Siku ya Tano
“Benye furaha ni bale benye banatambua uhitaji wao wa kiroho”—Matayo 5:3
Asubui
-
3:20 (9:20) Video ya Muziki
-
3:30 (9:30) Wimbo Na. 160 na Sala
-
3:40 (9:40) HOTUBA YA MUSIMAMIZI: Inapatana na Akili Kuamini Kama Tunaweza Kuwa na Furaha ya Milele? (Zaburi 16:11; 100:2)
-
4:10 (10:10) DRAMA:
Habari Njema Juu ya Yesu: Epizode ya 4
‘Ni Juu ya ile njo Nilikuya’ (Matayo 4:23-25; 8:1-4, 14-17; 9:1-17; 12:1-21; Marko 1:21–3:19; Luka 4:31-44; 5:12–6:16; Yohana 5:1-47)
-
5:05 (11:05) Wimbo Na. 17 na Matangazo
-
5:15 (11:15) HOTUBA YENYE SEHEMU TATU: Unabii Kuhusu Masiya Ulitimia!
-
• “Yeye Mwenyewe Alichukua Magonjwa Yetu” (Matayo 8:16, 17; Zaburi 32:1, 2; Isaya 53:4, 5)
-
• “Hakugombana” (Matayo 12:15-21; Isaya 42:1-4)
-
• “Hakukuwa Anasema nao Bila Mufano” (Matayo 13:34, 35; Zaburi 78:2)
-
-
6:10 (12:10) Wimbo Na. 14 na Mapumuziko
Kisha Midi
-
7:35 (13:35) Video ya Muziki
-
7:45 (13:45) Wimbo Na. 23
-
7:50 (13:50) Yesu Alifundishaka Nini Juu ya Sabato? (Matayo 12:1-14; Yohana 5:1-17)
-
8:10 (14:10) HOTUBA YENYE SEHEMU MBILI: Uige Bale Benye Balimutumikia Yesu!
-
• Mitume (Luka 6:13, 15, 16)
-
• Banamuke Mingi (Matayo 27:55; Marko 15:40; Luka 8:1-3)
-
-
8:50 (14:50) Wimbo Na. 76 na Matangazo
-
9:00 (15:00) “Benye Furaha Ni Bale Benye Banafua Kanzu Zao” (Ufunuo 7:9, 10, 13-15; 22:14; Yohana 5:24-29)
-
9:30 (15:30) Wimbo Na. 155 na Sala ya Mwisho

