusichochee mashindano
MASHIRIKA.
Angalia SHIRIKIANA.
MASHTAKA
, 1Ko 6:7 mashtaka ya kisheria
MASHUHURI
, 1Ko 1:26 si wengi wa familia mashuhuri
MASIHI
, Da 9:25 mpaka atakapotokea Masihi, Kiongozi
Da 9:26 baada ya majuma 62, Masihi atauawa
Yoh 1:41 Tumempata Masihi
Yoh 4:25 Ninajua kwamba Masihi anakuja
MASIKIO
, 2Ti 4:3 masikio yao yafurahishwe
MASKINI
, 1Sa 2:8 Humwinua maskini kutoka majivu
Zb 9:18 maskini hawatasahauliwa daima
Zb 69:33 Yehova anawasikiliza maskini
Met 30:9 wala niwe maskini, niibe na kuliaibisha
Lu 4:18 niwatangazie maskini habari njema
Yoh 12:8 maskini mnao sikuzote
Ro 7:24 Maskini mimi!
2Ko 6:10 maskini lakini wanaowatajirisha wengi
2Ko 8:9 Kristo alikuwa maskini kwa ajili yenu
Gal 2:10 tuwakumbuke maskini
MASURIA
, 1Fa 11:3 wake 700 na masuria 300
MASWALI
, 1Ti 1:4 hutokeza maswali
MATAIFA
, Mwa 22:18 mataifa yote yatajipatia baraka
Mt 25:32 Mataifa yote yatakusanyika mbele yake
Lu 21:24 nyakati zilizowekwa za mataifa zitimie
MATAJIRI
, Law 19:15 usiwapendelee matajiri
Lu 14:12 Unapoandaa mlo usiwaite matajiri
1Ti 6:9 wameazimia kuwa matajiri huanguka
1Ti 6:17 walio matajiri wasijivune
MATARAJIO
, Met 13:12 Matarajio yaliyoahirishwa
Hab 2:3 Hata yakikawia, endelea kuyatarajia!
Lu 3:15 watu walikuwa wakitarajia
Lu 21:26 watazimia kwa woga wakitarajia mambo
MATATIZO
, Zb 34:19 Mwadilifu ana matatizo mengi
MATENDO YALIYOKUFA
, Ebr 9:14 matendo yaliyokufa
MATESO
, Zb 119:50 faraja yangu katika mateso
Mt 13:21 mateso yakitokea mara moja anakwazika
Mk 4:17 wanapopata mateso, wanakwazika
Mk 10:30 watoto, mashamba, pamoja na mateso
Ro 8:18 mateso ya wakati huu si kitu
2Th 1:4 uvumilivu na imani yenu katika mateso
Ebr 2:10 Wakili Mkuu, mkamilifu kupitia mateso
1Pe 5:9 mateso yaleyale yanaupata ushirika
MATITI
, Met 5:19 Matiti yake na yakuridhishe
MATOFAA
, Met 25:11 matofaa ya dhahabu
MATOKEO
, Isa 46:10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo
Isa 55:11 neno langu halitarudi bila matokeo
MATOLEO
, 1Nya 29:9 walishangilia, walitoa matoleo
MATOWASHI
, Isa 56:4 matowashi, wanaoshika sabato
Mt 19:12 matowashi kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni
MATUNDA
, Mwa 3:3 matunda, wala msiyaguse
Mt 7:20 mtawatambua kwa matunda yao
Mt 21:43 kupewa taifa linalozaa matunda
Lu 8:15 kuzaa matunda kwa uvumilivu
Yoh 15:2 hulisafisha ili lizae matunda zaidi
Yoh 15:8 hutukuzwa mnapozaa matunda mengi
Ro 8:23 sisi tulio na matunda ya kwanza
MATUSI
, Efe 4:31 ghadhabu, kufoka, na matusi
MAUMBILE
, Yud 7 tamaa zilizo kinyume cha maumbile
MAUMIVU
, Ayu 6:2 maumivu yangu yangepimwa
Met 17:25 Mwana mpumbavu huleta maumivu
Ro 8:22 uumbaji unaugua katika maumivu
Ro 9:2 huzuni na maumivu yasiyoisha moyoni
MAUMIVU MAKALI
, Lu 21:25 mataifa, maumivu makali
MAVAZI
, Mwa 3:21 Mungu akatengeneza mavazi marefu
Efe 6:11 mavazi kamili ya silaha
MAVAZI KAMILI
, Efe 6:13 mavazi kamili ya silaha
MAVUMBI
, Mwa 2:7 akamuumba kwa mavumbi
Mwa 3:19 wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini
Zb 103:14 Akikumbuka kwamba sisi ni mavumbi
Isa 40:15 Mataifa ni kama mavumbi membamba
MAVUNO
, Mt 9:37 mavuno ni mengi
MAWAZO
, Zb 26:2 Safisha mawazo yangu ya ndani
Zb 139:17 mawazo yako ni yenye thamani
Zb 146:4 Siku hiyo mawazo yake hupotea
Met 20:5 Mawazo moyoni kama maji yenye kina
Isa 55:8 mawazo yangu si mawazo yenu
MAWE
, Lu 19:40 wakinyamaza, mawe yatapaza sauti
MAWINGU
, Mhu 11:4 anayetazama mawingu hatavuna
Mt 24:30 Mwana wa binadamu akija juu ya mawingu
MAYATIMA
, Yak 1:27 kuwatunza mayatima na wajane
MAYUNGIYUNGI
, Lu 12:27 Angalieni mayungiyungi
MAZIWA
, Kut 3:8 nchi inayotiririka maziwa na asali
Isa 60:16 utakunywa maziwa ya mataifa
Ebr 5:12 mnahitaji maziwa tena
1Pe 2:2 hamu kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa
MAZOEA
, 1Yo 3:6 hana mazoea ya dhambi
MAZOEZI
, 1Pe 5:10 Mungu atamaliza mazoezi yenu
MBEGU
, Lu 8:11 Mbegu ni neno la Mungu
MBINGU
, Zb 8:3 Ninapoziona mbingu zako
Zb 19:1 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu
Yoh 3:13 hakuna mtu aliyepanda mbinguni
2Ko 12:2 alinyakuliwa mpaka mbingu ya tatu
2Pe 3:13 tunangojea mbingu mpya na dunia mpya
MBINU
, 2Ko 2:11 hatukosi kuzijua mbinu zake
MBIO
, Mhu 9:11 si wenye mbio wanaoshinda mbio
2Ti 4:7 nimekimbia mbio mpaka mwisho
MBONI
, Zb 17:8 Nilinde kama mboni ya jicho lako
Zek 2:8 anaigusa mboni ya jicho langu
MBUZI
, Mt 25:32 anavyotenganisha kondoo na mbuzi
MBWA
, Met 26:17 mtu anayemkamata mbwa masikio
Mhu 9:4 mbwa aliye hai ni afadhali kuliko
2Pe 2:22 Mbwa ameyarudia matapishi yake
MBWAMWITU
, Isa 11:6 Mbwamwitu atakaa na
Mt 7:15 mbwamwitu katika mavazi ya kondoo
Lu 10:3 wanakondoo katikati ya mbwamwitu
Mdo 20:29 mbwamwitu wenye kukandamiza
MBWEHA
, Mt 8:20 Mbweha wana mapango, lakini
MCHANGA
, Mwa 22:17 uzao wako kama mchanga
Ufu 20:8 Idadi yao, mchanga wa bahari
MCHANGAMFU
, 2Ko 9:7 mtoaji mchangamfu
MCHEZO
, Met 10:23 kama mchezo kwa mpumbavu
MCHONGEZI
, Met 16:28 mchongezi hutenganisha
MCHOYO
, Met 23:6 Usile chakula cha mtu mchoyo
MCHUNGAJI
, Zb 23:1 Yehova ni Mchungaji wangu
Isa 40:11 Atalitunza kundi kama mchungaji
Eze 37:24 Daudi mchungaji mmoja
Zek 13:7 Mpige mchungaji, kondoo watawanyike
Mt 9:36 kama kondoo wasio na mchungaji
Yoh 10:11 mchungaji mwema huutoa uhai wake
Yoh 10:14 Mimi ndiye mchungaji mwema
Yoh 10:16 kundi moja, mchungaji mmoja
MDOGO
, Isa 60:22 Mdogo atakuwa elfu
Lu 9:48 anayejiendesha kama mdogo zaidi
MELI
, 2Ko 11:25 mara tatu nilivunjikiwa na meli
MELKIZEDEKI
, Mwa 14:18 Melkizedeki mfalme wa
Zb 110:4 kuhani milele mfano wa Melkizedeki
MEMA
, Mwa 3:5 kama Mungu, mkijua mema na mabaya
Gal 6:10 tuwatendee watu wote mema
MENGI
, 1Ko 15:58 mkiwa na mengi katika kazi ya Bwana
MEZA
, Da 11:27 kwenye meza moja wakidanganyana
1Ko 10:21 kushiriki meza ya Yehova na
MFALME
, Amu 21:25 hakukuwa na mfalme Israeli
1Sa 23:17 utakuwa mfalme, nami nitakuwa wa pili
Zb 2:6 nimemweka mfalme wangu
Met 21:1 Moyo wa mfalme ni kama vijito
Isa 32:1 Mfalme atatawala kwa uadilifu
Zek 14:9 Yehova atakuwa Mfalme juu ya dunia yote
Mt 21:5 Mfalme wako anakuja, juu ya punda
Mt 27:29 Salamu, ewe Mfalme wa Wayahudi!
Yoh 19:15 hatuna mfalme ila Kaisari
1Ko 15:25 lazima atawale akiwa mfalme mpaka
MFALME WA KASKAZINI
, Da 11:7 mfalme wa kaskazini
Da 11:40 mfalme wa kaskazini atamshambulia
MFALME WA KUSINI
, Da 11:11 mfalme wa kusini
Da 11:40 mfalme wa kusini atasukumana naye
MFANO
, Mwa 1:26 tumuumbe mtu kwa mfano wetu
1Ti 4:12 uwe mfano mzuri kwa waaminifu
Yak 5:10 fuateni mfano wa manabii
MFANYABIASHARA
, Mt 13:45 mfanyabiashara, lulu
MFANYAKAZI
, Met 8:30 kando yake, mfanyakazi stadi
Lu 10:7 mfanyakazi anastahili mshahara wake
MFINYANZI
, Isa 64:8 nawe ni Mfinyanzi wetu
Ro 9:21 je, mfinyanzi hana mamlaka
MFUASI
, Mt 19:21 uje uwe mfuasi wangu
MFUPA
, Mwa 2:23 huyu ni mfupa wa mifupa yangu
Met 25:15 ulimi laini unaweza kuvunja mfupa
Yoh 19:36 Hakuna mfupa utakaovunjwa
MGAWANYIKO
, Mt 10:35 nilikuja kuleta mgawanyiko
MGENI
, Hes 9:14 sheria moja kwa mgeni na mwenyeji
Zb 15:1 nani atakuwa mgeni katika hema lako?
