Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Habari Njema Kulingana na Yohana

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Neno akawa mwili (1-18)

    • Ushahidi uliotolewa na Yohana Mbatizaji (19-28)

    • Yesu, Mwanakondoo wa Mungu (29-34)

    • Wanafunzi wa kwanza wa Yesu (35-42)

    • Filipo na Nathanaeli (43-51)

  • 2

    • Harusi huko Kana; abadili maji kuwa divai (1-12)

    • Yesu asafisha hekalu (13-22)

    • Yesu anajua kilicho ndani ya mwanadamu (23-25)

  • 3

    • Yesu na Nikodemo (1-21)

      • Kuzaliwa tena (3-8)

      • Mungu aliupenda ulimwengu (16)

    • Yohana atoa ushahidi wa mwisho kumhusu Yesu (22-30)

    • Yule aliyetoka juu (31-36)

  • 4

    • Yesu na mwanamke Msamaria (1-38)

      • Mwabudu Mungu “kwa roho na kweli” (23, 24)

    • Wasamaria wengi wamwamini Yesu (39-42)

    • Yesu amponya mwana wa ofisa (43-54)

  • 5

    • Mwanamume mgonjwa aponywa Bethzatha (1-18)

    • Yesu apewa mamlaka na baba yake (19-24)

    • Wafu watasikia sauti ya Yesu (25-30)

    • Ushahidi kumhusu Yesu (31-47)

  • 6

    • Yesu alisha wanaume 5,000 (1-15)

    • Yesu atembea juu ya maji (16-21)

    • Yesu ndiye “mkate wa uzima” (22-59)

    • Wengi wakwazwa na maneno ya Yesu (60-71)

  • 7

    • Yesu akiwa kwenye Sherehe ya Vibanda (1-13)

    • Yesu afundisha kwenye sherehe (14-24)

    • Maoni mbalimbali kumhusu Yesu (25-52)

  • 8

    • Baba hutoa ushahidi kumhusu Yesu (12-30)

      • Yesu ndiye “nuru ya ulimwengu” (12)

    • Watoto wa Abrahamu (31-41)

      • “Kweli itawaweka ninyi huru” (32)

    • Watoto wa Ibilisi (42-47)

    • Yesu na Abrahamu (48-59)

  • 9

    • Yesu amponya mwanamume aliyezaliwa kipofu (1-12)

    • Mafarisayo wamuuliza maswali mwanamume aliyeponywa (13-34)

    • Upofu wa Mafarisayo (35-41)

  • 10

    • Mchungaji na kondoo (1-21)

      • Yesu ndiye mchungaji mwema (11-15)

      • “Nina kondoo wengine” (16)

    • Wayahudi wakutana na Yesu kwenye Sherehe ya Wakfu (22-39)

      • Wayahudi wengi wakataa kuamini (24-26)

      • “Kondoo wangu husikiliza sauti yangu” (27)

      • Mwana yuko katika muungano na Baba (30, 38)

    • Watu wengi ng’ambo ya Yordani waamini (40-42)

  • 11

    • Kifo cha Lazaro (1-16)

    • Yesu awafariji Martha na Maria (17-37)

    • Yesu amfufua Lazaro (38-44)

    • Njama ya kumuua Yesu (45-57)

  • 12

    • Maria ammiminia Yesu mafuta miguuni (1-11)

    • Yesu aingia kwa kishindo (12-19)

    • Yesu atabiri kifo chake (20-37)

    • Ukosefu wa imani wa Wayahudi watimiza unabii (38-43)

    • Yesu alikuja kuuokoa ulimwengu (44-50)

  • 13

    • Yesu aosha miguu ya wanafunzi wake (1-20)

    • Yesu amtambulisha Yuda kuwa msaliti (21-30)

    • Amri mpya (31-35)

      • “Mkiwa na upendo miongoni mwenu” (35)

    • Yesu atabiri Petro atamkana (36-38)

  • 14

    • Yesu ndiye njia pekee ya kumkaribia Mungu (1-14)

      • ‘Mimi ndiye njia, kweli, na uzima’ (6)

    • Yesu awaahidi wanafunzi roho takatifu (15-31)

      • “Baba ni mkuu kuliko mimi” (28)

  • 15

    • Mfano wa mzabibu wa kweli (1-10)

    • Amri ya kuonyesha upendo kama wa Kristo (11-17)

      • ‘Hakuna aliye na upendo mkuu kuliko huu’ (13)

    • Ulimwengu unawachukia wanafunzi wa Yesu (18-27)

  • 16

    • Wanafunzi wa Yesu watakabili kifo (1-4a)

    • Kazi ya roho takatifu (4b-16)

    • Huzuni ya wanafunzi itageuka kuwa shangwe (17-24)

    • Yesu aushinda Ulimwengu (25-33)

  • 17

    • Yesu asali mara ya mwisho akiwa na wanafunzi wake (1-26)

      • Uzima wa milele ndio huu, kumjua Mungu (3)

      • Wakristo si sehemu ya ulimwengu (14-16)

      • “Neno lako ni kweli” (17)

      • “Nimewajulisha jina lako” (26)

  • 18

    • Yuda amsaliti Yesu (1-9)

    • Petro atumia upanga (10, 11)

    • Yesu apelekwa kwa Anasi (12-14)

    • Petro amkana Yesu mara ya kwanza (15-18)

    • Yesu mbele ya Anasi (19-24)

    • Petro amkana Yesu mara ya pili na ya tatu (25-27)

    • Yesu mbele ya Pilato (28-40)

      • “Ufalme wangu si sehemu ya ulimwengu huu” (36)

  • 19

    • Yesu apigwa na kudhihakiwa (1-7)

    • Pilato amuuliza tena Yesu maswali (8-16a)

    • Yesu atundikwa kwenye mti huko Golgotha (16b-24)

    • Yesu amfanyia mama yake maandalizi (25-27)

    • Yesu afa (28-37)

    • Yesu azikwa (38-42)

  • 20

    • Kaburi tupu (1-10)

    • Yesu amtokea Maria Magdalene (11-18)

    • Yesu awatokea wanafunzi wake (19-23)

    • Tomasi awa na shaka lakini baadaye asadikishwa (24-29)

    • Kusudi la kitabu hiki cha kukunjwa (30, 31)

  • 21

    • Yesu awatokea wanafunzi wake (1-14)

    • Petro amhakikishia Yesu kwamba anampenda (15-19)

      • “Lisha kondoo wangu wadogo” (17)

    • Wakati ujao wa mwanafunzi aliyependwa na Yesu (20-23)

    • Umalizio (24, 25)