ONYESHA Kitabu cha Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Ruthu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Ayubu Zaburi Methali Mhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Mathayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorintho 2 Wakorintho Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Wathesalonike 2 Wathesalonike 1 Timotheo 2 Timotheo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 Kitabu cha Yoshua Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 Muhtasari wa Yaliyomo 1 Yehova amtia moyo Yoshua (1-9) Soma Sheria kwa sauti ya chini (8) Matayarisho ya kuvuka Yordani (10-18) 2 Yoshua atuma wapelelezi wawili Yeriko (1-3) Rahabu awaficha wapelelezi (4-7) Rahabu apewa ahadi (8-21a) Ishara ya kamba nyekundu (18) Wapelelezi warudi kwa Yoshua (21b-24) 3 Waisraeli wavuka Yordani (1-17) 4 Mawe ya ukumbusho (1-24) 5 Waisraeli watahiriwa kule Gilgali (1-9) Sherehe ya Pasaka; mwisho wa mana (10-12) Mkuu wa jeshi la Yehova (13-15) 6 Kuta za Yeriko zaanguka (1-21) Rahabu na familia yake waokolewa (22-27) 7 Waisraeli washindwa kule Ai (1-5) Sala ya Yoshua (6-9) Dhambi yasababisha Waisraeli washindwe (10-15) Akani afichuliwa na kupigwa mawe (16-26) 8 Yoshua avamia Ai (1-13) Jiji la Ai latekwa (14-29) Sheria yasomwa kwenye Mlima Ebali (30-35) 9 Wagibeoni wajanja watafuta amani (1-15) Hila ya Wagibeoni yagunduliwa (16-21) Wagibeoni watakuwa watekaji wa maji na wakusanyaji wa kuni (22-27) 10 Waisraeli wawatetea Wagibeoni (1-7) Yehova awapigania Waisraeli (8-15) Mawe yawaangukia maadui wanaokimbia (11) Jua lasimama tuli (12-14) Wafalme watano wa maadui wauawa (16-28) Majiji ya kusini yatekwa (29-43) 11 Majiji ya kaskazini yatekwa (1-15) Muhtasari wa ushindi wa Yoshua (16-23) 12 Wafalme wa mashariki mwa Yordani washindwa (1-6) Wafalme wa magharibi mwa Yordani washindwa (7-24) 13 Maeneo ambayo hayajatekwa (1-7) Kugawanywa kwa maeneo mashariki mwa Yordani (8-14) Urithi wa kabila la Rubeni (15-23) Urithi wa kabila la Gadi (24-28) Urithi wa kabila la Manase upande wa mashariki (29-32) Yehova ni urithi wa Walawi (33) 14 Kugawanywa kwa maeneo magharibi mwa Yordani (1-5) Kalebu arithi Hebroni (6-15) 15 Urithi wa kabila la Yuda (1-12) Binti ya Kalebu apewa eneo (13-19) Majiji ya Yuda (20-63) 16 Urithi wa wazao wa Yosefu (1-4) Urithi wa kabila la Efraimu (5-10) 17 Urithi wa kabila la Manase upande wa magharibi (1-13) Maeneo zaidi kwa ajili ya wazao wa Yosefu (14-18) 18 Maeneo yaliyobaki yagawanywa huko Shilo (1-10) Urithi wa kabila la Benjamini (11-28) 19 Urithi wa kabila la Simeoni (1-9) Urithi wa kabila la Zabuloni (10-16) Urithi wa kabila la Isakari (17-23) Urithi wa kabila la Asheri (24-31) Urithi wa kabila la Naftali (32-39) Urithi wa kabila la Dani (40-48) Urithi wa Yoshua (49-51) 20 Majiji ya makimbilio (1-9) 21 Majiji ya Walawi (1-42) Ya wazao wa Haruni (9-19) Ya Wakohathi waliobaki (20-26) Ya Wagershoni (27-33) Ya Wamerari (34-40) Ahadi za Yehova zatimia (43-45) 22 Makabila ya mashariki yarudi nyumbani (1-8) Madhabahu yajengwa karibu na Yordani (9-12) Kusudi la madhabahu laelezwa (13-29) Mgogoro wasuluhishwa (30-34) 23 Maneno ya mwisho ya Yoshua kwa viongozi wa Waisraeli (1-16) Hakuna ahadi yoyote ya Yehova iliyokosa kutimia (14) 24 Yoshua awakumbusha Waisraeli historia yao (1-13) Awahimiza wamtumikie Yehova (14-24) “Mimi na familia yangu, tutamtumikia Yehova” (15) Yoshua afanya agano na Waisraeli (25-28) Yoshua afa na kuzikwa (29-31) Mifupa ya Yosefu yazikwa Shekemu (32) Eleazari afa na kuzikwa (33) Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki Yoshua—Yaliyomo BIBLIA TAKATIFU—TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA (TOLEO LA 2017) Yoshua—Yaliyomo Kiswahili Yoshua—Yaliyomo /assets/ct/ac3f6ba788/images/syn_placeholder_sqr.png