MGONJWA
, Isa 33:24 atakayesema: Mimi ni mgonjwa
Yak 5:14 kuna yeyote aliye mgonjwa
MGUMU
, Ebr 3:13 asifanywe mgumu na dhambi
MHUBIRI
, 2Pe 2:5 Noa, mhubiri wa uadilifu
MHUDUMU
, 1Sa 2:11 akawa mhudumu wa Yehova
Mk 10:43 mkubwa kati yenu awe mhudumu
MIAKA 50
, Law 25:10 Mwadhimisho wa Miaka 50
MIANGA
, Flp 2:15 mnaangaza kama mianga
MICHANGO
, 2Nya 31:10 walipoanza kuleta michango
MIDOMO
, Met 10:19 anayedhibiti midomo ana busara
Isa 29:13 huniheshimu kwa midomo yao
Ho 14:2 tutatoa sifa ya midomo yetu
Ebr 13:15 dhabihu ya sifa, tunda la midomo
MIFANO
, Mt 13:34 Yesu alizungumza kwa mifano
Mk 4:2 akaanza kuwafundisha kwa mifano
MIFUGO
, Isa 30:23 mifugo yenu italisha malisho
MIFUPA
, 2Fa 13:21 aliyegusa mifupa ya Elisha
Zb 34:20 Atailinda mifupa yake
Yer 20:9 kama moto uliofungiwa mifupani mwangu
MIGAWANYIKO
, Ro 16:17 wanaosababisha migawanyiko
1Ko 1:10 kusiwe na migawanyiko kati yenu
MIGUMU
, Mk 3:5 akuhuzunishwa na mioyo migumu
MIGUU
, Isa 52:7 inavyopendeza miguu ya anayeleta
Yoh 13:5 akaanza kuiosha miguu ya wanafunzi
Ro 16:20 atamponda Shetani chini ya miguu yenu
MIIBA
, Mk 15:17 wakasokota taji la miiba wakamvisha
MIILI
, Ro 6:13 toeni miili yenu kwa Mungu
Ro 12:1 mtoe miili yenu iwe dhabihu iliyo hai
MIKAELI
, Da 10:13 Mikaeli, mmoja wa wakuu wenye vyeo
Da 12:1 Wakati huo Mikaeli atasimama
Ufu 12:7 Mikaeli na malaika zake wakapigana
MIKONO
, Isa 35:3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu
MIKONO MITUPU
, Kum 16:16 kuja mikono mitupu
MILANGO
, Yoh 20:19 akaja milango ikiwa imefungwa
MILELE
, Mwa 3:22 ili asile matunda na kuishi milele
Zb 37:29 Waadilifu wataishi duniani milele
Mhu 3:14 kazi za Mungu zitadumu milele
1Pe 1:25 neno la Yehova linadumu milele
MILIMA
, Mwa 7:20 Maji yalipanda juu ya milima
MIMBA
, Kut 21:22 kumuumiza mwenye mimba
Kut 23:26 hakuna mimba itakayoharibika
1Th 5:3 maumivu ya mwanamke mwenye mimba
MINA
, Lu 19:16 mina yako imeleta faida ya mina kumi
MIOYO
, Met 17:3 Yehova ndiye mchunguzaji wa mioyo
Lu 12:34 ilipo hazina yenu, ndipo mioyo itakapokuwa
Lu 21:34 mioyo yenu isilemewe kamwe
Lu 24:32 mioyo yetu iliwaka akizungumza nasi
1Yo 3:20 Mungu ni mkuu kuliko mioyo
MIPAKA
, 1Th 4:6 yeyote asivuke mipaka inayofaa
MIPANGO
, Met 15:22 Mipango huvunjika
Met 19:21 Moyo wa mwanadamu una mipango mingi
MIRIAMU
, Hes 12:1 Miriamu na Haruni dhidi ya Musa
MISHALE
, Zb 127:4 Kama mishale mkononi mwa
MISRI
, Mt 2:15 Nikamwita mwanangu atoke Misri
MITI
, Isa 61:3 wataitwa miti mikubwa ya uadilifu
Eze 47:12 Aina zote za miti kwenye kingo zote
Ufu 22:14 mamlaka kwenda kwenye miti ya uzima
MITUME
, Mt 10:2 majina ya wale mitume 12
Mdo 15:6 mitume na wazee wakakusanyika kulichunguza
1Ko 15:9 mimi ni mdogo zaidi kati ya mitume
2Ko 11:5 mitume wenu walio bora sana
MIZANI
, Law 19:36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi
Met 11:1 Mizani ya uwongo humchukiza Yehova
MIZIGO
, Gal 6:2 kubebeana mizigo
MIZIZI
, Lu 8:13 hupokea kwa shangwe, hawana mizizi
Kol 2:7 mkiwa mmetia mizizi na kujengwa
MJANE
, Zb 146:9 Humtegemeza yatima na mjane
Mk 12:43 mjane maskini ametoa zaidi ya wote
Lu 18:3 mjane aliyekuwa akienda kumwomba
MJINGA
, Met 14:15 Mjinga huamini kila neno
MJUMBE
, Mal 3:1 Ninamtuma mjumbe wangu
MKAAJI MGENI
, Kut 22:21 Msimtese mkaaji mgeni
Kum 10:19 lazima mumpende mkaaji mgeni
MKAMILIFU
, Mt 5:48 Baba yenu alivyo mkamilifu
Ebr 2:10 Wakili Mkuu mkamilifu kupitia mateso
MKARIMU
, Met 11:25 mkarimu atapata ufanisi
MKATE
, Ne 9:15 uliwapa mkate kutoka mbinguni
Zb 37:25 wala watoto wake wakitafuta mkate
Isa 55:2 kwa nini mlipie kitu ambacho si mkate
Mt 4:4 Mwanadamu hataishi kwa mkate tu
Mt 6:11 Utupatie leo mkate wetu
Mt 26:26 Yesu akachukua mkate, akaumega
Yoh 6:35 Mimi ndio mkate wa uzima
1Ko 10:17 mkate mmoja, tunakula mkate huo
MKATILI
, Met 11:17 mtu mkatili hujiletea shida
Met 12:10 rehema ya waovu ni ukatili
MKAZO
, 1Sa 1:15 mwanamke mwenye mkazo mkubwa
2Ko 1:8 Tulikuwa na mkazo mkubwa sana
MKE
, Mwa 2:24 atashikamana na mke wake
Mwa 27:46 Yakobo akioa mke kwa mabinti
Met 5:18 shangilia na mke wa ujana wako
Met 12:4 Mke mwema ni taji kwa mume wake
Met 18:22 Anayepata mke mwema hupata kibali
Met 21:19 Kuliko kuishi na mke mgomvi
Met 31:10 nani anaweza kumpata mke mwema
Mhu 9:9 Furahia maisha na mke mpendwa
Mal 2:15 usimtendee hila mke wa ujana wako
1Ko 7:2 kila mwanamume na awe na mke wake
1Ko 9:5 kuambatana na mke mwamini
MKONO
, Zb 145:16 Unaufumbua mkono wako
Isa 41:10 Nitakushika kwa mkono wangu wa kuume
Zek 14:13 ataukamata mkono wa mwenzake, na mkono
Mt 6:3 mkono wa kushoto usijue mkono wa kulia
Mt 6:27 kurefusha uhai kwa mkono mmoja?
Yoh 12:38 mkono wa Yehova, umefunuliwa kwa nani?
MKOPAJI
, Met 22:7 mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji
MKOPO
, Met 11:15 anayemwekea dhamana ya mkopo
MKUKI
, 1Sa 18:11 akamrushia Daudi mkuki
MKUSANYA KODI
, Mt 18:17 awe kama mkusanya kodi
Lu 18:11 nakushukuru mimi si kama mkusanya kodi
MKUU
, Isa 9:6 Jina lake litakuwa Mkuu wa Amani
Da 10:13 mkuu wa Uajemi alinipinga siku 21
Yoh 14:28 Baba ni mkuu kuliko mimi
1Yo 3:20 Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu
MLANGO
, 1Ko 16:9 mlango mkubwa unaoongoza
Ufu 3:20 Nimesimama mlangoni na ninapiga hodi
MLEVI
, Met 23:21 mlevi na mlafi watakuwa maskini
1Ko 5:11 mwache kushirikiana na mlevi
MLIMA
, Zb 24:3 kuupanda mlima wa Yehova
Isa 2:3 twendeni kwenye mlima wa Yehova
Isa 11:9 Wala uharibifu katika mlima wangu
Da 2:35 likawa mlima mkubwa, likaijaza dunia
MLIMA WA MIZEITUNI
, Lu 22:39 Mlima wa Mizeituni
Mdo 1:12 Mlima wa Mizeituni, Yerusalemu
MLIPENI
, Mt 22:21 mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari
MLO WA JIONI
, 1Ko 11:20 Mlo wa Jioni wa Bwana
MLOZI
, Mdo 13:6 Bar-Yesu, aliyekuwa mlozi
MMOJA
, 1Ko 8:6 Mungu mmoja, Bwana mmoja, Kristo
MMUNG’UNYE
, Yon 4:10 Uliuhurumia mmung’unye
MNARA
, Mwa 11:4 tujijengee jiji na mnara
Met 18:10 Jina la Yehova, mnara wenye nguvu
Lu 13:4 18 walioangukiwa na mnara, Siloamu
MNARA WA MLINZI
, Isa 21:8 juu ya mnara wa mlinzi
MNYAMA
, Mwa 7:2 chukua wanyama safi saba saba
Law 18:23 kufanya ngono na mnyama
MNYENYEKEVU
, Zek 9:9 mnyenyekevu juu ya punda
MOTO
, Yer 20:9 kama moto mifupani mwangu
Mt 25:41 moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi
1Ko 3:13 kazi itafunuliwa kupitia moto
1Th 5:19 Msiuzime moto wa roho
2Ti 1:6 chochea kama moto zawadi iliyo ndani yako
2Pe 3:7 mbingu, dunia zimewekwa kwa ajili ya moto
MOYO
, Mwa 6:5 kila mwelekeo wa moyo wake
Kum 6:6 Maneno haya yawe moyoni mwako
1Fa 8:38 anajua mateso yaliyo katika moyo wake
1Nya 28:9 kumtumikia Mungu kwa moyo kamili
2Nya 16:9 moyo wao ni kamili kumwelekea
Ezr 7:10 Ezra aliutayarisha moyo wake
Zb 51:10 Umba moyo safi ndani yangu
Zb 51:17 Moyo uliovunjika na kupondeka hutaukataa
Met 4:23 Ulinde moyo wako, humo ndimo zinamotoka
Met 17:22 Moyo wenye shangwe ni dawa nzuri
Met 28:26 anayeutumaini moyo wake ni mpumbavu
Yer 17:9 Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine
Yer 17:10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo
Yer 31:33 nitaiandika sheria katika moyo wao
Mt 15:19 moyoni hutoka uzinzi, uasherati, wizi
Mt 22:37 Yehova Mungu wako kwa moyo wote
Mdo 16:14 akaufungua moyo wake asikilize Paulo
Ro 6:17 mmekuwa watiifu kutoka moyoni
Ebr 3:12 moyo mwovu unaokosa imani usisitawi
MPAJI-SHERIA
, Yak 4:12 Kuna mmoja tu Mpaji-sheria
MPAKA
, Zb 119:96 amri yako haina mpaka
MPANGILIO
, 1Ko 15:23 mpangilio wake unaofaa: Kristo
MPANGO
, 1Ko 14:40 kwa adabu na mpango
MPATANISHI
, 1Ti 2:5 mpatanishi kati ya Mungu na
MPENDWA
, Mt 3:17 Mwanangu mpendwa
MPIGA RAMLI
, Kum 18:11 mpiga ramli
MPOLE
, 2Ti 2:24 anahitaji kuwa mpole kwa wote
MPUMBAVU
, Zb 14:1 Mpumbavu: Hakuna Yehova
Lu 12:20 Wewe mpumbavu, usiku huu
MPYA
, Yoh 13:34 Ninawapa ninyi amri mpya
Ufu 21:1 mbingu mpya na dunia mpya
MSAADA
, Zb 46:1 Msaada unaopatikana kwa urahisi
MSAFISHAJI
, Mal 3:3 kama msafishaji na mtakasaji
MSAIDIZI
, Yoh 14:16 atawapa msaidizi mwingine
Yoh 14:26 msaidizi, roho takatifu, itawafundisha
MSAMARIA
, Lu 10:33 Msamaria akamsikitikia
Yoh 4:7 Mwanamke Msamaria akaja kuteka maji
MSHAHARA
, Mwa 31:7 kubadili mshahara mara kumi
Ro 6:23 mshahara wa dhambi ni kifo
MSHAURI
, Isa 9:6 Jina lake litakuwa Mshauri wa Ajabu
MSHIKAMANIFU
, 2Sa 22:26 Kwa mshikamanifu
Zb 16:10 Hutamruhusu mshikamanifu aone shimo
MSHIPI
, Isa 11:5 Uadilifu utakuwa mshipi
MSHTAKI
, Ufu 12:10 mshtaki wa ndugu zetu ametupwa
MSIBA
, Hes 23:23 ishara za msiba dhidi ya Yakobo
MSICHANA
, 2Fa 5:2 walimchukua mateka msichana
Mk 5:42 msichana akasimama akaanza kutembea
MSIFUNI YAH
, Zb 146:1 Msifuni Yah! Nafsi yangu yote
Zb 150:6 Kila kitu kinachopumua—Msifuni Yah
Ufu 19:1 umati mbinguni ukasema: Msifuni Yah!
