ONYESHA Vitabu vya Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Rutu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Yobu Zaburi Mezali Muhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Matayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorinto 2 Wakorinto Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Watesalonike 2 Watesalonike 1 Timoteo 2 Timoteo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 Kitabu cha Muhubiri Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 Habari Zenye Kuwa Ndani 1 Kila kitu ni bure (1-11) Dunia inadumu milele (4) Mizunguko ya asili inaendelea (5-7) Hakuna kitu kipya chini ya jua (9) Hekima ya wanadamu iko na mipaka (12-18) Kufuatilia upepo (14) 2 Kuchunguza mambo yenye Sulemani alifuatilia (1-11) Hekima ya wanadamu haina faida kubwa (12-16) Kazi ngumu ni bure (17-23) Kula, kunywa, na ufurahie kazi (24-26) 3 Kila jambo liko na wakati wake wenye umewekwa (1-8) Kufurahia maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu (9-15) Umilele uko katika moyo wa mwanadamu (11) Mungu anahukumu watu wote kwa haki (16, 17) Wanadamu na wanyama wote wanafikia kufa (18-22) Wote watarudia katika mavumbi (20) 4 Ukandamizaji ni mubaya kuliko kifo (1-3) Maoni yenye kufaa juu ya kazi (4-6) Faida ya kuwa na rafiki (7-12) Wawili ni muzuri kuliko mumoja (9) Maisha ya mutawala yanaweza kuwa ya bure (13-16) 5 Karibia Mungu ukiwa na woga wenye unafaa (1-7) Watu wenye kuwa chini wanaangaliwa na watu wenye kuwa juu zaidi (8, 9) Utajiri ni bure (10-20) Watu wenye wanapenda feza hawatosheke hata kidogo (10) Usingizi wa mufanyakazi ni mutamu (12) 6 Mali bila furaha (1-6) Furahia vitu vyenye uko navyo sasa (7-12) 7 Jina la muzuri na siku ya kufa (1-4) Kemeo la mutu mwenye hekima (5-7) Mwisho ni muzuri zaidi kuliko mwanzo (8-10) Faida ya hekima (11, 12) Siku za muzuri na siku za mubaya (13-15) Epuka kuvuka mipaka (16-22) Mambo yenye mukutanishaji alijionea (23-29) 8 Wakati mwanadamu mwenye hakamilike anatawala (1-17) Tii maagizo ya mufalme (2-4) Utawala wa mwanadamu ni wenye kuumiza (9) Wakati azabu haitolewe haraka (11) Kula, kunywa, na ufurahi (15) 9 Wote wanapatwa na jambo lilelile (1-3) Furahia maisha hata kama utakufa (4-12) Wafu hawajue kitu chochote (5) Hakuna kazi yoyote katika Kaburi (10) Wakati na mambo yenye hayatazamiwe (11) Hekima haifurahiwe kila mara (13-18) 10 Upumbavu kidogo unaharibu hekima (1) Hatari za kukosa kuwa na uwezo wa kufanya mambo kwa njia ya muzuri (2-11) Hali yenye kuhuzunisha ya wapumbavu (12-15) Upumbavu kati ya watawala (16-20) Ndege anaweza kurudilia maneno yako (20) 11 Tumia nafasi yenye inajitokeza (1-8) Tupa mukate wako juu ya maji (1) Panda mbegu kuanzia asubui mupaka mangaribi (6) Furahia ujana kwa njia yenye inafaa (9, 10) 12 Kumbuka Muumbaji mbele ya kuzeeka (1-8) Maneno ya kumalizia ya mukutanishaji (9-14) Maneno ya hekima ni kama michokoo ya kuongozea ngombe (11) Ogopa Mungu wa kweli (13) YENYE KUTANGULIA ENDELEA CHAPA TUMIA WENGINE TUMIA WENGINE Muhubiri—Habari Zenye Kuwa Ndani BIBLIA—TAFSIRI YA ULIMWENGU MUPYA (YENYE ILIREKEBISHWA YA 2018) Muhubiri—Habari Zenye Kuwa Ndani Kiswahili (Congo) Muhubiri—Habari Zenye Kuwa Ndani https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1001061100/univ/wpub/1001061100_univ_sqr_xl.jpg nwt Mhubiri