BIBLIA TAKATIFU—TAFSIRI YA ULIMWENGU MPYA (TOLEO LA 2017)

Ruthu—Yaliyomo

Kiswahili
Ruthu—Yaliyomo
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1001061100/univ/wpub/1001061100_univ_sqr_xl.jpg
nwt Ruthu

Kitabu cha Ruthu

Sura

1 2 3 4

Muhtasari wa Yaliyomo

  • 1

    • Elimeleki na familia yake wahamia Moabu (1, 2)

    • Naomi, Orpa, na Ruthu wafiwa na waume zao (3-6)

    • Ruthu aonyesha ushikamanifu kwa Naomi na kwa Mungu wa Naomi (7-17)

    • Naomi arudi Bethlehemu pamoja na Ruthu (18-22)

  • 2

    • Ruthu aokota masuke ya nafaka katika shamba la Boazi (1-3)

    • Ruthu na Boazi wakutana (4-16)

    • Ruthu amweleza Naomi kuhusu fadhili za Boazi (17-23)

  • 3

    • Naomi ampa Ruthu maagizo (1-4)

    • Ruthu na Boazi kwenye uwanja wa kupuria nafaka (5-15)

    • Ruthu arudi kwa Naomi (16-18)

  • 4

    • Boazi awa mkombozi (1-12)

    • Boazi na Ruthu wamzaa Obedi (13-17)

    • Ukoo wa Daudi (18-22)