MSIMAMIZI
, Lu 12:42 ni nani msimamizi mwaminifu
MSINGI
, Mt 25:34 uliotayarishwa tangu kuwekwa msingi
Lu 6:48 kuweka msingi kwenye mwamba
Ro 15:20 nisijenge juu ya msingi wa mtu mwingine
1Ko 3:11 hakuna msingi wowote zaidi ya
1Pe 5:10 Mungu atawapa msingi imara
MSINYIMANE
, 1Ko 7:5 Msiwe mkinyimana
MTAKATIFU
, Ufu 4:8 Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu
MTAWALA
, Da 4:17 Aliye Juu Zaidi ni Mtawala
Yoh 12:31 mtawala wa ulimwengu huu atatupwa nje
Yoh 14:30 mtawala wa ulimwengu anakuja
MTAZAMO
, Efe 6:7 mtazamo mzuri, kama kwa Yehova
Flp 2:5 mtazamo wa akili aliokuwa nao Kristo
MTEGO
, Zb 91:3 mtego wa mwindaji wa ndege
Met 29:25 Kuwaogopa wanadamu ni mtego
Lu 21:34, 35 siku ile iwakute ghafla kama mtego
MTENDA DHAMBI
, Lu 15:7 mtenda dhambi anapotubu
Lu 18:13 Mungu, nihurumie mimi mtenda dhambi
MTHAWABISHAJI
, Ebr 11:6 huwa mthawabishaji wa
MTI
, Mwa 2:9 mti wa ujuzi wa mema na mabaya
Mwa 2:9 mti wa uzima katikati ya bustani
Zb 1:3 kama mti uliopandwa kando ya maji
Da 4:14 Ukateni na kuuangusha mti huu
Mk 15:25 wakamtundika kwenye mti
Lu 23:21 Atundikwe mtini!
Gal 3:13 Amelaaniwa aliyetundikwa kwenye mti
Ufu 2:7 ruhusa kula matunda ya mti wa uzima
MTIIFU
, 1Fa 3:9 mpe mtumishi wako moyo mtiifu
Flp 2:8 alijinyenyekeza na kuwa mtiifu mpaka kifo
MTINI
, 1Fa 4:25 kwa usalama, chini ya mtini wake
Mik 4:4 Wataketi kila mtu chini ya mtini wake
Mt 21:19 Mara moja ule mtini ukanyauka
Mk 13:28 jifunzeni kutokana na mtini
MTI WA MATESO
, Mt 10:38 mti wa mateso
Lu 9:23 aubebe mti wa mateso na kunifuata
MTO
, Ufu 12:16 dunia ikaumeza mto
Ufu 22:1 mto wa maji ya uzima
MTOTO
, Kum 7:14 hakuna atakayekosa mtoto
Amu 13:8 atufundishe jinsi ya kumlea mtoto
Lu 9:47 akachukua mtoto na kumsimamisha
1Ko 13:11 nikifikiri kama mtoto, nikiwaza kama mtoto
MTUKUFU
, Mdo 24:3 ewe Mtukufu Feliksi
MTUMISHI
, Isa 42:1 Mtumishi wangu, ninayemtegemeza!
MTUMWA
, Met 22:7 mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji
Mt 24:45 mtumwa mwaminifu mwenye busara
Mt 25:21 Vema, mtumwa mwema na mwaminifu
Yoh 8:34 anayetenda dhambi ni mtumwa
Flp 2:7 akachukua umbo la mtumwa
MUDA
, Zb 30:5 hasira yake ni ya muda mfupi
Isa 26:20 Jificheni kwa muda mfupi
Ebr 11:13 walikuwa wakaaji wa muda
Ebr 11:25 kufurahia dhambi kwa muda
MUHIMU
, Flp 1:10 mhakikishe mambo muhimu zaidi
MUHURI
, Wim 8:6 Niweke kama muhuri moyoni
Da 12:9 maneno yatiwe muhuri mpaka mwisho
2Ko 1:22 ametia muhuri juu yetu, rehani
Efe 1:13 Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri
Ufu 7:3 hadi tuwatie muhuri watumwa
MUME
, 1Ko 7:2 kila mwanamke awe na mume wake
1Ko 7:14 mume asiyeamini hutakaswa na mke wake
MUNGU
, Kum 10:17 Yehova Mungu ni wa miungu
Mt 27:46 Mungu wangu, kwa nini umeniacha?
Yoh 1:18 Hakuna mwanadamu amemwona Mungu
Yoh 17:3 wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli
Yoh 20:17 Ninapanda kwa Mungu wangu na Mungu
1Ko 8:4 hakuna Mungu isipokuwa mmoja
2Ko 4:4 mungu wa mfumo huu wa mambo
Efe 4:6 Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote
1Yo 4:8 Mungu ni upendo
MUSA
, Hes 12:3 Musa alikuwa mpole zaidi kuliko wote
Zb 106:32 mambo yakamwendea Musa vibaya
Mdo 7:22 Musa, mwenye nguvu katika maneno
2Ko 3:7 hawakuweza kutazama uso wa Musa
MUUAJI
, Yoh 8:44 Alikuwa muuaji alipoanza
MUUMBA
, Mhu 12:1 mkumbuke Muumba wako
MUZIKI.
Angalia NYIMBO.
MVI
, Met 16:31 Mvi ni taji la umaridadi
MVIVU
, Met 6:6 Mwendee chungu, ewe mvivu
Met 10:26 moshi machoni, ndivyo mtu mvivu
Met 19:24 Mvivu hutumbukiza mkono katika bakuli
Met 20:4 Mvivu halimi katika majira ya baridi
Mt 25:26 Mtumwa mwovu na mvivu
MVUA
, Mwa 7:12 mvua ikamwagika kwa siku 40
Kum 11:14 nitawapa mvua ya vuli na ya
Kum 32:2 Mafundisho yatanyesha kama mvua
Isa 55:10 kama mvua na theluji inavyomwagika
Mt 5:45 mvua juu ya waadilifu na wasio waadilifu
MVULANA
, Met 22:6 Mzoeze mvulana njia anayopaswa
Isa 11:6 mvulana mdogo atawaongoza
Yer 1:7 Usiseme, Mimi ni mvulana tu
MWADILIFU
, Mwa 15:6 akamhesabu kuwa mwadilifu
Zb 34:19 Mwadilifu ana matatizo mengi
Zb 37:25 sijamwona mwadilifu akiwa ameachwa
Zb 72:7 Katika siku zake mwadilifu atasitawi
Zb 141:5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa
Met 24:16 mwadilifu anaweza kuanguka mara saba
MWAFIKIRIE
, 1Th 5:13 mwafikirie kwa njia inayozidi
MWAGA
, Zb 62:8 Mwageni mioyo yenu mbele zake
MWAKA
, Hes 14:34 siku 40, siku moja kwa mwaka
MWAKILISHI
, Yoh 7:29 mimi ni mwakilishi kutoka kwake
MWAMBA
, Kum 32:4 Mwamba, kazi zake ni kamilifu
Mt 7:24 aliyejenga nyumba kwenye mwamba
MWAMINIFU
, Lu 16:10 mwaminifu katika lililo dogo
1Ko 4:2 kinachotarajiwa ni kupatwa wakiwa waaminifu
1Ko 10:13 Mungu ni mwaminifu
Ufu 2:10 Uwe mwaminifu hata kufikia kifo
MWAMUZI
, Isa 33:22 Yehova ni Mwamuzi wetu, Mfalme
Lu 18:2 mwamuzi ambaye hakumwogopa Mungu
MWANA
, Zb 2:12 Mheshimuni mwana wa Mungu
Met 13:24 anayeizuia fimbo anamchukia mwanawe
Met 15:20 Mwana mwenye hekima humfurahisha
Mt 3:17 Huyu ni Mwanangu, mpendwa
Lu 15:13 mwana mdogo aharibu mali yake
MWANADAMU
, Zb 8:4 Mwanadamu anayeweza kufa
MWANAJESHI
, 2Ti 2:4 mwanajeshi hajihusishi katika
MWANAKONDOO
, 2Sa 12:3 mwanakondoo mmoja tu
Yoh 1:29 Ona, Mwanakondoo wa Mungu
MWANAMKE
, Mwa 3:15 uadui kati yako na mwanamke
Mhu 7:26 Mwanamke anayetia uchungu kuliko kifo
Ufu 12:1 Mwanamke aliyepambwa jua
MWANAMUME
, Law 20:13 Mwanamume akilala na
MWANASIMBA
, Zb 91:13 Utamkanyaga mwanasimba na
MWANA WA BINADAMU
, Da 7:13 mwana wa binadamu
Mt 10:23 kabla Mwana wa binadamu kufika
Lu 21:27 Mwana wa binadamu katika mawingu
MWANGALIZI
, 1Ti 3:1 anajitahidi kuwa mwangalizi
1Pe 2:25 mchungaji na mwangalizi wa nafsi zenu
MWANZO
, Isa 46:10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo
Zek 4:10 dharau siku inayoanza kwa mambo madogo
Mt 24:8 hayo yote ni mwanzo wa maumivu
MWASI IMANI
, Met 11:9 mwasi imani humwangamiza
MWEKUNDU
, Mwa 25:30 nipe mchuzi mwekundu
MWELEKEO
, Mwa 8:21 mwelekeo ni mbaya tangu ujana
1Nya 28:9 Mungu hutambua kila mwelekeo wa fikira
Flp 2:20 sina mwingine aliye na mwelekeo kama
MWELEKEZO
, Met 11:14 Mwelekezo stadi
MWEMA
, Ro 5:7 anaweza kufa kwa ajili ya mtu mwema
MWENDO
, Mwa 33:14 mwendo wa mifugo na watoto
Yoe 2:7 Kila mmoja anafuata mwendo wake
Mdo 20:24 nimalize mwendo wangu na huduma
MWENENDO
, Gal 6:16 kanuni hii ya mwenendo
1Pe 2:12 Dumisheni mwenendo mzuri kati ya mataifa
1Pe 3:1 wavutwe bila neno kupitia mwenendo
1Pe 3:16 waaibishwe kwa mwenendo wenu mzuri
MWENENDO MPOTOVU
, Gal 5:19 mwenendo mpotovu
2Pe 2:7 Loti aliyetaabishwa na mwenendo mpotovu
MWENEZA-INJILI
, Mdo 21:8 Filipo mweneza-injili
2Ti 4:5 fanya kazi ya mweneza-injili
MWENYE ENZI KUU
, Zb 73:28 Mwenye Enzi Kuu kimbilio
Mdo 4:24 Mwenye Enzi Kuu uliumba
MWEPESI
, Yak 1:19 si mwepesi wa kusema
MWEREVU
, Met 12:23 mwerevu hufunika mambo
Met 14:15 mwerevu hutafakari kila hatua
Met 22:3 mwerevu huona hatari na kujificha
MWEZI
, Yoe 2:31 mwezi utatiwa damu
Lu 21:25 ishara katika jua na mwezi na nyota
MWIBA
, 2Ko 12:7 nilipewa mwiba katika mwili
MWILI
, Mwa 2:24 watakuwa mwili mmoja
Ayu 33:25 Mwili wake na uwe na afya kuliko ujana
Mt 10:28 msiwaogope wale wanaoua mwili
Mt 26:26 Chukueni mle. Huu unamaanisha mwili wangu
Ro 8:5 wanaoishi kulingana na mwili hukaza
1Ko 7:4 hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mke
1Ko 12:18 Mungu amepanga kila kiungo cha mwili
1Ko 15:44 Hupandwa ukiwa mwili wa nyama
Gal 5:19 matendo ya mwili huonekana wazi
Flp 3:21 ataugeuza mwili wetu wa hali ya chini
MWINDAJI
, Zb 91:3 mtego wa mwindaji wa ndege
MWISHO
, Isa 2:2 Katika siku za mwisho
Mt 24:14 ndipo ule mwisho utakapokuja
Yoh 13:1 Yesu aliwapenda walio wake mpaka mwisho
2Ti 4:7 nimekimbia mbio mpaka mwisho
MWITO
, Efe 4:1 mtembee kwa kustahili mwito
MWIZI
, Met 6:30 mwizi akiiba anapokuwa na njaa
Met 29:24 Rafiki ya mwizi hujichukia
Mt 24:43 angejua mwizi atakuja kesha gani
1Th 5:2 siku inakuja kama mwizi usiku
MWOKOZI
, 2Sa 22:3 kimbilio langu, mwokozi wangu
Mdo 5:31 alimwinua Wakili Mkuu na Mwokozi
MWONGO
, Zb 101:7 mwongo hatasimama mbele yangu
Met 19:22 afadhali kuwa maskini kuliko mwongo
Yoh 8:44 Ibilisi ni mwongo, baba ya uwongo
MWONGOZO
, 1Nya 28:12 ramani kupitia mwongozo wa
MWOVU
, Met 29:2 mwovu anapotawala, watu hulia
Isa 26:10 mwovu akionyeshwa kibali, hatajifunza
1Yo 5:19 ulimwengu katika nguvu za mwovu
MYAHUDI
, Zek 8:23 watashika joho la Myahudi
1Ko 9:20 Kwa Wayahudi nilikuwa kama Myahudi
MZABIBU
, Mik 4:4 kila mtu chini ya mzabibu wake
Yoh 15:1 Mimi ndiye mzabibu wa kweli
MZAHA
, Mwa 19:14 Loti alionekana anafanya mzaha
Met 26:19 Nilikuwa nikifanya mzaha tu!
