ONYESHA Kitabu cha Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Ruthu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Ayubu Zaburi Methali Mhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Mathayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorintho 2 Wakorintho Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Wathesalonike 2 Wathesalonike 1 Timotheo 2 Timotheo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 Kitabu cha Pili cha Samweli Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 Muhtasari wa Yaliyomo 1 Daudi apata habari za kifo cha Sauli (1-16) Daudi aimba wimbo wa kumwombolezea Sauli na Yonathani (17-27) 2 Daudi, mfalme wa Yuda (1-7) Ish-boshethi, mfalme wa Israeli (8-11) Vita kati ya nyumba ya Daudi na nyumba ya Sauli (12-32) 3 Nyumba ya Daudi yazidi kupata nguvu (1) Wana wa Daudi (2-5) Abneri ajiunga na Daudi (6-21) Yoabu amuua Abneri (22-30) Daudi amwombolezea Abneri (31-39) 4 Ish-boshethi auawa (1-8) Daudi aagiza waliomuua Ish-boshethi wauawe (9-12) 5 Daudi awekwa kuwa mfalme wa nchi yote ya Israeli (1-5) Yerusalemu latekwa (6-16) Sayuni, Jiji la Daudi (7) Daudi awashinda Wafilisti (17-25) 6 Sanduku la agano laletwa Yerusalemu (1-23) Uza alikamata sanduku la agano na kuuawa (6-8) Mikali amdharau Daudi (16, 20-23) 7 Daudi hatajenga hekalu (1-7) Agano pamoja na Daudi kwa ajili ya ufalme (8-17) Sala ya Daudi ya shukrani (18-29) 8 Ushindi mbalimbali wa Daudi (1-14) Wakuu katika utawala wa Daudi (15-18) 9 Daudi amtendea Mefiboshethi kwa upendo mshikamanifu (1-13) 10 Awashinda Waamoni na Wasiria (1-19) 11 Daudi afanya uzinzi na Bath-sheba (1-13) Daudi apanga Uria auawe (14-25) Daudi amchukua Bath-sheba kuwa mke wake (26, 27) 12 Nathani amkaripia Daudi (1-15a) Mwana wa Bath-sheba afa (15b-23) Bath-sheba amzaa Sulemani (24, 25) Jiji la Raba la Waamoni latekwa (26-31) 13 Amnoni ambaka Tamari (1-22) Absalomu amuua Amnoni (23-33) Absalomu akimbilia Geshuri (34-39) 14 Yoabu na mwanamke Mtekoa (1-17) Daudi agundua njama ya Yoabu (18-20) Absalomu aruhusiwa kurudi (21-33) 15 Njama na uasi wa Absalomu (1-12) Daudi akimbia kutoka Yerusalemu (13-30) Ahithofeli ajiunga na Absalomu (31) Hushai atumwa kuvuruga ushauri wa Ahithofeli (32-37) 16 Siba amchongea Mefiboshethi (1-4) Shimei amtukana Daudi (5-14) Absalomu ampokea Hushai (15-19) Ushauri wa Ahithofeli (20-23) 17 Hushai avuruga ushauri wa Ahithofeli (1-14) Daudi aonywa; amtoroka Absalomu (15-29) Barzilai na wengine wamletea vyakula (27-29) 18 Absalomu ashindwa; kifo chake (1-18) Daudi ajulishwa kuhusu kifo cha Absalomu (19-33) 19 Daudi amwombolezea Absalomu (1-4) Yoabu amkaripia Daudi (5-8a) Daudi arudi Yerusalemu (8b-15) Shimei aomba msamaha (16-23) Mefiboshethi athibitishwa kuwa hana hatia (24-30) Barzilai aheshimiwa (31-40) Makabila yazozana (41-43) 20 Uasi wa Sheba; Yoabu amuua Amasa (1-13) Sheba afuatwa na kukatwa kichwa (14-22) Wakuu katika utawala wa Daudi (23-26) 21 Nyumba ya Sauli yalipizwa kisasi kwa ajili ya Wagibeoni (1-14) Vita dhidi ya Wafilisti (15-22) 22 Daudi amsifu Mungu kwa sababu ya matendo yake ya wokovu (1-51) “Yehova ni jabali langu” (2) Yehova ni mshikamanifu kwa walio washikamanifu (26) 23 Maneno ya mwisho ya Daudi (1-7) Mambo yaliyotendwa na mashujaa hodari wa Daudi (8-39) 24 Dhambi ya Daudi ya kuwahesabu watu (1-14) Ugonjwa hatari wasababisha vifo vya watu 70,000 (15-17) Daudi ajenga madhabahu (18-25) Hatatoa dhabihu ambazo hazimgharimu (24) Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki 2 Samweli—Yaliyomo BIBLIA TAKATIFU—TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA (TOLEO LA 2017) 2 Samweli—Yaliyomo Kiswahili 2 Samweli—Yaliyomo https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/058cc5b523/images/syn_placeholder_sqr.png