Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mazungumzo Ya Familia

Mazungumzo Ya Familia

Mazungumzo Ya Familia

TUNAWEZA KUJIFUNZA NINI KUTOKANA NA . . . Kaini na Abeli?

JE, UMEWAHI KUKASIRIKA NA KUTAKA KUMPIGA NDUGU AU DADA YAKO?

• Paka rangi picha hizi. • Soma mistari ya Biblia iliyoonyeshwa, na uieleze unapojaza maneno ambayo yamekosekana. • Tafuta vitu vilivyofichika: (1) tofaa na (2) bata.

MWANZO 4:2

MWANZO 4:3

MUNGU ALIMTAZAMA ABELI NA TOLEO LAKE KWA KIBALI.​—⁠MWANZO 4:4

MWANZO 4:5

MWANZO 4:8 ․․․․․

BAADAYE, MUNGU AKAMUULIZA KAINI: “․․․․․ ?”​—MWANZO 4:9

MWANZO 4:​10-12

Kwa nini unapaswa kudhibiti hasira yako?

DOKEZO: Methali 14:29; Waefeso 4:​26, 27, 31.

Ni nini kinachoweza kukusaidia udhibiti hasira?

DOKEZO: Methali 14:30; 19:11; Waefeso 4:32.

Umejifunza nini kutokana na simulizi hili?

Una maoni gani?

Soma Mwanzo 4:7. Kaini alipaswa kuitikia namna gani Mungu alipomsahihisha?

DOKEZO: Luka 14:11; 1 Petro 5:​5, 6.

Kusanya na Ujifunze

Kata, kunja katikati, na uhifadhi

KADI YA BIBLIA 20 NOA

MASWALI

A. Noa aliishi miaka ․․․․․.

B. Wana wake watatu waliitwaje?

C. Kamilisha mstari huu wa Biblia: “Noa akafanya kulingana na . . . ”

[Chati]

4026 K.W.K. Adamu aumbwa

Alizaliwa katika mwaka wa 2970 K.W.K.

1 W.K.

98 W.K. Kitabu cha mwisho cha Biblia kinaandikwa

cha Biblia kinaandikwa

[Ramani]

“Safina ikatua kwenye milima ya Ararati.” ​—Mwanzo 8:4

MILIMA YA ARARATI

NOA

MAELEZO MACHACHE KUMHUSU

Alifundisha familia yake kutii maagizo ya Yehova. Kwa kumtii Mungu, alijenga safina ili ahifadhi familia yake na wanyama waokoke gharika kuu. (Mwanzo 6:​5-22) Licha ya dhihaka, alivumilia kwa uaminifu akiwa “mhubiri wa uadilifu.”​—2 Petro 2:5; Waebrania 11:7.

MAJIBU

A. 950.​—Mwanzo 9:29.

B. Shemu, Hamu na Yafethi.​—Mwanzo 6:10.

C. “. . . yote ambayo Mungu alikuwa amemwamuru. Alifanya vivyo hivyo.”​—Mwanzo 6:22.

Watu na Nchi

3. Majina yetu ni Andres na Ana. Sote tuna umri wa miaka 11, na tunaishi El Salvador. Kuna Mashahidi wa Yehova wangapi nchini El Salvador? Ni 10,000, 20,700, au 37,000?

4. Ni alama gani inayoonyesha eneo tunaloishi? Chora duara kuonyesha eneo unaloishi, kisha uone kwenu ni umbali gani kutoka El Salvador.

A

B

C

D

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ili uchapishe nakala zaidi za “Mazungumzo ya Familia,” nenda kwenye www.jw.org

● Majibu ya “MAZUNGUMZO YA FAMILIA” kwenye ukurasa wa 12

MAJIBU YA UKURASA WA 30 NA 31

1. Kuna tofaa mbele ya madhabahu katika picha ya 3. 

2. Bata yuko katikati ya Abeli na kondoo katika picha ya 4. 

3. 37,000.

4. A.