MZALIWA PEKEE
, Yoh 1:18 mungu mzaliwa pekee
Yoh 3:16 akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee
MZALIWA WA KWANZA
, Kut 11:5 mzaliwa wa kwanza, Misri
Kol 1:15 mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote
MZEE WA SIKU
, Da 7:9 Mzee wa Siku akaketi
MZEITUNI
, Zb 52:8 mzeituni katika nyumba ya Mungu
Ro 11:17 mzeituni wa mwituni, ulipandikizwa
MZEMBE
, Met 19:15 mtu mzembe atakaa njaa
Da 6:4 Danieli hakupatikana akiwa mzembe
MZIGO
, Zb 38:4 dhambi zangu kama mzigo mzito
Zb 55:22 Mtupie Yehova mzigo wako
Zb 68:19 Yehova anatubebea mzigo kila siku
Mdo 15:28 tusiwaongezee ninyi mzigo zaidi ila
Gal 6:5 kila mtu ataubeba mzigo wake
1Th 2:6 tungeweza kuwa mzigo wenye gharama
Ufu 2:24 siwaongezei mzigo mwingine wowote
MZIGO MZITO
, 1Yo 5:3 amri zake si mzigo mzito
N
NABII
, Kum 18:18 Nitawainulia nabii kama wewe
Eze 2:5 watajua nabii alikuwa miongoni mwao
Amo 7:14 sikuwa nabii wala mwana wa nabii
NADHIRI
, Kum 23:21 Ukiweka nadhiri kwa Yehova
Amu 11:30 Yeftha akaweka nadhiri
NAFAKA
, Zb 72:16 Kutakuwa na nafaka nyingi duniani
NAFASI
, Gal 6:10 tukiwa na nafasi, tutende mema
NAFSI
, Hes 31:28 nafsi moja ya watu na ya wanyama
Eze 18:4 Nafsi inayotenda dhambi itakufa
Mt 22:37 mpende Yehova kwa nafsi yote
NAFSI YOTE
, Efe 6:6 tufanye kwa nafsi yote
Kol 3:23 mnalofanya, lifanyeni kwa nafsi yote
NAINI
, Lu 7:11 akasafiri kwenda jiji linaloitwa Naini
NAKALA
, Kum 17:18 ajiandikie nakala ya Sheria hii
NANGA
, Ebr 6:19 tumaini kama nanga ya nafsi
NATHANI
, 2Sa 12:7 Nathani akamwambia Daudi: Wewe
NCHI
, Isa 66:8 nchi itazaliwa katika siku moja?
NDAMA
, Kut 32:4 akatengeneza sanamu ya ndama
Isa 11:6 ndama na simba watakuwa pamoja
NDANI
, 2Ko 4:16 mtu tuliye kwa ndani
Efe 3:16 kuwa na uwezo katika mtu mliye kwa ndani
NDANI KABISA
, Ufu 2:23 mawazo ya ndani kabisa
NDEGE
, Mt 6:26 Waangalieni kwa makini ndege
NDIYO
, Mt 5:37 ‘Ndiyo’ yenu imaanishe ndiyo
NDOA
, Mt 22:2 mfalme aliyeandaa karamu ya ndoa
Yoh 2:1 karamu ya ndoa katika Kana
1Ko 7:9 bora kufunga ndoa kuliko kuwaka tamaa
1Ko 7:36 hafanyi dhambi. Acheni afunge ndoa
1Ko 7:38 asiyefunga ndoa atafanya vema zaidi
Ebr 13:4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote
Ufu 19:7 ndoa ya Mwanakondoo imefika
NDOTO
, Mhu 5:3 ndoto huja kwa sababu ya shughuli
NDUGU
, Met 17:17 ndugu kwa ajili ya nyakati za taabu
Met 18:24 anayeshikamana kwa ukaribu kuliko ndugu
Mt 13:55 na ndugu zake Yakobo, Yosefu, na
Mt 23:8 nanyi nyote ni ndugu
Mt 25:40 mlivyomtendea ndugu yangu
1Ko 5:11 anayeitwa ndugu ambaye ni
1Pe 5:9 ushirika mzima wa ndugu zenu
NEBUKADNEZA
, Da 2:1 Nebukadneza aliota ndoto
NENO
, Met 25:11 neno linalosemwa wakati unaofaa
Isa 55:11 hakika neno langu litafanikiwa
Lu 8:12 Ibilisi huliondoa lile neno mioyoni
Yoh 1:1 Hapo mwanzo Neno alikuwako
Yoh 17:17 neno lako ni kweli
Mdo 18:5 Paulo ashughulika sana na neno
Flp 2:16 kulishika sana neno la uzima
2Ti 2:15 ukilitumia sawasawa neno la kweli
NENO LA MUNGU
, Isa 40:8 neno la Mungu linadumu
Mk 7:13 mnalibatilisha neno la Mungu kwa mapokeo
1Th 2:13 mlilikubali kama neno la Mungu
Ebr 4:12 neno la Mungu liko hai nalo ni lenye nguvu
NG’AA
, Isa 14:12 anguka kutoka mbinguni, unayeng’aa
NG’OMBE DUME
, Kut 21:28 Ng’ombe dume akimpiga
Kum 25:4 kumfunga kinywa ng’ombe dume
Met 7:22 anamfuata kama ng’ombe dume machinjioni
Ho 14:2 kutoa sifa kama ng’ombe dume
1Ko 9:9 anahangaikia ng’ombe dume?
NGAMIA
, Mt 19:24 ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita
NGANO
, Mt 13:25 kupanda magugu kati ya ngano
NGAO
, Zb 84:11 Yehova Mungu ni jua na ngao
Efe 6:16 chukueni ngao kubwa ya imani
NGAZI
, Mwa 28:12 ngazi, kilele kufika mbinguni
NGOJEA
, Zb 37:7 umngojee Yehova kwa matumaini
NGOME
, Zb 18:2 Yehova ni ngome yangu
Isa 25:4 umekuwa ngome kwa maskini
Lu 19:43 ngome yenye miti iliyochongoka
2Ko 10:4 kuzipindua ngome zenye nguvu
NGUO
, Yak 2:15 ndugu au dada hana nguo
NGURUWE
, Lu 8:33 roho waovu wakawaingia nguruwe
Lu 15:15 alimpeleka shambani akalishe nguruwe
2Pe 2:22 nguruwe aliyeoshwa amegaagaa
NGUVU
, Zb 29:11 atawapa nguvu watu wake
Zb 31:10 Nguvu zinapungua, dhambi yangu
Zb 84:7 kutembea kutoka nguvu hadi nguvu
Met 17:22 roho iliyopondeka hufyonza nguvu
Isa 35:4 Iweni na nguvu. Msiogope
Isa 40:28 Yehova haishiwi na nguvu
Isa 40:29 humpa nguvu mtu aliyechoka
Isa 40:31 wanaomtumaini Yehova watapata nguvu
Isa 41:10 Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia
Zek 4:6 si kwa nguvu, bali kwa roho yangu
Mk 5:30 akahisi nguvu zimemtoka
Mk 12:30 mpende Yehova kwa nguvu zako zote
Mdo 1:8 roho takatifu ikija mtapokea nguvu
Ro 15:1 beba udhaifu wa wasio na nguvu
1Ko 16:13 simameni imara, iweni na nguvu
2Ko 4:7 nguvu zinazopita zile za kawaida
2Ko 12:9 nguvu zangu zinakamilika katika udhaifu
2Ko 12:10 ninapokuwa dhaifu, ninakuwa na nguvu
Flp 4:13 Kwa mambo yote nina nguvu
Ufu 3:8 ninajua kwamba una nguvu kidogo
NGUZO
, Mwa 19:26 mke wa Loti akawa nguzo ya chumvi
Kut 13:22 nguzo ya wingu, nguzo ya moto
Gal 2:9 walioonekana kuwa nguzo
1Ti 3:15 nguzo na tegemezo la ile kweli
NIA
, Met 16:2 Yehova huchunguza nia
NICHUNGUZE
, Zb 26:2 Nichunguze, Ee Yehova
Gal 6:4 kila mmoja na achunguze matendo yake
NIDHAMU
, Met 1:7 wapumbavu wanadharau nidhamu
Met 3:11 usikatae nidhamu ya Yehova
Met 19:18 Mtie nidhamu mtoto wako
Met 23:13 Usimnyime mvulana nidhamu
Ebr 12:11 nidhamu inayoonekana yenye shangwe
Ufu 3:19 huwakaripia na kuwatia nidhamu
NINAWI
, Yon 4:11 Je, sipaswi kulihurumia Ninawi?
