ONYESHA Kitabu cha Biblia Mwanzo Kutoka Mambo ya Walawi Hesabu Kumbukumbu la Torati Yoshua Waamuzi Ruthu 1 Samweli 2 Samweli 1 Wafalme 2 Wafalme 1 Mambo ya Nyakati 2 Mambo ya Nyakati Ezra Nehemia Esta Ayubu Zaburi Methali Mhubiri Wimbo wa Sulemani Isaya Yeremia Maombolezo Ezekieli Danieli Hosea Yoeli Amosi Obadia Yona Mika Nahumu Habakuki Sefania Hagai Zekaria Malaki Mathayo Marko Luka Yohana Matendo Waroma 1 Wakorintho 2 Wakorintho Wagalatia Waefeso Wafilipi Wakolosai 1 Wathesalonike 2 Wathesalonike 1 Timotheo 2 Timotheo Tito Filemoni Waebrania Yakobo 1 Petro 2 Petro 1 Yohana 2 Yohana 3 Yohana Yuda Ufunuo Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 Mhubiri Sura 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 Muhtasari wa Yaliyomo 1 Kila kitu ni ubatili (1-11) Dunia inadumu milele (4) Mizunguko ya asili huendelea (5-7) Hakuna jambo jipya chini ya jua (9) Hekima ya wanadamu ni duni (12-18) Kukimbiza upepo (14) 2 Maelezo kuhusu mambo aliyotimiza Sulemani (1-11) Hekima ya wanadamu haina faida kubwa (12-16) Ubatili wa kazi ya jasho (17-23) Ule, unywe, na kufurahia kazi (24-26) 3 Kila jambo lina wakati wake (1-8) Kufurahia maisha ni zawadi kutoka kwa Mungu (9-15) Umilele umo ndani ya mioyo ya wanadamu (11) Mungu huwahukumu wote kwa haki (16, 17) Wanadamu na wanyama wote hufa (18-22) Wote watarudi mavumbini (20) 4 Ukandamizaji ni mbaya kuliko kifo (1-3) Maoni yanayofaa kuhusu kazi (4-6) Faida ya rafiki (7-12) Wawili ni bora (9) Maisha ya mtawala yanaweza kuwa ya ubatili (13-16) 5 Mkaribie Mungu kwa woga unaofaa (1-7) Walio chini hutazamwa na walio juu zaidi (8, 9) Ubatili wa utajiri (10-20) Wanaopenda pesa hawatosheki kamwe (10) Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu (12) 6 Mali bila furaha (1-6) Furahia ulicho nacho (7-12) 7 Jina zuri na siku ya kufa (1-4) Kemeo la mtu mwenye hekima (5-7) Mwisho ni bora kuliko mwanzo (8-10) Faida ya hekima (11, 12) Siku njema na siku mbaya (13-15) Usipite kiasi (16-22) Aliyoyaona mkutanishaji (23-29) 8 Mwanadamu asiye mkamilifu anapotawala (1-17) Tii amri za mfalme (2-4) Madhara ya utawala wa mwanadamu (9) Hukumu isipotekelezwa upesi (11) Ule, unywe, na kufurahia (15) 9 Wote hupatwa na jambo lilelile (1-3) Furahia maisha licha ya kwamba utakufa (4-12) Waliokufa hawajui jambo lolote (5) Hakuna kazi yoyote Kaburini (10) Wakati na matukio yasiyotarajiwa (11) Hekima haithaminiwi sikuzote (13-18) 10 Upumbavu kidogo huharibu hekima (1) Hatari za upumbavu (2-11) Madhara ya kuwa mjinga (12-15) Upumbavu miongoni mwa watawala (16-20) Huenda ndege akarudia maneno uliyosema (20) 11 Tumia fursa unayopata (1-8) Tupa mkate wako juu ya maji (1) Panda mbegu kuanzia asubuhi mpaka jioni (6) Furahia ujana wako kwa njia inayofaa (9, 10) 12 Mkumbuke Muumba kabla hujazeeka (1-8) Hitimisho la maneno ya mkutanishaji (9-14) Maneno ya hekima ni kama michokoo ya kuongozea ng’ombe (11) Mwogope Mungu wa kweli (13) Inayotangulia Inayofuata Chapa Shiriki Shiriki Mhubiri—Yaliyomo BIBLIA TAKATIFU—TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA (TOLEO LA 2017) Mhubiri—Yaliyomo Kiswahili Mhubiri—Yaliyomo https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/ct/6c240dc1f0/images/syn_placeholder_sqr.png