Ijumaa
“Wenye furaha ni wale wanaotambua uhitaji wao wa kiroho”—Mathayo 5:3
Asubuhi
-
3:20 Video ya Muziki
-
3:30 Wimbo Na. 160 na Sala
-
3:40 HOTUBA YA MWENYEKITI: Furaha Tele Milele—Je, Inawezekana? (Zaburi 16:11; 100:2)
-
4:10 DRAMA YA BIBLIA:
Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 4
“Nilikuja kwa Kusudi Hilo” (Mathayo 4:23-25; 8:1-4, 14-17; 9:1-17; 12:1-21; Marko 1:21–3:19; Luka 4:31-44; 5:12–6:16; Yohana 5:1-47)
-
5:05 Wimbo Na. 17 na Matangazo
-
5:15 MFULULIZO: Unabii wa Kimasihi Watimizwa!
-
• “Yeye Mwenyewe Aliyachukua Magonjwa Yetu” (Mathayo 8:16, 17; Zaburi 32:1, 2; Isaya 53:4, 5)
-
• “Hatagombana” (Mathayo 12:15-21; Isaya 42:1-4)
-
• “Hakuwa Akizungumza Nao Bila Mfano” (Mathayo 13:34, 35; Zaburi 78:2)
-
-
6:10 Wimbo Na. 14 na Mapumziko
Alasiri
-
7:35 Video ya Muziki
-
7:45 Wimbo Na. 23
-
7:50 Yesu Alifundisha Nini Kuhusu Sabato? (Mathayo 12:1-14; Yohana 5:1-17)
-
8:10 MFULULIZO: Waige Wale Waliomhudumia Yesu!
-
• Mitume (Luka 6:13, 15, 16)
-
• Wanawake Wengi (Mathayo 27:55; Marko 15:40; Luka 8:1-3)
-
-
8:50 Wimbo Na. 76 na Matangazo
-
9:00 “Wenye Furaha Ni Wale Wanaofua Kanzu Zao” (Ufunuo 7:9, 10, 13-15; 22:14; Yohana 5:24-29)
-
9:30 Wimbo Na. 155 na Sala ya Mwisho