NIRA
, 1Fa 12:14 baba aliifanya nira yenu kuwa nzito
Mt 11:30 nira yangu ni laini
2Ko 6:14 Msifungwe nira pamoja na wasio waamini
NITAKUWA
, Kut 3:14 Nitakuwa amenituma kwenu
NJAA
, Isa 65:13 watakula, ninyi mtakuwa na njaa
NJAA KALI
, Zb 37:19 Wakati wa njaa kali watakuwa
Amo 8:11 Si njaa kali ya chakula au kiu ya maji
NJE
, 1Ko 5:13 Mungu akiwahukumu wale walio nje
Kol 4:5 hekima kuelekea wale walio nje
NJIA
, Met 16:25 njia inayoonekana kuwa sawa
Isa 30:21 Hii ndiyo njia. Tembeeni ndani yake
Yoh 14:6 Mimi ndiye njia na kweli na uzima
Mdo 9:2 wanaume na wanawake wa Ile Njia
1Ko 4:17 Atawakumbusha njia zangu
1Ko 10:13 ataifanya pia njia ya kutokea
Flp 1:27 jiendesheni kwa njia inayostahili habari njema
NJIWA
, Mt 3:16 roho ya Mungu ikishuka kama njiwa
Mt 10:16 wasio na hatia kama njiwa
NJOONI
, Isa 55:1 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu
Ufu 22:17 yeyote anayesikia na aseme, Njoo!
NOA
, Mwa 6:9 Noa alitembea pamoja na Mungu
Mt 24:37 kama siku za Noa zilivyokuwa, ndivyo
NUNUA
, 1Ko 7:23 Mlinunuliwa kwa bei
Ufu 5:9 kwa damu yako ukamnunulia watu
NURU
, Zb 36:9 Kwa nuru yako tunaona nuru
Zb 119:105 Neno lako ni nuru ya njia yangu
Met 4:18 kijia cha waadilifu ni nuru nyangavu
Isa 42:6 kama nuru kwa mataifa
Mt 5:14 Ninyi ndio nuru ya ulimwengu
Mt 5:16 acheni nuru yenu iangaze
Yoh 8:12 Mimi ndiye nuru ya ulimwengu
2Ko 4:6 Nuru na iangaze kutoka katika giza
NYAKATI
, Lu 21:24 nyakati zilizowekwa za mataifa
NYAMA
, Met 23:20 wanaokula nyama kwa pupa
1Ko 15:50 nyama na damu haviwezi kuurithi Ufalme
NYAMAZA
, Zb 4:4 Zungumza moyoni, na unyamaze
Zb 32:3 Niliponyamaza, mifupa yangu ilidhoofika
Mhu 3:7 Wakati wa kunyamaza na wa kuongea
NYAMAZISHA
, 1Pe 2:15 mnyamazishe maneno ya kijinga
NYANG’ANYA
, Law 19:13 Usimnyang’anye mwenzako
NYARA
, Kum 24:7 akiwa amemteka nyara lazima auawe
Yer 39:18 Uhai wako utakuwa kama nyara
NYAVU
, Lu 5:4 mshushe nyavu zenu, mvue samaki
NYEKUNDU
, Isa 1:18 Ingawa dhambi zenu ni nyekundu
NYENYEKEA
, Mt 18:4 atakayejinyenyekeza kama mtoto
Ebr 13:17 mnyenyekee wale wanaoongoza
NYENYEKEZA
, Kum 8:2 ili awanyenyekeze na kuwajaribu
NYEPESI
, 2Ko 4:17 dhiki ni ya muda na ni nyepesi
NYEUPE
, Ufu 7:14 wamefua kanzu na kuzifanya nyeupe
NYIKA
, Isa 35:6 maji yatabubujika nyikani
Isa 41:18 Nitaigeuza nyika kuwa dimbwi la maji
NYIMA
, Zb 84:11 Yehova hatawanyima jambo jema
NYIMBO
, Ne 12:46 nyimbo za kumsifu Mungu
Kol 3:16 nyimbo za kiroho zinazoimbwa
NYOKA
, Mwa 3:4 nyoka akamwambia mwanamke
Yoh 3:14 Musa alivyoinua nyoka nyikani
NYONYESHA
, 1Th 2:7 kama mama anayenyonyesha
NYOTA
, Zb 147:4 anaziita nyota zote kwa majina
Mt 24:29 baada ya dhiki nyota zitaanguka
Ufu 2:1 nyota saba kwenye mkono wake
NYUMA
, Lu 9:62 anayeshika jembe na kutazama nyuma
NYUMBA
, 2Sa 7:13 atakayejenga nyumba kwa ajili ya
Zb 27:4 nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote
Zb 101:2 utimilifu ndani ya nyumba yangu
Zb 127:1 Yehova asipoijenga nyumba
Isa 56:7 nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala
Isa 65:21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake
Lu 2:49 ninapaswa kuwa katika nyumba ya Baba
Yoh 2:16 kuifanya nyumba ya Baba yangu nyumba ya
Yoh 14:2 Katika nyumba ya Baba mna makao mengi
Mdo 5:42 na kufundisha nyumba kwa nyumba
Mdo 7:48 Aliye Juu Zaidi haishi katika nyumba
Mdo 20:20 hadharani na nyumba kwa nyumba
2Ko 5:1 tutapata nyumba ya milele mbinguni
Efe 2:19 washiriki wa nyumba ya Mungu
Ebr 3:4 kila nyumba hujengwa na mtu fulani
NYWELE
, Mt 10:30 hata nywele zenu zimehesabiwa
Lu 21:18 hakuna hata unywele wa vichwa vyenu
1Ko 11:14 nywele ndefu ni aibu kwa mwanamume
NZIGE
, Yoe 1:4 kilichoachwa na nzige wanaoruka
O
OA
, Kum 7:3 Msioane nao kamwe
Mt 22:30 katika ufufuo, hawaoi wala kuolewa
Mt 24:38 kabla ya Gharika, wakioa na kuolewa
1Ko 7:32 Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia
OGA
, 2Fa 5:10 Nenda ukaoge mara saba, Yordani
OGOPA
, 2Nya 20:15 Msiogope kwa sababu ya umati huu
Zb 56:4 ninamtumaini Mungu; siogopi
Zb 118:6 Yehova yuko upande wangu; sitaogopa
Isa 41:10 Usiogope, niko pamoja nawe
Mik 4:4 hakuna yeyote atakayewaogopesha
Ufu 2:10 Usiogope mateso yatakayokupata
OGOPESHA
, Ebr 10:31 jambo lenye kuogopesha
OGOPESHWA
, Flp 1:28 bila kuogopeshwa na wapinzani
OKOA
, Isa 59:1 Mkono si mfupi usiweze kuokoa
Mt 16:25 anayetaka kuuokoa uhai wake
Lu 19:10 Mwana wa binadamu alikuja kuokoa
1Ti 4:16 utajiokoa na wale wanaokusikiliza
OKOLEWA
, Mt 24:22 hakuna mwili ambao ungeokolewa
OLE
, Isa 5:20 Ole wanaosema wema ni uovu
1Ko 9:16 ole wangu nisipotangaza habari njema
Ufu 12:12 Ole wa dunia na wa bahari
OLEWA
, 1Ko 7:39 yuko huru kuolewa, katika Bwana
OMBA
, Zb 2:8 Niombe, nitakupa mataifa
Mt 6:8 anajua mnachohitaji kabla hamjamwomba
Mt 7:7 Endeleeni kuomba, mtapewa
Yoh 14:13 lolote mtakaloomba katika jina langu
Ro 8:34 Kristo Yesu hutuombea
2Ko 5:20 tunaomba Mpatanishwe na Mungu
Efe 3:20 kupita mambo yote tunayoomba
1Yo 5:14 tukiomba kulingana na mapenzi yake
OMBOLEZA
, Mt 5:4 Wenye furaha, wanaoomboleza
ONA
, Mt 6:1 msionyeshe uadilifu ili watu wawaone
Yoh 1:18 Hakuna ambaye amemwona Mungu
Yoh 14:9 ambaye ameniona, amemwona Baba
ONDOA
, 1Ko 5:13 Mwondoeni mwovu miongoni mwenu
ONDOKA
, 1Ko 7:15 asiyeamini akiamua kuondoka
ONEA WIVU
, Zb 37:1 usiwaonee wivu watenda dhambi
Zb 73:3 niliwaonea wivu wenye kiburi
ONEKANA
, Ro 1:20 sifa zake zisizoonekana, zinaonekana
ONGOZA
, Zb 48:14 Mungu atatuongoza kwa umilele
Yer 10:23 Mwanadamu hawezi kuongoza hatua yake
Ebr 13:7, 17 wale wanaoongoza kati yenu
Ebr 13:7, 17 Watiini wale wanaoongoza
ONGOZWA
, 2Ti 3:16 kila andiko limeongozwa na roho
ONJA
, Zb 34:8 Onjeni mwone Yehova ni mwema
Ebr 6:4 wameonja zawadi ya bure ya kimbingu
1Pe 2:3 mradi tu mmeonja
ONYESHA
, Lu 3:8 zaeni matunda yanayoonyesha toba
Yoh 5:20 Baba humwonyesha Mwana anayofanya
ONYO
, Eze 3:17 lazima uwape onyo langu
Eze 33:4 asitii onyo, damu yake itakuwa
1Ko 10:11 yaliandikwa ili kuwa onyo kwetu
OSHA
, Zb 51:2 Nioshe kabisa kutoka katika kosa langu
Yoh 13:5 akaanza kuiosha miguu ya wanafunzi
OSHWA
, 1Ko 6:11 mmeoshwa mkawa safi, mmetakaswa
OVYOOVYO
, Ayu 6:3 mazungumzo ya ovyoovyo
OZA
, Efe 4:29 Neno lililooza lisitoke kinywani
P
PAJI
, Eze 3:9 paji gumu kuliko jiwe gumu
PAMBANA
, Efe 6:12 tunapambana, si dhidi ya damu
PAMBO
, Da 11:45 mlima mtakatifu wa lile Pambo
PANDA
, Zb 126:5 wanaopanda mbegu kwa machozi
Mhu 11:6 Panda mbegu zako asubuhi na
Isa 65:22 Wala hawatapanda watu wengine wale
Yoh 3:13 hakuna mtu aliyepanda mbinguni
1Ko 3:6 nilipanda, Apolo akatia maji, Mungu akakuza
Gal 6:7 analopanda mtu, ndilo atakalovuna
PANGA
, Isa 2:4 panga zao ziwe majembe
Ro 13:14 msiwe mkipanga mapema kwa ajili ya
PANGO
, Mt 21:13 kuwa pango la wanyang’anyi
PANZI
, Isa 40:22 wakaaji wake ni kama panzi
PAPASA-PAPASA
, Mdo 17:27 watapapasa-papasa
PARADISO
, Lu 23:43 utakuwa nami katika Paradiso
2Ko 12:4 ambaye alinyakuliwa kuingia paradiso
PASAKA
, Kut 12:11 Ni Pasaka ya Yehova
Kut 12:27 Tunamtolea Yehova dhabihu ya Pasaka
1Ko 5:7 Kristo mwanakondoo wetu wa Pasaka
PATAKATIFU
, Kut 25:8 Mtanijengea mahali patakatifu
Kut 26:33 Patakatifu na Patakatifu Zaidi
Zb 73:17 Mpaka nilipoingia patakatifu pa Mungu
PATANA
, 1Ko 7:11 au apatane tena na mume wake
PATANISHA
, 2Ko 5:19 Mungu aliupatanisha ulimwengu
PATANISHWA
, Ro 5:10 tulipatanishwa na Mungu
PAULO.
