BIBLIA TAKATIFU—TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA (TOLEO LA 2017)

Yoeli—Yaliyomo

Kiswahili
Yoeli—Yaliyomo
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1001061100/univ/wpub/1001061100_univ_sqr_xl.jpg
nwt Yoeli

Kitabu cha Yoeli

Sura

1 2 3

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Shambulizi kali la wadudu (1-14)

    • “Siku ya Yehova iko karibu” (15-20)

      • Nabii amlilia Yehova (19, 20)

  • 2

    • Siku ya Yehova na jeshi lake kubwa (1-11)

    • Wasihiwa wamrudie Yehova (12-17)

      • “Irarueni mioyo yenu” (13)

    • Yehova awajibu watu wake (18-32)

      • “Nitaimimina roho yangu” (28)

      • Maajabu mbinguni na duniani (30)

      • Wale wanaoliitia jina la Yehova wataokolewa (32)

  • 3

    • Yehova ahukumu mataifa yote (1-17)

      • Bonde la Yehoshafati (2, 12)

      • Bonde la uamuzi (14)

      • Yehova, ngome kwa Israeli (16)

    • Yehova awabariki watu wake (18-21)