Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 23

Yehova Aanza Kutawala

Yehova Aanza Kutawala

(Ufunuo 11:15)

  1. 1. Ufalme watawala,

    Toka juu mbinguni.

    Kristo anatawala Sayuni.

    Wote washangilie.

    Yehova wamwimbie.

    Bwana Kristo

    Ameanza kutawala.

    (KORASI)

    Utaleta nini Ufalme?

    Kweli haki zitashinda.

    Utaleta nini kingine?

    Uzima na shangwe tele.

    Sifu Mwenye Enzi Kuu,

    Kwa fadhili-upendo.

  2. 2. Kristo anatawala,

    HarMagedoni yaja.

    Mfumo wa Shetani ukome.

    Sasa ndio wakati

    Wa kuhubiri kote.

    Wapole wamtii

    Yehova Mungu.

    (KORASI)

    Utaleta nini Ufalme?

    Kweli haki zitashinda.

    Utaleta nini kingine?

    Uzima na shangwe tele.

    Sifu Mwenye Enzi Kuu,

    Kwa fadhili-upendo.

  3. 3. Mfalme wa Yehova;

    Mwenye fahari kubwa.

    Kwa jina la Mungu anakuja.

    Ingia malangoni

    mwa hekalu tukufu,

    Hivi punde

    Vyote atavitawala.

    (KORASI)

    Utaleta nini Ufalme?

    Kweli haki zitashinda.

    Utaleta nini kingine?

    Uzima na shangwe tele.

    Sifu Mwenye Enzi Kuu,

    Kwa fadhili-upendo.