Angalia SAULI, 1Ko 1:12 Mimi ni wa Paulo
PEKE YANGU
, Yoh 16:32 mtaniacha peke yangu
PEMBE
, Da 7:7 mnyama wa nne alikuwa na pembe kumi
Da 8:8 ile pembe kubwa ikavunjika
PENDA
, Law 19:18 umpende mwenzako kama
Kum 6:5 umpende Yehova kwa moyo wote
Met 8:30 Mimi ndiye aliyenipenda sana
Mt 10:37 Yeyote anayempenda
Mt 22:37 Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa
Mk 10:21 Yesu akampenda na kumwambia
Yoh 3:16 Mungu aliupenda ulimwengu sana
Yoh 12:25 anayeupenda uhai wake huuangamiza
Yoh 13:1 aliwapenda walio wake mpaka mwisho
Yoh 13:34 kwamba mpendane
Yoh 14:15 mnanipenda, mtazishika amri zangu
Yoh 21:17 Simoni, je, unanipenda?
Ro 13:8 Msiwe na deni, isipokuwa kupendana
1Ko 12:18 amepanga kila kiungo kama alivyopenda
Gal 2:20 Mwana wa Mungu, aliyenipenda
Kol 3:19 waume, endeleeni kuwapenda wake zenu
1Ti 6:4 anapenda sana kubishana
1Yo 2:15 Msiupende ulimwengu au vitu vilivyo
1Yo 3:18 kupendana, si kwa neno au kwa ulimi
1Yo 4:10 si kwamba sisi tumempenda Mungu
1Yo 4:20 ambaye hampendi ndugu, hampendi Mungu
1Yo 5:3 kumpenda Mungu humaanisha
Ufu 3:19 ninaowapenda, mimi huwakaripia
PENDEKEZA
, Ro 5:8 Mungu hupendekeza upendo
2Ko 4:2 tunajipendekeza kwa kila dhamiri
2Ko 6:4 kwa kila njia tunajipendekeza kuwa
PENDELEA
, Kum 10:17 Mungu asiyempendelea yeyote
PENDELEO
, Flp 1:29 pendeleo kuteseka kwa ajili yake
PENDEZA
, Zb 147:1 Jinsi inavyopendeza kumsifu!
Yoh 8:29 sikuzote mimi hufanya yanayompendeza
Ro 15:1 tusiwe tukijipendeza wenyewe
Ro 15:2 ampendeze jirani yake kwa mema
Ro 15:3 hata Kristo hakujipendeza mwenyewe
1Ko 10:33 ninavyojaribu kuwapendeza watu wote
Gal 1:10 je, ninajaribu kuwapendeza wanadamu?
Gal 1:10 Kama ninawapendeza wanadamu
Efe 6:6 ili tu kuwapendeza wanadamu
Kol 1:10 ili kumpendeza kikamili Yehova
PENDEZWA
, Zb 1:2 anapendezwa na sheria ya Yehova
PENDWA
, Yer 8:6 njia inayopendwa na wengi
PEPERUSHWA
, Ebr 2:1 ili tusipeperushwe kamwe
PEPO
, Ufu 7:1 wakizishika pepo nne za dunia
PESA
, Mhu 7:12 pesa ni ulinzi
Mhu 10:19 pesa ni jawabu la mahitaji yote
1Ti 6:10 kupenda pesa chanzo cha mabaya
Ebr 13:5 bila upendo wa pesa
PETRO
, Mt 14:29 Petro akatembea juu ya maji
Lu 22:54 Petro alikuwa akiwafuata kwa mbali
Yoh 18:10 Petro alikuwa na upanga
Mdo 12:5 Petro alikuwa gerezani lakini kutaniko
PEWA
, Lu 12:48 aliyepewa mengi atadaiwa mengi
PICHA
, Ro 2:20 una picha ya ujuzi na ya ile kweli
PIGA
, 2Ko 6:5 kwa kupigwa, kufungwa gerezani
PIGA HEWA
, 1Ko 9:26 nisikimbie na kupiga hewa
PIGANA
, 2Nya 20:17 Hamtahitaji kupigana vita hivi
Mdo 5:39 huenda ikawa mnapigana na Mungu
1Ti 6:12 Pigana pigano zuri la imani
2Ti 2:24 mtumwa wa Bwana hahitaji kupigana
PIGANO
, Yud 3 mfanye pigano kali kwa ajili ya imani
PIGAPIGA
, 1Ko 9:27 ninaupigapiga mwili wangu
PIGO
, Kut 11:1 Nitamletea Farao na Misri pigo moja zaidi
PILATO
, Yoh 19:6 Pilato: Sijampata na kosa lolote
PIMA
, Met 27:21 mtu hupimwa kwa sifa anayopokea
Da 5:27 umepimwa na kuonekana umepungukiwa
PINDA
, Mhu 1:15 Kilichopinda hakiwezi kunyooshwa
PINDUA
, 2Ko 10:4 kuzipindua ngome zenye nguvu
PINGA
, Mdo 17:7 wote wanapinga maagizo ya Kaisari
PITA
, 1Ko 4:6 Msipite mambo yaliyoandikwa
POFUSHA
, 2Ko 4:4 mungu wa mfumo huu amezipofusha
PONDEKA
, Zb 34:18 Huwaokoa waliopondeka roho
Met 18:14 kustahimili roho iliyopondeka
Isa 42:3 Hataponda tete lililovunjika
Isa 57:15 ninaishi na wale waliopondwa
PONGEZA
, 1Ko 11:2 Ninawapongeza kwa sababu
PONYA
, 2Nya 36:16 hawangeweza kuponywa
Zb 147:3 Huwaponya waliovunjika moyo
Met 12:18 ulimi wa mwenye hekima huponya
Lu 4:23 Daktari, jiponye mwenyewe
Lu 9:11 akawaponya waliohitaji kuponywa
Lu 10:9 mponye wagonjwa
Mdo 5:16 wote wakaponywa
Ufu 22:2 majani yalikuwa ya kuponya mataifa
POOZA
, Lu 5:24 akamwambia mtu aliyepooza: Simama
PORA
, Ebr 10:34 mkakubali kuporwa mali zenu
POROJO
, Met 20:19 anayependa kupiga porojo
1Ti 5:13 wanapiga porojo na kujiingiza katika mambo
POTEA
, Zb 119:176 tangatanga kama kondoo aliyepotea
Eze 34:4 hamjawatafuta waliopotea
Lu 15:24 alikuwa amepotea naye amepatikana
POTOSHA
, Mt 24:24 kuwapotosha waliochaguliwa
POTOSHWA
, Gal 6:7 Msipotoshwe: Mungu si
PRISILA
, Mdo 18:26 Prisila na Akila wakamfafanulia
PUMBAZA
, Yer 20:7 Umenipumbaza, Ee Yehova
PUMUA
, Zb 150:6 Kila kitu kinachopumua, kimsifu Yah
PUMZI
, Mwa 2:7 akampulizia pumzi ya uhai
PUMZIKA
, Da 12:13 Utapumzika, lakini utasimama
PUNDA
, Hes 22:28 Yehova akamfanya punda aongee
Zek 9:9 Mfalme wako amepanda punda
PUNJA
, 1Ko 6:7 si afadhali mkubali kupunjwa
PUPA
, Lu 12:15 mjilinde na kila aina ya pupa
1Ko 5:11 mwache kushirikiana na mtu mwenye pupa
1Ko 6:10 wenye pupa hawataurithi Ufalme wa Mungu
Kol 3:5 pupa, ambayo ni ibada ya sanamu
PUUZA
, 1Th 4:8 hampuuzi mwanadamu, bali Mungu
1Ti 4:14 Usipuuze zawadi uliyo nayo
R
RADI
, Mt 24:27 radi inavyotokea mashariki na kuangaza
Lu 10:18 Shetani anguka toka mbinguni kama radi
RAFIKI
, 2Nya 20:7 rafiki yako Abrahamu
Zb 55:13 Rafiki yangu mwenyewe ninayemjua
Met 17:17 Rafiki wa kweli hupenda nyakati zote
Met 18:24 rafiki anayeshikamana kuliko ndugu
Met 27:6 Majeraha yanayosababishwa na rafiki
Yoh 15:13 atoe uhai wake kwa ajili ya rafiki zake
Yoh 15:14 Ninyi ni rafiki zangu ikiwa
Yak 2:23 Abrahamu akaitwa rafiki ya Yehova
RAHA
, Lu 8:14 wanakengeushwa na raha za maisha
RAHELI
, Mwa 29:18 miaka saba nimpate Raheli
Yer 31:15 Raheli anawalilia wanawe
RAMANI
, Kut 26:30 hema la ibada kwa kufuata ramani
1Fa 6:38 nyumba kulingana na ramani yake
RARUA
, Yoe 2:13 Irarueni mioyo yenu
REBEKA
, Mwa 26:7 Rebeka, alikuwa mrembo
REFUSHA
, Isa 54:2 refusha kamba za hema lako
REHANI
, 2Ko 1:22 rehani ya kile kitakachokuja
Efe 1:14 rehani ya mapema ya urithi wetu
REHEMA
, Kum 4:31 Yehova Mungu ni mwenye rehema
1Nya 21:13 kwa maana rehema zake ni nyingi
Ne 9:19 kwa rehema nyingi, hukuwaacha
Zb 78:38 Lakini alikuwa mwenye rehema
Met 28:13 anayeyaungama ataonyeshwa rehema
Isa 55:7 arudi kwa Yehova, atamwonyesha rehema
Mt 5:7 Wenye furaha ni wenye rehema
Mt 9:13 Ninataka rehema, si dhabihu
Lu 6:36 muwe na rehema, kama Baba yenu
2Ko 1:3 Baba wa rehema nyororo
Yak 2:13 Rehema hushinda hukumu
Yak 5:11 Yehova, ana upendo mwororo na rehema
REKEBISHA
, Kum 8:5 baba anavyomrekebisha mwana
Zb 94:12 Mwenye furaha ni mtu unayemrekebisha
RIDHIKA
, 1Ti 6:8 chakula na mavazi, tutaridhika na
RITHI
, Mt 5:5 wapole watairithi dunia
Mt 25:34 urithini Ufalme uliotayarishwa kwa ajili yenu
ROHO
, Hes 11:25 akachukua kiasi fulani cha roho
1Sa 16:13 roho ikaanza kumtia nguvu Daudi
2Sa 23:2 Roho ya Yehova ilisema kupitia mimi
Zb 51:10 uweke roho mpya ndani yangu
Zb 51:17 Dhabihu kwa Mungu, roho iliyovunjika
Zb 104:29 Ukiiondoa roho yao, wanakufa
Zb 146:4 Roho hutoka, naye hurudi ardhini
Mhu 12:7 roho hurudi kwa Mungu
Isa 61:1 Roho ya Yehova iko juu yangu
Yoe 2:28 nitaimimina roho juu ya kila mwili
Zek 4:6 Si kwa jeshi, bali kwa roho yangu
Mt 3:16 roho ya Mungu ikishuka kama njiwa
Mt 12:31 anayekufuru roho takatifu hatasamehewa
Mt 26:41 roho inataka lakini mwili ni dhaifu
Lu 23:46 naiweka roho yangu mikononi mwako
Yoh 4:24 Mungu ni Roho, wamwabudu kwa roho
Yoh 16:13 roho ya ile kweli, atawaongoza
Ro 8:16 Roho hutoa ushahidi na roho yetu
Ro 8:26 roho hutuombea kwa kuugua
1Ko 15:44 hufufuliwa ukiwa mwili wa roho
2Ko 3:17 Yehova ni Roho
Gal 5:16 Endeleeni kutembea kwa roho
Gal 5:22 tunda la roho ni upendo
Gal 6:8 anayepanda kwa roho
Efe 6:12 tunapamba na majeshi ya roho waovu
1Pe 3:18 akafanywa kuwa hai katika roho
ROHO MWOVU
, Mdo 16:16 roho mwovu wa uaguzi
ROHO TAKATIFU
, Zb 51:11 usiniondolee roho takatifu
Lu 1:35 Roho takatifu itakufunika
Lu 3:22 roho takatifu, umbo kama la njiwa
Lu 11:13 Baba huwapa roho takatifu wanaomwomba
Yoh 14:26 roho takatifu, itawafundisha mambo yote
Mdo 1:8 roho takatifu itakapokuja juu yenu
Mdo 2:4 wote wakajazwa roho takatifu
Mdo 5:32 Mungu amewapa roho takatifu
Efe 4:30 msiihuzunishe roho takatifu ya Mungu
ROHO WAOVU
, Mt 8:28 waliokuwa na roho waovu
1Ko 10:20 huvitoa dhabihu kwa roho waovu
1Ko 10:21 mkishiriki meza ya roho waovu
Yak 2:19 roho waovu wanaamini na kutetemeka
RUDI
, Yoe 2:12 rudini kwangu kwa mioyo yenu yote
Mal 3:7 Nirudieni, nami nitawarudia
RUSHWA
, Mhu 7:7 rushwa huupotosha moyo
Efe 4:14 watoto, tukirushwa huku na huku
S
SAA
, Mt 24:36 Kuhusu siku hiyo na saa hiyo
SABABU
, Isa 45:19 Nitafuteni tu bila sababu
Ro 13:5 kuna sababu ya lazima kwenu kujitiisha
SABATO
, Kut 20:8 Ikumbuke siku ya Sabato
Mt 12:8 Mwana wa binadamu, Bwana wa Sabato
Mk 2:27 Sabato iliwekwa kwa ajili ya mwanadamu
Lu 14:5 Hatamtoa ng’ombe shimoni Sabato
Kol 2:16 yeyote asiwahukumu kuhusu sabato
Ebr 4:9 pumziko la sabato la
SAFI
, Law 13:45 kusema, ‘Mimi si safi, mimi si safi!’
