Siku ya Posho
“Kuko furaha zaidi katika kutoa kuliko katika kupokea”—Matendo 20:35
Asubui
-
3:20 (9:20) Muziki ya Video
-
3:30 (9:30) Wimbo Na. 111 na Sala
-
3:40 (9:40) “Akafungua Kinywa Yake na Kuanza Kubafundisha” (Matayo 5:1, 2)
-
3:50 (9:50) DRAMA:
Habari Njema Juu ya Yesu: Epizode ya 5
“Bakashangazwa na Namna Yake ya Kufundisha” (Matayo 5:3–7:29; Luka 6:17-49)
-
4:25 (10:25) Wimbo Na. 89 na Matangazo
-
4:35 (10:35) Ni Nini Inaweza Kutukosesha Furaha? (Luka 6:24-26)
-
4:50 (10:50) Unaweza Kupata Kanuni Ndani ya Sheria? (Matayo 5:17-48)
-
5:15 (11:15) HOTUBA YENYE SEHEMU MBILI: Somo Zenye Tunajifunza mu Eneo Kwenye Yesu Aliishi
-
• Chumvi na Mwangaza (Matayo 5:13-16)
-
• Mimea na Wanyama (Mwanzo 1:28, 29; Matayo 6:19, 26, 28; 7:6, 10, 15, 16)
-
-
5:40 (11:40) HOTUBA YA UBATIZO: “Baba Yako Mwenye Kuona na Iko Mahali pa Siri Atakulipa” (Matayo 6:6)
-
6:10 (12:10) Wimbo Na. 51 na Mapumuziko
Kisha Midi
-
7:35 (13:35) Muziki ya Video
-
7:45 (13:45) Wimbo Na. 125
-
7:50 (13:50) HOTUBA YENYE SEHEMU KENDA: “Benye Furaha Ni. . . ”
-
• “Bale Benye Banatambua Uhitaji Wao wa Kiroho” (Matayo 5:3)
-
• “Bale Benye Kuomboleza” (Matayo 5:4)
-
• “Bale Benye Tabia ya Upole” (Matayo 5:5)
-
• “Bale Benye Njala na Kiu ya Haki” (Matayo 5:6)
-
• “Bale Benye Rehema” (Matayo 5:7)
-
• “Bale Benye Moyo Safi” (Matayo 5:8)
-
• “Bale Benye Kufanya Amani” (Matayo 5:9)
-
• “Bale Benye Bameteswa kwa Sababu ya Haki” (Matayo 5:10)
-
• “Nyiye Wakati Batu Banabalaumu” (Matayo 5:11, 12)
-
-
9:20 (15:20) Wimbo Na. 81 na Matangazo
-
9:30 (15:30) “Juu ya Nini Munahangaika?” (Matayo 6:19-33)
-
9:55 (15:55) “Muingie Kupitia Mulango Mwembamba” (Matayo 7:1-5, 12-14, 16-18, 24-27)
-
10:30 (16:30) Wimbo Na. 21 na Sala ya Mwisho

