Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Kitabu cha Waamuzi

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Ushindi wa kabila la Yuda na la Simeoni (1-20)

    • Wayebusi waendelea kuishi Yerusalemu (21)

    • Yosefu achukua Betheli (22-26)

    • Wakanaani hawakufukuzwa wote (27-36)

  • 2

    • Onyo kutoka kwa malaika wa Yehova (1-5)

    • Kifo cha Yoshua (6-10)

    • Mungu atuma waamuzi kuwaokoa Waisraeli (11-23)

  • 3

    • Yehova awajaribu Waisraeli (1-6)

    • Othnieli, mwamuzi wa kwanza (7-11)

    • Mwamuzi Ehudi amuua Mfalme Egloni aliyekuwa mnene (12-30)

    • Mwamuzi Shamgari (31)

  • 4

    • Mfalme Yabini wa Kanaani awakandamiza Waisraeli (1-3)

    • Nabii wa kike Debora na Mwamuzi Baraka (4-16)

    • Yaeli amuua Sisera mkuu wa jeshi (17-24)

  • 5

    • Wimbo wa ushindi wa Debora na Baraka (1-31)

      • Nyota zapigana na Sisera (20)

      • Mafuriko ya Mto Kishoni (21)

      • Wanaompenda Yehova wako kama jua (31)

  • 6

    • Wamidiani wawakandamiza Waisraeli (1-10)

    • Malaika amhakikishia Mwamuzi Gideoni atapata msaada (11-24)

    • Gideoni abomoa madhabahu ya Baali (25-32)

    • Roho ya Mungu yamtia nguvu Gideoni (33-35)

    • Jaribio la manyoya (36-40)

  • 7

    • Gideoni na wanaume 300 (1-8)

    • Jeshi la Gideoni lawashinda Wamidiani (9-25)

      • “Upanga wa Yehova na wa Gideoni!” (20)

      • Kambi ya Wamidiani yachanganyikiwa (21, 22)

  • 8

    • Waefraimu wamlalamikia Gideoni (1-3)

    • Wafalme Wamidiani wafuatiliwa na kuuawa (4-21)

    • Gideoni akataa kuwa mfalme (22-27)

    • Historia fupi ya maisha ya Gideoni (28-35)

  • 9

    • Abimeleki awa mfalme kule Shekemu (1-6)

    • Fumbo la Yothamu (7-21)

    • Utawala wa kikatili wa Abimeleki (22-33)

    • Abimeleki ashambulia Shekemu (34-49)

    • Mwanamke amjeruhi Abimeleki; Abimeleki afa (50-57)

  • 10

    • Waamuzi Tola na Yairi (1-5)

    • Waisraeli waasi na kutubu (6-16)

    • Waamoni wataka kuwashambulia Waisraeli (17, 18)

  • 11

    • Mwamuzi Yeftha afukuzwa, baadaye afanywa kuwa kiongozi (1-11)

    • Yeftha azungumza na Waamoni (12-28)

    • Nadhiri ya Yeftha na binti yake (29-40)

      • Maisha ya useja ya binti yake (38-40)

  • 12

    • Apigana na Waefraimu (1-7)

      • Jaribio la kutamka Shibolethi (6)

    • Waamuzi Ibzani, Eloni, na Abdoni (8-15)

  • 13

    • Malaika amtembelea Manoa na mke wake (1-23)

    • Samsoni azaliwa (24, 25)

  • 14

    • Mwamuzi Samsoni atafuta mke Mfilisti (1-4)

    • Roho ya Yehova yamwezesha Samsoni kumuua simba (5-9)

    • Samsoni atega kitendawili kwenye harusi (10-19)

    • Mwanamume mwingine apewa mke wa Samsoni (20)

  • 15

    • Samsoni alipiza kisasi dhidi ya Wafilisti (1-20)

  • 16

    • Samsoni akiwa Gaza (1-3)

    • Samsoni na Delila (4-22)

    • Samsoni alipiza kisasi na kufa (23-31)

  • 17

    • Sanamu za Mika na kuhani wake (1-13)

  • 18

    • Watu wa kabila la Dani watafuta nchi (1-31)

      • Kuchukuliwa kwa sanamu za Mika na kuhani wake (14-20)

      • Jiji la Laishi lachukuliwa na kuitwa Dani (27-29)

      • Ibada ya sanamu katika jiji la Dani (30, 31)

  • 19

    • Wabenjamini wabaka katika jiji la Gibea (1-30)

  • 20

    • Wabenjamini washambuliwa (1-48)

  • 21

    • Kabila la Wabenjamini laokolewa (1-25)