Hab 1:13 Macho yako ni safi yasitazame uovu
Sef 3:9 nitabadili lugha iwe lugha safi
Mt 5:8 Wenye furaha ni walio safi moyoni
Yoh 15:3 Tayari ninyi ni safi kwa sababu ya neno
SAFINA
, Mwa 6:14 Jitengenezee safina
SAFISHA
, Zb 51:2 unisafishe kutoka katika dhambi
Da 11:35 kazi ya kuwasafisha watu ifanywe
Da 12:10 Wengi watasafishwa
Zek 13:9 nitawasafisha kama fedha inavyosafishwa
2Ko 7:1 tujisafishe kila unajisi
SAHAU
, Kum 4:23 Iweni waangalifu msisahau
Zb 119:141 sijayasahau maagizo yako
Isa 49:15 mwanamke anaweza kumsahau mtoto?
Flp 3:13 Ninayasahau mambo ya nyuma
Ebr 6:10 Mungu hakosi kuwa mwadilifu asahau
SALA
, Zb 65:2 Ee Msikiaji wa sala
Zb 141:2 Sala itayarishwe kama uvumba
Met 15:8 sala ya wanyoofu humfurahisha
Met 28:9 Hata sala yake inachukiza
Ro 12:12 Dumuni katika sala
2Th 3:1 endeleeni kusali kwa ajili yetu
Yak 5:15 sala ya imani itamponya huyo mgonjwa
1Pe 3:7 ili sala zenu zisizuiwe
Ufu 8:4 uvumba ukapanda na sala za watakatifu
SALAMA
, Met 12:3 Hakuna anayekuwa salama kwa uovu
SALI
, 2Fa 19:15 Hezekia akaanza kusali
Da 6:13 anasali mara tatu kwa siku
Mt 5:44 kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa
Mt 6:9 Basi, salini hivi:
Mk 1:35 Asubuhi na mapema, akaanza kusali
Mk 11:24 mambo yote mnayosali na kuomba
Lu 5:16 alienda mahali pasipo na watu ili kusali
Mdo 12:5 Petro gerezani, kutaniko likisali
Ro 8:26 hatujui kile tunachopaswa kusali
1Th 5:17 Salini bila kuacha
SALIMU
, 2Yo 10 msimpokee nyumbani wala kumsalimu
SALITI
, Mt 26:21 mmoja wenu atanisaliti
SAMAKI
, Yon 1:17 akamtuma samaki ammeze Yona
Yoh 21:11 samaki wakubwa 153
SAMARIA
, 2Fa 17:6 mfalme wa Ashuru ateka Samaria
SAMEHE
, Ne 9:17 Mungu uliye tayari kusamehe
Zb 25:11 Nisamehe kosa langu, ingawa ni kubwa
Zb 103:3 Husamehe makosa yako yote
Met 17:9 anayesamehe kosa hutafuta upendo
Isa 55:7 Mungu atasamehe kwa njia kubwa
Mt 6:14 mkiwasamehe Baba yenu atawasamehe ninyi
Mt 18:21 nimsamehe mara ngapi? Saba?
Mt 26:28 itamwagwa ili wasamehewe dhambi
Kol 3:13 Kama Yehova alivyowasamehe kwa hiari
SAMSONI
, Amu 13:24 kumpa jina Samsoni
SAMWELI
, 1Sa 1:20 Hana akamwita Samweli
1Sa 2:18 Samweli alikuwa akihudumu
SANAMU
, Kut 20:4 Usijitengenezee sanamu
Zb 115:4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu
Da 2:31 ulitazama na kuona sanamu kubwa sana
Da 3:18 hatutaiabudu sanamu ya dhahabu
1Ko 6:9 waabudu-sanamu hawataurithi Ufalme
1Ko 10:14 ikimbieni ibada ya sanamu
1Yo 5:21 jiepusheni na sanamu
SANDUKU
, Kut 25:10 sanduku la mshita
2Sa 6:6 Uza akalikamata Sanduku
1Nya 15:2 Hakuna anayepaswa kubeba Sanduku
SANHEDRINI
, Mdo 5:41 wakatoka mbele ya Sanhedrini
SARA
, Mwa 17:19 Sara atakuzalia mwana
1Pe 3:6 Sara alimtii Abrahamu, akimwita bwana
SAULI
, 1Sa 15:11 Ninasikitika nimemweka Sauli mfalme
Mdo 7:58 miguuni pa kijana aliyeitwa Sauli
Mdo 8:3 Sauli akashambulia kutaniko
Mdo 9:1 Sauli aliendelea kuwatisha wanafunzi
Mdo 9:4 Sauli, Sauli, kwa nini unanitesa?
SAUMU
, Hes 11:5 Tunakumbuka vitunguu saumu!
SAUTI
, 1Fa 19:12 Baada ya moto, sauti tulivu, ya chini
Zb 19:4 sauti zake zimefika katika dunia yote
Yoh 5:28 walio makaburini wataisikia sauti
Yoh 10:27 Kondoo wangu husikiliza sauti yangu
SAUTI YA CHINI
, Yos 1:8 soma Sheria kwa sauti ya chini
Zb 1:2 huisoma sheria Yake kwa sauti ya chini
SAYUNI
, Zb 2:6 nimemweka mfalme wangu Sayuni
Zb 48:2 Mlima Sayuni, jiji la Mfalme Mkuu
Isa 66:8 Sayuni alizaa wana
Ufu 14:1 Mwanakondoo juu ya Mlima Sayuni
SEDEKIA
, Yer 52:11 akampofusha macho Sedekia
SEHEMU YA KUMI
, Ne 10:38 Walawi, sehemu ya kumi
Mal 3:10 Leteni sehemu yote ya kumi
SENAKERIBU
, 2Fa 19:16 maneno ambayo Senakeribu
SEREMALA
, Mk 6:3 seremala mwana wa Maria
SHAHIDI
, Ufu 1:5 Yesu Kristo, Shahidi Mwaminifu
SHAKA
, Mt 21:21 mkiwa na imani nanyi msiwe na shaka
Yak 1:6 kuomba kwa imani, bila shaka
Yud 22 rehema kwa wale walio na shaka
SHAMBA
, Mt 13:38 shamba ni ulimwengu
1Ko 3:9 Ninyi ni shamba la Mungu
SHAMBA LA MIZABIBU
, Mt 20:1 shamba la mizabibu
Mt 21:28 fanya kazi katika shamba la mizabibu
Lu 20:9 alipanda shamba la mizabibu akasafiri
SHANGAA
, 1Pe 4:4 Wanashangaa hamwendelei
SHANGILIA
, 1Nya 29:9 walishangilia kwa kutoa matoleo
Zb 100:2 Mtumikieni Yehova kwa kushangilia
Zb 137:6 Sababu zangu kuu zaidi za kushangilia
Met 8:30 Ninashangilia mbele zake wakati wote
Met 27:11 Uwe na hekima, moyo wangu ushangilie
Mhu 8:15 bora kuliko kula na kunywa na kushangilia
Isa 65:13 Watumishi wangu watashangilia, lakini
Mdo 5:41 wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia
Ro 5:3 tushangilie tukiwa katika dhiki
Ro 12:12 Shangilieni katika tumaini
Ro 12:15 Shangilieni na wale wanaoshangilia
Flp 3:1 endeleeni kushangilia katika Bwana
Flp 4:4 Shangilieni sikuzote katika Bwana
SHANGWE
, Ne 8:10 shangwe ya Yehova ngome yenu
Ayu 38:7 Nyota za asubuhi zilishangilia
Isa 65:14 Watumishi watapiga vigelegele kwa shangwe
Lu 8:13 hulipokea neno kwa shangwe
Lu 15:7 shangwe mbinguni mtenda dhambi akitubu
Yoh 16:22 hakuna atakayeondoa shangwe yenu
Ro 15:13 Mungu awajaze shangwe na amani
1Th 1:6 kwa shangwe ya roho takatifu
Ebr 12:2 shangwe iliyowekwa mbele yake, alivumilia
3Yo 4 shangwe watoto wanatembea katika kweli
SHAURIANA
, Met 15:22 huvunjika wasiposhauriana
SHAVU
, Mt 5:39 anayekupiga kofi kwenye shavu la kulia
SHAWISHI
, 1Ko 2:4 maneno yenye kushawishi ya hekima
2Ko 5:11 tunaendelea kuwashawishi watu
2Ti 3:14 uliyojifunza na uliyoshawishiwa kuamini
SHEOLI.
Angalia KABURI.
