Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Barua kwa Waroma

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Salamu (1-7)

    • Paulo atamani kutembelea Roma (8-15)

    • Mwadilifu ataishi kupitia imani (16, 17)

    • Watu wasiomwogopa Mungu hawana sababu ya kujitetea (18-32)

      • Sifa za Mungu zinaonekana kupitia uumbaji (20)

  • 2

    • Hukumu ya Mungu dhidi ya Wayahudi na Wagiriki (1-16)

      • Jinsi dhamiri inavyofanya kazi (14, 15)

    • Wayahudi na Sheria (17-24)

    • Kutahiriwa moyoni (25-29)

  • 3

    • “Mungu na aonekane kuwa wa kweli” (1-8)

    • Wayahudi na Wagiriki wako chini ya dhambi (9-20)

    • Uadilifu kupitia imani (21-31)

      • Wote wanapungukiwa na utukufu wa Mungu (23)

  • 4

    • Abrahamu alitangazwa kuwa mwadilifu kupitia imani (1-12)

      • Abrahamu, baba ya wale walio na imani (11)

    • Kupokea ahadi kupitia imani (13-25)

  • 5

    • Kupatanishwa na Mungu kupitia Kristo (1-11)

    • Kifo kupitia Adamu, uzima kupitia Kristo (12-21)

      • Dhambi na kifo vyaenea kwa wote (12)

      • Tendo moja la kutetewa (18)

  • 6

    • Uhai mpya kupitia ubatizo katika Kristo (1-11)

    • Msiache dhambi itawale katika miili yenu (12-14)

    • Kuacha utumwa wa dhambi na kuwa watumwa wa Mungu (15-23)

      • Mshahara wa dhambi​—⁠kifo; Zawadi ya Mungu​—⁠uzima (23)

  • 7

    • Kuwekwa huru kutoka katika Sheria kwafafanuliwa (1-6)

    • Dhambi yafunuliwa kupitia Sheria (7-12)

    • Kupambana na dhambi (13-25)

  • 8

    • Uzima na uhuru kupitia roho (1-11)

    • Roho ya kuwa wana hutoa ushahidi (12-17)

    • Uumbaji unangojea uhuru wa wana wa Mungu (18-25)

    • ‘Roho hutuombea’ (26, 27)

    • Mungu aliwachagua awali (28-30)

    • Ushindi kupitia upendo wa Mungu (31-39)

  • 9

    • Paulo awahuzunikia Israeli wa kimwili (1-5)

    • Uzao wa kweli wa Abrahamu (6-13)

    • Mungu akichagua haiwezekani kumpinga (14-26)

      • Vyombo vya ghadhabu na vya rehema (22, 23)

    • Ni mabaki tu watakaookolewa (27-29)

    • Israeli wajikwaa (30-33)

  • 10

    • Jinsi ya kufikia uadilifu wa Mungu (1-15)

      • Tangazo la hadharani (10)

      • Kumwitia Yehova humaanisha wokovu (13)

      • Miguu ya wahubiri inapendeza (15)

    • Habari njema yakataliwa (16-21)

  • 11

    • Israeli hawakukataliwa wote (1-16)

    • Mfano wa mzeituni (17-32)

    • Kina cha hekima ya Mungu (33-36)

  • 12

    • Toeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai (1, 2)

    • Zawadi mbalimbali lakini mwili mmoja (3-8)

    • Ushauri kuhusu maisha ya Wakristo wa kweli (9-21)

  • 13

    • Kujitiisha chini ya mamlaka (1-7)

      • Kulipa kodi (6, 7)

    • Upendo hutimiza Sheria (8-10)

    • Jiendesheni kama wakati wa mchana (11-14)

  • 14

    • Msihukumiane (1-12)

    • Msiwakwaze wengine (13-18)

    • Jitahidi kupata amani na umoja (19-23)

  • 15

    • Karibishaneni kama Kristo alivyofanya (1-13)

    • Paulo, mtumishi kwa mataifa (14-21)

    • Mipango ya safari za Paulo (22-33)

  • 16

    • Paulo amtambulisha Fibi, mhudumu (1, 2)

    • Salamu kwa Wakristo huko Roma (3-16)

    • Waonywa kuhusu migawanyiko (17-20)

    • Salamu kutoka kwa wafanyakazi wenzi wa Paulo (21-24)

    • Siri takatifu yafunuliwa (25-27)