SHEREHE
, Law 23:4 Hizi ndizo sherehe za Yehova za
SHERIA
, Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamilifu
Zb 40:8 sheria yako imo ndani yangu
Zb 94:20 kinatunga matatizo kwa kutumia sheria
Zb 119:97 Jinsi ninavyoipenda sheria yako
Yer 31:33 Nitaitia sheria yangu ndani yao
Hab 1:4 sheria haifanyi kazi, na haki
Ro 7:22 naipenda sheria ya Mungu
Ro 10:4 Kristo ndiye mwisho wa Sheria
Ro 13:8 anayempenda mwenzake ameitimiza sheria
Gal 3:24 Sheria mtunzaji ikituongoza kwa Kristo
Gal 6:2 mtaitimiza sheria ya Kristo
2Ti 2:5 shindana kulingana na sheria
Yak 2:8 mnaifuata ile sheria ya kifalme
SHERIA YA MUNGU
, Ro 7:22 naipenda sheria ya Mungu
SHETANI
, Ayu 1:6 Shetani pia akaingia kati yao
Zek 3:2 Yehova na akukemee, Shetani
Mt 4:10 Nenda zako, Shetani! Imeandikwa
Mt 16:23 Petro: “Nenda nyuma yangu, Shetani!
Mk 4:15 Shetani huja na kuliondoa neno
Ro 16:20 Mungu atamponda Shetani chini ya miguu
1Ko 5:5 mumkabidhi mtu huyo kwa Shetani
2Ko 2:11 ili Shetani asitushinde akili
2Ko 11:14 Shetani hujifanya malaika wa nuru
2Th 2:9 kupitia kazi ya Shetani
Ufu 12:9 nyoka anayeitwa Ibilisi na Shetani
Ufu 20:2 Shetani kufungwa miaka 1,000
SHIDA
, 1Pe 4:18 mwadilifu anaokolewa kwa shida
SHIKA
, Mt 28:20 kuwafundisha kushika mambo yote
Yoh 14:15 mkinipenda, mtazishika amri zangu
Flp 2:16 kulishika sana neno la uzima
SHIKAMANA
, Mwa 2:24 atashikamana na mke
Kum 10:20 mnapaswa kushikamana na Yehova
Yos 23:8 mnapaswa kushikamana na Yehova
Lu 22:28 mmeshikamana nami katika majaribu
Ro 12:9 shikamaneni na mema
SHILO
, Mwa 49:10 mpaka Shilo atakapokuja
SHIMO
, Met 26:27 Anayechimba shimo ataanguka ndani
Da 6:7 kutupwa ndani ya shimo la simba
Mt 15:14 kipofu, watatumbukia ndani ya shimo
SHIMO REFU
, Ufu 11:7 mnyama kutoka shimo refu
Ufu 17:8 Mnyama atapanda kutoka katika shimo refu
Ufu 20:3 akamtupa katika shimo refu
SHINDA
, Yer 1:19 watapigana nawe, hawatakushinda
Yoh 16:33 jipeni moyo! nimeushinda ulimwengu
Ro 12:21 endelea kuushinda uovu kwa wema
Ufu 2:7 atakayeshinda nitampa ruhusa ya
Ufu 6:2 akishinda na kukamilisha ushindi wake
SHIRIKIANA
, 1Ko 5:9 mwache kushirikiana na waasherati
1Ko 15:33 Kushirikiana na wabaya huharibu
2Th 3:14 mwache kushirikiana naye
SHIRIKINI
, Ro 12:13 Shirikini kulingana na mahitaji yao
SHORE
, Mt 10:29 Shore wawili huuzwa kwa sarafu
SHTAKA
, Ro 8:33 Ni nani atakayewashtaki
1Ti 5:19 Usikubali mashtaka dhidi ya mzee
Tit 1:7 Mwangalizi hapaswi kuwa na shtaka
SHTUA
, Yoh 6:60 Maneno hayo yanashtua; nani
SHUGHULIKA
, 1Th 4:11 kushughulika na mambo yenu
SHUJAA
, Yer 20:11 Yehova pamoja nami kama shujaa
SHUKA MOYO
, 1Th 5:14 wafarijini wale walioshuka moyo
SHUKRANI
, Zb 95:2 Twendeni tukiwa na shukrani
Met 29:21 akibembelezwa hatakuwa na shukrani
Efe 5:20 mkimtolea shukrani Mungu
Kol 3:15 mjionyeshe kuwa wenye shukrani
SHUKURU
, Zb 92:1 vema kukushukuru, Ee Yehova
Yoh 11:41 Baba, ninakushukuru umenisikia
Mdo 28:15 alipowaona, akamshukuru Mungu
1Ko 1:4 Sikuzote ninamshukuru Mungu
1Ti 1:12 Ninamshukuru Kristo Yesu
SHULE
, Yoh 7:15 ingawa hajafundishwa shuleni
SHUTUMU
, Mt 5:11 watu wanapowashutumu
SIFA
, Met 27:21 mtu hupimwa kwa sifa anayopokea
SIFA ZA KUSTAHILI
, Gal 6:1 sifa za kustahili kiroho
SIFU
, 1Nya 16:25 Yehova ni mkuu na anastahili kusifiwa
Zb 147:1 inavyopendeza na inavyofaa kumsifu
Met 27:2 Acha mtu mwingine akusifu
SIFUSIFU
, Met 26:28 kinywa kinachosifusifu huleta
Met 29:5 anayemsifusifu jirani anautandaza wavu
Ro 16:18 maneno ya kusifusifu wao huishawishi
Yud 16 wakiwasifusifu ili wapate faida
SIHI
, Ro 12:1 ninawasihi kwa huruma
Flm 9 nikusihi kwa msingi wa upendo
SIKIA
, Ro 10:14 watasikiaje bila mtu wa kuhubiri
Yak 1:19 mwepesi kusikia, si kusema
SIKILIZA
, Met 1:5 mwenye hekima husikiliza
Eze 2:7 uwaambie, iwe watasikiliza au la
Mt 17:5 Mwanangu, mpendwa. Msikilizeni
Lu 10:16 Yeyote anayewasikiliza ananisikiliza
Mdo 4:19 kuwasikiliza ninyi badala ya Mungu
SIKITIKA
, Mt 9:36 Alipoona umati akausikitikia
Mt 20:34 Yesu akawasikitikia, akagusa macho yao
SIKITIKIA
, Ebr 4:15 kuusikitikia udhaifu wetu
SIKITIKIWA
, 1Ko 15:19 sisi ndio wa kusikitikiwa
SIKU
, Zb 84:10 siku moja katika nyua zako ni bora
Eze 4:6 siku moja kwa mwaka mmoja
Mt 24:36 Kuhusu siku hiyo na saa hiyo
2Pe 3:8 siku moja ni kama miaka elfu
SIKUKUU
, Mwa 40:20 sikukuu ya kuzaliwa, Farao
Mt 14:6 sikukuu ya kuzaliwa, Herode
SIKU YA YEHOVA
, Yoe 2:1 siku ya Yehova inakuja!
Amo 5:18 siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?
Sef 1:14 siku ya Yehova iko karibu!
1Th 5:2 siku ya Yehova inakuja kama mwizi
2Th 2:2 siku ya Yehova imefika
2Pe 3:12 kuweka akilini siku ya Yehova
SIKU ZA MWISHO
, 2Ti 3:1 siku za mwisho, hatari
SILAHA
, Isa 54:17 Hakuna silaha yoyote itakayotokezwa
2Ko 10:4 silaha za vita vyetu si za kimwili
SIMAMA
, 1Ko 10:12 anayefikiri amesimama ajihadhari
SIMAMA IMARA
, 1Ko 16:13 simameni imara katika imani
SIMAMIA
, Ro 12:8 anayesimamia, na afanye hivyo kwa
1Th 5:12 wanaowasimamia katika Bwana
SIMBA
, 1Sa 17:36 nilimuua simba na dubu
Isa 11:7 Simba atakula majani kama ng’ombe
Da 6:27 alimwokoa Danieli kutoka kwa simba
1Pe 5:8 Ibilisi, kama simba anayenguruma
Ufu 5:5 Simba wa kabila la Yuda
SIMONI
, Mdo 8:18 Simoni akawatolea pesa
SINAI
, Kut 19:20 Yehova akashuka, Mlima Sinai
SINZIA
, Met 23:21 kusinzia kutamvika matambara
SIRI
, Zb 91:1 mahali pa siri pa Aliye Juu Zaidi
Met 11:13 mtu anayeaminika hutunza siri
Met 20:19 Mchongezi hufunua mazungumzo ya siri
Met 25:9 usifunue uliyoambiwa sirini
Amo 3:7 kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake
Flp 4:12 nimejifunza siri ya jinsi ya kushiba
SIRI TAKATIFU
, Ro 16:25 siri takatifu ilikuwa imefichwa
Efe 3:4 ninavyoelewa siri takatifu
SITASITA
, Yak 1:8 yeye ni mtu anayesitasita, asiye imara
SODOMA
, Mwa 19:24 kiberiti na moto juu ya Sodoma
2Pe 2:6 kuharibu Sodoma, kielelezo kwetu
SODOMA NA GOMORA
, Yud 7 Sodoma na Gomora, onyo
SOKONI
, Mdo 17:17 akajadiliana na watu sokoni
SOMA
, Kum 17:19 akisome sikuzote za maisha yake
Mdo 8:30 kweli unajua unayosoma?
SONGA
, Mk 4:19 kulisonga neno, nalo halizai matunda
STADI
, Met 22:29 umemwona mtu aliye stadi katika kazi
STAHILI
, Mt 10:11 tafuteni humo mtu anayestahili
2Ko 3:5 kustahili kwetu hutoka kwa Mungu
2Ti 2:2 watastahili kuwafundisha wengine
STAREHE
, Lu 12:19 starehe, ule, unywe, na ujifurahishe
SUBIRA
, Ne 9:30 Uliwaonyesha subira kwa miaka mingi
Met 14:29 asiye na subira hudhihirisha upumbavu
Met 25:15 Kwa subira kamanda hushawishiwa
Ro 9:22 Mungu alivumilia kwa subira vyombo
1Ko 13:4 Upendo ni wenye subira na fadhili
1Th 5:14 iweni na subira kwa watu wote
Yak 5:8 iweni na subira; imarisheni mioyo yenu
2Pe 3:9 Yehova ni mwenye subira kwenu
2Pe 3:15 ioneni subira ya Bwana kuwa wokovu
SUKUMA
, Kut 35:21 moyo wake ulimsukuma akaleta
SULEMANI
, 1Fa 4:29 Mungu akampa Sulemani hekima
Mt 6:29 hata Sulemani katika utukufu wake wote
SURA
, 1Sa 16:7 Usitazame sura yake
Yoh 7:24 kuhukumu kwa sura ya nje
SURA NZURI
, Met 31:30 Sura nzuri inaweza kudanganya
SURA YA NJE
, Mt 22:16 huangalii sura ya nje ya mtu
Gal 2:6 Mungu haangalii sura ya nje
SWILA
, Isa 11:8 atacheza juu ya shimo la swila
T
TAA
, Zb 119:105 Neno lako ni taa ya mguu wangu
Mt 6:22 Taa ya mwili ni jicho
Mt 25:1 mabikira kumi waliochukua taa zao
TAABU
, 2Sa 22:7 Katika taabu yangu nilimwita Yehova
Zb 46:1 Msaada unaopatikana nyakati za taabu
Isa 38:14 Ee Yehova, ninataabika sana
TABIBU.
Angalia DAKTARI.
TAFADHALI
, Mwa 15:5 Tafadhali, tazama juu mbinguni
TAFAKARI
, Mwa 24:63 Isaka alikuwa akitafakari
Zb 19:14 kutafakari kwa moyo wangu
Zb 77:12 Nitautafakari utendaji wako wote
Met 15:28 mwadilifu hutafakari kabla ya kujibu
TAFUTA
, 1Nya 28:9 Ukimtafuta, atakuruhusu umpate
Zb 119:176 kondoo aliyepotea. Nitafute mimi
Isa 55:6 Mtafuteni Yehova wakati anapatikana